MIRAJI | LUIS AMETUFELISHA MAKUSUDI | UKIINGALIA SIMBA HII UNAWEZA KUTOA MACHOZI UKALIA KWA UCHUNGU🙌

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 82

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 месяца назад +16

    kusema ukweli mm kuhus chirunda nilipoona thank you ndi nikamsearch nikamuona nilikua simjui kusema ukweli ndo nikaona kumbe alicheza na Azam ila namuomba Mungu atutangulie sisi yanga team yetu imeanza propaganda kwa miraji ni chama na ngoma anataka waondoke

  • @kingbidax9053
    @kingbidax9053 3 месяца назад +12

    Hayo makofi ya mabega ndugu una moyo wa kuvumiliaah

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 3 месяца назад +2

    mungu ange nipa kipato cha kutosha ledio yangu ya michezo milaji chagamba kwanza

  • @ChristopherMalimbwi-pf6uw
    @ChristopherMalimbwi-pf6uw 3 месяца назад +4

    We miraj....noma sana et hata wa kizungu

  • @damaccharles9108
    @damaccharles9108 3 месяца назад

    Chagamba uwe unatutajia namba zako tukutumie hela ya panadol maana hayo mageba yanapitia mengi.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 месяца назад +2

    Watu kanMiraji sikaii nao karibu! Bila kukupiga mabega hajaongea! Na hao watu huwa wanakera🤣🤣🤣🤣

  • @DianaJanuary-qh9ww
    @DianaJanuary-qh9ww 3 месяца назад

    Chagamba siku nyingine vaa gad mabegan maana huyu jamaa ana lengo bya na we yaan ukimaliza kumuoji mwili wako wote unauma kama umetoka jimu

  • @ShabaniShamte-b1s
    @ShabaniShamte-b1s 3 месяца назад +7

    Milaji unaupiga mwingi kaka umewaacha mbali mno wale wavaa suti kwenye media flani apa nchini. Nakuona mbali kaka

    • @imamhussein1104
      @imamhussein1104 3 месяца назад +2

      Acha ujinga ww, unamuona mbali ipi?

    • @athmanimkangara9290
      @athmanimkangara9290 3 месяца назад +2

      Miraji yuko juu sana

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      Kelele tu na kupiga mabega ya mwenzie🤣🤣🤣hana lolote! Wachezaji kufanikiwa au hufeli Hutokana na MFUMO WA COACH! KAI,aliposajiliwa Arsenal ( mimi shabiki wa Arsenal na Emirates naenda!) tulisema sana ! Alipoanza kuclick na mfumo wa Coach,akaanza kutwanga magoli au assists! Tumewaona wachezaji wengi sana coach mpya,say akiingia na mfumo wake ,they perform! Kusajili mchezaji,one ,angalia coach kataka nini?! Two, anacheza na wakina nani, ( HOW WILL HE FIT IN )Three, ana POTENTIAL GANI YA KUISADIDIA TIMU!? FOOTIE IS A TEAM GAME! KWANINI MAYELE KAFELI Alipoenda Pyramids?! Mfumo na anaocheza nao! Simple! Bongo mnasajili not with PURPORSE! NDO HAPO ANAPOWAPIGA BAO HERSI! HERSI haleti mchezaji Yanga bila madhumuni! Kikosi cha Yanga kingeshinda michezo na Mamelodi ,lkn tumeona tulio wakosa CAFCL,pengo! Hersi atAziba! Kuna kitu kinaitwa DEEP SQUAD! Ndo atakacho kifanya Hersi! Simba this season itakua ngumu,lazima wataokoteza,watawapamba,n it will be WORSE! Why! Mtasajili WACHEZAJI WA SHIRIKISHO 😂😂😂YANGU MACHO

    • @reginajoel3785
      @reginajoel3785 3 месяца назад

      ​@@athmanimkangara9290tena sanaaaa yupo juu

    • @deonatusdaud4640
      @deonatusdaud4640 3 месяца назад

      Hilo halina ubishi..

  • @ibrahimumtawala8678
    @ibrahimumtawala8678 3 месяца назад

    Miquisone alistahil hata thank you 5

  • @LionOfWar
    @LionOfWar 3 месяца назад +1

    Chagamba mabega yatakushuka

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 3 месяца назад

    Nakubali mara moja na chagamba

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 3 месяца назад +2

    Uyu Miraji sasa tutakuletea watu flani kutoka Mara kwajili ya maojiano ili ayomakofi yawe yanalipizwa😂

  • @denishaule6314
    @denishaule6314 3 месяца назад +1

    Kuanzia wiki ijayo….chagamba biga n wewe mabega ajue kuwa huwa unakandwa ukirudi home….

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 3 месяца назад

    Usipige atalia 😂😂

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 3 месяца назад

    Milaji mabega ayoo

  • @charlesmwita4245
    @charlesmwita4245 3 месяца назад +3

    Ila unampiga Sana chagamba utamvunja mabega

  • @gchordsofficialtz614
    @gchordsofficialtz614 3 месяца назад +1

    NGOMA NA CHAMA miraji hataki hata kuwaskia hahahhahaaah

  • @michaelnzowa
    @michaelnzowa 3 месяца назад +2

    Duh! Chagamba mabega hayo vipi hayaumi? aisee😂😂

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад +1

    Miraji sahihi hela nyingi wanachokifanya nhamuna hawajitumi hawakuwa nauchungi natim yetu waende tu

  • @officialmkusa
    @officialmkusa 3 месяца назад +1

    😅😅😅😅Chagamba anavo nyumbua nyumbua maneno ya miraj

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 3 месяца назад +1

    Maneno Ya Uongo Mmefeli Wenyewe Kwa Mipango Yenu Ya Hovyo. Miache Kuwatoa Kuwa Mbuzi Wa Kafara. Kwasababu Tangu Huko Alikokuwepo Alikuwa Hachezi Nyie Mkakopi Nakupesti Mkamchukua Wenyewe Nawala Hajawatuma Mje Mumfate.

    • @ManirakizaHashim
      @ManirakizaHashim 3 месяца назад

      Ume ongeya point saana wewe unaujuwa mpira simba wame mrudisha miquisone walimkuta hachezi muda mrefu sana kwa sababu kiwango kilikuwa kime shuka tena saana

  • @AllenKomba-t1k
    @AllenKomba-t1k 3 месяца назад +2

    Kaka Miraji utamvunja Chagamba mabega. hahhaha

  • @EmmanuelMwanza-ef9bf
    @EmmanuelMwanza-ef9bf 3 месяца назад +2

    Mbona mabega yanalia sana nasikia hadi huku😂

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 3 месяца назад +2

    Onana huyoo na baba carr

  • @mafisadi
    @mafisadi 3 месяца назад +2

    Chagamba utavunjwa mabega na kolo huyo

    • @ManirakizaHashim
      @ManirakizaHashim 3 месяца назад

      Hahahahaha
      Kweli

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад

      NA WEWE FISADI KAMA MANGUNGU??? 😂😂😂😂😂😂😂

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 месяца назад +1

    Hao wachambuzi feki wafutwe kabisa, tusiwe nao tu hapa Tanzania wanatuharibilia mpira wetu

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti248 3 месяца назад

    Angalia sura ya chagamba amavyopigwa mikofi ya mabega na miraji ndo utagundua "wanaume tumeumbwa mateso"

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya1490 3 месяца назад +2

    "Mabega ya Chagamba yamekuwa sugu'

  • @MagembeAngelo
    @MagembeAngelo 3 месяца назад

    DOGO chalamba utakapo kua unafanya maojiano na milaji akikisha mabegani unaweka misponji atakuvunja mabega

  • @josinatrderss
    @josinatrderss 3 месяца назад

    Mimi namshauri Chagamba Akate bima ya madhara ya mabega kushuka ili achekiwe marakwamara kwakuwa tunapenda elimu ya miraji sana ila makofi anayokutana nayo chagamba bima ni muimu sana

  • @ThomasShindikwa
    @ThomasShindikwa 3 месяца назад +1

    Miquuesone hakupewa mda wa kutosha uwanjani.

    • @ManirakizaHashim
      @ManirakizaHashim 3 месяца назад

      Simba mlifanya kosa kubwa kumrudisha miquisone haliyakuwa kiwango kilikuwa chini sana mnoo mlitegemzya Nini?

    • @ManirakizaHashim
      @ManirakizaHashim 3 месяца назад

      Hamna kumpa muda mtu kashuka kiwango mpira unaishaga kwa mchezaji nyiye mna fuata vipi?

    • @leonardmhagama5828
      @leonardmhagama5828 3 месяца назад

      Messi wa msumbiji yote apewe muda😂😂😂😂

  • @orochiChips
    @orochiChips 3 месяца назад +2

    Nguvu moja

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 3 месяца назад

    Kiukweli hata mimi sijui kwanini miquisone kafeli wala sipati majibu kabisa

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 3 месяца назад

    Wapige Team Nzima Chini Tu Mbn Pamba Fc Wamefany Hivo😂😂😂

  • @IMmedia224
    @IMmedia224 3 месяца назад +2

    Kwanza mm

  • @voicdesition897
    @voicdesition897 3 месяца назад

    Simba hawajui tu miqson alianza kurudi ngoja mmkute jangwan mmbwa nyie

  • @makamesaid8432
    @makamesaid8432 3 месяца назад

    Kuna mtu moja anajita firji bovu lakin hajuw chochote ispokuwa bobo

  • @jofreymhagule7505
    @jofreymhagule7505 3 месяца назад

    😂😂😂 umenichekesha eti miquissone anajifunza kwa chasambi 🤣🤣🤣

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 3 месяца назад

    miraji ulitaka miksson afanyej kipind amekuja umemuona alivyo unazani kucheza mpira ukiwa na mwili mkubwa ni rahisi km ni rahis bas hata babalevo angeweza kucheza mpira

  • @francisharembo1583
    @francisharembo1583 3 месяца назад

    Miraji lionee huruma bega la mwanaa unalipiga sana😅😅😅

  • @ManirakizaHashim
    @ManirakizaHashim 3 месяца назад

    Miquison karudi simba kishaisha kwani mchezaji haishagi mikisoni mpira ume kwisha kabisa sio makusudi.kiwango kimeshuka bila yeye kupenda

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 3 месяца назад

    MAKOLO BHANA! yaani anachokiamua MOO ndiyo hichohicho lakini bahati mbaya Moo hajui mpira, moo 10 ni sawa na Eng. 1.
    Tuliwambia Huyo Josee Miq. Kakalia ubao msimu mzima, mkaona tunawaonea gele, kolongada nyie😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад

      MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂

  • @EdsonMdagachule
    @EdsonMdagachule 3 месяца назад +2

    Kuachwa kwa Miqiuson ni sahihi kabisa kuachwa

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 3 месяца назад

      😂😂 kwani ametufelisha kivip wakati alikuwa hapewi namba we miraji jamani

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      ​@@fatumasophu5855apewe tu nafasi hata kama hashawishiii

  • @DavidDominick-o5e
    @DavidDominick-o5e 3 месяца назад

    Jaman miraj usiwe unampiga hivo utammiza

  • @serenawilly4083
    @serenawilly4083 3 месяца назад +1

    Matangazo yamezidi sasa

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet 3 месяца назад +2

    Me pia nimekubaliana na uongozi kumuacha miqson maana hakutupa tulicho kihitaji ukilinganisha na mshahala wake

  • @MariaMnthax
    @MariaMnthax 3 месяца назад

    Kwa konde muliyataka wenywe mashabiki

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 3 месяца назад

    Uhakika Mara moja kaamua mwenyewe

  • @RWIGEMAMADONDIFRANCK
    @RWIGEMAMADONDIFRANCK 3 месяца назад

    Mbona una maliza mbiyo gamba

  • @IsackKija
    @IsackKija 3 месяца назад

    Beshika nakufulah kuckia nodo zako chaga boy hogela sana

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад +2

    KWELI KABISA MIQISON KATUANGUSHA, SIMBA NGUVU MOJA

    • @ManirakizaHashim
      @ManirakizaHashim 3 месяца назад

      Miqisoni kiwango kime shuka mno hamna cha kuwaangusha nikawaida kila mchezaji na muda wake sembuse miqison

  • @DIRECTORJOHN435
    @DIRECTORJOHN435 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 месяца назад

    Na usajili wenu utakua wa shirikisho 😂😂😂😂 haji simba mchezaji wa maana this season 🤣🤣🤣cant wait! Tutawapiga all games

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 3 месяца назад +1

    Konde Boy Daaah!!!

  • @EliaTish
    @EliaTish 3 месяца назад

    kabsa miraji konde boy alituangusha sana