Mtu wa Nne - Kinondoni Revival Choir (Official Music Video).

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #KinondoniRevivalChoir#MtuWaNne#

Комментарии • 349

  • @BernadAbuga-uq4qp
    @BernadAbuga-uq4qp 28 дней назад +6

    Nimeungalia mara KWa mara huu wimbo tena,lakini mara niangaliapo hivi machozi hunitoka mimi na familia yangu.Yaani kwa mimi watoto na mke wangu!kwa mapito tunayopitia kila kuchao#KATIKA MAISHA ZANGU NIANDIKAZO, lakini naona mtu wa nne akitupigania na kutupanguza machozi yetu!kama utapenda komenti yangu nitangalia tena wimbo huuu wenzangu!MTAMBUE ULIYENAYE KUANZIA MAISHA YAKE YA SIKU MOJA HADI SASA HIVI!

  • @pkaudiosystemskenya3088
    @pkaudiosystemskenya3088 Год назад +64

    I have listened to this song more than 5 times. .... Every time someone likes my comment I will remember to watch again

    • @Agnes-tu9vo
      @Agnes-tu9vo 6 месяцев назад +1

      Alright

    • @mwendenancy
      @mwendenancy 4 месяца назад +1

      Come back darling and watch again it is worth

  • @judyokumu8439
    @judyokumu8439 4 месяца назад +21

    2024 ni YESU KRISTO amenitendea🤲🤲

    • @salomembovi6803
      @salomembovi6803 3 месяца назад

      Ni yesu amenitendea indeed.Asifiwe yesu🙏🙏

  • @marianandisi1641
    @marianandisi1641 Месяц назад +1

    I found myself listening to this ,, in the morning may God keep us all through anything that's happening to us death, loss of any situation, sickness ,our nation Kenya , job loss , child loss , hopelessness etc . GOD IS WITH US ,, THIS TOO SHALL PASS 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏

  • @user-gd3fu9rs5o
    @user-gd3fu9rs5o 2 месяца назад +5

    Wimbo huu Mara ingine huwa najikuta Niko nauimba kimoyomoyo mchana kutwa

  • @MaryhannahMembe-ok4gu
    @MaryhannahMembe-ok4gu Месяц назад +4

    Hakika mtu wa nne ni mhim sana kwenye maisha YETU sote,...... YESU uinuliwe matendo yako ni makuu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌.

  • @GeorgeTulizo
    @GeorgeTulizo Месяц назад +2

    Sifa zirudi kwa bwana, ni wimbo inayo nifanya napenda hawa waimbaji,siku mmoja nitawaona huzo kwa huzo,lkn bwana awapatie baraka yakuishi miaka nyingi yenye furaha ni mwenyekiti @cherubim paradise singers ❤❤

  • @morriskyalo7152
    @morriskyalo7152 7 месяцев назад +18

    2024 and this hit always makes me cry when I listen to it. Such a masterpiece

  • @tompatrick146
    @tompatrick146 Год назад +3

    KUNA KITU/ UPAKO Wa Ajabu kwa Uimbaji huu.. Sijui kuelaza sijui ninyi..!!!! Nairobi kenya..!!!

  • @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
    @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs 7 месяцев назад +10

    Huu wimbo unanikumbusha nilivyokuwa mtoto nilikuwa naangalia kwenye tv nkiwa nmemlalia baba angu mapajani. Leo hayupo amelala katika watu😢

  • @faithkiilu295
    @faithkiilu295 11 месяцев назад +4

    Nawapenda sana. Mlikuwa mnakuja Kenya nikiwa mdogo kwa mikutano ya wanarika. Mkanifanya nipende kuimba zaidi. Saaa hivi mimi ni muimbaji kwa utukufu wa Mungu.
    Endeleeni na hii kazi nzuri..

  • @israelzakayo2406
    @israelzakayo2406 Год назад +14

    Hakika wapendwa mbarikiwe Sana nilimuona mtu wa nne tangu miaka ile baada ya Mama yangu kufariki nami nikiwa na saa Moja tu nikiwa nimezaliwa mama yangu kaniacha nikiwa kichanga Sana mtu wa nne nilimuona alivyotunza maisha yangu mpaka sasa Mimi ni mtu mzima na Mimi ni mchungaji sasa wa kanisa, mtu wa nne namuona kabisa Yesu mtu wa nne namuona

    • @Agnes-tu9vo
      @Agnes-tu9vo 6 месяцев назад

      Mungu azidi kukubariki

    • @jacksonkaumbulu8289
      @jacksonkaumbulu8289 5 месяцев назад

      ,😊

    • @ilijodiimbai1718
      @ilijodiimbai1718 Месяц назад

      Praise be to the Almighty God. He knew you before you were formed in your mother's womb.
      May He Annoint to you to receive exceedingly great in your Ministry.

  • @sleekddanny3863
    @sleekddanny3863 2 месяца назад +2

    EXCELLENTO...PERFECTO...lovely & a true blessing..barikiweni sana....🕊🕊🕊🕊🕊🕊🕊🕊

  • @user-kt2xo9qe5s
    @user-kt2xo9qe5s 5 месяцев назад +7

    This song is such blessings, niliona ukuu wa Mungu pale nilipoondokewa na my son😢!! Hakika Mungu ni mwema

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Год назад +8

    Wimbo huu niwimbo bora kuwahi kutokea juzi nilianguka chooni kila mtu alitarajia Mimi nitapooza lakini haikuwa hivyo niyesu ameniteendea ninaimba kwasauti kubwa sana

  • @robinodhiambo3977
    @robinodhiambo3977 Год назад +9

    Jinsi mtu wa nne alivyokuwa nao Meshack, Shadrach, Abednego,Daniel natamka kuwa Leo kwamba Mungu wetu ambaye ni mtu wa nne ako na sisi tusiogope maana sisi ni zaidi ya washindi.Barikiweni🙏🙏🙏🙏

  • @epson5446
    @epson5446 Год назад +113

    Wimbo huu unanipa faraja sana hasa nilipopita katika wakati mgumu mimi na dada yangu wakati baba mdogo alipotaka kutuua kwa madai tumehusika na kifo cha binti yake. haki tulimwona Mungu akiwa katikati yetu na kutuokoa na balaa lile. SIFA NA UTUKUFU NI KWA MUNGU.

    • @mwitamokami5497
      @mwitamokami5497 Год назад +2

      Amen hakika Mungu wetu ni mwema

    • @jedlinahchao9298
      @jedlinahchao9298 Год назад +2

      Mmi wimbo huu unanikumbusha wakati babangu aliaga ju pia alikuwa anapenda huu wimbo sana. Na pia unanikumbusha mbali na wakati mamangu aliaga huu mwaka tarehe mbili naomba Mungu wa mbinguni atutie nguvu

    • @tumainisampeta5570
      @tumainisampeta5570 Год назад +3

      Nikisikiliza wimbo huu nakumbuka mungu alivyo niponya na ajali nikiwamjazito Asante kwa upendo wako mungu

    • @tumainisampeta5570
      @tumainisampeta5570 Год назад

      Huu wimbo kwangu kila siku unavuma kwenye masikio yangu kwa kuwa mungu amekuwa msaada hachoki kila anaponya wanapoenda shule anawarudisha salama nampenda sana mungu

    • @florenceakiso78
      @florenceakiso78 Год назад

      Glory to God ,,!!very inspiring

  • @Mboyanzuki
    @Mboyanzuki 7 месяцев назад +3

    Huu wimbo unanitia ñguvu nikikumbuka wakati baba yangu aliniacha

  • @danielmutinda6192
    @danielmutinda6192 10 месяцев назад +9

    Who else is here even now, this song such a blessing to my soul, may God continue fighting for me In Jesus name

  • @user-pr8ky1bm3r
    @user-pr8ky1bm3r 2 месяца назад +1

    This song makes me cry 😢 I listen all night 100 times God bless you more blessings 🙌

  • @mosesmusyoka7172
    @mosesmusyoka7172 8 месяцев назад +3

    The power of the Fourth person.

  • @MbayaGitumaJulius
    @MbayaGitumaJulius 2 месяца назад +2

    "It's all over ”Message loud and clear. Keep up the tempo.

  • @johnmwakajila9569
    @johnmwakajila9569 Месяц назад +1

    Reminds me of childhood days coming from kinondoni shamba attending church service over there 1998..im so sad 😢that since i came to south afrika things changed dramatically spiritual..i backslided

  • @beatriceeyembe6838
    @beatriceeyembe6838 5 месяцев назад +2

    MMEBARIKIWA SAAAANA…YESU AWATUNZE,neno la Mungu litasimama,mambo yote yatapita❤❤❤❤❤❤2024

  • @damarismwangi1574
    @damarismwangi1574 3 месяца назад +3

    Hakika huu wimbo hunibariki sana kwa sababu ya mengi nimepitia na mungu anazidi kunitendea tuu sifa ni.kwake. Mwenyezi mungu🙏🙏

  • @Ahazmusic
    @Ahazmusic 5 месяцев назад

    I can see The Fourth Person (JESUS) in the Fire with me

  • @RebecaDossa
    @RebecaDossa 3 месяца назад +2

    Yesu kristo ndo mfariji wetu nimebarikiwa Sana na huu ujumbe mzur kupitia wimbo kweli mungu ni mwema

  • @elijahbundo611
    @elijahbundo611 6 месяцев назад +4

    Have been looking for this song for the last 10 years

  • @user-rj2tg3jg1w
    @user-rj2tg3jg1w 4 месяца назад +2

    Mungu yupo. Nilimuona nikiwa ilura yesu amenitetea mambo mengi sn mungu awabaliki kwa ujumbe mzuli

  • @erickodede5968
    @erickodede5968 Год назад +4

    Wimbo huu imenikumbusha matendo makuu ya Huyu Mungu wangu maishani mwangu. Acha Mungu aitwe Mungu.

  • @furahajames4085
    @furahajames4085 4 месяца назад +1

    After strengthening their faith through fire, He glorified Himself through them. This is what He does best. He has done it throughout the ages. Amen, He will do it today, and tomorrow and throughout the coming ages
    Jesus Christ, we praise You.

  • @user-gd3fu9rs5o
    @user-gd3fu9rs5o 2 месяца назад +1

    Wimbo huu hata usiku wa leo tariki 27.06.2024 usiku wote katika ndoto nililala ni kiuimba,mafuta ya wimbo huu hauishe kwangu,ijapokuwa nilianzaka kuusikia mwaka wa 2001

  • @Godschildreninc
    @Godschildreninc Год назад +1

    GOD S children Inc is bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-rl8pw4xh2s
    @user-rl8pw4xh2s 5 месяцев назад +1

    Surely this song stimulated my desire to proclaim the word of God

  • @samuelkaole4070
    @samuelkaole4070 Год назад +4

    Ni Yesu amenitendea.He deed it by healing my Daughter.

  • @juliusmokaya4870
    @juliusmokaya4870 Год назад +3

    wonderful choir from tanzania you make my soul cherish salvation God bless you and the choir master ndugu mackenziena mke wake

  • @elijahlesiangole9463
    @elijahlesiangole9463 6 месяцев назад +5

    Kweli ni Yesu tu, anayetutendea Sifa na utukufu kwa Mungu ✝️🙏

  • @violethdavid309
    @violethdavid309 11 месяцев назад +3

    Huu wimbo unanibariki saaana, hasa leo tangu asubuhi nausikiliza hadi saiz. Kwa kweli❤

  • @DaimonMatowo
    @DaimonMatowo 2 месяца назад +2

    Uu wimbo ulinitia nguvu inilpo pitia magumu

  • @johnsonmachukamakori6410
    @johnsonmachukamakori6410 Год назад +8

    Mungu abariki hii kwaya, kwani ni ya uvuvio mkubwa. It is inspirational and revival choir. (John from Kenya).

    • @allyopi6101
      @allyopi6101 3 месяца назад

      Karibu sana Tanzania nchi ya Amani jiranizetu wa kenya

  • @jorgelombe9562
    @jorgelombe9562 6 месяцев назад +1

    Very good melody. God blesses this gret choir group.

  • @danielmbao3520
    @danielmbao3520 Год назад +4

    Hakika katika magumu yangu niliopitia hakika sikuweza peke yangu bila MUNGU kunivusha marafiki wote walikimbia lakini sikuanguka.

  • @johnmusenje
    @johnmusenje 27 дней назад +1

    Safi sana nipo nje ya nchi lakini tuko pamoja

  • @MainaMwaniki-oo5lx
    @MainaMwaniki-oo5lx 10 месяцев назад +1

    Our present help Isaiah 53 in times of trouble!!!!!!!!

  • @LobiusJepkoech-wy2rc
    @LobiusJepkoech-wy2rc Год назад +2

    Huu wimbo hunipa kubwa moyoni mwangu wakati nilipotesa mwangu Jared hakika ni yesu aliniponya moyo wangu

  • @kanasalemelok5493
    @kanasalemelok5493 9 месяцев назад +3

    Kwa kweli Mungu ni Mkuu maishani mwetu.Wimbo huu wanipa matumaini ya kosonga mbele maishani. Aaamen!!!

  • @mahmah7250
    @mahmah7250 Год назад +5

    Wimbo huu hunipa ngufu kama nimeishiwa sina tumaini

  • @bordomnik3231
    @bordomnik3231 9 месяцев назад +5

    Everytime i have an exam ,naipitia kuiskiza huu nyimbo

  • @kadigi2470
    @kadigi2470 Год назад +9

    "HAKIKA YESU ALINITENDEA "Wimbo huu unanipa hamasa ya kumtukuza MUNGU kwa muujiza alionitendea katika maisha yangu.Bwana Awabariki Sana.William Kadigi,Niko Seoul, South Korea.

  • @Lydia22-ys4ze
    @Lydia22-ys4ze 7 месяцев назад +4

    Hallelujah hallelujah hallelujah
    Hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Год назад +1

    Miaka ya 97/98/99 kwenye mikutano ya injili ya wachungaji wa kizungu wakija isipokuwepo hii kwaya basi huo mkutano hauvumi

  • @taezomakazosolvent544
    @taezomakazosolvent544 Год назад +1

    Amen president Ruto🇳🇦🙏

  • @solomonmwakibinga9932
    @solomonmwakibinga9932 4 месяца назад +2

    MUNGU ni mwema Sana,

  • @MarthaPaul-o8m
    @MarthaPaul-o8m Месяц назад +1

    Wimbo nzuri sana,unaleta faraja na amani ktk Safari ngumu ya maisha ya hapa duniani.

  • @EstherBARASSA
    @EstherBARASSA 9 месяцев назад +3

    Wimbo huu unafariji moyo wangu sana nijapopita kati ya bonde ya uvuli Bwana yuko nami atanitetea asantee sana mtumishi wa Mungu🙏🙏🙏🙏

  • @CeciliaChibole-kc1vo
    @CeciliaChibole-kc1vo Год назад +1

    Rebecca unanibarika more songs 4. Downloading cecily

  • @bashmo7880
    @bashmo7880 Год назад +3

    Am Ugandan ,donno much Swahili but I had to look for this song.
    Jesus is Lord.
    Much love from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬

    • @newtontorad5525
      @newtontorad5525 Год назад +1

      Enjoy it

    • @bashmo7880
      @bashmo7880 Год назад

      @@newtontorad5525 Thanks sure am enjoying it and the Holyspirit is translating for me . something about the fourth person in the fire with Meshach, Shadrach and Abdenego.......

    • @allyopi6101
      @allyopi6101 3 месяца назад +1

      Welcome tanzania

  • @philomenakihiyo2206
    @philomenakihiyo2206 5 месяцев назад +3

    Nakupenda YESU hakika umenitendea❤27/3 2024

  • @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
    @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs Год назад +3

    Wimbo mtamu sana miaka mingi sana ause

  • @KimutaiSabul
    @KimutaiSabul 6 часов назад

    My favorite song of all times, very encouraging

  • @FideliaLuboha-ro3hy
    @FideliaLuboha-ro3hy 11 месяцев назад +1

    Aisee mtunzi wa huu wimbo

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 Месяц назад +1

    Unanifariji katika maumivu ninayopitia mwaka wa tatu.nikisikiliza napata faraja

  • @faustinimrosso819
    @faustinimrosso819 Год назад +2

    Ama kweli wimbo huu uminipa hisia kubwa sana moyoni mwangu Jina la Yesu Litukuzwe.

  • @janetjonahs3673
    @janetjonahs3673 Год назад +3

    Huu wimbo naupenda Sana Mana unanifanya najua na amani Sana mbaka magumu siaoni 🙏

  • @sophiamwaipopo3072
    @sophiamwaipopo3072 4 месяца назад +2

    Nanyimbo zingine za zamani tunazitaka pia

  • @muirupiusMup
    @muirupiusMup 8 месяцев назад +1

    My favourite sounds... prophetic...

  • @leonardkajuna1213
    @leonardkajuna1213 Год назад +4

    Wimbo uliogusa maisha yangu siku zote,barikiwa, msiupoteze huo upako watu wa Mungu!

  • @user-mq7un2pb2h
    @user-mq7un2pb2h 7 месяцев назад +2

    Wimbo unanibariki Sana, na unanipa nguvu

  • @Ashleypinky153
    @Ashleypinky153 Год назад +2

    Indeed this touch my Hart 😭❤. Amen 🙌. Siku moja nitatoa machozi ya furaha. Amen ❤❤❤❤🙌🙌👌🏾👌🏾

  • @mambazizephania
    @mambazizephania Год назад +2

    Yesu amenitendea haleluya mbarikiwe

  • @adamkiula-hv2wq
    @adamkiula-hv2wq 3 месяца назад

    Hii ndoo maana halis ya kua mambo yote yatapita lakn Neno la Jehovah litasimama milele sasa huu mwimba sikama umeimbwa asubuh ya leo afu kumbe ni miaka ilopta

  • @CeciliaChibole-kc1vo
    @CeciliaChibole-kc1vo Год назад +1

    Come 2 Kenya sing 4 rs live welcome

  • @jeffersonmacharia2002
    @jeffersonmacharia2002 6 месяцев назад +1

    Ni Yesu amenitendea❤🎉

  • @comedywolf254funclips7
    @comedywolf254funclips7 10 месяцев назад +3

    Ni yesu amenitendea, ameniokoana na amenitetea🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @abigaelmomanyi396
    @abigaelmomanyi396 4 месяца назад

    Kweli kabisa ni yesu amenitendea! Baada ya miaka 25 ya kusubiri nikapata Mtoto!tena na tena NI yesu amenitendea!

  • @rachel-mg4rq
    @rachel-mg4rq Год назад +2

    Wimbo huu wanpa faraja saana🙏

  • @ronahemmajay1477
    @ronahemmajay1477 Год назад +2

    Ni Yesu amenitendea, Asante Yesu 🙏🙏🙏🤲

  • @angelkisangau4530
    @angelkisangau4530 Год назад +5

    Mtu wa nne amenitembelea hallelujah 🙏🏿💯

  • @danielmusiakiminza1872
    @danielmusiakiminza1872 9 месяцев назад +3

    Hallelujah hallelujah
    Huu wimbo uko na baraka za kipekee

  • @judyokumu8439
    @judyokumu8439 Год назад +3

    Hallelujah..BWANA YESU KRISTO amenitendeaaa... Amen 🤲🤲

  • @petergolden872
    @petergolden872 9 месяцев назад +2

    Barikiwa mtumishi wa mungu

  • @terrykhim5698
    @terrykhim5698 Год назад +2

    Your my favorite ,mungu awabariki sana

  • @ChantalFuraha-vr8iq
    @ChantalFuraha-vr8iq 7 месяцев назад +1

    Amen hallelujah 🙏🙏🙏😭

  • @johnleesiva3890
    @johnleesiva3890 5 месяцев назад

    Hakika Mungu ulinda watu, wakati wa furaha na pia majonzi. Sitasita kusikiza wimbo huu Kila wakati, Kwa hakika watashindwa jinsi ulivyobadilika, Kwa kueka 7:50 Imani Kwa Mungu.

  • @barakamkumbo-rq7tx
    @barakamkumbo-rq7tx Год назад

    Hii meseji inanguvu sana inaongeza Imani ya kuendelea mbele zaidi ya pale tulipokuwa Mana mbele yupo Jehova.

  • @dennismulongo
    @dennismulongo Год назад +5

    It's Only God whom you can put your trust, human being can let you down, not even your husband or wife can help you when you have aproblem...But in Jesus you have peace... Amen..

  • @raelmasea2941
    @raelmasea2941 Год назад +3

    Huuu wimbo unipa faraja ninapojipata Nina mawazo mingi .ni yesu amenitendea🙏🙏🙏❤

  • @amanimbembela1653
    @amanimbembela1653 Год назад +2

    Hongereni sana kwa kipawa cha uimbaji mungu awajaze roho mtakatifu msonge mbele zaidi nafarijika sana sana naona kama nipo mbinguni napo sikiliza wimbo huu

  • @floraandrew4033
    @floraandrew4033 6 месяцев назад

    Huu wimbo na nyingine nyingi kutoka KRC ni baraka sana kwng namshukuru Mungu nimeshuhudia huduma yenu tangu nikiwa mdg kwny album ya KWANINI WATAKA KUJIUA na hadi leo bado nawashuhudia.Mbarikiwe sana

  • @charlesonsarigo-li9qv
    @charlesonsarigo-li9qv 7 месяцев назад +1

    Wimbo huu unatia nguvu ,hasa wakati huu.kwa vile nilipotesa kazi .

  • @pilikatete4342
    @pilikatete4342 Год назад +2

    Nabarikiwa sana na huu wimbo

  • @Julius-yu8uv
    @Julius-yu8uv 9 месяцев назад +1

    A2kuzwe bwana we2❤❤❤

  • @geophreymarika9574
    @geophreymarika9574 Год назад +1

    It's very true shall do to you when you are in the middle of the middle of the road to no where

  • @naomichepkorir755
    @naomichepkorir755 8 месяцев назад +1

    This song🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @naominafula-1683
    @naominafula-1683 Год назад +1

    Hakika nimemuona MUNGU katika ya magumu

  • @arestidiaomary-ql4gf
    @arestidiaomary-ql4gf Год назад +2

    Nakupenda Sana huu wimbo unanipa faraja sana

  • @djomakonga5020
    @djomakonga5020 Год назад +1

    Mtu wa ine ni Yesu

  • @clairemakotswi9666
    @clairemakotswi9666 Год назад +5

    Hakika wimbo huu umenikumbusha mbali sana barikiwa Sana dada zangu zote pamoja na wanakwaya wote hallelujah Amina 🙏

  • @DereckIsabwa-cg4do
    @DereckIsabwa-cg4do Год назад

    Ni wa kitambo kidogo but Kila mara nikiusikiza wanishika kana kwamba ndio umetolewa Sasa hivi,wanibariki tu sana

  • @user-kh8jj2yu3l
    @user-kh8jj2yu3l 5 месяцев назад

    Mungu ni mwema sana yesu ajawai niasha kumaisha yangu Jo maana namupenda sana yesu Chris 🙏🙏🙏2024