ETI MAENEO YA BEACH KUNA MAJINI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Kuna watu wanahofia kununua viwanja maeneo ya Beach kwamba kuna majini🤣🤣.
    Maeneo ya Beach wanaka madoni, na maenel ya beach si ndio tunapendaga kwenda kukaa na kurefresh mind baada ya ushovu wa kazi zetu?
    Sasa basi, hata wewe unaweza kuishi karibu na ufukwe. Unachopaswa ni kununua zako kiwanja na uanze kujenga mdogomdogo. Fursa Credit Services itakuwezesha kwa kukusaidie ulipie kwa awamu hadi umalize na upate hati yako.
    Miradi ya Beach ipo mingi.
    Mita 800 kutoka beach
    Mita 400 kutoka beach.
    Yote ikiwa wilaya ya kigamboni.
    Bei ni kuanzia 4,800,000 na kuendelea.
    Kwa maelezo zaidi tuwasiliane
    0659 308250
    VIWANJA VYA BEACH HAVINA MAJINI.
    TUTAFUTE HELA TU.

Комментарии •