WASIA WA SHEIKH NASSOR BACHU ENZI YA UHAI WAKE KWA SHEIKH KISHK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 254

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад +41

    Allah awajaalie waliokua katika huu smikitu wote waliotangulia mbele yahakk Awajaalie minalfaizin na sisi tuko nyuma yao atupe mwish mwema👐👐👐😭

  • @mohammedjumakhamis8151
    @mohammedjumakhamis8151 3 года назад +29

    Wallahi nilikosa bahati kubwa ya kuonana na shk Nassor Bachu ya!Allah tujaalie tuonane pamoja peponi

  • @ismailm325
    @ismailm325 3 года назад +13

    Sheikh wangu bora kwa miaka yote Nassro Bachu, Allah amjaaalie malipo mema

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +17

    Mashallah Allah atuzidishie furaha amrehemu sheikh nasoor bachu amlaze pema penye wema peponi

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +2

    Ya Rabiii muweke Sheikh nasoor bachu katika pepo ya Firdausi nuzulah ya Allah msamehe Kwa yake mapungufu kwani hakuna Alo kamilika ispokuwa wewe amiin 🤲 ya Allah

  • @mussakarata6831
    @mussakarata6831 3 года назад +1

    😢😢😭wanllah sijapatapo kumsikiliza na kumuelewa shekh yeyote ispokua shekhe nasoro bachu Allah amlipe maripo makubwa mno juu ya mawaidha yake yanayoishi kiboko ya washirikina na wapenda vya kuzusha

  • @yusuphmohamed8560
    @yusuphmohamed8560 2 месяца назад

    MAASHALLAH SHEIKH NASSOR BACHU Al maaruf SIMBA WA MIMBAR AFRIKA MASHARIKI NA KATI ALLAH AKUWEKE PAMOJA NA WEMA WALIO TANGULIA Inna lilah Wainna Ilayh Raajiuun.

  • @arifsaid8080
    @arifsaid8080 3 года назад +1

    INNALILLAHY wainna ilayhi raajiun.
    Ukiskiliza Daawaa ya Marhoum Sheikh Nassor utahis kua kama imerikodiwa masaa machache..
    DUA YA MWENYE KUDHULUMIWA
    MALEZI YA WATOTO
    AHKAAM JANAIZ
    RIYAADH SWAALIHYN...
    Allah amjalie nuru ktk kbri yake.....

  • @kulthumkadir2636
    @kulthumkadir2636 2 года назад

    Amin Allah ampe ma
    Kazi mema shehe wetu huko aliko nasoro bachu na shehe kish ampe afia njema na uwezo Zaid azid kutufuza

  • @hadijamushi8674
    @hadijamushi8674 3 года назад +4

    maashaAllah Mwenyezi Mungu amrehemu sheikh wetu sheikh NASSOR BACHU, NA awaongoze mashekhe wetu ,awape afya ili tuzidi kupate neema ya ilmu

  • @maimunahassan5047
    @maimunahassan5047 3 года назад +6

    MashaAllah,Allah amjaaliye sheikh Nurdin kishk maisha marefu na afya njema,Allah amrehemu sheikh Nassor bachu na amjaaliye Jannatul firdaus iwe makao yake

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 3 года назад +10

    Mashallah mashallah Allah barqi masheikh wetu allah awajaliye afya njema awaifadhi awape furaha ya dunia mpaka kesho akhera allahuma meen 🤲

  • @saidikingazi1995
    @saidikingazi1995 2 года назад +1

    Allah nimlinzi mkubwa kwawaja wake na tunakuomba utujaalie kher nyinyi sisi pamoja na masheikh zetu, na vilevile umlehemu Sheikh wetu Nassoro Bachu, pamoja na marehemu wengine waliotangualia mbele za haq, Allahuma aamiin.

  • @mohammedmoshe6622
    @mohammedmoshe6622 3 года назад +17

    ^INSHAALLAH^ ^ALLAH^{Subhaanahuu Wataala} AMREHEMU Sheikh Wetu, Na Ampe 'JANNATUL-FIRDAUS' AMEEN!!!!!

  • @Truthshallprevail1291
    @Truthshallprevail1291 3 года назад +5

    Allah amrehemu sheikh Nassor Bachu. Allahumma Amin
    انا لله وانا اليه راجعون
    اللَّهُمَّ اغْفِرْ لَهُ ، وارْحمْهُ ، وعافِهِ ، واعْفُ عنْهُ ، وَأَكرِمْ نزُلَهُ ، وَوسِّعْ مُدْخَلَهُ واغْسِلْهُ بِالماءِ والثَّلْجِ والْبرَدِ ، ونَقِّه منَ الخَـطَايَا، كما نَقَّيْتَ الثَّوب الأبْيَضَ منَ الدَّنَس ، وَأَبْدِلْهُ دارا خيراً مِنْ دَارِه ، وَأَهْلاً خَيّراً منْ أهْلِهِ، وزَوْجاً خَيْراً منْ زَوْجِهِ ، وأدْخِلْه الجنَّةَ ، وَأَعِذْه منْ عَذَابِ القَبْرِ ، وَمِنْ عَذَابِ النَّار ..
    اللهم آمين يارب العالمين

  • @mohammedjumakhamis8151
    @mohammedjumakhamis8151 3 года назад +14

    Shk Nassor Bachu rahimahullah

  • @aminaibrahim7175
    @aminaibrahim7175 3 года назад +3

    I love shekh nassor bachu, Allah amjaalie jannatul firdous

  • @ahmadisaid9304
    @ahmadisaid9304 2 года назад

    Wallahi machozi yamenitoka Allah akupe nuru shekhe wangu sichoki kusikiliza maneno matamu kabisa ya shekhe wangu naona kama yuhai Allah akupe pepeo amin

  • @ummuwawili
    @ummuwawili Год назад

    Alhamndulillah waswalatu wassalam ghalaa sayyidina MUHAMMAD (s.a.w) waghalla alihi waswahabihii al iqram.......Yaa Rabbi mwenyeezi MUNGU wetu mtukufu uliyeumba mbingu na ardhi pmj na kila kilichomo, Ya RABBI nakuomba msamehe makosa yake sheikh NASSOR BACHU, umsamehe makosa yake, umtanulie kaburi lake, umueke jirani na kipenzi chetu MUHAMMAD (S.a.w) pamoja na wema waliotangulia, umvishe mavazi ya peponi na umjaalie pepo ya daraja la mwanzo kuwa ni makazi yake! kisha mjaalie na umlipe kheri sheikh NURDIN KISHKI pamoja na familia yake, umfanyie wepes ktk kila jambo lake, umzidishie subra pale anapokwazika au kuchoka, umjaalie kizazi chema, umpunguzie machofu na kila jema nlilosahau kulisema haa Rabby uwajaalie na utuongoze sote waislam kuyafanyia kazi wanayotukumbusha......uwarehemu maiti wetu wote waiotangulia na maiti wa kiislam, utusamehe makosa yetu ya vizazi vilivyopita tulivyopo na vitakavyotokana na sisi.......tujaalie kudumu ktk ibada sisi na vizazi vyetu......amin yarablghalamin....

  • @BABYRAMAMINA-rj4vy
    @BABYRAMAMINA-rj4vy Год назад

    Mashaallah namuomba mungu ampe afuen ya haraka na kishk mungu amhidi na wototo wa kisilamu inshaallah

  • @Fahad_alves1212
    @Fahad_alves1212 4 месяца назад

    Ila Shekh Nassor alikua anachukia sana haya mambo yakutukuzwa tukuzwa kama hivi anavofanyiwa sh Kishki Allah awahifadhi wote inshallah

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 3 года назад +5

    Allah amrehemu amjalie pepo firdous iwe makaaz yake yey Pamoja na masheik wote waliotangulia

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 3 года назад +2

    Allah amrehem sheikh nasor bachu na waislam wote waliotangulia mbele za haki!...huu ni upendo wa juu xana

  • @abouswaleh7375
    @abouswaleh7375 3 года назад +30

    NAMPENDA SAANA sheikh bachu😭😭😭😭😭😭😭😭... ALLAH amuonee HURUMA YEYE Na SISI viumbe dhaifu

    • @radhiambwana8787
      @radhiambwana8787 3 года назад +1

      Yaan mie kanibadilisha moja kwa moja Nasoro bachu hakika anafungu kubwa mno.

    • @ibnzabura4433
      @ibnzabura4433 3 года назад +3

      wallah moja ktk mashekhe walionitoa gizani na kunileta ktk nuru ni huyu kipenzi wa waislam si tu Tanzania au est Africa lakini arabuni na kwengine duniani ni sheikh nasro bacho Allah amrehemu na wanachuoni wengine wote wa dini hii tukufu.

    • @zezezeze8408
      @zezezeze8408 3 года назад +3

      Ameen ya Rabb l Alameen.......mm nampenda haswaaa maana nikiskia mawaidha yake najifunza mengi ....Allah ampe nuru kwenye qabri lake ....Ameen

    • @ahmadsaid5845
      @ahmadsaid5845 3 года назад +1

      Duh kumbe tupo wengi nassor bachu nampenda kuliko maelezo natamani ningalihudhuria darsa zake moja kwamoja...mana huyu jmaa aliiisimamia haki kisawasawa na anajua kufanya daawa..maashallah huyu jamaa ni jamaa aliejaaliwa b

    • @صالحهصالحهالحربي
      @صالحهصالحهالحربي 3 года назад +1

      Mashalla.shekh.nurdin.mungu.awape.mwishomwema

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 3 года назад +1

    😭😭😭Sheikh Bachu allah akupe kheri na baraka huko uliko nawapendeni saaaaaaaaana pamoja na al Akhi kishki MaashaaAllah Machozi yanitoka😭😭 nafuraha inaniongezeka saaaaana MaashaaAllah MaashaaAllah MaashaaAllah

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 3 года назад +2

    Sheikh Nassor Bachu.. Mzinduzi wa nyoyo za WAISLAM kuamkiana KIISLAM(Asalaam alaykum)! Allah ghfir lahu. Wa rhamhu. Wa skanhu fil Jannat. Amin!

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 3 года назад +2

    Allah marham kipenzi chawengi ninawapenda kwa ajili ya Allah namuomba Allah atukutanishe ndani yapepo tul Firidaus

  • @professerayyub4825
    @professerayyub4825 3 года назад

    Allah amjalie both masheikh wetu kishki na mkongwe sheikh wetu mwalimu mwetu sheikh fetheran nassor bachu.....walai I never us d to get tired of his daa'wah Allah hifdhak wote maa sheikh wetu inshaAllah 🙏♥️

  • @ndalusanzekassim5902
    @ndalusanzekassim5902 3 года назад

    Mashallah! Mwenyezimungu amjalie kauli thabit shekh Nassoro Bachu yarab ameen

  • @daatyabdul652
    @daatyabdul652 3 года назад +1

    waallah nampenda shekhe bachu
    Allah amsamehe na ampe pepo ya daraja ya juu

  • @faizahamim2799
    @faizahamim2799 3 года назад +1

    Manshallah ALLAH ampe shifaa sheikh nassor bachu amzidishiye afya na pia masheikh wetu nyoote ALLAH akujaaliyeni mwisho mwema insha ALLAH

    • @naimaally7072
      @naimaally7072 3 года назад +2

      Sheikh nassor bachu ni maruhum mda mrefu sana takriban miaka kumi au kumi na moja Allah amrahamu

    • @faizahamim2799
      @faizahamim2799 3 года назад +2

      @@naimaally7072 Kweli? ALLAH amrehem amfunguliye milango ya pepo firdaus insha ALLAH

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад

    Inalillahi wainailahi rajuun shehe Nnasor Allah akujaalie pepo lnshallah umetuachia mawaiza yanatufundisha Allhamdulillah utazani upo Hai ❤️❤️❤️❤️😭😭😭😭

  • @أمخالدالعلوية
    @أمخالدالعلوية 3 года назад +8

    رحم الله شيخ ناصر باش وأسكنه فسيح جناته، وحفظ الله شيخ نور الدين كشك من كل شر الدنيا والآخرة.

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 3 года назад +9

    Innahillahih wainnalillah rajhun Allah amjalie makazi mema 🙏🙏

  • @hatengekimanaajml7230
    @hatengekimanaajml7230 3 года назад

    Allah warehemu kwahurumawako masheikh walotanguliya beleyakhaki inshallah nasitukonyima

  • @tundahatibu6738
    @tundahatibu6738 3 года назад +2

    Sheikh nasoro bacho mungu amrehem nampenda Sana kwa ajili ya Allah

  • @SaniaNana-hn6dp
    @SaniaNana-hn6dp Год назад

    Allah atukutanishe nae sh.wetu nasoro bachu! kesho yaumulkiyama katika rehema zake pana.

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 2 года назад

    Allah akurehemu shaykh nassor bachu wasia uliompa nordin kishk haufuata baada kwa sasa amekuwa Ansari sunn baada ya kuwa salafiyyah Allah amuongoze kama alivyokuwa nassor bachu mtu wa sunnah

  • @Fahad_alves1212
    @Fahad_alves1212 4 месяца назад

    2008 hii siku nilisali nje kabisa msikitini Skh Nassor alikua tayar umeanza kuumwa hapa na alikua hapandi membar tena "ALLAHUMA IGHFIRLAHU WARHAMHU" 🙏

  • @leilazulpha3205
    @leilazulpha3205 3 года назад

    Masha Allah tunakupenda sana sheikh wetu Allah akupe umri mrefu mwenye mafanikio uzidi kutuongaza

  • @Ali-gk5mv
    @Ali-gk5mv 3 года назад

    Innailahy wainna ilehy rajiuni,,Allah Awaeke Masheikh Wetu Wote waliotangulia Mbele ya haki pahali pema kwenye wema peponi

  • @yoramabubakar8012
    @yoramabubakar8012 2 года назад

    Allah amumiminie kila la kheri kwe kaburi yaka shekh nasor bachu

  • @muddyyussuf
    @muddyyussuf 3 года назад +4

    Allah ampe pepo za darja ya juu Sheikh Nassor Bachu

  • @saidihamadi6110
    @saidihamadi6110 7 месяцев назад

    M/Mungu amlipe malipe malipo mema, yani nampenda sana Sh Nasir bachu

  • @ShSh-my8cw
    @ShSh-my8cw 3 года назад

    Mungu ailaze roho yke mahal pema peponi, shekh nassor bachu

  • @mussakisope7207
    @mussakisope7207 7 месяцев назад

    Mchango wa sheikh nassor bachu katika dini hii ya kiislam afrika mashariki Allah ampe qauli thabit na pepo ya firdausi kama mtume alivyosema ukimuombea dua ya pepo tafadhali muombee dua ya firdausi

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 3 года назад

    Allah amueke firdaus ,na wote waliokua wanafunzi wake Allah awalipe firdaus n waislamu wooote waliomkubal mtume,Aamin

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Год назад +1

    Masikini bachu wallahi bachu hata hakuwa na mikogo kama mliyoendanayo nyie na paka leo hajapatikana wa kuvaa viatu vyake inshallah tunamuomba Allah atupatie mfano wake wallahi masheikh sasa hivi wengi wanapambana na dunia tu.

  • @umyusuphumyusuph5706
    @umyusuphumyusuph5706 3 года назад

    Mungu mrehem sheheachu umraham nababa angu nawaislam wote waliotutangulia mbelel yahaki

  • @ibnkhaldun1164
    @ibnkhaldun1164 3 года назад +2

    Allah amrehemu sheikh Nassor Abdullah Bachoo. Kwa hakika nimestafeed vitu vingi Kwake.

  • @alimsabah4921
    @alimsabah4921 3 года назад

    Mashalla ALLAH amrehem sheikh Nassor maalim daayy mkubwa Afrika Mashariki Sheikh Nurdiin umeshuka Sana kwwnye daawa jitahd urud Kama mwanzon

  • @awadhhadi446
    @awadhhadi446 3 года назад +1

    Allah awasamehe mashekhe wetu waliotangulia mbele ya haki amin amin amin

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад

    MashaAllah Allah akuzidishie kheri nyngi kipenz cha Allah she Nurdinn...

  • @aminaalli2287
    @aminaalli2287 3 года назад +3

    Namlenda sana shekh nasoor bachu..Allah umuondolee mchanga wa macho

  • @kassimugulumu5460
    @kassimugulumu5460 3 года назад +1

    Allah awahifadhi mashekhe wetu na c c pia.

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 3 года назад

    Umma wakiisilamu Nafurahi saana nikiwaona mmeshikamana pamoja alafu nampongeza saaana mtangazaji wa sheikh kishki kumbe ukonae muda mrefu tangia Almarhuum Sheikh wetu Bachu Nae mungu amjaalie kwakuifanya kazi ya dini kwa muda mrefu na ajaalie tukiwa peponi InshaaAllah Awe ni mwenye kupendeza na mwenye milk ya vizuri vingi kuzid ss maamuma. Minanapenda woote jamani #_bi_idhnillah allah awakinge na hila za wanaafiqi wa ndani ya uisilamu na walionje ya uisilamu 🤲Allahumma Taqabbal duaaaa🙏

  • @nazarethally9509
    @nazarethally9509 Год назад

    Mwenyezimungu amrehemu shekh nasoro bachu

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад +1

    Sas hiz video zilifutwa ee au zulikua hazijawekwa youtube Mashallah mwil unanisisimka watu wanavomfurahikia Sheikh nurdin kishk😍Nimefurah kumuon Sheikh Nassor bachu kipind amekuf mim nilikua nimdogo Mama ang alilia Sana alikua nimpenz wake Sana anamfatilia sana Sheikh Nassor Bachu Alhmdulillah Allah amlaze pema pamoja na wema😭😭😭😭😭👐

    • @canavarovaro9436
      @canavarovaro9436 3 года назад +1

      mungu amrehemu sheikh nassor bachu pamoja nasisi sote

    • @abdallahkhator4878
      @abdallahkhator4878 3 года назад

      Mbn munatusumbua shk bachu amefariki zamn na hii video inasiku tatu

    • @jumasaid1374
      @jumasaid1374 3 года назад +1

      Mi nilijua bado anaumwa kumbe aliisha farik duh sheikh buchu mwenyezi mungu amuangazie nuru

    • @bintsalimalbimany5340
      @bintsalimalbimany5340 3 года назад

      @@jumasaid1374 Ammin yarab😭😭😭👐Maziko yake uyo nayy alipata Watu Mashallah tulion CD yake

    • @bintsalimalbimany5340
      @bintsalimalbimany5340 3 года назад

      @@canavarovaro9436 Ammin yarab👐👐

  • @rahmamakwisa4089
    @rahmamakwisa4089 3 года назад +2

    Kiukweli mmenichanganya muwe mnaandika kua ni ya mda gani...
    maaan ....nilikua najiuliza hy shekhe bachu ameisha fariki.....
    Allah amrehemu shekhe wetu........😢
    Asanten mlio comment.....

  • @suleimankhatibjogoo7236
    @suleimankhatibjogoo7236 3 года назад

    Allah amrehemu sheikh wetu SH NASSOR BACHU

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад

    Maashaallah tabarakallah shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi wajaza kumullah khaira

  • @aishafarah2456
    @aishafarah2456 3 года назад +6

    Allah amraham Sheikh wetu Nassor Bacho

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад +6

    Mashaallah mashaallah Allah amrehem shekhe nasoro Bach

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 3 года назад

      😭😭😭😭😭NAMPENDA SAANA WALLAH😭😭😭

  • @الفردوس-ن6غ
    @الفردوس-ن6غ 3 года назад +7

    Maasha'allaah Allaah amrehemu Sh Bacho

  • @mohdsultan130
    @mohdsultan130 3 года назад

    Allah atujaalie mwisho mwema sisi si chochote si lolote mbele yake allah subhaanahu wataala

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад +6

    Shekhewetu kishk Allah akupe umri mrefu

  • @sabrinayounisaden7238
    @sabrinayounisaden7238 3 года назад +3

    May Allah Almaighty have mercy on his soul (shiekh naseer bachu) i was in Tanzania when he passed away .

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 3 года назад +1

    Sheikh nassor bachu allah amhifadhi na amsamehe makosa yake

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 3 года назад

    Masha Allah machozi yananitoka kwa furaha Allah awafanyie wepesi kwalkila jambo ma sheikh wetu 🤲🤲❤❤

  • @abubakarmeena6429
    @abubakarmeena6429 3 года назад

    Sheikh nassor bachu ewe Allah mrehemu sheikh wetu nassor bachu

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 года назад

    Allah,atukutanishe peponi,pamoja na mtume wetu Muhammad s.a.w Aamiin

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 3 года назад +1

    Mashaallah mashaallah mungu awajalie upendo yote lnshaallah

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 2 года назад

    Allah amsamehe makosa yke Amin. Pepo ya firdous .

  • @Mwadaba
    @Mwadaba 2 года назад

    Innalillah wainnaillah rajiun sheikh NASSOR BACHU

  • @shk.yussufsalafizanzibar5182
    @shk.yussufsalafizanzibar5182 3 года назад +2

    Masha Allah... huyu ni sheikh mkubwa sana huku kwetu zanzibar

  • @mariamkingazi6416
    @mariamkingazi6416 3 года назад

    Kwa hakika alikua chuma cha mawaidha. Kama mwenyewe shekh kishki. Allah amuhifidhi shekh bacho huko aliko. Na pia akuhifadhi shekh Kishk duniani na akhera

  • @abdallahjuma4397
    @abdallahjuma4397 3 года назад +10

    Ni ngumu kwangu kupitisha siku bila kumsikiliza Alsheikh Nassoro Bachu, Allah amrehemu namuomba Allah anikutanishe naye peponi

    • @yahayaamiri1253
      @yahayaamiri1253 3 года назад

      AMIN, Naimani ALLAH atakapoijibu dua hii atanipa mithili ya wewe ulivyomwomba

    • @yahayaamiri1253
      @yahayaamiri1253 3 года назад

      AMIN, Naimani ALLAH atakapoijibu dua hii atanipa mithili ya wewe ulivyomwomba

  • @khamismachu9612
    @khamismachu9612 3 года назад

    Mashaallah yan Sauti ya sheikh Nassor Bachu inaingia moyon asa

  • @mbwanabaruti7496
    @mbwanabaruti7496 3 года назад

    Allah amrehemu Shekhe Nassor Bachu .AllahAmjalie na mtia nguvu shekh Nurdin Kshki kataka kulingania Dini

    • @staffabasi5107
      @staffabasi5107 3 года назад

      Ckuhizi wamegeuka masheikh maandazi serikali imekuwa juu ya dini

  • @abouhafs2891
    @abouhafs2891 3 года назад

    Allah amrahamu shiekh Nassor Bachu....azidi kumkundulia kabri lake

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад

    Allah amrehem shekh wetu bachu

  • @ashalaurent4722
    @ashalaurent4722 3 года назад +2

    Mungu ampe pepo ya firdau shek wetu nasoro bachu nakumbuka samawadha yake hasw yandoa

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад

    Nawewe aaalllah akuhifadhi namahasidi nur amin yarrab

  • @saadikibinjazaa1511
    @saadikibinjazaa1511 3 года назад +2

    Shekhe Nasoro Abdullah Bachu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Allah akusamehe makosa yako

  • @salumswaleh7058
    @salumswaleh7058 3 года назад +1

    Allah amjaalie makazi mema peponi amiin

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 3 года назад

    Mapenzi kwa ajili ya Allah.....Maa shaa Allah

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 года назад +4

    BACHO MWANAZUONI..ALLAH KAMCHUKUA ....PEPONI KWA REHMA ZA ALLAH

  • @hilalakida7016
    @hilalakida7016 3 года назад +1

    Mashaallah shekh nasoro Allah akuifadhi inshaAllah aitie nuru kabri yake

  • @omanbarka2053
    @omanbarka2053 3 года назад +5

    Nasoro bachu Allah amrehemu napenda sana mawaidha yake

  • @ibrahimmasoud8385
    @ibrahimmasoud8385 3 года назад

    Mwenyiz mungu amrehem shekhe nasoro bachu

  • @mustayoo
    @mustayoo 7 месяцев назад

    Hadi leo hakuna anaemfika bachu..Allah alimpa kipawa sheikh nassor bachu.Allah amlipe pepo ya firdaus

  • @khamisjuma9050
    @khamisjuma9050 3 года назад +1

    Mungu amjalie kabur lake liwe ni la heri

  • @rashidmusasaid7423
    @rashidmusasaid7423 3 года назад +1

    Allah amrehemu shekh Nassor bachu

  • @bigirimanaazza6778
    @bigirimanaazza6778 2 года назад

    Mashaallah Allah amrehemu nassor bacu

  • @assoumantuyishime6840
    @assoumantuyishime6840 3 года назад +3

    Ma sha allah nashukr Sana kumuona muze wetu sheikh nasoro bacu allah amupe shifa isha allah naomba number yake muze nasoro

    • @abdillahaliy8018
      @abdillahaliy8018 3 года назад

      Sheikh nassor ni marehem Allah amraham kashakufa kwa mda wa miaka haipungui 8

    • @khamissimai1477
      @khamissimai1477 3 года назад

      ss ww unaeomba namba yake c umeshaambiwa kuwa alishafariki? Hebu tumieni akili hii ni record ya zamani sn ila imeuplodiwa asaiv , walikuja sheikh kishk na timu yake nakumbuka alikuja mpk masjid sahaba akatoa mhadhara na marehemu alikuwepo pia

  • @ShenuroJumaAbdi
    @ShenuroJumaAbdi 11 месяцев назад

    Ahamdulilah twamshukuru Alah

  • @habibuchipeka7934
    @habibuchipeka7934 3 года назад

    No one like bachu ktk daawa tz mzima

  • @fikraonlinetv.5022
    @fikraonlinetv.5022 3 года назад

    ALLAAH atuelimishe...aamiin.

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад +1

    Aaalllah waarehem wote walo tanguliya amin

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад

    Mashallah