Kingwendu ni compelete package, msanii mwenye talanta zote za sanaa na usanii. Hakika Wasafi msajilini mwamba huyu, kwake mtavuna Zaidi na Zaidi hata kuliko hao machawa.
TUNASHUKURU SANA MNAO FUATILIA KZ HII JE MZEE KINGWENDU BAADA YA KUPEWA GALI STUDIO ATAENDA PLEASE SHARE NA MWINGINE AMWAGILIE MOYO KAPIPI FROM KINGWENDU FAMILY
Kingwendu na ka sauti kako, uta ni uwa na cheko mzee wangu. Niki sirika kisha ni fuate vidéo zako na chekaka sana. Wewe ni noma mzee. Nakufuata ku toka Congo 🇨🇩 Diamond wa uongo !
Mond feki huyo siyo Baba T mwenyewe Huyu ni yule Alie fanya kazi na Harmonize .
🤣🤣🤣🤣🤣Kingwendu jamani more love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️
Hae
Ukisikiza Sauti tu unajuwa Mond feki Halafu Mond feki kujiramba domo kwingiiiii.
Congratulations Diamond 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tolandaka_yo fort na est ya congo drc, i'm Francis from Ituri Drc
Jamani Mimi,naytwahisani,naomba,ninashida,nipatiye,namba,ya,daymond,au,niitambulishe,nambayangu,ninahamu,yakuzungumza,na,daymond,au,nipeni,maarifa,njiyagani,nitumiye,ilinimpate,Ahsanteni
Jamani 😮😮😮 waaaaaa uuuuuu😮😮
😂😂😂😂😂😂 kingwendu
Bebe nang'o
Kingwendu jameni,mimi nipo Kenya natamani sana collabo na Diamond,tafadhali nisaidie kumpata🙏🙏🙏
Mzee kingwendu always the best,,,all the way from Kenya
Jipe laha duniani kigwendu..ndogo amekubless... Mob love from Kenya ..nipewe likes kutoka Kenya jameniiii
Kenya namukubali
Hiyo wimbo ingine iko sawa
Mzee watching live from Mombasa Kenya 🥳🥳🥳 Napenda movie sako baba
Kingwendu weye ni King wa comedy movies Tanzania 😂😂😂😂 supporting you from Burundi Bujumbura
Yaleo kali😂😂
Diamond ni kushangaa shangaa tu kigwendu akiimba
I always like the way Kingwendu do his things, he's always real, Kwa Raha zangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kigwendu mm nko kenya naitamani nkuone ata npigie picha tu nawewe then tutor comed ata Moja ntafarahia sana.
Karibu tz rafikiyangu
Bebe nang'o nawasikiliza nikiwa Kenya,,kingwendu Huwa unanitegezea siku
Wawili wawili duniani dah noma sana kingwendu uyo mwana kanana namond
Nakukubali mzee kingwendu
Kingwendu kweli umetisha nimecheka mpaka mbavu zinauma
sasa mond kaleta gari karudi na miguu au hapo ndo sjaelewa
Magari ya zilipendwa 😅😅
This man is the legend of tanzania comedy
Diamond wa mchongo
nakubali kingwendu mungu atazidi kukufungulia utaingia wasafi
pamoja Sana japokuwa uyo diamond wa mchongo
Kabisa
Huyo ni daimondi wa wapi jameni.,?
Anaitwa ngwendu ngwendurile daah. Love kutokea Burundi Rumonge KIZUKA 🇧🇮🇧🇮
Kingwendu uko gafero sana
Mungu akuweke tunajivunia shujaa wetu
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Mzuka
No one like you kingwendu great of all time. (Goat)
diamond mungu akubariki kwa kumpa baba gari
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
fanya kaz kaka nakukubali sana toka enzi izo
Kkkk😂🤣🤣 unafuraisha sana sana Msumbiji hasahasa Lichinga🇲🇿
Yaani ulimi mzitio iko pia kwa maandishi, jamani!! Ni Gari, si Gali😅
Kingwendu ni compelete package, msanii mwenye talanta zote za sanaa na usanii.
Hakika Wasafi msajilini mwamba huyu, kwake mtavuna Zaidi na Zaidi hata kuliko hao machawa.
Mondi hunanga maliiingo😮😮😮😮
kingwendu mzee wa laa duniani. msanii legend rime mpaka yotee.
Safi, kingwendu nakusikiliza nikiwa Saudi Arabia, unanifuraishanga sana na kuniongezea siku.
Uyo mpambe 😂😂wa Dai
😂😂😂😂😌
Mimi pia namupenda sana Mister kingwendo I wish you blessings from of God 🙌🙌🙌🙌
Imenichukua muda sana kujua huyo sio Diamond
Aisee Jamaa kafanana sana na Mond
TUNASHUKURU SANA MNAO FUATILIA KZ HII JE MZEE KINGWENDU BAADA YA KUPEWA GALI STUDIO ATAENDA PLEASE SHARE NA MWINGINE AMWAGILIE MOYO KAPIPI FROM KINGWENDU FAMILY
😂😂😂
Diamond nimekukubari nilizqni ni mwenyewe 100% yeye duniani watwo watwo
Unaweza ndugu Mondial akusaport kweli kwenye show mm wa kwanza
Haha
Ebitoke alienda wapi jamani
Kali sana
Hongera kingwendu
Ngwendu ngwendulile sipendi ushambenga😂😂
Gwendu baba ❤ burundi
Umenilea kwa kweli baba Kingwendu asante
Simba muone uyu legend long time na hajashuka chini kukupa respect 😁
Hahahahahaha
Duuuuh! Kingwendu, wewe Nooooma!
Kicheche ni bingwa namba moja
Mzee wa Raha duniani.
Kingwendukomed
Noma sanaaaaa
Og tunakuja na Pacha wako tufanye mambo Kaka mkubwa
Eti baba mpambe😂😂😂
Sena NGWENDU unazingua mzee na mondy wako wa mchongo huyo😅🤣
Unaeza imba kingwendu
Great lenged.
baby nango😀😀
Kwendu uko juu
🔥🔥🔥🔥💥💥💚
Tunakukubaliii
Hila kwakweli
😂😂😄
Kingwendu unatisha😂😂😂
Unajuwakulapu sana
Kkkk kingwendu utakwenda mbali sana ukimuongelea simba
Nani kaona lasta iko kwenyemiwani
😂😂😂
Mapepe mapepe ni kupenda sana! sharif hapa Kampala
Asante
@@kingwenduogtv unanifurahisha sana
Jamaa anafanana nae mond
Ndiyo wanafanana sana labda sauti yake na tembea yake ndo vinaelekea kidogo
Mbavu zangu jamani Kingwendu
Mzee niko Kenya ila dua langu ni wewee uishi milele nakukubali kijiweni maweni Mombasa kongowea uku
Diamond Decoy😂
Huyo siyo
Huyu diamond hana tattoo
Kingwendu na ka sauti kako, uta ni uwa na cheko mzee wangu. Niki sirika kisha ni fuate vidéo zako na chekaka sana. Wewe ni noma mzee. Nakufuata ku toka Congo 🇨🇩
Diamond wa uongo !
Kingwendu tunakusign wcb upo vzur
Kingwendu😂😂😂😂😂
Unaongea fresh kabisa
Uuu beeeebe nang'o
Mzee unatisha
Ni ukweli ama ni filamu tu?
Namkubali he wewe?
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haaaaahaaaaa
Uyu ajui kulamba lips 💋 kama mond ...diamond anapitishia ulimi kwenye lips 💋
Nani kama wewe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
SIYO "GALI " BALI NI ""GARI""😮