Jina Lake Yesu Tamu Mtongani Tabernacle
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- SONG LYRICS:
JINA LAKE YESU TAMU
Jina lake Yesu tamu Tukilisikia,
Hutupoza, tena hamu Hutuondolea,
Roho iliyo umia kwalom hutibika,
Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka.
Jina hili nimsingi, Ngao, Ngoma,
Mwamba, Kwa hili napata ungi, kwangu ni akiba.
Yesu, Mchunga, Rafiki, Mwalimu,
Kuhani, Mwanzo, Mwisho, na Amana, Mali yangu yote!
Moyo wangu hauwezi kukusifu kweli;
Ila sifa zangu hizi, Bwana, zikubali.
Hongera sana mtumishi, classmate wangu sekondari nakumbuka enzi zetu hakika Mungu anatutoa mbali na kutuleta kuwa vyombo imara madhabahuni pake. Siku moja nitafika madhabahuni penu kusifu na kuabudu, nipo safarini kuelekea kuanzisha huduma ya kumtumikia Mungu niombee sana.
Amen 🙏 amen. Love this singing. Hizi za Nairobi ❤
Hallelujah!