Faraja Nyalandu azindua MAKINI SMS ya wanafunzi wa Sekondari kujipima uelewa
HTML-код
- Опубликовано: 21 окт 2024
- Makini SMS inatoa fursa kwa wanafunzi wa Sekondari kutumia simu kupima uelewa wao katika masomo 9. Faraja alikuwa mshindi wa programu ya Digital Changemakers inayolenga kuwawezesha wajasiriamali jamii wabunifu.
MWL. Patrick maro wa kashai sekondari bukoba kweli napenda kuwapongeza kwa ubunifu wenu kwa kuona kuna haja ya kutumia teknolojia kuwezesha kufanikisha hatua za kujifunza, kufundisha na kujifunza.