Zipo sheria na kanuni zipo mfano ulimwona fei Toto bila mama rais wa nchi kuingilia lile swala aiseee lingemsumbua sn fei Sasa sahiz kibu atanyooshwa hawez kucheza popote DUNIANI bila Simba kutoa release letter
Ndio mana mm kibu sijawah kumkubari Kwanza amekaa mshamba mshamba alaf anatamaa muonekano wake tuu unaongea mm kibu sijawah kumkubari, anatumia mingivu nguvu tuu akili ya Mpira Hana,, kudribo Mpira kwake n kaz kama robot aaah aende tuu
Simba pana tatizo masiku mengi imekuwa ikihsishwa na wachezaji wakbwa wazuri mwshowe inabaki speculation, bado nataka kuona timu inapata kocha atakaeinua vipaj vya wachezaj wa kitanzania ni kpnd tunatakiwa tjfnze kwa yanga wachezaji wa 3 pale nyuma ni wabongo, kwa nn tunawachia hawa makocha bila ya kutuimarishia wabongo
Leo frij limekufa kabisa mana umeongea utumbo utumbooo.....hasa kwenye swala Ceo wa Simba...yani ww umekariri kua ili mtu afanye vzr lazma atoke timu kubwa hapo umekunya
Uongo Si mzuri, Wala wanasimba hawajaamini taarifa zako, binafsi sikupongezi kwa huongo wako. Hakikisheni mnatoa taarifa za ukweli na ss tunatumia pesa kama mnavyotafuta nanyie
Jamaaa uko vizuri ubashiri wako huwa unaleta maana sana uko guuuuuuuud niite losieki memirieki
Aje ata asaivi tunamuhitaji sana sana saaana ubaya ubwela
Karibu San simba Elia mpanzu
Vp kuusu mpanzuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤
Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤
Karibu sana Mpanzu au tuseme (your most welcome)
Upo vizuri sana friji bovu kwa uchambuzi mzuri sana
Vipi mpanzu dili done au vip
Jamaa nimekuelewa na naendelea kukuelewa, tusilete siasa kwenye mpira wa miguu, ilianzia kwa Fei Toto na Leo ndo Iko kwa Kibu Mzee.
Kaka friji bov uko sawa kabisa wachezaji wanaleta upuuz wanatukwaza saana siyo powa ziwekwe kanuni na Sheria za kuwabana wafate utaratibu wa kishelia.
Zipo sheria na kanuni zipo mfano ulimwona fei Toto bila mama rais wa nchi kuingilia lile swala aiseee lingemsumbua sn fei Sasa sahiz kibu atanyooshwa hawez kucheza popote DUNIANI bila Simba kutoa release letter
Welcome Elie mpanzu, simba nguvu moja, ubaya ubwela
Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤
😅😢😮❤
Nawapenda sn hawa ma c.o Babra pamoja na huyu amani kajula aliyetuletea simba kuwa na platform nyingi🙏🙏🙏
Bro Mimi nakukubali Sana unaongeaga vitu vya akili Sana Mzee baba
Kaka uko vzr Mungu akubariki 🙏🙏🙏
Nakukubali Frijibovu huna baya mwanangu!
Kaka uko vizuri sana keep on educating the community brother!!!
Welcome simba broo ❤❤❤
mchambuzi wang pendwa❤❤❤
Deal limefelii aisee daah 😢😢😢 Haji tena
Nakukubali bro!
VP Kaka Simba ndo mech moja Tu pre season?
Pi kaka friji bovu unajua Kaka Simba watakup maua yako😅😂
Karibu elia mpanzu
Bro uko vizuri
Habari za mpanzu ni kweliiii msimbaziiii
Karibu Msimbazi mchezaji we2 🦁💪
Nakukubali mwamba
Tunakuamini kaka kwa taarifa zako
Friji bovu wewe ni mwamba kweli kweli mkuu na nimejenga Imani kwako na hujawahi kutuangusha 👊
Unachambuwa vizuri lakini acha nokupe mauwa yk.Ubaya ubwela.
Good kabsa
Tukimuon mpanzu apo rutakua na aman na tm yetu brother
Nakukubari unajua
Sisi tunaamini uongo wake we hujalazimishwa kuamini
Kibu sio wa sifa ya Simba tunayo ihitaji, ana sifa Moja tu ya kupambana Hana tageti Wala kontroo ya kutosha
Wambie kbs Nabi n kocha yule ni mwl kwl
Usajili bora sana aixee
Ivi jamni kweli au mana mnatuumiza moyo 😊
Frige bovu wewe ni zaidi ya zaidi ❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
Boss ni kweli mpanzu atatua unyamaniiiiiii
Karibu Elie Mpanzu Unyamani
Yani kiukweli broo unaongeaga ukweli sana mana hili dili nilakweli
Nakubali unaongea point 👉😮
tuna mtaka ata kesho mpanzu ubaya ubwela paka ubingwa
Namkubari sana friji bovu kwa uchambuzi
Tunata simba mpya❤
Frito bonus umechemsha,Elie ametangazwa huko Belgium,unaongea saaana lakini huna jipya..
Ndio mana mm kibu sijawah kumkubari Kwanza amekaa mshamba mshamba alaf anatamaa muonekano wake tuu unaongea mm kibu sijawah kumkubari, anatumia mingivu nguvu tuu akili ya Mpira Hana,, kudribo Mpira kwake n kaz kama robot aaah aende tuu
Kibu ameji dhalilisha , Bado ni mchezaji wetu na turanfungia miaka 2
Unaakili nyingi sana brother unaongea vitu vyenye kueleweka na umesema ukweli simba huongozi auna meno upo sahihi
mtaua jaman
Dili la mpanzu kuja simba nigumu mno kwani anahitajika na team ya ubelgiji
Dili bado mpanzu anaenda Genk
Upo dunia gani wewe genk ni lameki lawi
Bado dili la mpanzu halijakamilika
Kaka we mwamba
Litakuwa jambo zuri likikamilika
Hili jamaaa linajua mpira
Kibu asepe
Simba pana tatizo masiku mengi imekuwa ikihsishwa na wachezaji wakbwa wazuri mwshowe inabaki speculation, bado nataka kuona timu inapata kocha atakaeinua vipaj vya wachezaj wa kitanzania ni kpnd tunatakiwa tjfnze kwa yanga wachezaji wa 3 pale nyuma ni wabongo, kwa nn tunawachia hawa makocha bila ya kutuimarishia wabongo
Huuu sio uongo kweli
Wee jamaa unatamanisha Yani mpaka unatamani ngao ya jamii iwe kesho
Nakupata
Friji bovu muongo mpanzu haji simba
Anaenda Yanga
Vyanzo vyako ni vya uongo
Hongereni, maana, kila mchezaji ni Yanga. Hata Kinzumbi mlisema anakuja kwenu. Msemaji wenu amesema rasta pia anakuja kwenu
Huo ndiyo ukweli mkuu! Simba viongozi wamekosa MENO mkuu kuwabana wachezaji kisheria , (utovu wa nidhamu)
Mwamba unajua
Leo frij limekufa kabisa mana umeongea utumbo utumbooo.....hasa kwenye swala Ceo wa Simba...yani ww umekariri kua ili mtu afanye vzr lazma atoke timu kubwa hapo umekunya
Mimi japokiwa atanidanganya firiji bovu Lakin wakati inanitajia Simba inanikosha Sanaa
😂
Hivi huyu huwa mnamwelewa?
IME hiyo
Mpanzu anaend Genk tuachie uongo
Namba 6 atakua nani ?
Kibu ni mchezaji mzawa, uyu mpanzu ni wakigeni, vipi atatoka badala yake?
Nipo na ww braza
Kaka unatema madiniiiiiii vibaya munoo
Kibu anajiteke ya mwenyewe
kibu sio kakimbia huko akajuwa ataikomoa simba kajikomoa mwenyewe
Uongo mtupu jamaa mpanzu kaenda GENK
6:32
Liongo hili jamaa
Vita ya panzi imani ya kunguru kwa hiyo sisi kama simba tumevuna faida kubwa sana I say
Mpanzu katua kweli?
Huyu jamaa mbona anajua sana
friji bovu ni mbovu kweli. unaonyesha upande wako. jitahidi basi uwe msemaji na sio mchambuzi .usije kalia.
Ubaya ubwelaaaa
Huyu jamaa ni mnafiki simba wamesema saa ngapi ndio maana ukaitw friji bovu si
mambo sindo hayaa??
Tank limejaa mafuta...dribing je
Mmmhh
Uongooi
Uongo Si mzuri, Wala wanasimba hawajaamini taarifa zako, binafsi sikupongezi kwa huongo wako. Hakikisheni mnatoa taarifa za ukweli na ss tunatumia pesa kama mnavyotafuta nanyie
Mbona Kama unaumia kimya kimya
Mmmmhhhhh
Mnh m napita tuuu
Blog za kisenge kama hiz haziwez kufika mbali mbwa nyie😅
Kweli umeongea kitaalam sana mkuu safi
Mpanzu yupo ubeligiji
Nipo video ya mpanzu akiwa ubeligiji
Hapo tumelamba dume mnyama lazima aungulume
Acheni uongo mpanzu kaetekea uraya nivp unatudanganya vp wewe??
Huyu jamaa muongo sn sijui ht hizo habar anazit wap acha ywongo
Namba ya mchambuzi nimtumie vocha