UVIRA|WADADA WANAO JIHUZA MWILI WAFUNGUKA | NILISHA JENGA NYUMBA KWETU|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 77

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 года назад +6

    Sito mlaumu huyu dada, wanawake wengi wanafanya uhuni sababu ya maisha, Anae mtukana huyu dada hajui, wengine hawasemi kama wanafanya umalaya hawasemi.

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 2 месяца назад +1

    Watangazaji wangu watanganyika tv nawaeshim sana

  • @Esther19553
    @Esther19553 2 года назад +4

    Mungu Ndo kimbilio letu achaneni naizo kazi na muombe msamaha kwa Mungu mtangazaji na wewe unawatetea sana wewe atakama matatizo nimengi lakini sio iyo kazi Nimeumia sana 😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-bp5pq9to9e
    @user-bp5pq9to9e 6 месяцев назад

    Kinachotakiwa ni kutubu na kumwamini Mungu na Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea,karibuni Yesu Kristo atarudi!Amina

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 года назад +6

    Yeyote asie na dhambi duniani na ampige mawe huyu dada.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Год назад

    Umejenga.nyumba.dada.kwa.dhambi.usipo tubu hiyo nyumba itakuja.iuzwe.20000.maana hata wa kulithi atakuwa hayupo mtangazaji usiwasaidie wadada hao.washirikina.sana hao hukumu ya.Mungu iko juu.yao.kazi.zipo kazi.zipo.kujiuza.sio.kazi ni laana

  • @deborakamsi
    @deborakamsi 2 года назад +4

    Mungu awarehemu wanajuwa ni mbaya kwanini waendelee kuifanya waache na warudi kwa Yesu bado anawahitaji waje kumtumikia

  • @sostheneabedi4773
    @sostheneabedi4773 2 года назад +2

    Mtangazaji uwe mtulivu Na huliza swali tu achana na Maelezo Mengi Mengi ya Sio na msingi

  • @EvangelistMathayo2604
    @EvangelistMathayo2604 Год назад

    dada zangu nawasalimu katika jina safi jina lipitayo majina yote jina la Bwana Yesu Kristo wanazareti.
    dada zangu ushauri wangu nihuu
    tubuni dhambi zenu na mkabatizwe mpate ondoleo ya dhambi zenu na kumpokea Yesu Kristo wanazareti kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ili muingie mbinguni maana Mungu niwa rehema sana.
    Biblia inasema katika kitabu cha methali
    azifichaye dhambi zake atofanyikiwa bali yeye aziungamaye atapata rehema Amen.

  • @sifam6348
    @sifam6348 Год назад +1

    iyo sikazi mulisha pata nyumba kwa nini musibadirike atuwahukumu ila zambi ni zambi yesu akija atakukuta vipi ulisha jenga acha sasa hiyi tabiya ula kidogo na Mungu atakusalidiya

  • @chrispinbyamungukaharwa8469
    @chrispinbyamungukaharwa8469 2 года назад

    Nime miss uvira kweli mungu ibariki inchi yangu congo

  • @tatianamonga492
    @tatianamonga492 2 года назад +7

    Bongo yako dada!!!!ni tabiya yako tuuu!!!
    Ma formations y’a kazi y’a mikono iko mingi dada.

  • @arjunmutotowadzaleka
    @arjunmutotowadzaleka 6 месяцев назад

    Iyo kali❤❤❤❤❤

  • @vicWamaana
    @vicWamaana 8 месяцев назад

    Nimagumu dada m mungu anasaidia

  • @dinaalondamachozi7529
    @dinaalondamachozi7529 Год назад

    dada wangu tafurta kazi apo uvira zapo kabisa ❤

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 2 года назад +1

    Uza mashine dada ulipata zakujenga unakosa zamashine pole sana Mungu akuokowe

  • @emoalembe4790
    @emoalembe4790 2 года назад +2

    Mithali 14:12 iko njia ionekanayo sawa machoni pa mtu , lakini ni njia ya mahuti.

  • @claraelengabulunda6750
    @claraelengabulunda6750 2 года назад

    Dada achana naiyo kazi kumbuka kunajeyanamu na maisha siyo hayo kunamaisha baada ya iyo tubuni

  • @joleal7941
    @joleal7941 2 года назад

    Mwenyezi mungu unilinde na iyi kazi ya uzinufu🤔🤔🤔

  • @BinKingTz
    @BinKingTz 2 года назад +1

    😂😂😂 Sisters Fanyeni Nyama Nyama tu Mpate Utamu.😂😂😂

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 Год назад

    Apana si kazi ku uzisha migulu , ma cuisses diiiii

  • @AnastasieZabibu
    @AnastasieZabibu 9 месяцев назад

    Toujours pawet comedy

  • @salisali3738
    @salisali3738 2 года назад

    Yaaani ww mtangazaji umeipasisha hiyo kama ni kazi pole sana

  • @cizaramadhan9737
    @cizaramadhan9737 Год назад +1

    Mwambie uyo dada ani tafute ili aweze kuacha iyo kazi mpe namba zangu ao ani tafute kwenye Facebook

  • @bisocijuma5899
    @bisocijuma5899 2 года назад +1

    mtangulize mungu mbele

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 года назад +1

    SHIDA ZINA KUFANYA UWE HIVYO, MSIMLAUMU.

  • @user-wf7oh9jr7v
    @user-wf7oh9jr7v 8 месяцев назад

    Kuna wanake wazekufanya umalaye kwa kutafuta muke na mwengi ni malaya hata kama kiolewa hayomambo hatoache kabisa.Umalaya ni kiini cha microbe kama ya malaria. Na kuna wengine wanakuwa na hamu nyingi ya wanaume.Kwa hiyo ni siri.

  • @BisheniKasangandgo
    @BisheniKasangandgo 5 месяцев назад

    Nisawa tu

  • @justietumaine3127
    @justietumaine3127 2 года назад +1

    Mutiye naba

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 Год назад

    Amuna association ya BA BARANGA ? ( avocates, médecins, assistants socials,...)

  • @BmFashions_design
    @BmFashions_design 2 года назад +1

    ndugu mtangazaji nisaidie namba zako za wasapu labda tunaweza saidia dada yetu niko hapa Marekani asante

  • @MulangaliroEspoir-p6d
    @MulangaliroEspoir-p6d Месяц назад

    Ss wa dada simulishapata nakujenga,kama ni Maisha mushapata kiloko,muache ss,kama kweli niukosefu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Год назад

    Acheni uvivu wa dada nyie acha

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад

    Umeshajenga sasa unatafuta nini tena

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 29 дней назад

    Mungu una mshukuru kwa lipi? Hata muandishi hauna akili

  • @ladysapna3461
    @ladysapna3461 2 года назад +1

    🎤Mtangazaji kama unawatetea vile😜

    • @salisali3738
      @salisali3738 2 года назад

      Sana tu ana eatetea na ameipasisha kuwa ni kazi

  • @kahwalambezi1688
    @kahwalambezi1688 2 года назад

    ni kazi

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Год назад

    Ila.binadamu wanateseka hiyo.sio.kazi.ni.dhambi

  • @happyjohn7630
    @happyjohn7630 Год назад

    Lkn mtangazaji kwan unamaswali ya kuwauliza its true sio kila mtu anafanya umalaya Kwajili ya kupenda ni kwa shida point nikwamba alivyo pata nyumba na viwanja which means anao ywez wakupata mtaji na kuendelea na biashara alizo kuwa akifanya mwanzo why ameendelea kukaa hapo ikiwa mungu amesha mbariki ?

  • @bisocijuma5899
    @bisocijuma5899 2 года назад

    jamani ni shida pole sana 😢 mwenzangu

  • @kashindibakari7726
    @kashindibakari7726 2 года назад

    Nyumba unajenga machine unashindwa kununua,hiyo kali duh !

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 2 года назад

    To be continued

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 года назад

    Dada angu ile pesa umejenga nyumba kwann hukununua machine

  • @mwalimubarakajustin745
    @mwalimubarakajustin745 2 года назад

    Mutangazaji, ninaomba unitumie maasiliano ya Sim ya TANGANYIKA TV.

  • @ChanceMalumba
    @ChanceMalumba Год назад

    Uvira kavimvira 😢

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 Год назад

    Waka fundisha kazi ndogo ya mikono waweza acha? Kufanya mikate, kushona nguwo,....

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 года назад

    Mibangi ya wanaume na mipombe.

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 2 года назад

    wapi huku nikaishi??

  • @luckybrother5130
    @luckybrother5130 2 года назад

    Mtangazaji uliza maswali ya kiutu uzima men

  • @SalehMkyombwe
    @SalehMkyombwe Год назад

    Niko USA Ohio, nitampa 300$ je, ataiacha?

  • @lydiamkein8052
    @lydiamkein8052 Год назад

    Toka pale acha kupa zambi mafuta nibamalaya tuu watafute kazi waache😢 kazi zabumalaya

  • @delphine8976
    @delphine8976 2 года назад +3

    Vraiment mutu ana weza kuwa aiko d’accord na kazi ya prostitution, mais kila mutu iko na histoire zake na traumatismes za maisha na situation économique ya pays iko catastrophe, ina tumana watu wana kamataka choix za maisha zenye ziko radical . C’est triste 😞 vraiment

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 2 года назад

    Yani ina maana byashara biliisha mpaka wauze mwili

  • @kabwefrancine99
    @kabwefrancine99 2 года назад

    Kwa nini una hongea huhongo?mtaji waKuchuuza matunda njo laki tano ?

  • @justietumaine3127
    @justietumaine3127 2 года назад

    Mukuwe munateya naba

  • @mandelabahatibayanga3131
    @mandelabahatibayanga3131 Год назад

    Jambo nikazi yamubaya nanimachukizo namwenyezimungu

  • @evayesse7008
    @evayesse7008 2 года назад

    Kama ameisha jenga mukazi iyo iyo, kwanini asinunue mashine?? Masine ni bei chini sana kuliko kujenga. Kila kitu kinamalengo. Kama baliingia mu kazi iyo sababu ya deseption, kwanini itumike kwa miaka mingi.

  • @peter-tj6oo
    @peter-tj6oo 2 года назад

    Uvira mnakula nyama za watu

  • @KABWEM
    @KABWEM 2 года назад +1

    Hata biblia inasema tafuta utapata, hakuna lawama yote dada zangu ila mungu atawasaidia siku moja

  • @maimai4831
    @maimai4831 Год назад

    😂😂

  • @farajasimon
    @farajasimon Год назад

    Huyu interviewer naye aana akili kabisa

  • @bisocijuma5899
    @bisocijuma5899 2 года назад

    mtangazaji acha kuongea upumba

  • @justietumaine3127
    @justietumaine3127 2 года назад +2

    Mukuwe munateya naba

    • @rugarekashasha8196
      @rugarekashasha8196 2 года назад

      Umaskini sio sababu ya mwanamke kufanya umalaya. Hiyo ni pepo ya binti za wamushi wengi ni wamalaya tu. Hata kama wanajiweza kimaisha mwanamke wa kimushi ni hivyo tu. Unasema ikipata bwana utatulia wongo. Mwenye lwake haluachaki.

    • @welongodouniajtt3966
      @welongodouniajtt3966 2 года назад

      Mutakwenda na ngoma

    • @rugarekashasha8196
      @rugarekashasha8196 2 года назад

      @@welongodouniajtt3966 Tutabanana mu congo