kusema ukweli mm kuhus chirunda nilipoona thank you ndi nikamsearch nikamuona nilikua simjui kusema ukweli ndo nikaona kumbe alicheza na Azam ila namuomba Mungu atutangulie sisi yanga team yetu imeanza propaganda kwa miraji ni chama na ngoma anataka waondoke
Kelele tu na kupiga mabega ya mwenzie🤣🤣🤣hana lolote! Wachezaji kufanikiwa au hufeli Hutokana na MFUMO WA COACH! KAI,aliposajiliwa Arsenal ( mimi shabiki wa Arsenal na Emirates naenda!) tulisema sana ! Alipoanza kuclick na mfumo wa Coach,akaanza kutwanga magoli au assists! Tumewaona wachezaji wengi sana coach mpya,say akiingia na mfumo wake ,they perform! Kusajili mchezaji,one ,angalia coach kataka nini?! Two, anacheza na wakina nani, ( HOW WILL HE FIT IN )Three, ana POTENTIAL GANI YA KUISADIDIA TIMU!? FOOTIE IS A TEAM GAME! KWANINI MAYELE KAFELI Alipoenda Pyramids?! Mfumo na anaocheza nao! Simple! Bongo mnasajili not with PURPORSE! NDO HAPO ANAPOWAPIGA BAO HERSI! HERSI haleti mchezaji Yanga bila madhumuni! Kikosi cha Yanga kingeshinda michezo na Mamelodi ,lkn tumeona tulio wakosa CAFCL,pengo! Hersi atAziba! Kuna kitu kinaitwa DEEP SQUAD! Ndo atakacho kifanya Hersi! Simba this season itakua ngumu,lazima wataokoteza,watawapamba,n it will be WORSE! Why! Mtasajili WACHEZAJI WA SHIRIKISHO 😂😂😂YANGU MACHO
Maneno Ya Uongo Mmefeli Wenyewe Kwa Mipango Yenu Ya Hovyo. Miache Kuwatoa Kuwa Mbuzi Wa Kafara. Kwasababu Tangu Huko Alikokuwepo Alikuwa Hachezi Nyie Mkakopi Nakupesti Mkamchukua Wenyewe Nawala Hajawatuma Mje Mumfate.
Ume ongeya point saana wewe unaujuwa mpira simba wame mrudisha miquisone walimkuta hachezi muda mrefu sana kwa sababu kiwango kilikuwa kime shuka tena saana
Mimi namshauri Chagamba Akate bima ya madhara ya mabega kushuka ili achekiwe marakwamara kwakuwa tunapenda elimu ya miraji sana ila makofi anayokutana nayo chagamba bima ni muimu sana
miraji ulitaka miksson afanyej kipind amekuja umemuona alivyo unazani kucheza mpira ukiwa na mwili mkubwa ni rahisi km ni rahis bas hata babalevo angeweza kucheza mpira
kusema ukweli mm kuhus chirunda nilipoona thank you ndi nikamsearch nikamuona nilikua simjui kusema ukweli ndo nikaona kumbe alicheza na Azam ila namuomba Mungu atutangulie sisi yanga team yetu imeanza propaganda kwa miraji ni chama na ngoma anataka waondoke
Hayo makofi ya mabega ndugu una moyo wa kuvumiliaah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
mungu ange nipa kipato cha kutosha ledio yangu ya michezo milaji chagamba kwanza
We miraj....noma sana et hata wa kizungu
Chagamba uwe unatutajia namba zako tukutumie hela ya panadol maana hayo mageba yanapitia mengi.
Watu kanMiraji sikaii nao karibu! Bila kukupiga mabega hajaongea! Na hao watu huwa wanakera🤣🤣🤣🤣
Chagamba siku nyingine vaa gad mabegan maana huyu jamaa ana lengo bya na we yaan ukimaliza kumuoji mwili wako wote unauma kama umetoka jimu
Milaji unaupiga mwingi kaka umewaacha mbali mno wale wavaa suti kwenye media flani apa nchini. Nakuona mbali kaka
Acha ujinga ww, unamuona mbali ipi?
Miraji yuko juu sana
Kelele tu na kupiga mabega ya mwenzie🤣🤣🤣hana lolote! Wachezaji kufanikiwa au hufeli Hutokana na MFUMO WA COACH! KAI,aliposajiliwa Arsenal ( mimi shabiki wa Arsenal na Emirates naenda!) tulisema sana ! Alipoanza kuclick na mfumo wa Coach,akaanza kutwanga magoli au assists! Tumewaona wachezaji wengi sana coach mpya,say akiingia na mfumo wake ,they perform! Kusajili mchezaji,one ,angalia coach kataka nini?! Two, anacheza na wakina nani, ( HOW WILL HE FIT IN )Three, ana POTENTIAL GANI YA KUISADIDIA TIMU!? FOOTIE IS A TEAM GAME! KWANINI MAYELE KAFELI Alipoenda Pyramids?! Mfumo na anaocheza nao! Simple! Bongo mnasajili not with PURPORSE! NDO HAPO ANAPOWAPIGA BAO HERSI! HERSI haleti mchezaji Yanga bila madhumuni! Kikosi cha Yanga kingeshinda michezo na Mamelodi ,lkn tumeona tulio wakosa CAFCL,pengo! Hersi atAziba! Kuna kitu kinaitwa DEEP SQUAD! Ndo atakacho kifanya Hersi! Simba this season itakua ngumu,lazima wataokoteza,watawapamba,n it will be WORSE! Why! Mtasajili WACHEZAJI WA SHIRIKISHO 😂😂😂YANGU MACHO
@@athmanimkangara9290tena sanaaaa yupo juu
Hilo halina ubishi..
Miquisone alistahil hata thank you 5
Chagamba mabega yatakushuka
Nakubali mara moja na chagamba
Uyu Miraji sasa tutakuletea watu flani kutoka Mara kwajili ya maojiano ili ayomakofi yawe yanalipizwa😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kuanzia wiki ijayo….chagamba biga n wewe mabega ajue kuwa huwa unakandwa ukirudi home….
Usipige atalia 😂😂
Milaji mabega ayoo
Ila unampiga Sana chagamba utamvunja mabega
Kweli bhana
😂😂😂😂
NGOMA NA CHAMA miraji hataki hata kuwaskia hahahhahaaah
Duh! Chagamba mabega hayo vipi hayaumi? aisee😂😂
😂😂😂
Miraji sahihi hela nyingi wanachokifanya nhamuna hawajitumi hawakuwa nauchungi natim yetu waende tu
😅😅😅😅Chagamba anavo nyumbua nyumbua maneno ya miraj
Maneno Ya Uongo Mmefeli Wenyewe Kwa Mipango Yenu Ya Hovyo. Miache Kuwatoa Kuwa Mbuzi Wa Kafara. Kwasababu Tangu Huko Alikokuwepo Alikuwa Hachezi Nyie Mkakopi Nakupesti Mkamchukua Wenyewe Nawala Hajawatuma Mje Mumfate.
Ume ongeya point saana wewe unaujuwa mpira simba wame mrudisha miquisone walimkuta hachezi muda mrefu sana kwa sababu kiwango kilikuwa kime shuka tena saana
Kaka Miraji utamvunja Chagamba mabega. hahhaha
😂😂😂😂😂😂😂😂
Chagamba ameshazoea
Mbona mabega yanalia sana nasikia hadi huku😂
😂😂😂
Onana huyoo na baba carr
Chagamba utavunjwa mabega na kolo huyo
Hahahahaha
Kweli
NA WEWE FISADI KAMA MANGUNGU??? 😂😂😂😂😂😂😂
Hao wachambuzi feki wafutwe kabisa, tusiwe nao tu hapa Tanzania wanatuharibilia mpira wetu
Kina nan hao?
Angalia sura ya chagamba amavyopigwa mikofi ya mabega na miraji ndo utagundua "wanaume tumeumbwa mateso"
"Mabega ya Chagamba yamekuwa sugu'
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
DOGO chalamba utakapo kua unafanya maojiano na milaji akikisha mabegani unaweka misponji atakuvunja mabega
Mimi namshauri Chagamba Akate bima ya madhara ya mabega kushuka ili achekiwe marakwamara kwakuwa tunapenda elimu ya miraji sana ila makofi anayokutana nayo chagamba bima ni muimu sana
Miquuesone hakupewa mda wa kutosha uwanjani.
Simba mlifanya kosa kubwa kumrudisha miquisone haliyakuwa kiwango kilikuwa chini sana mnoo mlitegemzya Nini?
Hamna kumpa muda mtu kashuka kiwango mpira unaishaga kwa mchezaji nyiye mna fuata vipi?
Messi wa msumbiji yote apewe muda😂😂😂😂
Nguvu moja
Kiukweli hata mimi sijui kwanini miquisone kafeli wala sipati majibu kabisa
Wapige Team Nzima Chini Tu Mbn Pamba Fc Wamefany Hivo😂😂😂
Kwanza mm
Simba hawajui tu miqson alianza kurudi ngoja mmkute jangwan mmbwa nyie
Kuna mtu moja anajita firji bovu lakin hajuw chochote ispokuwa bobo
😂😂😂 umenichekesha eti miquissone anajifunza kwa chasambi 🤣🤣🤣
miraji ulitaka miksson afanyej kipind amekuja umemuona alivyo unazani kucheza mpira ukiwa na mwili mkubwa ni rahisi km ni rahis bas hata babalevo angeweza kucheza mpira
Miraji lionee huruma bega la mwanaa unalipiga sana😅😅😅
Miquison karudi simba kishaisha kwani mchezaji haishagi mikisoni mpira ume kwisha kabisa sio makusudi.kiwango kimeshuka bila yeye kupenda
MAKOLO BHANA! yaani anachokiamua MOO ndiyo hichohicho lakini bahati mbaya Moo hajui mpira, moo 10 ni sawa na Eng. 1.
Tuliwambia Huyo Josee Miq. Kakalia ubao msimu mzima, mkaona tunawaonea gele, kolongada nyie😂😂😂
MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂
Kuachwa kwa Miqiuson ni sahihi kabisa kuachwa
😂😂 kwani ametufelisha kivip wakati alikuwa hapewi namba we miraji jamani
@@fatumasophu5855apewe tu nafasi hata kama hashawishiii
Jaman miraj usiwe unampiga hivo utammiza
Matangazo yamezidi sasa
Me pia nimekubaliana na uongozi kumuacha miqson maana hakutupa tulicho kihitaji ukilinganisha na mshahala wake
Kwa konde muliyataka wenywe mashabiki
Uhakika Mara moja kaamua mwenyewe
Mbona una maliza mbiyo gamba
Beshika nakufulah kuckia nodo zako chaga boy hogela sana
KWELI KABISA MIQISON KATUANGUSHA, SIMBA NGUVU MOJA
Miqisoni kiwango kime shuka mno hamna cha kuwaangusha nikawaida kila mchezaji na muda wake sembuse miqison
😂😂😂😂😂😂
Na usajili wenu utakua wa shirikisho 😂😂😂😂 haji simba mchezaji wa maana this season 🤣🤣🤣cant wait! Tutawapiga all games
Konde Boy Daaah!!!
kabsa miraji konde boy alituangusha sana