Mbosso - Alivyotembelea Ofisi Ya Zanana Juice (The Night Of The African Voice)
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Katika Maandalizi ya Usiku wa The African Voice Zanana Juice iliyopo Mikocheni karibu na maeneo ya Triple 7
Mbosso alipata nafasi ya kujionenea utengenezaji wa juice mbalimbali ndani ya Zanana ambao pia ni moja ya wadhamini wa show ya The Night of The African Voice
Alele Available On:
ITunes: itunes.apple.co...
Wasafi: www.wasafi.com...
Spotify: open.spotify.c...
Amazon: a.co/bzRtHV1
Tidal: tidal.com/trac...
Deezer: www.deezer.com/...
Ila mbosso ban uko poa sana
Dada wew mzuri sana nimekupenda bure mungu akulinde kwenye Kaz yako uwe mfano
🎉🎉🎉🎉🎉
Mbosso mcheshi Mashaa Allah mungu akueke mbosso
Naitaman kinoma sna.. Big up mwanang mbosso maisha yako kama sio msanii ila ndo inavyotak
Fun juice soon In tz In Sha Allh nakamlsha mkataba na mafnzo tu np oman kwa xx ni zaidi ya fire In Sha Allh
Mazingara yako pia ni masafi sana hongera dada
Dah m[BOSS]o unanifuraisha kweli yan rafiki yangu
She is an icon to all young ladies
we mcheshi mbosso khan
Nimependa maandalizi ya juisi za zenanaaa saaana
zanana juice💯💯💯🔥🔥🔥
Trigger Binladen ik
Yani..mboss Atari.. :nakukubali
Nimependa adiraha..munguakuongoze...
Aii mbosso rep k.e.n.y.a haujui smothie bt big up uko poa 👍
MaashaaAllah miss saana tz hongera dada
dada endelea una ndoto nzuri itakae gusaidia mungu akujalie neema gutoka kwamungu mwaname atakae kowowa atakua namtu muzima
Mbosso bana ati kahawa kidogo mwarubaini mwingi😂😂😂
Zanana yupo vizuri.Nmempenda
Huyu dada aendele hivyo hivyo na asiwahi kula mkorogo
Mbosso commeddy unaweza kabisa
Zanana juice iko poa sana
Mmependeza sana
Safi Sana mboso nawependa wsf
She is good and congrats for her and all the best
Swadakta mrembo watching 2022
Hongera saana Dada,kazi nzr
mshishindi
Hongera.kwa.kazi.nzuri
Mboso utatoka umenenepa
Mbosso love you
Awesome
Natamani ilo embe...uku napoishi ata ayanogi....jamani namiss tanzania 🇹🇿
Mi naona hujamiss km mm
Safi sana mbosso
Nita kuja siku moja kuku tembeleya
Nakupenda sanaa mdogo wangu mboso.
be blessed mbosso
Mashaallah
Mzuri
Penda sana bosso
dada mucheshi sana Yani
Mbosso fundi wa juice
Hongera yako mdada
noma sana
Big up sana
nzuri ccta
That lady is very beautiful, hardworking and smart as well.
Machine ilivowaka mbosso kastuka hahahahahah
Nice men
wasafi chibu simba mia mia simba
wasafi chibu simba nice
katishaa
Iko kipengele ata me nakipenda iko 🤣🤣🤣🤣mbosso
Mbosso ukifundishwa mara moja bac uelewe sio uelekezwe tena mweee
Mambo
Tehhhhhhh
mboso kma nakuona unamnyemelea zanana
Neno 😂😂
Nice really nice
quality
Haaaaaa haaaaaa Kila tunda lina blender yake.
Nice
We zanana tunaomba namba ako Bas
KHAN FULL SUPORT BRO NIHESABU
unaga maringo mboso penda sn
Nimependa jinsi unavyo wapenda wazamini wako na kuheshimu mchango wao kwako mboso
Inaitwaje hiyo blenda
ivi mbosso kweli ni msanii .
Nice nice
mboso mroho
👊👊👊👊
Nmezoea zile za Embe+maji+kk sugar. He he he heeee
Haaaaaa haaaaaa na maparachiçhi mabovu
Izo barafu mbona nimaji
mbossooo
nimependa sana kazi yako dada vp naweza kupata kibarua chochote hapo
haha mbosso umenimaliza uliposema zanana wanapunja watu😂
Hello pls i need some initiative pls, Only Juice Bar
Tunajua unavo tupunzja😂😂😂
Juis ya maziwa nzur naipenda. Ndo hotelin uwa hawatumii maji kwenye mchuzi wanatia maziwa au shampen
Asal nzur kwenye juis
Eti naendeshaje kumbe kusaga ujui hila mwanzo mgumu Ata mimi Zaman nilikuwa sijui
Kumimina anajuwa asijuwe tana
Ndio glass ndefu Sana hiyo
Napendaga izo grass
Hvi maziwa yanachemshwa kwanza?
kweli nmemtamn San huyu Dada mung amzidishie ila cjui juice glac bei gan???
Kweli kuna tofaut kat y juice na juisi. Ha ha haaaa me nmezoea kunyw juisi. Zanana anatngnez juice.
Mbosso juice😂😂😂
hakika ww mcheshi
Umeingia anga za wasafi subiri uiname kidogo yakutokee ya hamisa
Umbwa wewe
Mbosso nakupendag bure ila umenibowa kwamavazi hao hayakupendezi
Alipomaliza kuvaa gloves ...akafanyaje eti..nani kaona🤣🤣🤣
How much glass if juice
Ni juice yenye vmpo vya kmataifa naamn kwa wle washaotmblea huku wanaijua vym habr zake fun juice pmja na mango talaat
first comments
Mchedede
Ahadi Esube jh
Nahitaji namba yako plz
💪💪💪💪💪
Big up sana sister but nlitaka kujua about brenda hizo jamn
Kwa usanii gn uyo Chris brown hafany ivo
Mohd Dipey ukiishi kwa kuiga utajiwekea mipaka(limits) mwenyewe,,the best way to achieve the best thing is to create yours,,tanua mawazoo tusiishi kwa kukariri
We acha ushamba chriss brown mbona alitembelea kwenye small industry za kutengeneza ped za wadada we unashangaa mbosso acheni chuki watanzania
@@strikermimi7736 appreciate broh
@@strikermimi7736 appreciate broh
Dipey i
hamna number ya kazi, i want us to do business zanana
Mashaallah.....zanana nahitaji namba yako 🙏
Bhn we kila sehem unajitia kupost RUclips vp ww post na ukienda chooni
Asante sana dada nimefurahia lakini naitaji namb yako ya whatsapp natamani unifunze kutengeneza hapo video sijaelewa Thx
nimekupenda bure sasa Dada zanana unauza Na vitafunwa au juice tupu
Upgrade your Camera
F.Murad_333
duuuh high quality mode kwa simu yako and not low....we huoni pekeako unalalamika
Jumanne Said Si sioni, I just said They should upgrade Their Camers
Doh achiliambali kuimba lakin unakipaji cha kuchekesha na kuongea uzuri
😂😂😂 mboso
Next itakuwa mbosso katembelea chumbani mwa mama Dangote LoL
hahahaha bangi sio Poa
Hope Studio Productions kuwa na adabu ww
+Jk Montanno acha ujanja wa kipumbafuu ww ss chumbn kwa mma wa boss wake akafanye nn huna adabu ww fuck off
Kuwa na adabu angalia vizuri mtu unaemtag usitake kudhihirisha jinsi ulivyomgeni wa kutumia smartphone
Hope Studio Productions ili jinga kweli yani matanzania sijui yakoje
Next tutaona mboso katembelea chooni kwa diamond kuona anavyokojoa.... hii inamaanisha nini kujikosha kwamba nimtu mwema saaana au...?
We kaka unaroho mbaya ww
Naitaman kinoma sna.. Big up mwanang mbosso maisha yako kama sio msanii ila ndo inavyotakiwa
haha mbosso umenimaliza uliposema zanana wanapunja watu😂