MAKONDA AMTOA MACHOZI MJANE WA SAMWELI SITTA/ BAADA YA KUTEMBELEA KABURI LAKE/APIGA MAOMBI MAZITO
HTML-код
- Опубликовано: 16 сен 2024
- Katibu wa NEC, itikadi na Uenezi-CCM, Paul Makonda leo Jumamosi ametembelea na kuweka maua kwenye kaburi la aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, hayati Samwel Sitta wilayani Urambo mkoani Tabora. Makonda yupo kwenye muendelezo wa ziara yake kwenye mikoa 20.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Mungu anakuona kiri kwanza makosa yako uliyofanya kipindi chaa jpm
Eti mzee kakosa uspika ntasomaje? Lol! Kwa hiyo wape ambao sio maspika hawasomeshi?