ELIE MPANZU ATANGAZWA RASMI SIMBA | HUYU NI MASHINE YA MASHINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 118

  • @LaiteteiSagarai
    @LaiteteiSagarai 2 месяца назад

    Jamaaa uko vizuri ubashiri wako huwa unaleta maana sana uko guuuuuuuud niite losieki memirieki

  • @ShambunatGhullam
    @ShambunatGhullam 2 месяца назад +1

    Aje ata asaivi tunamuhitaji sana sana saaana ubaya ubwela

  • @RashidiJuma-p4z
    @RashidiJuma-p4z 2 месяца назад +1

    Karibu San simba Elia mpanzu

  • @KhalidIsacka-i2k
    @KhalidIsacka-i2k 2 месяца назад

    Vp kuusu mpanzuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤

  • @NestoryHenlico
    @NestoryHenlico 2 месяца назад

    Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 2 месяца назад +2

    Karibu sana Mpanzu au tuseme (your most welcome)

  • @SAIDSALUM1981
    @SAIDSALUM1981 2 месяца назад

    Upo vizuri sana friji bovu kwa uchambuzi mzuri sana

  • @SamwelOtieno-ky3nh
    @SamwelOtieno-ky3nh 2 месяца назад

    Vipi mpanzu dili done au vip

  • @InnocentNyanga
    @InnocentNyanga 2 месяца назад +15

    Jamaa nimekuelewa na naendelea kukuelewa, tusilete siasa kwenye mpira wa miguu, ilianzia kwa Fei Toto na Leo ndo Iko kwa Kibu Mzee.

  • @RolethaRevelian
    @RolethaRevelian 2 месяца назад +3

    Kaka friji bov uko sawa kabisa wachezaji wanaleta upuuz wanatukwaza saana siyo powa ziwekwe kanuni na Sheria za kuwabana wafate utaratibu wa kishelia.

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 2 месяца назад +1

      Zipo sheria na kanuni zipo mfano ulimwona fei Toto bila mama rais wa nchi kuingilia lile swala aiseee lingemsumbua sn fei Sasa sahiz kibu atanyooshwa hawez kucheza popote DUNIANI bila Simba kutoa release letter

  • @MeshackMlyanginu
    @MeshackMlyanginu 2 месяца назад +1

    Welcome Elie mpanzu, simba nguvu moja, ubaya ubwela

  • @NestoryHenlico
    @NestoryHenlico 2 месяца назад

    Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤
    😅😢😮❤

  • @Filbert-i4m
    @Filbert-i4m 2 месяца назад +3

    Nawapenda sn hawa ma c.o Babra pamoja na huyu amani kajula aliyetuletea simba kuwa na platform nyingi🙏🙏🙏

  • @gastorsapula2583
    @gastorsapula2583 2 месяца назад

    Bro Mimi nakukubali Sana unaongeaga vitu vya akili Sana Mzee baba

  • @Filbert-i4m
    @Filbert-i4m 2 месяца назад +1

    Kaka uko vzr Mungu akubariki 🙏🙏🙏

  • @ramseyking7694
    @ramseyking7694 2 месяца назад +2

    Nakukubali Frijibovu huna baya mwanangu!

  • @Sebastianmangenyi
    @Sebastianmangenyi 2 месяца назад +1

    Kaka uko vizuri sana keep on educating the community brother!!!

  • @ZainaYusuph-ix7vl
    @ZainaYusuph-ix7vl 2 месяца назад +1

    Welcome simba broo ❤❤❤

  • @florah-u9z
    @florah-u9z 2 месяца назад +3

    mchambuzi wang pendwa❤❤❤

  • @francisjuly5761
    @francisjuly5761 2 месяца назад +3

    Deal limefelii aisee daah 😢😢😢 Haji tena

  • @papaanel8160
    @papaanel8160 2 месяца назад

    Nakukubali bro!

  • @makinyamigeto7621
    @makinyamigeto7621 2 месяца назад +1

    VP Kaka Simba ndo mech moja Tu pre season?

    • @makinyamigeto7621
      @makinyamigeto7621 2 месяца назад

      Pi kaka friji bovu unajua Kaka Simba watakup maua yako😅😂

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine 2 месяца назад +2

    Karibu elia mpanzu

  • @JamesSweetbart
    @JamesSweetbart 2 месяца назад +1

    Bro uko vizuri

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 2 месяца назад +3

    Habari za mpanzu ni kweliiii msimbaziiii

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan 2 месяца назад +1

    Karibu Msimbazi mchezaji we2 🦁💪

  • @gervaskashegu1940
    @gervaskashegu1940 2 месяца назад

    Nakukubali mwamba

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine 2 месяца назад +1

    Tunakuamini kaka kwa taarifa zako

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 2 месяца назад +3

    Friji bovu wewe ni mwamba kweli kweli mkuu na nimejenga Imani kwako na hujawahi kutuangusha 👊

  • @ImranSalum
    @ImranSalum 2 месяца назад +5

    Unachambuwa vizuri lakini acha nokupe mauwa yk.Ubaya ubwela.

  • @sirajubwango
    @sirajubwango 2 месяца назад +1

    Good kabsa

  • @YunusuYekonia
    @YunusuYekonia 2 месяца назад

    Tukimuon mpanzu apo rutakua na aman na tm yetu brother

  • @BennySisala
    @BennySisala 2 месяца назад

    Nakukubari unajua

  • @zahranyasa9351
    @zahranyasa9351 2 месяца назад +2

    Sisi tunaamini uongo wake we hujalazimishwa kuamini

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088 2 месяца назад

    Kibu sio wa sifa ya Simba tunayo ihitaji, ana sifa Moja tu ya kupambana Hana tageti Wala kontroo ya kutosha

  • @Filbert-i4m
    @Filbert-i4m 2 месяца назад +1

    Wambie kbs Nabi n kocha yule ni mwl kwl

  • @BallohoVicent
    @BallohoVicent 2 месяца назад +2

    Usajili bora sana aixee

  • @SalumWazilly
    @SalumWazilly 2 месяца назад +1

    Ivi jamni kweli au mana mnatuumiza moyo 😊

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 2 месяца назад +1

    Frige bovu wewe ni zaidi ya zaidi ❤❤🎉🎉

  • @KhalidIsacka-i2k
    @KhalidIsacka-i2k 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад +1

    Boss ni kweli mpanzu atatua unyamaniiiiiii

  • @FredrickShanguya
    @FredrickShanguya 2 месяца назад +4

    Karibu Elie Mpanzu Unyamani

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 2 месяца назад +1

    Yani kiukweli broo unaongeaga ukweli sana mana hili dili nilakweli

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 2 месяца назад +1

    Nakubali unaongea point 👉😮

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 2 месяца назад +3

    tuna mtaka ata kesho mpanzu ubaya ubwela paka ubingwa

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 2 месяца назад +2

    Namkubari sana friji bovu kwa uchambuzi

  • @MethodJohn-o5f
    @MethodJohn-o5f 2 месяца назад +4

    Tunata simba mpya❤

  • @joelmichael9752
    @joelmichael9752 2 месяца назад +1

    Frito bonus umechemsha,Elie ametangazwa huko Belgium,unaongea saaana lakini huna jipya..

  • @HusseinBakari-f8e
    @HusseinBakari-f8e 2 месяца назад +1

    Ndio mana mm kibu sijawah kumkubari Kwanza amekaa mshamba mshamba alaf anatamaa muonekano wake tuu unaongea mm kibu sijawah kumkubari, anatumia mingivu nguvu tuu akili ya Mpira Hana,, kudribo Mpira kwake n kaz kama robot aaah aende tuu

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 2 месяца назад +1

    Kibu ameji dhalilisha , Bado ni mchezaji wetu na turanfungia miaka 2

  • @igweemsuto6141
    @igweemsuto6141 2 месяца назад

    Unaakili nyingi sana brother unaongea vitu vyenye kueleweka na umesema ukweli simba huongozi auna meno upo sahihi

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 2 месяца назад +1

    mtaua jaman

  • @GulackSotela
    @GulackSotela 2 месяца назад +1

    Dili la mpanzu kuja simba nigumu mno kwani anahitajika na team ya ubelgiji

  • @Abuumagela
    @Abuumagela 2 месяца назад +1

    Dili bado mpanzu anaenda Genk

  • @bobsaid4324
    @bobsaid4324 2 месяца назад

    Bado dili la mpanzu halijakamilika

  • @PiusJordan
    @PiusJordan 2 месяца назад

    Kaka we mwamba

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 2 месяца назад +4

    Litakuwa jambo zuri likikamilika

  • @ramadhanmlaly4049
    @ramadhanmlaly4049 2 месяца назад +3

    Hili jamaaa linajua mpira

  • @ChristinaLazaro-oy4kb
    @ChristinaLazaro-oy4kb 2 месяца назад +1

    Kibu asepe

  • @HARUNSIMON-hj6up
    @HARUNSIMON-hj6up 2 месяца назад

    Simba pana tatizo masiku mengi imekuwa ikihsishwa na wachezaji wakbwa wazuri mwshowe inabaki speculation, bado nataka kuona timu inapata kocha atakaeinua vipaj vya wachezaj wa kitanzania ni kpnd tunatakiwa tjfnze kwa yanga wachezaji wa 3 pale nyuma ni wabongo, kwa nn tunawachia hawa makocha bila ya kutuimarishia wabongo

  • @juliussteven3440
    @juliussteven3440 2 месяца назад

    Huuu sio uongo kweli

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 2 месяца назад +2

    Wee jamaa unatamanisha Yani mpaka unatamani ngao ya jamii iwe kesho

  • @EDWARDJEROME
    @EDWARDJEROME 2 месяца назад +2

    Nakupata

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 2 месяца назад +2

    Friji bovu muongo mpanzu haji simba
    Anaenda Yanga
    Vyanzo vyako ni vya uongo

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 2 месяца назад

      Hongereni, maana, kila mchezaji ni Yanga. Hata Kinzumbi mlisema anakuja kwenu. Msemaji wenu amesema rasta pia anakuja kwenu

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 2 месяца назад

    Huo ndiyo ukweli mkuu! Simba viongozi wamekosa MENO mkuu kuwabana wachezaji kisheria , (utovu wa nidhamu)

  • @PaschalChigwiye
    @PaschalChigwiye 2 месяца назад +1

    Mwamba unajua

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 2 месяца назад +1

    Leo frij limekufa kabisa mana umeongea utumbo utumbooo.....hasa kwenye swala Ceo wa Simba...yani ww umekariri kua ili mtu afanye vzr lazma atoke timu kubwa hapo umekunya

  • @makamekhamis-cu6qc
    @makamekhamis-cu6qc 2 месяца назад +2

    Mimi japokiwa atanidanganya firiji bovu Lakin wakati inanitajia Simba inanikosha Sanaa

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 2 месяца назад +1

    Hivi huyu huwa mnamwelewa?

  • @FanuelyChaula
    @FanuelyChaula 2 месяца назад

    IME hiyo

  • @davidgodfrey2510
    @davidgodfrey2510 2 месяца назад

    Mpanzu anaend Genk tuachie uongo

  • @SaidBudi-u9v
    @SaidBudi-u9v 2 месяца назад

    Namba 6 atakua nani ?

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 2 месяца назад +1

    Kibu ni mchezaji mzawa, uyu mpanzu ni wakigeni, vipi atatoka badala yake?

  • @GeofreyLauliani
    @GeofreyLauliani 2 месяца назад +1

    Nipo na ww braza

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад +2

    Kaka unatema madiniiiiiii vibaya munoo

  • @athumanidilunga7770
    @athumanidilunga7770 2 месяца назад +1

    Kibu anajiteke ya mwenyewe

  • @EzekieliAndrew
    @EzekieliAndrew 2 месяца назад +2

    kibu sio kakimbia huko akajuwa ataikomoa simba kajikomoa mwenyewe

  • @piusalex6589
    @piusalex6589 2 месяца назад

    Uongo mtupu jamaa mpanzu kaenda GENK

  • @NestoryHenlico
    @NestoryHenlico 2 месяца назад

    6:32

  • @homeafricaone
    @homeafricaone 2 месяца назад

    Liongo hili jamaa

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 2 месяца назад

    Vita ya panzi imani ya kunguru kwa hiyo sisi kama simba tumevuna faida kubwa sana I say

  • @DrNangwaIP_international
    @DrNangwaIP_international 2 месяца назад

    Mpanzu katua kweli?

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa mbona anajua sana

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 2 месяца назад +1

    friji bovu ni mbovu kweli. unaonyesha upande wako. jitahidi basi uwe msemaji na sio mchambuzi .usije kalia.

  • @PeterMuhina
    @PeterMuhina 2 месяца назад

    Ubaya ubwelaaaa

  • @islamIbrahimmussa
    @islamIbrahimmussa 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa ni mnafiki simba wamesema saa ngapi ndio maana ukaitw friji bovu si

  • @SifaKayaya
    @SifaKayaya 2 месяца назад +2

    mambo sindo hayaa??

  • @nyanzaonlinetv2762
    @nyanzaonlinetv2762 2 месяца назад +1

    Tank limejaa mafuta...dribing je

  • @HamisiRashidi-h5t
    @HamisiRashidi-h5t 2 месяца назад

    Mmmhh

  • @MichaelCharles-uo6rw
    @MichaelCharles-uo6rw 2 месяца назад +1

    Uongooi

  • @MzaliwaLuis
    @MzaliwaLuis 2 месяца назад +1

    Uongo Si mzuri, Wala wanasimba hawajaamini taarifa zako, binafsi sikupongezi kwa huongo wako. Hakikisheni mnatoa taarifa za ukweli na ss tunatumia pesa kama mnavyotafuta nanyie

  • @HamisiRashidi-h5t
    @HamisiRashidi-h5t 2 месяца назад

    Mmmmhhhhh

  • @OliverMalindi
    @OliverMalindi 2 месяца назад

    Mnh m napita tuuu

  • @FadhiliKato
    @FadhiliKato 2 месяца назад +1

    Blog za kisenge kama hiz haziwez kufika mbali mbwa nyie😅

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 месяца назад +2

    Kweli umeongea kitaalam sana mkuu safi

  • @GodfreyDaud-jv2qc
    @GodfreyDaud-jv2qc 2 месяца назад

    Mpanzu yupo ubeligiji

    • @duaelly2206
      @duaelly2206 2 месяца назад

      Nipo video ya mpanzu akiwa ubeligiji

  • @NestoryHenlico
    @NestoryHenlico 2 месяца назад

    Hapo tumelamba dume mnyama lazima aungulume

  • @jacksonmsalenge
    @jacksonmsalenge 2 месяца назад

    Acheni uongo mpanzu kaetekea uraya nivp unatudanganya vp wewe??

  • @AdicoRashidi
    @AdicoRashidi 2 месяца назад

    Huyu jamaa muongo sn sijui ht hizo habar anazit wap acha ywongo

  • @emmanueljihulya1533
    @emmanueljihulya1533 2 месяца назад +1

    Namba ya mchambuzi nimtumie vocha