Sito mlaumu huyu dada, wanawake wengi wanafanya uhuni sababu ya maisha, Anae mtukana huyu dada hajui, wengine hawasemi kama wanafanya umalaya hawasemi.
Mungu Ndo kimbilio letu achaneni naizo kazi na muombe msamaha kwa Mungu mtangazaji na wewe unawatetea sana wewe atakama matatizo nimengi lakini sio iyo kazi Nimeumia sana 😭😭😭😭😭😭😭
Umejenga.nyumba.dada.kwa.dhambi.usipo tubu hiyo nyumba itakuja.iuzwe.20000.maana hata wa kulithi atakuwa hayupo mtangazaji usiwasaidie wadada hao.washirikina.sana hao hukumu ya.Mungu iko juu.yao.kazi.zipo kazi.zipo.kujiuza.sio.kazi ni laana
dada zangu nawasalimu katika jina safi jina lipitayo majina yote jina la Bwana Yesu Kristo wanazareti. dada zangu ushauri wangu nihuu tubuni dhambi zenu na mkabatizwe mpate ondoleo ya dhambi zenu na kumpokea Yesu Kristo wanazareti kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ili muingie mbinguni maana Mungu niwa rehema sana. Biblia inasema katika kitabu cha methali azifichaye dhambi zake atofanyikiwa bali yeye aziungamaye atapata rehema Amen.
iyo sikazi mulisha pata nyumba kwa nini musibadirike atuwahukumu ila zambi ni zambi yesu akija atakukuta vipi ulisha jenga acha sasa hiyi tabiya ula kidogo na Mungu atakusalidiya
Kuna wanake wazekufanya umalaye kwa kutafuta muke na mwengi ni malaya hata kama kiolewa hayomambo hatoache kabisa.Umalaya ni kiini cha microbe kama ya malaria. Na kuna wengine wanakuwa na hamu nyingi ya wanaume.Kwa hiyo ni siri.
Lkn mtangazaji kwan unamaswali ya kuwauliza its true sio kila mtu anafanya umalaya Kwajili ya kupenda ni kwa shida point nikwamba alivyo pata nyumba na viwanja which means anao ywez wakupata mtaji na kuendelea na biashara alizo kuwa akifanya mwanzo why ameendelea kukaa hapo ikiwa mungu amesha mbariki ?
Vraiment mutu ana weza kuwa aiko d’accord na kazi ya prostitution, mais kila mutu iko na histoire zake na traumatismes za maisha na situation économique ya pays iko catastrophe, ina tumana watu wana kamataka choix za maisha zenye ziko radical . C’est triste 😞 vraiment
Kama ameisha jenga mukazi iyo iyo, kwanini asinunue mashine?? Masine ni bei chini sana kuliko kujenga. Kila kitu kinamalengo. Kama baliingia mu kazi iyo sababu ya deseption, kwanini itumike kwa miaka mingi.
Umaskini sio sababu ya mwanamke kufanya umalaya. Hiyo ni pepo ya binti za wamushi wengi ni wamalaya tu. Hata kama wanajiweza kimaisha mwanamke wa kimushi ni hivyo tu. Unasema ikipata bwana utatulia wongo. Mwenye lwake haluachaki.
Sito mlaumu huyu dada, wanawake wengi wanafanya uhuni sababu ya maisha, Anae mtukana huyu dada hajui, wengine hawasemi kama wanafanya umalaya hawasemi.
Watangazaji wangu watanganyika tv nawaeshim sana
Mungu Ndo kimbilio letu achaneni naizo kazi na muombe msamaha kwa Mungu mtangazaji na wewe unawatetea sana wewe atakama matatizo nimengi lakini sio iyo kazi Nimeumia sana 😭😭😭😭😭😭😭
Kinachotakiwa ni kutubu na kumwamini Mungu na Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea,karibuni Yesu Kristo atarudi!Amina
Yeyote asie na dhambi duniani na ampige mawe huyu dada.
Umejenga.nyumba.dada.kwa.dhambi.usipo tubu hiyo nyumba itakuja.iuzwe.20000.maana hata wa kulithi atakuwa hayupo mtangazaji usiwasaidie wadada hao.washirikina.sana hao hukumu ya.Mungu iko juu.yao.kazi.zipo kazi.zipo.kujiuza.sio.kazi ni laana
Mungu awarehemu wanajuwa ni mbaya kwanini waendelee kuifanya waache na warudi kwa Yesu bado anawahitaji waje kumtumikia
Mtangazaji uwe mtulivu Na huliza swali tu achana na Maelezo Mengi Mengi ya Sio na msingi
dada zangu nawasalimu katika jina safi jina lipitayo majina yote jina la Bwana Yesu Kristo wanazareti.
dada zangu ushauri wangu nihuu
tubuni dhambi zenu na mkabatizwe mpate ondoleo ya dhambi zenu na kumpokea Yesu Kristo wanazareti kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ili muingie mbinguni maana Mungu niwa rehema sana.
Biblia inasema katika kitabu cha methali
azifichaye dhambi zake atofanyikiwa bali yeye aziungamaye atapata rehema Amen.
iyo sikazi mulisha pata nyumba kwa nini musibadirike atuwahukumu ila zambi ni zambi yesu akija atakukuta vipi ulisha jenga acha sasa hiyi tabiya ula kidogo na Mungu atakusalidiya
Nime miss uvira kweli mungu ibariki inchi yangu congo
Bongo yako dada!!!!ni tabiya yako tuuu!!!
Ma formations y’a kazi y’a mikono iko mingi dada.
Iyo kali❤❤❤❤❤
Nimagumu dada m mungu anasaidia
dada wangu tafurta kazi apo uvira zapo kabisa ❤
Uza mashine dada ulipata zakujenga unakosa zamashine pole sana Mungu akuokowe
Mithali 14:12 iko njia ionekanayo sawa machoni pa mtu , lakini ni njia ya mahuti.
Dada achana naiyo kazi kumbuka kunajeyanamu na maisha siyo hayo kunamaisha baada ya iyo tubuni
Mwenyezi mungu unilinde na iyi kazi ya uzinufu🤔🤔🤔
😂😂😂 Sisters Fanyeni Nyama Nyama tu Mpate Utamu.😂😂😂
Apana si kazi ku uzisha migulu , ma cuisses diiiii
Toujours pawet comedy
Yaaani ww mtangazaji umeipasisha hiyo kama ni kazi pole sana
Mwambie uyo dada ani tafute ili aweze kuacha iyo kazi mpe namba zangu ao ani tafute kwenye Facebook
Bravo @cizaramadhan9737 👍
mtangulize mungu mbele
SHIDA ZINA KUFANYA UWE HIVYO, MSIMLAUMU.
Kuna wanake wazekufanya umalaye kwa kutafuta muke na mwengi ni malaya hata kama kiolewa hayomambo hatoache kabisa.Umalaya ni kiini cha microbe kama ya malaria. Na kuna wengine wanakuwa na hamu nyingi ya wanaume.Kwa hiyo ni siri.
Nisawa tu
Mutiye naba
Amuna association ya BA BARANGA ? ( avocates, médecins, assistants socials,...)
ndugu mtangazaji nisaidie namba zako za wasapu labda tunaweza saidia dada yetu niko hapa Marekani asante
+243978539244
Ss wa dada simulishapata nakujenga,kama ni Maisha mushapata kiloko,muache ss,kama kweli niukosefu
Acheni uvivu wa dada nyie acha
Umeshajenga sasa unatafuta nini tena
Mungu una mshukuru kwa lipi? Hata muandishi hauna akili
🎤Mtangazaji kama unawatetea vile😜
Sana tu ana eatetea na ameipasisha kuwa ni kazi
ni kazi
Ila.binadamu wanateseka hiyo.sio.kazi.ni.dhambi
Lkn mtangazaji kwan unamaswali ya kuwauliza its true sio kila mtu anafanya umalaya Kwajili ya kupenda ni kwa shida point nikwamba alivyo pata nyumba na viwanja which means anao ywez wakupata mtaji na kuendelea na biashara alizo kuwa akifanya mwanzo why ameendelea kukaa hapo ikiwa mungu amesha mbariki ?
jamani ni shida pole sana 😢 mwenzangu
Nyumba unajenga machine unashindwa kununua,hiyo kali duh !
😂😂😂si ndo hapo
To be continued
Dada angu ile pesa umejenga nyumba kwann hukununua machine
Mutangazaji, ninaomba unitumie maasiliano ya Sim ya TANGANYIKA TV.
Uvira kavimvira 😢
Waka fundisha kazi ndogo ya mikono waweza acha? Kufanya mikate, kushona nguwo,....
Mibangi ya wanaume na mipombe.
wapi huku nikaishi??
Mtangazaji uliza maswali ya kiutu uzima men
Niko USA Ohio, nitampa 300$ je, ataiacha?
Pana namba yako sasa
Toka pale acha kupa zambi mafuta nibamalaya tuu watafute kazi waache😢 kazi zabumalaya
Vraiment mutu ana weza kuwa aiko d’accord na kazi ya prostitution, mais kila mutu iko na histoire zake na traumatismes za maisha na situation économique ya pays iko catastrophe, ina tumana watu wana kamataka choix za maisha zenye ziko radical . C’est triste 😞 vraiment
Yani ina maana byashara biliisha mpaka wauze mwili
Kwa nini una hongea huhongo?mtaji waKuchuuza matunda njo laki tano ?
Mukuwe munateya naba
Jambo nikazi yamubaya nanimachukizo namwenyezimungu
Kama ameisha jenga mukazi iyo iyo, kwanini asinunue mashine?? Masine ni bei chini sana kuliko kujenga. Kila kitu kinamalengo. Kama baliingia mu kazi iyo sababu ya deseption, kwanini itumike kwa miaka mingi.
Uvira mnakula nyama za watu
Ahaha
🤣🤣🤣🤣🤣
Hata biblia inasema tafuta utapata, hakuna lawama yote dada zangu ila mungu atawasaidia siku moja
😂😂
Huyu interviewer naye aana akili kabisa
mtangazaji acha kuongea upumba
🤣🤣🤣🤣🤣
Mukuwe munateya naba
Umaskini sio sababu ya mwanamke kufanya umalaya. Hiyo ni pepo ya binti za wamushi wengi ni wamalaya tu. Hata kama wanajiweza kimaisha mwanamke wa kimushi ni hivyo tu. Unasema ikipata bwana utatulia wongo. Mwenye lwake haluachaki.
Mutakwenda na ngoma
@@welongodouniajtt3966 Tutabanana mu congo