Kocha Mgunda aongea kwa mara ya kwanza akiwa Simba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2022
  • СпортСпорт

Комментарии • 68

  • @allykhamisally9077
    @allykhamisally9077 Год назад +7

    Kazi njema coach JUMA MZUNDA piga kazi waache waseme utopolo na kazi iendelee.❤❤❤❤❤❤❤

  • @farhaadkassim4168
    @farhaadkassim4168 Год назад +5

    Tunaku takia kazi njema baba .. mungu aku simamie . Mzee heshima nyingi kwako

  • @lkudata90
    @lkudata90 Год назад +5

    Wachezaji ni lazima wajue kuwa kufanya yote hayo ni kwaajili kuleta ushindi kwenye timu yetu na kuendelea kusalia kwenye level yetu ya Simba au kwenda hata zaidi. Kwahiyo hili Jambo nadhani wachezaji walitumie kama motisha kwao kwaajili ya mafanikio yao binafsi, mafanikio ya Simba lakini pia furaha kwa mashabiki maana hakuna kitu kingine tunapata mashabiki kutoka simba zaidi ya furaha pale inapofanya vizuri. Mungu ibariki Simba Mungu ibariki Tanzania 🔥🔥🔥🔥

  • @janetybubegwa5272
    @janetybubegwa5272 Год назад

    Mungu akutunze na kukuwezesha...najivunia kocha MTANZANIA....
    KUWA IMARA USIIZOELEE KAZI/EPUKA UPENDELEO...FANYA KILE UNACHIAMINI...ITHIBITISHIE AFRICA HAUPO HAPO KWA BAHATI MBAYA

  • @albabaly8297
    @albabaly8297 Год назад +4

    Exactly

  • @Najizilmuhsinina
    @Najizilmuhsinina Год назад +2

    Sioni haja ya simba kuhangaika kutafuta kocha mwingine nahisi wamuache mgunda angalau muda wa mwaka mmoja

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Год назад +2

    SimbA SC oyeee 👍

  • @mwafrikaissa491
    @mwafrikaissa491 Год назад +4

    Nakubali chama langu 🔥🔥🔥

  • @alikokayange1089
    @alikokayange1089 Год назад +3

    All the best coach and player of Simba ssc tz!.

  • @boniphancebunzali5668
    @boniphancebunzali5668 Год назад +1

    All the best champ

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Год назад +2

    Wakicheza makolo na coastal union itakuwa ni mpango wa kupanga matokeo.Mgunda ana wake wenza sasa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Год назад +2

    Tumrudishe tu Abdallah kibaden

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 Год назад +2

    Kwa hilo tumbo ninawasiwasi Kocha wanguu 🤭😔😔😔

  • @Mkaristote8
    @Mkaristote8 Год назад +1

    Makolo fc mumeishiwa

  • @mohdseif1659
    @mohdseif1659 Год назад +1

    ℕℂℍ𝕀 ℕ𝔾𝕌𝕄𝕌 𝕊𝔸ℕ𝔸 ℍII
    Juma Mgunda kaenda kama Kocha kabadilika anakuwa mshabiki sijui kama kabeba kigoma na vuvuzela huko....

  • @hamisimuhibu641
    @hamisimuhibu641 Год назад +3

    All the best coach pep guardiola

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 Год назад +6

    Nampenda sana huyu couch

  • @luhambacomedy8309
    @luhambacomedy8309 Год назад +2

    Karibu

  • @evaristos3414
    @evaristos3414 Год назад

    Tupige kwanza mluzi, muda wa kutafuna karanga ukifika tutatafuna pia. 🔥🔥🦁🦁

  • @abuuharuna2214
    @abuuharuna2214 Год назад +2

    Unamaneno mazur ubora wa kocha unatokana na wachezaji walivyokupokea

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Год назад +1

    Mgunda noma Kula karanga piga mluzi.utoporo wanakula karanga na wanapiga mluzi .hhhhh simba nguv moja

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Год назад +1

    Nina matumaini sana na Kocha J Mgunda..

  • @emmadora7848
    @emmadora7848 Год назад +2

    Kamari mliyoicheza msimu huu sijui kwa kweli

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Год назад +4

    Wanaoiaminiii team kubwa Simba ...
    Itafanya mapinduziii ......haijalishiii tunapitia mangapiiiii........tuokubaliii simba like hapa bilaa kuchoka

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Год назад +1

    Matora hatumtaki nakina moo na dem wake kama wameshindwa waache team

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Год назад +1

    MZEE WA KUFUNGUKA #KARIBU__SANA__MSIMBAZI

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +1

    Duh, hii kali, MAKOLO wameazima mpk KOCHA...!...MKODISHO F.C

  • @chieframso3600
    @chieframso3600 Год назад +1

    Ama kweli umasikini sio mzuri yani leo Simba unaamini mgunda atawavusha kimataifa dah

    • @josephatanazi2190
      @josephatanazi2190 Год назад

      Ulitakaje Sasa wewe fala au ulitaka baba ndo awe kocha? Acha shobo utaolewa

  • @jerichomwandenje3657
    @jerichomwandenje3657 Год назад +2

    Mgunda piga kazi babaa

  • @georgedeo3726
    @georgedeo3726 Год назад +2

    Juma mgunda nmzur lakn aspoangalia atashndwa sababu ya matora kwann matora asiondoke

    • @leonardchoma3765
      @leonardchoma3765 Год назад

      Hata 1993 aliyetufikisha fainali ya kombe hili linaloitwa leo hii la shirikisho barani Afrika ni mzawa Abdallah Kibadeni na siyo hao wazungu mliowazoea.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Год назад

      Kwanza Matola wa nini kama kuna vigezo hakidhi?

  • @essaucharles6336
    @essaucharles6336 Год назад +1

    Kaz ni kazi tu

  • @nelsongabriel6324
    @nelsongabriel6324 Год назад +2

    ❤️❤️❤️🦁🦁🦁🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @omariabubakari
    @omariabubakari Год назад +1

    Kama wachezaji bench la ufundi wanasoma comment zetu sawa ila kama hawasomi wala hawahusiki zazo bs hata haka kativii pu...mbu katoeni

  • @mohdseif1659
    @mohdseif1659 Год назад +1

    Hana vyeti huyo

  • @prospermakundi2787
    @prospermakundi2787 Год назад +1

    Kila la heri gadiola mnene

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Год назад +4

    Watu wanapenda kutia chumvi mambo ya simba utadhani tumeuwa mtu

    • @mierin8456
      @mierin8456 Год назад

      Kuna watu maisha yao au nafsi zao hazishibiiii bila kuitolea povu Simba utafikiri...nanhii ...wanapenda kupandikiza chuki kila kukicha kiasi hata washabiki mandazi naoo wameambukizwa siku hizi wanazomea wanashindwa kuipa timu moyo wapambane . .hizi chuki binafsi ...nawashauri zikome hazijengi mpira Tanzania ...mpira ni burueani, biashara na ajira ..lete mchango chanya nanujivunie kwanhilo

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Год назад +1

    Utopolo 🐸 FC ni wasumbufu sana!!!

  • @deus8629
    @deus8629 Год назад +1

    TFF 😂😂😂✌🏽

  • @mierin8456
    @mierin8456 Год назад +1

    Nawashangaa wadau ambao hupenda kuangalia mambo kwa mtazamo hasi, kabla hata hawajajiongeza kuwauliza wahusika wa jambo lenyewe. Watu wanatoka mapovu utafukiri wao ndio waajiri wa mtaalamu wetu Mgunda! Ukiwa na roho hasi juu ya jambo ni shiiiiiiiiidaah, ebu wajifunze kubakiza maneno . Aibu hii

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Год назад +1

    Fedha hii imesababisha kuiacha timu ya cost yatima

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +1

    Hamalizi wiki mbili

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 Год назад +1

    Na ole wao watafute wazungu tena wewe ndiye kocha wa simba

  • @augustinomichael228
    @augustinomichael228 Год назад

    Nguv Moja 💪

  • @damianmhagama4398
    @damianmhagama4398 Год назад +1

    Kila la heri

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Год назад +1

    Piga kazi mgunda

  • @OmargMwamlongo
    @OmargMwamlongo Месяц назад

    Ok mkubwa pga kz tubakukubali

  • @selemanjulius2877
    @selemanjulius2877 Год назад +1

    Hahaha

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Год назад +1

    Utopolo povu linawatoka 🙉

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад

      Tushawazoea MAKOLO hamjielewi, mnaazima mpk KOCHA halafu Bado unashangilia...!

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 Год назад

    Mgunda boy

  • @babaubaya7569
    @babaubaya7569 Год назад +1

    KN

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 Год назад +3

    Mwambaaaa MGUNDAAAA

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Год назад +2

    Mm ni yanga ila uyu mwamba namkubaligi sana he is a good coach💪

  • @muuevara8069
    @muuevara8069 Год назад

    SIKILIZA WIMBO WA MANDONGA ALIO MCHANA MWAKINYO BAADA YA KUPIGWA 👇
    ruclips.net/video/f4_I1TtBfyc/видео.html

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Год назад

    Mchawi akamatwa kanisan 🙈 awataja wenzake 👉ruclips.net/video/mBkIkPrB_c8/видео.html

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 Год назад +1

    Mgunda panga mtu Kwa uwezo usiige matola. DOA lake ni Hilo la kuwabeba wazawa hata kama wanauwezo WA kawaida

  • @grouptv2
    @grouptv2 Год назад

    Tunaitaji ushindi