Faraja Nyalandu azindua MAKINI SMS ya wanafunzi wa Sekondari kujipima uelewa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024
  • Makini SMS inatoa fursa kwa wanafunzi wa Sekondari kutumia simu kupima uelewa wao katika masomo 9. Faraja alikuwa mshindi wa programu ya Digital Changemakers inayolenga kuwawezesha wajasiriamali jamii wabunifu.

Комментарии • 1

  • @mangapimnyihalla9039
    @mangapimnyihalla9039 8 лет назад

    MWL. Patrick maro wa kashai sekondari bukoba kweli napenda kuwapongeza kwa ubunifu wenu kwa kuona kuna haja ya kutumia teknolojia kuwezesha kufanikisha hatua za kujifunza, kufundisha na kujifunza.