Bismillah mashaallah shukran mm nandugu zangu nimehangaika sana mpk kwa kuongop ili wapatane lkn mpk sasa hawajapatana na miaka kadhaa inapita unaniudhunisha sana hii jpo kwao wanaona swa
Mi nina swali shekh mumewangu hakua muislamu lkn nilimsilimisha tukaoana but mambo yake hayaniridhiahi kwanza swala hamna,swaum hamna jengine ni uraibu wa miraa na sigara nimwambia awache lkn hawezi acha kulea family pia ni shida kila cku anasema hana pesa so nifanyeje naeza omba thalaka?
Ji pambe vizuri sana. Wanaume hupenda kwa kuona na wanawake hupenda kwa kuskia. Na kama hataki mpe time na usiwe na haraka. Mfanyie mambo anayo ha penda na wewe utapata unayo ya penda kwake
@@oyay2821 ...it is actually a valid question...just like ukiulizwa 'Salahuddin ' maana yake nini....Not everybody understands arabic language....so,mtata4ever...tafadhali Google maana ya hill Jima ama muulize anaye fahamu kiarabu....Personally I guess it means 'ku kuza au kulinda dini...(Stand to be corrected)....🙂
Ma sha Allah ila wanaume mungu anawaona maana sio kwakurudanganya huko 😁😁😁😁 nimecheka sana sheikh wetu allah akuhifadhi
Mashaallah nakupend san shekh yan nikisikilizaga mawaidha yako huw nafaeijikag san
Mashaallah tabarak rahman ustadhi umefika kwetu home alhamdulilah nawao wamefaidika .jzk kher 🙌
Hahahahaha shekhe umenichekesha sana shukrani allah akulipe kila la kher in shaallah
Bismillah mashaallah shukran mm nandugu zangu nimehangaika sana mpk kwa kuongop ili wapatane lkn mpk sasa hawajapatana na miaka kadhaa inapita unaniudhunisha sana hii jpo kwao wanaona swa
shukrani shekhe kwa mawaidha mazuli mwenyezi mungu akuweke
ama Kwa hakika sheikh allha kakujalia Na namuomab akujalie zaidi ya apo Saudi uweze kituelimisha
Janja ni nzuri,kwa wake wenza inawafaaa sana mana kila mmoja angejiona yeye ndiye kila kitu kwa mume.
Video hii naona yaonesha clear sana mashallah
ماشاءاللہ
Ha ha haa ustadh uko fit kwa kuoa wake wawilii...kaliii yko..
Pemba huwa wanasema ndaro ni udume
MASHAALLAH MASHAALLAH MASHAALLAH TABARAKALLAH
JAZAKALLAHU KHAIR SHEIKH
Allah akulipe pepo
Shekh upo vizur Karibu kibaha masjd yetu. Utuelimishe
Hhhhh shekh lugha yako inaeleweka
MASHALLAH ALEIK
Nice Maasha_Allah
Subhanallah
Mashallah
Pure TRUTH
Mashaallah
MashaAllah
Vp shekh kutia rangi kwa mwanamke?
Rangi isokua nyeusi vp inajuzu?
Maashallah shekh jazakallah kheir
zamil walah uko na Jina smart
Abdi Rahman thxxx
+Zamil,umefupisha Jina ama ni full nem yako
Abdi Rahman kwa nn😎
iko smart walah,nimeipenda xana,mashaAllah inapendeza.
Mi nina swali shekh mumewangu hakua muislamu lkn nilimsilimisha tukaoana but mambo yake hayaniridhiahi kwanza swala hamna,swaum hamna jengine ni uraibu wa miraa na sigara nimwambia awache lkn hawezi acha kulea family pia ni shida kila cku anasema hana pesa so nifanyeje naeza omba thalaka?
Kama waona kama anao uwezo wa kukulisha bt hataki tuu na hataki kushika mana na ibada ndio waweza kuomba talaka bt kama waona aweza badilika usiombe
Izudin Alwy Ahmed shukran
ostadh mm nina swal utafanya nini endapo utamtamani mume wako kimwili hali yakua yeye hataki na kushamuambia
Ji pambe vizuri sana. Wanaume hupenda kwa kuona na wanawake hupenda kwa kuskia. Na kama hataki mpe time na usiwe na haraka. Mfanyie mambo anayo ha penda na wewe utapata unayo ya penda kwake
Hakutaki
Nini maana ya Izudin
mtata4ever swali La kipuuzi kabisa. Maana ya mtata ninni?
+Ummu Nurdin nacheki hapa mtu fulani asema umuoe.ajabu
Sheikh Izzudin umesema neno Kubwa saana hapa ondosha kosa kwa sababu ya undungu usiondoe udugu kwa sababu ya kosa lkn sijaamini km ni wewe unasema HV
@@oyay2821 ...it is actually a valid question...just like ukiulizwa 'Salahuddin ' maana yake nini....Not everybody understands arabic language....so,mtata4ever...tafadhali Google maana ya hill Jima ama muulize anaye fahamu kiarabu....Personally I guess it means 'ku kuza au kulinda dini...(Stand to be corrected)....🙂
Mashallah