UTACHEKA VITUKO VYA RC MAKONGORO, AGUSIA UONGOZI WA JPM "SIJAAMBULIA KITU, ILA MAMA KANIPA HESHIMA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 авг 2022
  • RC MAKONGORO, AGUSIA UONGOZI WA JPM "SIJAAMBULIA KITU, ILA MAMA KANIPA HESHIMA", WAT

Комментарии • 124

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад +10

    Jamani si Magufuli ndio alikutoa kijijini akakuingiza kwenye ujumbe wa halmashauri kuu ya CCM? Huoni kama alikufanyia favor? Hivi kuna Rais amemuheshimisha Baba yako kama Magufuli? Miradi yote mikubwa aliipa jina la Nyerere mpaka mbuga ya wanyama Selous kaibadilisha inaitwa Nyerere, duh tenda wema nenda zako kwa kweli na usifanye kitu ili upewe shukrani, binadamu kiumbe cha ajabu kweli!

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Год назад +1

      Binadamu ni wa hovyo sana. Tunasahau mapema sana. Anajuwa Huyu mama kukaa kazi ni lazima umusifie kijinga.

    • @Nufaila442
      @Nufaila442 Год назад

      Kumuezi Baba wa taifa ni Samia na Jk na Ben na Mwiny ndio walimunzi kwa kuangalia famila yake .. kuita majina vitu bila familia kufurahi ndio kuenzi huko??

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Год назад +5

    Huyu comedian wa kulipwa
    Safi sana mzee lazima watu tucheke ndiyo afya njema 😂😂🤣🤣🤣🤣✅😂😂😂🤣🤣

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Год назад +5

    Namkubali sana makongoro ndio maana mkoa wake unaongoza kwenye mambo mengi sana piga kazi

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +4

    RC Makongoro oyee yuko makini sana na hiyo ni team work building

  • @six0586
    @six0586 Год назад +3

    Fanya kinachokuhusu huo nibunafiki mtupu usiguse kabisa kwa uncle magu

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Год назад +14

    Hayati Magufuli na Hayati Nyerere, walikuwa wakiteuwa viongozi Kwa ujuzi na record zawo, na sio Kwa kuwa wewe ni mtoto wa fulani ama Kwa kujuwana. Wote walikuwa wakiteuwa kwa ujuzi na sio kwasababu wewe ni mtoto wa fulani. . Samia anateuwa Kwa kutumia majina na kujuwana, hata kama HUNA ujuzi. Ndiyo maana tunaona viongozi wa hovyo serikalini na mambo yanaendelea vibaya, wananchi kuteseka Kwa huduma mbovu zaidi ya kuchekesha watu wenye njaa na waliokata tamaa.

  • @iddyngaiwa
    @iddyngaiwa Год назад +2

    RC pamoja na utani wake wote ila nihatali sana ktk kazi yupo vizuri makongoro oyeeeee taa taaataaa

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 Год назад +3

    👍Hongera Mama Samia rais wetu kumkumbuka mtoto wa Baba wa Taifa letu

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Год назад

      Hata kama mulevi. Kuna Watanzania wangampi hawana Kazi? Aache kusifia ujinga, ni kodi zetu ndizo zinazomulipa mushahara. Kapewa kazi na kulipwa na kodi zetu.

  • @peterphilipo4152
    @peterphilipo4152 Год назад +3

    Amina ya magufuli imeshiba sana hongeleni sana🙏

  • @kennywilliam2466
    @kennywilliam2466 Год назад +5

    Serikali ya MCHONGOO!! Kwani wengine hapo subilieni parapanda Italia tu kwani magufuli nani alitegemea kifo chake akiwa MADARAKANI

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Год назад +2

    Ahsante Mkuu umenifundisha Yupo Mungu Atakunyanyua ipo siku tu ikifika
    Kuna jama moja Baba yake alikuwa na Mali nyingi sana baba hakujali familia yake . Yule jamaa alienda kwa mjomba wake kijijini Akakuta Mjomba ni mkulima naye akajiunga na Ukulima sasa Baba anamtegemea kwani utajiri wake ni mkubwa mara 70 ya ule wa Baba yake ... IPOSIKU UTAINUKA MUHIMU SUBIRA KUJITUMA NA KUOMBA MUNGU

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 Год назад +8

    Anachekesha ila ana kitu anamaanisha cha uchochezi chini ya kapeti

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +2

    Nakupenda sana baba wewe👍👍👍❤❤❤❤❤❤❤❤❤umesema kweli

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 Год назад +1

    RC yuko vizuri sana

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Год назад +12

    Mnaosema vibaya fuatilieni takwimu za mikoa inayofanya vizuri TAMISEMI...Manyara na Wiraya kama Mbulu, karatu na Zingine zinafanya vizuri chini ya uongozi wake...Sio kila waandishi wa habari unatakiwa uume meno una wa confort kwanza watu unaowaongoza alafu ukiwapa maagizo watakuelewa sisi ambao tuliwahi kua waarimu hiyo ni njia mojawapo ya kufundisha watu.

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Год назад

      Uko sahihi, NAKUBALI

    • @godcompeter9844
      @godcompeter9844 Год назад

      Kwanza awamjui jamaa anaakili balaa kwanza alikuwa campaign manager wa Magufuli kumbukeni Kama aliweza kumpatia mtu Uraisi mnamchukulia POA eee

    • @alfredcharles8029
      @alfredcharles8029 Год назад

      👍Safiii..🤝

  • @albassammusaalbassam7487
    @albassammusaalbassam7487 Год назад +2

    Huyu akiwa raisi atapendwa na vijana Sana maana story
    Zake za kisela tu

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Год назад +1

    Huyu ni kiongozi Bora sana

  • @veeJesus
    @veeJesus Год назад +4

    Anachekesha kama tu babaake mzee Nyerere nae alikua na vituko sana

  • @davidmarik4633
    @davidmarik4633 Год назад +4

    Akaja kaka yangu mpendwa sahvi yupo kenya😆😆😆😆

  • @nestor384
    @nestor384 Год назад +2

    Kama wadogo zangu hamuelwi awamu hii imemdemote Charles Makongoro Nyerere. Kutoka mjumbe wa kamati kuu ya chama tawala (CC) ya CCM kwenda kuwa RC ni demotion.. Ukweli moyoni mwake Makongoro anaujua hawezi waambia kizazi kisicho na maalifa.

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Год назад +1

    Makongoro ulihojiwa na Clouds ukasema JPM kakuweka NEC anadhani ni kwa vile tu ww ni mtoto wa raisi huna la ziada 🤔 mtandao haudanganyi bro

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Год назад

    Anavyofanya hajuuuuuwi kumbe protocol zote za uongozi anazijua completely 🤓🤓🤓🤓🤓😄🤣❤️❤️❤️❤️❤️nakupenda sana broo

  • @tmasingida2392
    @tmasingida2392 Год назад +2

    Mako mcheshi sana, ila ana karama ya uongozi na amelelewa kimaadili.

  • @johnchale1073
    @johnchale1073 Год назад +2

    MBWEMBWE Kama baba yake Julius kambalage NYERERE😂😂

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Год назад +7

    Mmmh.... Acha hizo..
    ulikuwa mjumbe wa NEC wakati wa JPM.. yaani hapo Mama kakushusha kwa mpango mkakati..
    Kuna watu duniani bhana..
    1. Hawajui kuwa hawajui
    2. Hawajui kuwa wanajua
    3. Wanajua kuwa hawajui
    4. Wanajua kuwa wanajua
    Makongoro ..acha komedi...Sifa zote Mungu pekee... Yeye ndiye humpa cheo Kila amtakae... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 Год назад

      Kamshusha kivip?sasa wewe unajua kuliko yeye

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV Год назад +13

    Sasa makongoro uyu kila anapozungumz nilazma aanze kutoa hzi sifa za kijinga .... Inamaana gani kwa taifa !? Inawezkn ina maana kwk binafsi lakn kama alijua kua hawez kwann alikubali nafasi hiyo ...kuna vijana wengi wanataka nafasi hzo kwann wasipewe ... Ebu acheni kuona kama uongozi bado ni kitu mnaweza Risishana kwamba Nyerere hakukupa nafasi Mwinyi mkapa kikwete wala Magufuli sasa Samia kama kakupa inamaana Gani kuuelezea Umma!?? Acha upuuzi we mzee

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Год назад

      Ndio chaguo la Samia. Anateuwa Kwa kuwa wewe ni mtoto wa fulani hata kama hufai. Matokeo yake watu wanafanya makosa anashindwa kuchukuwa hatua.

    • @davidereng6095
      @davidereng6095 Год назад

      ​@@gracegrace6200

    • @Nufaila442
      @Nufaila442 Год назад +1

      Hapa alikuwa anawafundisha watumishi wenzake usikate tamaa yupo Mungu atakuinua anaeleza vizuri upate kujua ....

    • @sarahkelvin4845
      @sarahkelvin4845 Год назад

      Mnywa pombe2 huy han lolt ndio man magufuli hakuwai kumpatia han maan ya uongoz

    • @johnmligo6966
      @johnmligo6966 Год назад

      Huyu Jamaa ni msanii ukimchukia ni kwa hasara yako, yupo natural....

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Год назад +2

    Makongoro hoyeeeee 👍

    • @leoniammasi6634
      @leoniammasi6634 Год назад

      Nakupenda sana Makongoro, fanya kazi kwa bidii ili tuendelee kusikiliza speech zako za kuondoa stress😂🤣

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Год назад +2

    Hawa ndiyo viongozi wetu, nchi imeoza zaidi ya mavi ya binadamu

  • @shijahlaurent3100
    @shijahlaurent3100 Год назад

    Sikujua kama mpuuzi kiasi kikubwa namna hii,na hii ndiyo ilisababisha hao wengine wasikupe hata ukuu wa wilaya mjinga mkubwa,Kwenye mambo makubwa unaleta utoto.

  • @barakasakaika6437
    @barakasakaika6437 Год назад +1

    Walikuacha kukuteua au kukupa kazi serikarin ili ujifunze kitu wangekuteua mapema nahis mpaka Sasa ungekuwa unaboronga ona Sasa kukuchelewesha kwao umejifunza mengi yaliyo Bora ndo maana unafanya kazi yako kwa uhakika so kubahatisha hebu wape shukurani zao hao viongozi walo tangulia mbele za haki

  • @yeremiaamasi280
    @yeremiaamasi280 Год назад +6

    Sifa huna za kuwa kiongozi mzee

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 Год назад +2

      Anafikisha ujumbe kifilosofi ila kwa watoto wadogo vichwa vya panz ni ngumu kuelewa anamaanisha nin!

    • @marckbruhani3744
      @marckbruhani3744 Год назад

      Hana sifa huku mkoa wake na wilaya unaongoza

    • @marckbruhani3744
      @marckbruhani3744 Год назад

      Hana sifa huku mkoa wake na wilaya unaongoza

    • @cavoo4get649
      @cavoo4get649 Год назад

      Kama hana sifa kaongoze wewe pimbi 😨

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 Год назад

      @@cavoo4get649 achana nao vibwengo hao, maisha yao wenyewe yana washinda kuyaongo kutwa kupiga vizinga kwa wenye kujitambua wew unadhan wataelewa nin? Si sawa sawa na kumpiga konz kinyago

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Год назад +3

    Inchi yenye mipango endelevu yenye kuangalia mbele juu ya uchumi. Huendeshwa kizazi kipya na kizazi cha mwanzo kuridhika kupumzika au kustaafu. Ni mbaya watu kustaafu na kurudi kazini wakati vijana wapo wenye uwezo wa hizo nafasi. Umri wenu mkale matunda yenu ya ujanani na utu uzima wenu. Jengeni inchi na kizazi kipya.

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 Год назад +1

    Safii sana 🤣🤣

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Год назад +1

    Viongozi wengi wapya JPm ndo kawainua hawana budi kumkumbuka sana na wengine nadhani hata hawakutegemea kama wangepanda hapo halipofika bila mchango wa jpm,, maana kabla yake jpm walikuwa wanabadirishana madaraka wale wale tu jpm kaleta mambo mapya sana anamchango sana ktk ujenzi wa taifa letu namkubali pia

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 Год назад

    💯🔥 AMINA ya MAGUFULI ipo hot sana # inatosha naamini uko upande wa JPM ila unacheza na upepo
    Safi sana blood🤝🙏🙏🙏# JPM😭

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Год назад +1

    Anafikisha ujumbe huku mnacheka

  • @sylivestermachemba5776
    @sylivestermachemba5776 Год назад

    Asante meladi

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 Год назад +1

    Mzee comedy sana huyu🤣😂🤣 eti taa taaa

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Год назад +1

    Mh kwa mtindo huo tutaishia kubebana

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 Год назад +1

    Sasa huyo mama yenu si anateuwa kwa kutumia A wewe herufi yako h au z nileo wengine manaibu waziri wa aridhi

  • @burudikanamaruma8950
    @burudikanamaruma8950 Год назад +1

    Saf mzee

  • @zionjoblaiz9432
    @zionjoblaiz9432 Год назад +1

    Sasa alitaka uambulie nini....awamu ya 5 na ya 1 ilikua yakikazi zaid. Ila usipate tabu piga kazi sasa. Acha kusifia ...piga kazi

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 Год назад

    Mama Samia ametenda haki bila kwani bila hii amani tuliyonayo tumejengewa na Baba wa Taifa letu..Kama huyo JPM mbona alipitisha wabunge baki ambao hawakushinda uchaguzi kura maoni ndani ya Chama,Lakini akabakia kuwakejeli pale Musoma uwanja wa Mukendo eti wajumbe nao jamani hawakuwapa kura watoto......???? So what.

  • @unmanned2807
    @unmanned2807 Год назад

    Huyu bora alipwe pesa bila kazi yoyote maana anakaba nafasi ya watu.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +1

    Huyu mzee naye anachekesha 😀😀

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 Год назад +1

    Inaonekana huyu kaishachoka tu kila cku anawazA kutemwa tu

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 Год назад +1

    Kweli oyeeee 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @unmanned2807
    @unmanned2807 Год назад

    Mkuu wa mkoa ambaye hakujua majukumu yake mpaka ameingia ofisini

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Год назад

    Hakuna mwanadamu msafi 100% unatakiwa umpime kiongozi kwa mazuri mengi na mabaya machache unayedhani kunakiongozi mbaya hata tungekupa ww ungeoneka mbaya pia

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Год назад +2

    Unafurahia kubebwa,,at ,,,hunavigezo ww

    • @khalidmnjovu4463
      @khalidmnjovu4463 Год назад

      Ahamilizi na mama huyu lazima apewe pumziko aka ubalozi. Ukuu wa mkoa ni nafasi kubwa sana kitaifa kumuwakilisha rais...

  • @lukehaprimary2574
    @lukehaprimary2574 3 месяца назад

    Mzee vipi

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +7

    makongoro nawe izo.stori nyengine achana Nazo.endelea kupiga Kazi.na kuendelea kuhimiza maendeleo Kwenye Mkoa wako

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Год назад

      Historia Nisehemu Yauongozi.

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Год назад

      Hao ambao unaona hawana story wamepata hati chafu kwenye riport ya CAG😂😂😂😂, angalia takwimu za utendaji wa Mkoa wake. Uongoz sio kujirundikia mikazi tuuu au kuwa serious kila wakati, au kutishia tu. Inategemea na watu, na mahali pia af na nature ya mtu mwenyewe. Swali la kujiuliza ni moja TU " kazi aliyopewa imefanyika inavyostahili?"

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 Год назад

      @@TM.Sullusi mimi Sijasema Kua makongoro hafanyi Kazi.nimesema stori.nyengine apunguze hasa kama hii Kua waliopita hawakumpa cheo kwani ni lazima? kila kitu kina mda wake na ni mungu ndio.mwenye kutoa cheo hajapewa na mama mana hata uyo mama mwenyewe kapewa cheo na mungu

    • @maryamsaid3297
      @maryamsaid3297 Год назад

      Mbona hakuyaongea hayo wakati makufuli yupohai, sisiwanyonge tunamkubukasana

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 Год назад

      @@maryamsaid3297 enheee ni bora anyamaze tu kwani kila mtoto.wa raisi ni.lazima kupewa uongozi?

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Год назад

    Hapo kwenye upepo! Kama nimekuelewa elewa!!?

  • @selemanjulius2877
    @selemanjulius2877 Год назад +5

    Kwahiyo ninyi baba zenu wakiwa juu nilazima mpate madaraka?

  • @unmanned2807
    @unmanned2807 Год назад

    Ila ulichimba dawa kichakani

  • @adamwapiliadamwapili5698
    @adamwapiliadamwapili5698 Год назад +1

    Ni kama babaake

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 Год назад +1

    Huyu baba mnafiki haswa anakitu

  • @muhammedsaleh1463
    @muhammedsaleh1463 Год назад +2

    Mzee makongolo comed sana🤣

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Год назад

    Huyu hata Baba yake alimsumbua sana alkua mkorofi ,,aliwah kuwekwa ndan na mzee nyerere ajifunze 😅

  • @ulaweboy9826
    @ulaweboy9826 Год назад +3

    Huyu mzee amna kituu

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Год назад

      Fuatilia utekelezaji wa maendeleo kwenye mkoa wake ndiyo utoe hiyo kauli.Usimjaji mtu kwa kuwa anapenda kufurahi.Kufurahi hakumzuii mtu kuwa bora katika kutekeleza majukumu yake.

    • @abdalaalmas2535
      @abdalaalmas2535 Год назад

      Wewe una nn?

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      Yuko makini sana huyo

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Год назад

    Kumbe Kenya ilikiwa hivyo sio 🤣

  • @jaredyndaga4617
    @jaredyndaga4617 Год назад

    Kwa hiyo ukisha kuwa mtoto wa kiongozi ndo lazima iwe... Mmmmmh

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we mzeee fanya mapka mkojo toke mzee mshez wwwwww

  • @yusuphrevocatus8555
    @yusuphrevocatus8555 Год назад

    Matajiri hamtosheki

  • @jeniffermartin5719
    @jeniffermartin5719 Год назад

    Makongoro sometime huwa ananiongezea umri wa maisha

  • @emanuelneriwa6745
    @emanuelneriwa6745 Год назад

    Mtoto wa muasisi Bado tunatarajii kizazii kijacho yupate raisii kutoka kizazii hikii

  • @jetkingseveryn9316
    @jetkingseveryn9316 Год назад +2

    Hawa ndo bad image ya wazazi wao anatufundisha nini ukuu wa mkoa kupewa sio razima

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 Год назад

      Anaongea vitu vya kawaida sana,but this man's IQ likely to be high.

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 Год назад

    Kuchimba dawa oyee

  • @mzidalifazaid4389
    @mzidalifazaid4389 Год назад +3

    🤣😂😅😂😂😂😂😂😂😂

  • @ngwanamabande8036
    @ngwanamabande8036 Год назад

    Very funny

  • @bennie7239
    @bennie7239 Год назад

    Huyu mzee ni fala; marais ambao hawakumteua kuanzia baba ake alijua hamna kiongozi hapo. Kuna komedian na msifia anakoshiba; poor thinking of a leader..

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Год назад +4

    Ata hufai kuwa kiongozi

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад

    😁

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Год назад +1

    ruclips.net/video/X4WuktNJEl0/видео.html
    DAWA YA KUFARAKANISHA..*#*# ruclips.net/video/X4WuktNJEl0/видео.html

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Год назад

    kama baba kabisa

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +1

    😂🤣

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад +2

    Kwa hiyo kwani kuna mgao???

  • @jofreymligo457
    @jofreymligo457 Год назад

    Mzee komendi

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Год назад

    Mzee huenda ulikuwa na shida mahali ndo maana hukuchaguliwa nyakati zilizopita sasa piga kazi umepata nafasi

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Год назад +1

    ruclips.net/video/X4WuktNJEl0/видео.html
    DAWA YA KUFARAKANISHA..*#*# ruclips.net/video/X4WuktNJEl0/видео.html