Ungekuwepo - Joshua Mlelwa & KUG

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 45

  • @bertinvick
    @bertinvick 2 месяца назад

    I'm from Congo,i was 5 or 6 when my dad used to play these songs and this one...used get me roll some tears 😂😂😂😂

  • @Regnard999
    @Regnard999 2 года назад +6

    Wimbo mzuri wenye kutafakarisha❤️ mbarikiwe sana

  • @dykeliltrizzy5054
    @dykeliltrizzy5054 5 месяцев назад +4

    2024 still listen to this masterpiece ❤naona utoto wangu familia yangu ilikuwa na amani kipindi hicho ila sasa MUNGU Atuvushe kwenye hili jaribu turudi kama zaman

  • @devotamwambola8303
    @devotamwambola8303 2 года назад +4

    Dah!Nimefurahi sanaaa mmenikumbusha mbali sanaa imebarikiwa mnooo.Mungu azidi kuwatumia kwenye kazi ya uimbaji tuzidi kupona.

  • @RithaClear
    @RithaClear 8 месяцев назад +1

    Mamaangu alikua anapenda sana nyimbo zako. Sasaiv hamtutendei haki sisi tuliokua watoto kipindi kile. Nyimbo ni nzuri sana

  • @AshekironikamanyongaKama-yi3hg
    @AshekironikamanyongaKama-yi3hg 8 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi

  • @JonChifuijii
    @JonChifuijii 8 месяцев назад +2

    Nimekumbuka nyimbo ihi alituwombeyeko kwamungu njo tuli kuwa muvita sana shiye ba Angola 🇦🇴 God bless you bro witching from Angola 🇦🇴

  • @salomehazael8912
    @salomehazael8912 Год назад +1

    Ee Mungu utuhurumie kwakujitenga mbali na ww na kujifanyia mambo tutakavyo na sasa hasara zimekuwa nyingi

  • @GraceMandara
    @GraceMandara 8 месяцев назад +1

    Anyone 2024🤍

  • @saimonisichimata8559
    @saimonisichimata8559 Месяц назад

    Brather unani bark sana kwa nyimbo zako🎉🎉

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 2 года назад +4

    My best song from Joshua Mlelwa

  • @michaelludovicknduhiye3798
    @michaelludovicknduhiye3798 2 года назад +2

    Gospel music ndo hii kwa tafsiri

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 Месяц назад

    2024 agost 17 nabarikiwa

  • @mwinyimkuu2023
    @mwinyimkuu2023 Год назад +6

    Mimi muislam ila napenda sana unavyoimba unabembeleza sauti yako inagusa sana nakumbuka hizi nyimbo nilikuwa nazisikia zamani sana Napenda mziki mzuri siku zote 🙏🙏🙏🙏ubarikiwe mtumishi

  • @KelvinEmanuel-x2p
    @KelvinEmanuel-x2p 9 месяцев назад +1

    2024.....And gospel still new❤❤❤

  • @RithaClear
    @RithaClear 8 месяцев назад

    Joshua kwan Uko wap siku hiz

  • @juliuspeter1731
    @juliuspeter1731 Год назад +1

    Naupenda na pia nabarikiwa sana na wimbo huu. Ubarikiwe mtumishi.

  • @salomeedward8565
    @salomeedward8565 Год назад +1

    Huu wimbo umenijia leo siku nzima....nikaingia utube just waooooh...upo na meseji kubwaaa

  • @AshekironikamanyongaKama-yi3hg
    @AshekironikamanyongaKama-yi3hg 7 месяцев назад

    🙏✝️👏

  • @yasinomary2147
    @yasinomary2147 Год назад +2

    Kaka Joshua tunahitaji flash zenye hizi nyimbo

    • @joshuamlelwa
      @joshuamlelwa  Год назад

      Flash zipo. Nicheck kwa Whatsapp namba hii hapa 👇
      0714 237 524.

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 Год назад

      @@joshuamlelwa shukraan Sana

  • @joelking3692
    @joelking3692 Год назад +1

    Huu wimbo nilikua nautafuta mno naupenda sana

  • @roggermwakyanjala3586
    @roggermwakyanjala3586 Год назад

    Asante sana Brother Joshua kwa ku upload hii nyimbo humu maana ni nyimbo ambayo haikuwekwa humu youtube na nimekuwa nikiitafuta kwa muda mrefu sana

  • @romengupula1355
    @romengupula1355 2 года назад +1

    sijawahi kichoka hii nyimbo

  • @allykibona2484
    @allykibona2484 Год назад

    Jaman mbarikiwe watumisha wa mungu maana nyimbo zenu nikizisikia huwa zinanikumbusha mbali sana

  • @gadimbajo
    @gadimbajo 2 года назад +1

    Kaka nilisikia unauza flash yenye hizi nyimbo/album, vipi naweza kuipata

    • @gadimbajo
      @gadimbajo 2 года назад

      @@joshuamlelwa Naipataje, nahitaji

    • @henrybaraka5258
      @henrybaraka5258 2 года назад

      Mi pia nahitaji

    • @kelvinemanuel2416
      @kelvinemanuel2416 2 года назад

      @@joshuamlelwa maelekezo namna ya kukuunga mkono katika kazi ya Bwana.Nyimbo zako Huwa zinanibariki sana .hii nyimbo nimeitafuta Kwa muda mrefu sikujua ni wewe umetupiamo sauti ya iliyobarikiwa kwenye huu wimbo..Mungu akubariki Sana Kwa Kila ulifanyalo wewe na kizazo chako..

    • @amospetro-db2oz
      @amospetro-db2oz Год назад

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Mbona ire nyimbo ire ya magereza makubwa yaretayo Nia njema kwa watu haionekani youtyubu ipo wapii

  • @esterngailo8634
    @esterngailo8634 Год назад

    Mungu tubebe katika hili.

  • @gracemruttu6077
    @gracemruttu6077 Год назад

    Roho wa Mungu aliwavuvia nyimbo hiz zilinigusa utoto wangu mpaka sasa

  • @ammymatogwa7853
    @ammymatogwa7853 Год назад

    Katikati ya hizo nene

  • @juliuspeter1731
    @juliuspeter1731 Год назад +1

    I love this song

  • @madelynillu3818
    @madelynillu3818 10 месяцев назад

    2023 bado nyimbo inaishi jaman

  • @gracephilemon7472
    @gracephilemon7472 Год назад

    ❤album yangu pendwa

  • @oliverpeter6425
    @oliverpeter6425 6 месяцев назад

    2024 still my favorite

  • @zalfahashimu9393
    @zalfahashimu9393 Год назад

    My favourite song

  • @kevineric5598
    @kevineric5598 2 года назад

    Zaburi 127:1-2