Uvira Usiku WaJana/Milio Ya Risasi Yasikika kwaWingi Baada YaWamama Wawili Kutekwa NaKupelewa Porini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • HALI YA UTEKWAJI NYARA KWA WATU KUNAENDELEA KURIPOTIWA NA WAALIFU WANAZIDI KUACHA NAMBA ZAO

Комментарии • 28

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 3 года назад +1

    Vijana wa uvira fanyeni kazi acheni kutafuta laana kwanguvu.

  • @aayeshakhan9962
    @aayeshakhan9962 3 года назад +1

    Masikini uyu maman kama iko aye uko ariko inasikitisha sana kwakeri atakungekuwa ugomvi njo wafanye ivyo watu wanagombanaka nabinahisha wanarombana musama siyo kutendeyana ubaya duniyani tunapita tu

  • @aayeshakhan9962
    @aayeshakhan9962 3 года назад +1

    Mungu amusaidiye uyo maman apatikane akiwa muzima

  • @aayeshakhan9962
    @aayeshakhan9962 3 года назад +1

    Niatari kabisa

  • @wiczrabin4039
    @wiczrabin4039 3 года назад +2

    Uvira inakuwa hatari. Kama amufanyi hange itakuwa saa beni. Il fo ku maliza iyo maneneno. Muna shika akuna mambo yama prison, kuchoma apoapo juu kuonesha mfano. Ata ni petit wamu quartier.

  • @hashimkatunda3402
    @hashimkatunda3402 3 года назад

    Kwakweli poleni sana watu wa uvira mwenyezi Mungu yuko atasikia kilio chenu inshallah panapo majaliwa ya allah tutazidi kuwaombeeni duwa allah azidi kuwaepushia na majanga kama ayo poleni tena ndugu zangu wa congomani

  • @alturaif5367
    @alturaif5367 3 года назад +1

    Eeee, Mungu, tendamiujiza, mamanhuyo, asiuwawe🙏🙏🙏

  • @aayeshakhan9962
    @aayeshakhan9962 3 года назад

    Pole sana watu wa uvira mungu awapiganiye juyeye njoanateteyaka wanyonge inasikitisha sana watu awana musaada hohote 😭😭😭😭 jamani watu wanateseka uvira mungu piganiya taifa lako baba wambinguni

  • @francinenyiramucyo2658
    @francinenyiramucyo2658 2 года назад

    Poleni sana

  • @ngomafrancis1659
    @ngomafrancis1659 2 года назад

    Familia ingeomba kuongea na watekaji iliwaweze kujuwa kama uyo mutekwa kama yuko hai mana kuna number phone walioihacha sasa nivema waombe kuongea naye wajuwe kama yuko hai:ndosawa wasije kulipa pesa na wapewe maiti;
    Investigation telephonic maman ahongee italeta imani nzuri.

  • @aayeshakhan9962
    @aayeshakhan9962 3 года назад +1

    Jamani uvira mbona inakuwa bogo

  • @uwezojaninosgospelartist1432
    @uwezojaninosgospelartist1432 3 года назад +1

    Pole sana ila police 🚔 na jeshi lichunguzwe kwanza.

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 3 года назад

    Polen majiran zetu wacongo natoka Tanzania nahitaji marafiki kutoka congo

  • @saidhamad533
    @saidhamad533 3 года назад

    Hi nchi ipo kama haina wasimamizi dah Allah.awajalie amani na sie tz pia Alla tupe amani daima

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 3 года назад

    Jamani mie nilijua wanawateka watu huko manjiani kumbe wanawafata mpaka Majumbani mwaoo jamani. EE MUNGU BABA TULINDE WAJA WAKO YARRABI.

  • @josephsangwa9070
    @josephsangwa9070 3 года назад +1

    Il y a moyen de localiser le lieu où est orienté l appareil

  • @dominikusfransisku1027
    @dominikusfransisku1027 2 года назад

    Ni atari sana uvira 😭

  • @peterkaseke10
    @peterkaseke10 3 года назад

    Niatari sana.

  • @frederickloongableu-goude
    @frederickloongableu-goude 3 года назад

    Poleni sana kwa familia ya mama aliye tekwa.swali ni, kweli hapo Congo kuna serekali? Mbona iyo mchezo ambayo unajezeka hapo uvira utakwisha lini?

  • @mutabazijonathan7278
    @mutabazijonathan7278 3 года назад

    Serikali Haina wanajeshi au hata wa police wakuchunga usalama wa wananchi?

  • @kapatagaston7605
    @kapatagaston7605 3 года назад

    President onaongea vizuri Sana

  • @zuberinyenzi1982
    @zuberinyenzi1982 3 года назад

    Kiswahili sasa

  • @mamaleki1
    @mamaleki1 3 года назад

    Inchi inaaribika tangu Félix aingiye ku kiti

  • @mbarakasarumu7782
    @mbarakasarumu7782 3 года назад

    Congo 🇨🇩 emora.ww

    • @qwqw1665
      @qwqw1665 3 года назад

      😭😭😭😭Lakini nikumwachia mungu🙏🙏🙏🙏🙏

    • @papaviy424
      @papaviy424 3 года назад

      Ee Mungu murinde mikononi mwako baba umuponye arudi salama

  • @monucesthela6089
    @monucesthela6089 3 года назад

    Vijana tafuteni pesa fanyeni kazi isiwe kwajia iyi yakuteka wengine mbona wanachukuwa wa maskini kwanini waseende kwa watajiri serikali amkeni 😢like kwa Ac company na kwa mtangazaji lablode divine mariana

  • @tatulukole6273
    @tatulukole6273 3 года назад

    Manake uyu Kisekedi president asikiyaki iyi malalamika ili aambiye watu wake