Wachezaji ni lazima wajue kuwa kufanya yote hayo ni kwaajili kuleta ushindi kwenye timu yetu na kuendelea kusalia kwenye level yetu ya Simba au kwenda hata zaidi. Kwahiyo hili Jambo nadhani wachezaji walitumie kama motisha kwao kwaajili ya mafanikio yao binafsi, mafanikio ya Simba lakini pia furaha kwa mashabiki maana hakuna kitu kingine tunapata mashabiki kutoka simba zaidi ya furaha pale inapofanya vizuri. Mungu ibariki Simba Mungu ibariki Tanzania 🔥🔥🔥🔥
Mungu akutunze na kukuwezesha...najivunia kocha MTANZANIA.... KUWA IMARA USIIZOELEE KAZI/EPUKA UPENDELEO...FANYA KILE UNACHIAMINI...ITHIBITISHIE AFRICA HAUPO HAPO KWA BAHATI MBAYA
Hata 1993 aliyetufikisha fainali ya kombe hili linaloitwa leo hii la shirikisho barani Afrika ni mzawa Abdallah Kibadeni na siyo hao wazungu mliowazoea.
Kuna watu maisha yao au nafsi zao hazishibiiii bila kuitolea povu Simba utafikiri...nanhii ...wanapenda kupandikiza chuki kila kukicha kiasi hata washabiki mandazi naoo wameambukizwa siku hizi wanazomea wanashindwa kuipa timu moyo wapambane . .hizi chuki binafsi ...nawashauri zikome hazijengi mpira Tanzania ...mpira ni burueani, biashara na ajira ..lete mchango chanya nanujivunie kwanhilo
Nawashangaa wadau ambao hupenda kuangalia mambo kwa mtazamo hasi, kabla hata hawajajiongeza kuwauliza wahusika wa jambo lenyewe. Watu wanatoka mapovu utafukiri wao ndio waajiri wa mtaalamu wetu Mgunda! Ukiwa na roho hasi juu ya jambo ni shiiiiiiiiidaah, ebu wajifunze kubakiza maneno . Aibu hii
Kazi njema coach JUMA MZUNDA piga kazi waache waseme utopolo na kazi iendelee.❤❤❤❤❤❤❤
Tunaku takia kazi njema baba .. mungu aku simamie . Mzee heshima nyingi kwako
Amina
Wachezaji ni lazima wajue kuwa kufanya yote hayo ni kwaajili kuleta ushindi kwenye timu yetu na kuendelea kusalia kwenye level yetu ya Simba au kwenda hata zaidi. Kwahiyo hili Jambo nadhani wachezaji walitumie kama motisha kwao kwaajili ya mafanikio yao binafsi, mafanikio ya Simba lakini pia furaha kwa mashabiki maana hakuna kitu kingine tunapata mashabiki kutoka simba zaidi ya furaha pale inapofanya vizuri. Mungu ibariki Simba Mungu ibariki Tanzania 🔥🔥🔥🔥
Mungu akutunze na kukuwezesha...najivunia kocha MTANZANIA....
KUWA IMARA USIIZOELEE KAZI/EPUKA UPENDELEO...FANYA KILE UNACHIAMINI...ITHIBITISHIE AFRICA HAUPO HAPO KWA BAHATI MBAYA
Exactly
Sioni haja ya simba kuhangaika kutafuta kocha mwingine nahisi wamuache mgunda angalau muda wa mwaka mmoja
SimbA SC oyeee 👍
Nakubali chama langu 🔥🔥🔥
All the best coach and player of Simba ssc tz!.
All the best champ
Wakicheza makolo na coastal union itakuwa ni mpango wa kupanga matokeo.Mgunda ana wake wenza sasa
Tumrudishe tu Abdallah kibaden
Kwa hilo tumbo ninawasiwasi Kocha wanguu 🤭😔😔😔
Makolo fc mumeishiwa
ℕℂℍ𝕀 ℕ𝔾𝕌𝕄𝕌 𝕊𝔸ℕ𝔸 ℍII
Juma Mgunda kaenda kama Kocha kabadilika anakuwa mshabiki sijui kama kabeba kigoma na vuvuzela huko....
Mna uhakika msiish na maneno ya media
All the best coach pep guardiola
Nampenda sana huyu couch
Karibu
Tupige kwanza mluzi, muda wa kutafuna karanga ukifika tutatafuna pia. 🔥🔥🦁🦁
Unamaneno mazur ubora wa kocha unatokana na wachezaji walivyokupokea
Mgunda noma Kula karanga piga mluzi.utoporo wanakula karanga na wanapiga mluzi .hhhhh simba nguv moja
Nina matumaini sana na Kocha J Mgunda..
Kamari mliyoicheza msimu huu sijui kwa kweli
Wanaoiaminiii team kubwa Simba ...
Itafanya mapinduziii ......haijalishiii tunapitia mangapiiiii........tuokubaliii simba like hapa bilaa kuchoka
Matora hatumtaki nakina moo na dem wake kama wameshindwa waache team
MZEE WA KUFUNGUKA #KARIBU__SANA__MSIMBAZI
Duh, hii kali, MAKOLO wameazima mpk KOCHA...!...MKODISHO F.C
Ama kweli umasikini sio mzuri yani leo Simba unaamini mgunda atawavusha kimataifa dah
Ulitakaje Sasa wewe fala au ulitaka baba ndo awe kocha? Acha shobo utaolewa
Mgunda piga kazi babaa
Juma mgunda nmzur lakn aspoangalia atashndwa sababu ya matora kwann matora asiondoke
Hata 1993 aliyetufikisha fainali ya kombe hili linaloitwa leo hii la shirikisho barani Afrika ni mzawa Abdallah Kibadeni na siyo hao wazungu mliowazoea.
Kwanza Matola wa nini kama kuna vigezo hakidhi?
Kaz ni kazi tu
❤️❤️❤️🦁🦁🦁🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Kama wachezaji bench la ufundi wanasoma comment zetu sawa ila kama hawasomi wala hawahusiki zazo bs hata haka kativii pu...mbu katoeni
Hana vyeti huyo
Kila la heri gadiola mnene
Watu wanapenda kutia chumvi mambo ya simba utadhani tumeuwa mtu
Kuna watu maisha yao au nafsi zao hazishibiiii bila kuitolea povu Simba utafikiri...nanhii ...wanapenda kupandikiza chuki kila kukicha kiasi hata washabiki mandazi naoo wameambukizwa siku hizi wanazomea wanashindwa kuipa timu moyo wapambane . .hizi chuki binafsi ...nawashauri zikome hazijengi mpira Tanzania ...mpira ni burueani, biashara na ajira ..lete mchango chanya nanujivunie kwanhilo
Utopolo 🐸 FC ni wasumbufu sana!!!
TFF 😂😂😂✌🏽
Nawashangaa wadau ambao hupenda kuangalia mambo kwa mtazamo hasi, kabla hata hawajajiongeza kuwauliza wahusika wa jambo lenyewe. Watu wanatoka mapovu utafukiri wao ndio waajiri wa mtaalamu wetu Mgunda! Ukiwa na roho hasi juu ya jambo ni shiiiiiiiiidaah, ebu wajifunze kubakiza maneno . Aibu hii
Fedha hii imesababisha kuiacha timu ya cost yatima
Hamalizi wiki mbili
Na ole wao watafute wazungu tena wewe ndiye kocha wa simba
Nguv Moja 💪
Kila la heri
Piga kazi mgunda
Ok mkubwa pga kz tubakukubali
Hahaha
Utopolo povu linawatoka 🙉
Tushawazoea MAKOLO hamjielewi, mnaazima mpk KOCHA halafu Bado unashangilia...!
Mgunda boy
KN
Mwambaaaa MGUNDAAAA
Mm ni yanga ila uyu mwamba namkubaligi sana he is a good coach💪
Acha unafiki yanga hatuna wapenzi wa aina hiyo wewe ni kolo tu.
@@abuyunusmohamed6961 🤣🤣
SIKILIZA WIMBO WA MANDONGA ALIO MCHANA MWAKINYO BAADA YA KUPIGWA 👇
ruclips.net/video/f4_I1TtBfyc/видео.html
Mchawi akamatwa kanisan 🙈 awataja wenzake 👉ruclips.net/video/mBkIkPrB_c8/видео.html
Mgunda panga mtu Kwa uwezo usiige matola. DOA lake ni Hilo la kuwabeba wazawa hata kama wanauwezo WA kawaida
Tunaitaji ushindi