Ya Rabiii muweke Sheikh nasoor bachu katika pepo ya Firdausi nuzulah ya Allah msamehe Kwa yake mapungufu kwani hakuna Alo kamilika ispokuwa wewe amiin 🤲 ya Allah
😢😢😭wanllah sijapatapo kumsikiliza na kumuelewa shekh yeyote ispokua shekhe nasoro bachu Allah amlipe maripo makubwa mno juu ya mawaidha yake yanayoishi kiboko ya washirikina na wapenda vya kuzusha
MAASHALLAH SHEIKH NASSOR BACHU Al maaruf SIMBA WA MIMBAR AFRIKA MASHARIKI NA KATI ALLAH AKUWEKE PAMOJA NA WEMA WALIO TANGULIA Inna lilah Wainna Ilayh Raajiuun.
INNALILLAHY wainna ilayhi raajiun. Ukiskiliza Daawaa ya Marhoum Sheikh Nassor utahis kua kama imerikodiwa masaa machache.. DUA YA MWENYE KUDHULUMIWA MALEZI YA WATOTO AHKAAM JANAIZ RIYAADH SWAALIHYN... Allah amjalie nuru ktk kbri yake.....
MashaAllah,Allah amjaaliye sheikh Nurdin kishk maisha marefu na afya njema,Allah amrehemu sheikh Nassor bachu na amjaaliye Jannatul firdaus iwe makao yake
Allah nimlinzi mkubwa kwawaja wake na tunakuomba utujaalie kher nyinyi sisi pamoja na masheikh zetu, na vilevile umlehemu Sheikh wetu Nassoro Bachu, pamoja na marehemu wengine waliotangualia mbele za haq, Allahuma aamiin.
Wallahi machozi yamenitoka Allah akupe nuru shekhe wangu sichoki kusikiliza maneno matamu kabisa ya shekhe wangu naona kama yuhai Allah akupe pepeo amin
Alhamndulillah waswalatu wassalam ghalaa sayyidina MUHAMMAD (s.a.w) waghalla alihi waswahabihii al iqram.......Yaa Rabbi mwenyeezi MUNGU wetu mtukufu uliyeumba mbingu na ardhi pmj na kila kilichomo, Ya RABBI nakuomba msamehe makosa yake sheikh NASSOR BACHU, umsamehe makosa yake, umtanulie kaburi lake, umueke jirani na kipenzi chetu MUHAMMAD (S.a.w) pamoja na wema waliotangulia, umvishe mavazi ya peponi na umjaalie pepo ya daraja la mwanzo kuwa ni makazi yake! kisha mjaalie na umlipe kheri sheikh NURDIN KISHKI pamoja na familia yake, umfanyie wepes ktk kila jambo lake, umzidishie subra pale anapokwazika au kuchoka, umjaalie kizazi chema, umpunguzie machofu na kila jema nlilosahau kulisema haa Rabby uwajaalie na utuongoze sote waislam kuyafanyia kazi wanayotukumbusha......uwarehemu maiti wetu wote waiotangulia na maiti wa kiislam, utusamehe makosa yetu ya vizazi vilivyopita tulivyopo na vitakavyotokana na sisi.......tujaalie kudumu ktk ibada sisi na vizazi vyetu......amin yarablghalamin....
wallah moja ktk mashekhe walionitoa gizani na kunileta ktk nuru ni huyu kipenzi wa waislam si tu Tanzania au est Africa lakini arabuni na kwengine duniani ni sheikh nasro bacho Allah amrehemu na wanachuoni wengine wote wa dini hii tukufu.
Duh kumbe tupo wengi nassor bachu nampenda kuliko maelezo natamani ningalihudhuria darsa zake moja kwamoja...mana huyu jmaa aliiisimamia haki kisawasawa na anajua kufanya daawa..maashallah huyu jamaa ni jamaa aliejaaliwa b
😭😭😭Sheikh Bachu allah akupe kheri na baraka huko uliko nawapendeni saaaaaaaaana pamoja na al Akhi kishki MaashaaAllah Machozi yanitoka😭😭 nafuraha inaniongezeka saaaaana MaashaaAllah MaashaaAllah MaashaaAllah
Allah amjalie both masheikh wetu kishki na mkongwe sheikh wetu mwalimu mwetu sheikh fetheran nassor bachu.....walai I never us d to get tired of his daa'wah Allah hifdhak wote maa sheikh wetu inshaAllah 🙏♥️
Allah akurehemu shaykh nassor bachu wasia uliompa nordin kishk haufuata baada kwa sasa amekuwa Ansari sunn baada ya kuwa salafiyyah Allah amuongoze kama alivyokuwa nassor bachu mtu wa sunnah
Mchango wa sheikh nassor bachu katika dini hii ya kiislam afrika mashariki Allah ampe qauli thabit na pepo ya firdausi kama mtume alivyosema ukimuombea dua ya pepo tafadhali muombee dua ya firdausi
Masikini bachu wallahi bachu hata hakuwa na mikogo kama mliyoendanayo nyie na paka leo hajapatikana wa kuvaa viatu vyake inshallah tunamuomba Allah atupatie mfano wake wallahi masheikh sasa hivi wengi wanapambana na dunia tu.
Umma wakiisilamu Nafurahi saana nikiwaona mmeshikamana pamoja alafu nampongeza saaana mtangazaji wa sheikh kishki kumbe ukonae muda mrefu tangia Almarhuum Sheikh wetu Bachu Nae mungu amjaalie kwakuifanya kazi ya dini kwa muda mrefu na ajaalie tukiwa peponi InshaaAllah Awe ni mwenye kupendeza na mwenye milk ya vizuri vingi kuzid ss maamuma. Minanapenda woote jamani #_bi_idhnillah allah awakinge na hila za wanaafiqi wa ndani ya uisilamu na walionje ya uisilamu 🤲Allahumma Taqabbal duaaaa🙏
Sas hiz video zilifutwa ee au zulikua hazijawekwa youtube Mashallah mwil unanisisimka watu wanavomfurahikia Sheikh nurdin kishk😍Nimefurah kumuon Sheikh Nassor bachu kipind amekuf mim nilikua nimdogo Mama ang alilia Sana alikua nimpenz wake Sana anamfatilia sana Sheikh Nassor Bachu Alhmdulillah Allah amlaze pema pamoja na wema😭😭😭😭😭👐
Kwa hakika alikua chuma cha mawaidha. Kama mwenyewe shekh kishki. Allah amuhifidhi shekh bacho huko aliko. Na pia akuhifadhi shekh Kishk duniani na akhera
ss ww unaeomba namba yake c umeshaambiwa kuwa alishafariki? Hebu tumieni akili hii ni record ya zamani sn ila imeuplodiwa asaiv , walikuja sheikh kishk na timu yake nakumbuka alikuja mpk masjid sahaba akatoa mhadhara na marehemu alikuwepo pia
Allah awajaalie waliokua katika huu smikitu wote waliotangulia mbele yahakk Awajaalie minalfaizin na sisi tuko nyuma yao atupe mwish mwema👐👐👐😭
Ameen thumma ameen
Aaaaamiiiin
Aamin Aamin
Wallahi nilikosa bahati kubwa ya kuonana na shk Nassor Bachu ya!Allah tujaalie tuonane pamoja peponi
Amn amn
Alahuma aamiin
Amiin
@@sakinat2527 assalam aleikum
@@ibrahimabadi6498 wa alaykum salaam
Sheikh wangu bora kwa miaka yote Nassro Bachu, Allah amjaaalie malipo mema
Mashallah Allah atuzidishie furaha amrehemu sheikh nasoor bachu amlaze pema penye wema peponi
Ameen....
Amiiin
Ya Rabiii muweke Sheikh nasoor bachu katika pepo ya Firdausi nuzulah ya Allah msamehe Kwa yake mapungufu kwani hakuna Alo kamilika ispokuwa wewe amiin 🤲 ya Allah
😢😢😭wanllah sijapatapo kumsikiliza na kumuelewa shekh yeyote ispokua shekhe nasoro bachu Allah amlipe maripo makubwa mno juu ya mawaidha yake yanayoishi kiboko ya washirikina na wapenda vya kuzusha
MAASHALLAH SHEIKH NASSOR BACHU Al maaruf SIMBA WA MIMBAR AFRIKA MASHARIKI NA KATI ALLAH AKUWEKE PAMOJA NA WEMA WALIO TANGULIA Inna lilah Wainna Ilayh Raajiuun.
INNALILLAHY wainna ilayhi raajiun.
Ukiskiliza Daawaa ya Marhoum Sheikh Nassor utahis kua kama imerikodiwa masaa machache..
DUA YA MWENYE KUDHULUMIWA
MALEZI YA WATOTO
AHKAAM JANAIZ
RIYAADH SWAALIHYN...
Allah amjalie nuru ktk kbri yake.....
Amin Allah ampe ma
Kazi mema shehe wetu huko aliko nasoro bachu na shehe kish ampe afia njema na uwezo Zaid azid kutufuza
maashaAllah Mwenyezi Mungu amrehemu sheikh wetu sheikh NASSOR BACHU, NA awaongoze mashekhe wetu ,awape afya ili tuzidi kupate neema ya ilmu
MashaAllah,Allah amjaaliye sheikh Nurdin kishk maisha marefu na afya njema,Allah amrehemu sheikh Nassor bachu na amjaaliye Jannatul firdaus iwe makao yake
Mashallah mashallah Allah barqi masheikh wetu allah awajaliye afya njema awaifadhi awape furaha ya dunia mpaka kesho akhera allahuma meen 🤲
Allahumma Amiin🙏
Allahummaghufirlahu warhamhu
Allah nimlinzi mkubwa kwawaja wake na tunakuomba utujaalie kher nyinyi sisi pamoja na masheikh zetu, na vilevile umlehemu Sheikh wetu Nassoro Bachu, pamoja na marehemu wengine waliotangualia mbele za haq, Allahuma aamiin.
^INSHAALLAH^ ^ALLAH^{Subhaanahuu Wataala} AMREHEMU Sheikh Wetu, Na Ampe 'JANNATUL-FIRDAUS' AMEEN!!!!!
😭😭😭🤲 Allahumma Amiin🙏
Allahumma Amiin
Amiiiiiiiiiiiiiiiiin
Ameen
Allah amrehemu sheikh Nassor Bachu. Allahumma Amin
انا لله وانا اليه راجعون
اللَّهُمَّ اغْفِرْ لَهُ ، وارْحمْهُ ، وعافِهِ ، واعْفُ عنْهُ ، وَأَكرِمْ نزُلَهُ ، وَوسِّعْ مُدْخَلَهُ واغْسِلْهُ بِالماءِ والثَّلْجِ والْبرَدِ ، ونَقِّه منَ الخَـطَايَا، كما نَقَّيْتَ الثَّوب الأبْيَضَ منَ الدَّنَس ، وَأَبْدِلْهُ دارا خيراً مِنْ دَارِه ، وَأَهْلاً خَيّراً منْ أهْلِهِ، وزَوْجاً خَيْراً منْ زَوْجِهِ ، وأدْخِلْه الجنَّةَ ، وَأَعِذْه منْ عَذَابِ القَبْرِ ، وَمِنْ عَذَابِ النَّار ..
اللهم آمين يارب العالمين
Shk Nassor Bachu rahimahullah
I love shekh nassor bachu, Allah amjaalie jannatul firdous
Kwani alikufa lini
Sheikh nassor bachu kafariki mwaka 2013
Wallahi machozi yamenitoka Allah akupe nuru shekhe wangu sichoki kusikiliza maneno matamu kabisa ya shekhe wangu naona kama yuhai Allah akupe pepeo amin
Alhamndulillah waswalatu wassalam ghalaa sayyidina MUHAMMAD (s.a.w) waghalla alihi waswahabihii al iqram.......Yaa Rabbi mwenyeezi MUNGU wetu mtukufu uliyeumba mbingu na ardhi pmj na kila kilichomo, Ya RABBI nakuomba msamehe makosa yake sheikh NASSOR BACHU, umsamehe makosa yake, umtanulie kaburi lake, umueke jirani na kipenzi chetu MUHAMMAD (S.a.w) pamoja na wema waliotangulia, umvishe mavazi ya peponi na umjaalie pepo ya daraja la mwanzo kuwa ni makazi yake! kisha mjaalie na umlipe kheri sheikh NURDIN KISHKI pamoja na familia yake, umfanyie wepes ktk kila jambo lake, umzidishie subra pale anapokwazika au kuchoka, umjaalie kizazi chema, umpunguzie machofu na kila jema nlilosahau kulisema haa Rabby uwajaalie na utuongoze sote waislam kuyafanyia kazi wanayotukumbusha......uwarehemu maiti wetu wote waiotangulia na maiti wa kiislam, utusamehe makosa yetu ya vizazi vilivyopita tulivyopo na vitakavyotokana na sisi.......tujaalie kudumu ktk ibada sisi na vizazi vyetu......amin yarablghalamin....
Mashaallah namuomba mungu ampe afuen ya haraka na kishk mungu amhidi na wototo wa kisilamu inshaallah
Ila Shekh Nassor alikua anachukia sana haya mambo yakutukuzwa tukuzwa kama hivi anavofanyiwa sh Kishki Allah awahifadhi wote inshallah
Allah amrehemu amjalie pepo firdous iwe makaaz yake yey Pamoja na masheik wote waliotangulia
Allah amrehem sheikh nasor bachu na waislam wote waliotangulia mbele za haki!...huu ni upendo wa juu xana
Alikufa lini
NAMPENDA SAANA sheikh bachu😭😭😭😭😭😭😭😭... ALLAH amuonee HURUMA YEYE Na SISI viumbe dhaifu
Yaan mie kanibadilisha moja kwa moja Nasoro bachu hakika anafungu kubwa mno.
wallah moja ktk mashekhe walionitoa gizani na kunileta ktk nuru ni huyu kipenzi wa waislam si tu Tanzania au est Africa lakini arabuni na kwengine duniani ni sheikh nasro bacho Allah amrehemu na wanachuoni wengine wote wa dini hii tukufu.
Ameen ya Rabb l Alameen.......mm nampenda haswaaa maana nikiskia mawaidha yake najifunza mengi ....Allah ampe nuru kwenye qabri lake ....Ameen
Duh kumbe tupo wengi nassor bachu nampenda kuliko maelezo natamani ningalihudhuria darsa zake moja kwamoja...mana huyu jmaa aliiisimamia haki kisawasawa na anajua kufanya daawa..maashallah huyu jamaa ni jamaa aliejaaliwa b
Mashalla.shekh.nurdin.mungu.awape.mwishomwema
😭😭😭Sheikh Bachu allah akupe kheri na baraka huko uliko nawapendeni saaaaaaaaana pamoja na al Akhi kishki MaashaaAllah Machozi yanitoka😭😭 nafuraha inaniongezeka saaaaana MaashaaAllah MaashaaAllah MaashaaAllah
Sheikh Nassor Bachu.. Mzinduzi wa nyoyo za WAISLAM kuamkiana KIISLAM(Asalaam alaykum)! Allah ghfir lahu. Wa rhamhu. Wa skanhu fil Jannat. Amin!
Allah marham kipenzi chawengi ninawapenda kwa ajili ya Allah namuomba Allah atukutanishe ndani yapepo tul Firidaus
Allah amjalie both masheikh wetu kishki na mkongwe sheikh wetu mwalimu mwetu sheikh fetheran nassor bachu.....walai I never us d to get tired of his daa'wah Allah hifdhak wote maa sheikh wetu inshaAllah 🙏♥️
Mashallah! Mwenyezimungu amjalie kauli thabit shekh Nassoro Bachu yarab ameen
waallah nampenda shekhe bachu
Allah amsamehe na ampe pepo ya daraja ya juu
Manshallah ALLAH ampe shifaa sheikh nassor bachu amzidishiye afya na pia masheikh wetu nyoote ALLAH akujaaliyeni mwisho mwema insha ALLAH
Sheikh nassor bachu ni maruhum mda mrefu sana takriban miaka kumi au kumi na moja Allah amrahamu
@@naimaally7072 Kweli? ALLAH amrehem amfunguliye milango ya pepo firdaus insha ALLAH
Inalillahi wainailahi rajuun shehe Nnasor Allah akujaalie pepo lnshallah umetuachia mawaiza yanatufundisha Allhamdulillah utazani upo Hai ❤️❤️❤️❤️😭😭😭😭
رحم الله شيخ ناصر باش وأسكنه فسيح جناته، وحفظ الله شيخ نور الدين كشك من كل شر الدنيا والآخرة.
امين
Ameen
Innahillahih wainnalillah rajhun Allah amjalie makazi mema 🙏🙏
Allah warehemu kwahurumawako masheikh walotanguliya beleyakhaki inshallah nasitukonyima
Sheikh nasoro bacho mungu amrehem nampenda Sana kwa ajili ya Allah
Allah atukutanishe nae sh.wetu nasoro bachu! kesho yaumulkiyama katika rehema zake pana.
Allah akurehemu shaykh nassor bachu wasia uliompa nordin kishk haufuata baada kwa sasa amekuwa Ansari sunn baada ya kuwa salafiyyah Allah amuongoze kama alivyokuwa nassor bachu mtu wa sunnah
2008 hii siku nilisali nje kabisa msikitini Skh Nassor alikua tayar umeanza kuumwa hapa na alikua hapandi membar tena "ALLAHUMA IGHFIRLAHU WARHAMHU" 🙏
Masha Allah tunakupenda sana sheikh wetu Allah akupe umri mrefu mwenye mafanikio uzidi kutuongaza
Innailahy wainna ilehy rajiuni,,Allah Awaeke Masheikh Wetu Wote waliotangulia Mbele ya haki pahali pema kwenye wema peponi
Allah amumiminie kila la kheri kwe kaburi yaka shekh nasor bachu
Allah ampe pepo za darja ya juu Sheikh Nassor Bachu
M/Mungu amlipe malipe malipo mema, yani nampenda sana Sh Nasir bachu
Mungu ailaze roho yke mahal pema peponi, shekh nassor bachu
Mchango wa sheikh nassor bachu katika dini hii ya kiislam afrika mashariki Allah ampe qauli thabit na pepo ya firdausi kama mtume alivyosema ukimuombea dua ya pepo tafadhali muombee dua ya firdausi
Allah amueke firdaus ,na wote waliokua wanafunzi wake Allah awalipe firdaus n waislamu wooote waliomkubal mtume,Aamin
Aaaamina ya rabby
Masikini bachu wallahi bachu hata hakuwa na mikogo kama mliyoendanayo nyie na paka leo hajapatikana wa kuvaa viatu vyake inshallah tunamuomba Allah atupatie mfano wake wallahi masheikh sasa hivi wengi wanapambana na dunia tu.
Very true
Mungu mrehem sheheachu umraham nababa angu nawaislam wote waliotutangulia mbelel yahaki
Allah amrehemu sheikh Nassor Abdullah Bachoo. Kwa hakika nimestafeed vitu vingi Kwake.
Alikufa lini kwani
Mashalla ALLAH amrehem sheikh Nassor maalim daayy mkubwa Afrika Mashariki Sheikh Nurdiin umeshuka Sana kwwnye daawa jitahd urud Kama mwanzon
Allah awasamehe mashekhe wetu waliotangulia mbele ya haki amin amin amin
MashaAllah Allah akuzidishie kheri nyngi kipenz cha Allah she Nurdinn...
Namlenda sana shekh nasoor bachu..Allah umuondolee mchanga wa macho
Aaalllah huma amin
Allah awahifadhi mashekhe wetu na c c pia.
Umma wakiisilamu Nafurahi saana nikiwaona mmeshikamana pamoja alafu nampongeza saaana mtangazaji wa sheikh kishki kumbe ukonae muda mrefu tangia Almarhuum Sheikh wetu Bachu Nae mungu amjaalie kwakuifanya kazi ya dini kwa muda mrefu na ajaalie tukiwa peponi InshaaAllah Awe ni mwenye kupendeza na mwenye milk ya vizuri vingi kuzid ss maamuma. Minanapenda woote jamani #_bi_idhnillah allah awakinge na hila za wanaafiqi wa ndani ya uisilamu na walionje ya uisilamu 🤲Allahumma Taqabbal duaaaa🙏
Mwenyezimungu amrehemu shekh nasoro bachu
Sas hiz video zilifutwa ee au zulikua hazijawekwa youtube Mashallah mwil unanisisimka watu wanavomfurahikia Sheikh nurdin kishk😍Nimefurah kumuon Sheikh Nassor bachu kipind amekuf mim nilikua nimdogo Mama ang alilia Sana alikua nimpenz wake Sana anamfatilia sana Sheikh Nassor Bachu Alhmdulillah Allah amlaze pema pamoja na wema😭😭😭😭😭👐
mungu amrehemu sheikh nassor bachu pamoja nasisi sote
Mbn munatusumbua shk bachu amefariki zamn na hii video inasiku tatu
Mi nilijua bado anaumwa kumbe aliisha farik duh sheikh buchu mwenyezi mungu amuangazie nuru
@@jumasaid1374 Ammin yarab😭😭😭👐Maziko yake uyo nayy alipata Watu Mashallah tulion CD yake
@@canavarovaro9436 Ammin yarab👐👐
Kiukweli mmenichanganya muwe mnaandika kua ni ya mda gani...
maaan ....nilikua najiuliza hy shekhe bachu ameisha fariki.....
Allah amrehemu shekhe wetu........😢
Asanten mlio comment.....
Hata nimeshtuka et
Allah amrehemu sheikh wetu SH NASSOR BACHU
Maashaallah tabarakallah shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi wajaza kumullah khaira
Allah amraham Sheikh wetu Nassor Bacho
Mashaallah mashaallah Allah amrehem shekhe nasoro Bach
😭😭😭😭😭NAMPENDA SAANA WALLAH😭😭😭
Maasha'allaah Allaah amrehemu Sh Bacho
Allah atujaalie mwisho mwema sisi si chochote si lolote mbele yake allah subhaanahu wataala
Shekhewetu kishk Allah akupe umri mrefu
May Allah Almaighty have mercy on his soul (shiekh naseer bachu) i was in Tanzania when he passed away .
When it was??
When did he passed
Sheikh nassor bachu allah amhifadhi na amsamehe makosa yake
Masha Allah machozi yananitoka kwa furaha Allah awafanyie wepesi kwalkila jambo ma sheikh wetu 🤲🤲❤❤
Sheikh nassor bachu ewe Allah mrehemu sheikh wetu nassor bachu
Allah,atukutanishe peponi,pamoja na mtume wetu Muhammad s.a.w Aamiin
Allahumma amiin
, Allah amrahamu ailaze roho yake mahala Pema peponi
Mashaallah mashaallah mungu awajalie upendo yote lnshaallah
Allah amsamehe makosa yke Amin. Pepo ya firdous .
Innalillah wainnaillah rajiun sheikh NASSOR BACHU
Masha Allah... huyu ni sheikh mkubwa sana huku kwetu zanzibar
Allah amrehem
Kwa hakika alikua chuma cha mawaidha. Kama mwenyewe shekh kishki. Allah amuhifidhi shekh bacho huko aliko. Na pia akuhifadhi shekh Kishk duniani na akhera
Ni ngumu kwangu kupitisha siku bila kumsikiliza Alsheikh Nassoro Bachu, Allah amrehemu namuomba Allah anikutanishe naye peponi
AMIN, Naimani ALLAH atakapoijibu dua hii atanipa mithili ya wewe ulivyomwomba
AMIN, Naimani ALLAH atakapoijibu dua hii atanipa mithili ya wewe ulivyomwomba
Mashaallah yan Sauti ya sheikh Nassor Bachu inaingia moyon asa
Allah amrehemu Shekhe Nassor Bachu .AllahAmjalie na mtia nguvu shekh Nurdin Kshki kataka kulingania Dini
Ckuhizi wamegeuka masheikh maandazi serikali imekuwa juu ya dini
Allah amrahamu shiekh Nassor Bachu....azidi kumkundulia kabri lake
Allah amrehem shekh wetu bachu
Mungu ampe pepo ya firdau shek wetu nasoro bachu nakumbuka samawadha yake hasw yandoa
Nawewe aaalllah akuhifadhi namahasidi nur amin yarrab
Shekhe Nasoro Abdullah Bachu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Allah akusamehe makosa yako
Amiiin
Allah amjaalie makazi mema peponi amiin
Mapenzi kwa ajili ya Allah.....Maa shaa Allah
BACHO MWANAZUONI..ALLAH KAMCHUKUA ....PEPONI KWA REHMA ZA ALLAH
Mashaallah shekh nasoro Allah akuifadhi inshaAllah aitie nuru kabri yake
Nasoro bachu Allah amrehemu napenda sana mawaidha yake
Mwenyiz mungu amrehem shekhe nasoro bachu
Hadi leo hakuna anaemfika bachu..Allah alimpa kipawa sheikh nassor bachu.Allah amlipe pepo ya firdaus
Mungu amjalie kabur lake liwe ni la heri
Allah amrehemu shekh Nassor bachu
Mashaallah Allah amrehemu nassor bacu
Ma sha allah nashukr Sana kumuona muze wetu sheikh nasoro bacu allah amupe shifa isha allah naomba number yake muze nasoro
Sheikh nassor ni marehem Allah amraham kashakufa kwa mda wa miaka haipungui 8
ss ww unaeomba namba yake c umeshaambiwa kuwa alishafariki? Hebu tumieni akili hii ni record ya zamani sn ila imeuplodiwa asaiv , walikuja sheikh kishk na timu yake nakumbuka alikuja mpk masjid sahaba akatoa mhadhara na marehemu alikuwepo pia
Ahamdulilah twamshukuru Alah
No one like bachu ktk daawa tz mzima
ALLAAH atuelimishe...aamiin.
Aaalllah waarehem wote walo tanguliya amin
Mashallah