2024 still listen to this masterpiece ❤naona utoto wangu familia yangu ilikuwa na amani kipindi hicho ila sasa MUNGU Atuvushe kwenye hili jaribu turudi kama zaman
Mimi muislam ila napenda sana unavyoimba unabembeleza sauti yako inagusa sana nakumbuka hizi nyimbo nilikuwa nazisikia zamani sana Napenda mziki mzuri siku zote 🙏🙏🙏🙏ubarikiwe mtumishi
@@joshuamlelwa maelekezo namna ya kukuunga mkono katika kazi ya Bwana.Nyimbo zako Huwa zinanibariki sana .hii nyimbo nimeitafuta Kwa muda mrefu sikujua ni wewe umetupiamo sauti ya iliyobarikiwa kwenye huu wimbo..Mungu akubariki Sana Kwa Kila ulifanyalo wewe na kizazo chako..
I'm from Congo,i was 5 or 6 when my dad used to play these songs and this one...used get me roll some tears 😂😂😂😂
Wimbo mzuri wenye kutafakarisha❤️ mbarikiwe sana
2024 still listen to this masterpiece ❤naona utoto wangu familia yangu ilikuwa na amani kipindi hicho ila sasa MUNGU Atuvushe kwenye hili jaribu turudi kama zaman
Dah!Nimefurahi sanaaa mmenikumbusha mbali sanaa imebarikiwa mnooo.Mungu azidi kuwatumia kwenye kazi ya uimbaji tuzidi kupona.
Mamaangu alikua anapenda sana nyimbo zako. Sasaiv hamtutendei haki sisi tuliokua watoto kipindi kile. Nyimbo ni nzuri sana
Ubarikiwe sana Mtumishi
Nimekumbuka nyimbo ihi alituwombeyeko kwamungu njo tuli kuwa muvita sana shiye ba Angola 🇦🇴 God bless you bro witching from Angola 🇦🇴
Ee Mungu utuhurumie kwakujitenga mbali na ww na kujifanyia mambo tutakavyo na sasa hasara zimekuwa nyingi
Anyone 2024🤍
Brather unani bark sana kwa nyimbo zako🎉🎉
My best song from Joshua Mlelwa
Gospel music ndo hii kwa tafsiri
2024 agost 17 nabarikiwa
Mimi muislam ila napenda sana unavyoimba unabembeleza sauti yako inagusa sana nakumbuka hizi nyimbo nilikuwa nazisikia zamani sana Napenda mziki mzuri siku zote 🙏🙏🙏🙏ubarikiwe mtumishi
Amen.
Uzidi kubarikiwa.
Hakika
Very nice song, Mungu wetu
2024.....And gospel still new❤❤❤
Joshua kwan Uko wap siku hiz
Naupenda na pia nabarikiwa sana na wimbo huu. Ubarikiwe mtumishi.
Huu wimbo umenijia leo siku nzima....nikaingia utube just waooooh...upo na meseji kubwaaa
🙏✝️👏
Kaka Joshua tunahitaji flash zenye hizi nyimbo
Flash zipo. Nicheck kwa Whatsapp namba hii hapa 👇
0714 237 524.
@@joshuamlelwa shukraan Sana
Huu wimbo nilikua nautafuta mno naupenda sana
Asante sana Brother Joshua kwa ku upload hii nyimbo humu maana ni nyimbo ambayo haikuwekwa humu youtube na nimekuwa nikiitafuta kwa muda mrefu sana
sijawahi kichoka hii nyimbo
Jaman mbarikiwe watumisha wa mungu maana nyimbo zenu nikizisikia huwa zinanikumbusha mbali sana
Kaka nilisikia unauza flash yenye hizi nyimbo/album, vipi naweza kuipata
@@joshuamlelwa Naipataje, nahitaji
Mi pia nahitaji
@@joshuamlelwa maelekezo namna ya kukuunga mkono katika kazi ya Bwana.Nyimbo zako Huwa zinanibariki sana .hii nyimbo nimeitafuta Kwa muda mrefu sikujua ni wewe umetupiamo sauti ya iliyobarikiwa kwenye huu wimbo..Mungu akubariki Sana Kwa Kila ulifanyalo wewe na kizazo chako..
❤
Mbona ire nyimbo ire ya magereza makubwa yaretayo Nia njema kwa watu haionekani youtyubu ipo wapii
Mungu tubebe katika hili.
Roho wa Mungu aliwavuvia nyimbo hiz zilinigusa utoto wangu mpaka sasa
Habr mtumishi wa mungu
Katikati ya hizo nene
I love this song
2023 bado nyimbo inaishi jaman
❤album yangu pendwa
2024 still my favorite
My favourite song
Zaburi 127:1-2