HARUSI YA KISWABI Part 2 _ JUFE FILM PRODUCTION
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Crew mzima ya JUFE FILM PRODUCTION tumefanya safari ya kwenda Kisiwa Panza nyumbani kwa Kiswabi kujumuika pamoja na Familia,majirani na wanakijiji katika kufanikisha Harusi ya Kiswabi .Tumewasogezea karibu mujionee mwanzo mwisho. Asante.
I praise belongs to Allah for every thing gave me and being muslim , Jufe Film Production TEAM and MANAGEMENT may Allah bless you and gives you success ,
Kuzuri mashallah
Team JUFE nawakibali sana Allah awafanyie wepesi inshaaallah
KISWABI SWABIINA MAN GHARABIC AQSWAA
Ahsanteni Kwa Kunionesha mitaa ya Nyumbani Kiswabi Nakukumbuka Vizuuuri maana Tulisoma pampja Hivo Bituko vyako Tokea shule Ulikuwa pehe pehe Hivo hivo . hongera sana mjomba Kwa Hatua Nyengine ya Maisha Ulio Fikia Allah Akufanyie wepesi Kila Penye Uzito..
MashaAllah MashaAllah hongera kiswabi❤❤❤❤bwana harusi ana singwa❤❤
Nakwambia pambe voo😂😂😂
@@nahlahassan-fd6le Kwakweli nampenda kiswabi jamani 😂😂😂♥️
Mashàallah hongera
🎉🎉🎉
Nakwambiaa hawafiki leo voo, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
apo kisiwa paza tu nyinyi hamuja safili watu tunatoka daresalam mpk kdg na balidi tu tunaishi
Kumbe kiswabi ukiwa serious mzuriii ee😂😂😂
Mashallh ❤
Mwakombo wa kwenye mume wa mwanangu yuko wp, haonekani
Kiswabi mke wake naona hatowahi kukasirika mtu ni kiswabii aaah😂😂
Hongera kiswabi waswabi'ina al arabul aqswa hehehe
mlikumbuka kuramba mchanga
Kahawa ishapoa halua ishaganda
Kiswabi hee😂mbona mbali huko niarabuni au 😂😂😂
😂😂😂
Hd kinu na makopa mnachukua video hahaha
Kilo mita 4 hiyo ni kuenda bado kurudi mujue😂😂😂😂
kuowa lini broo
Mashaallah❤❤
Haya alimuona vp hy mke huko huyo kidundo
Munammpiga karafuu vixuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuur 😂😂😂😂😂😂😂😂
Bwana Mau yuwapii
Kiswabi kama siweye😂😂😂
Mashaallah
Kiswabi asingwa❤❤❤❤
Like zenu
Kiswabi kwao kisiwa panza
nitaftieni mke na mie huko 😜
❤
Iyo harusi ata ikimaliza mutabaani
Kisiwa hakina gari kwa iyo ukifika popote unapokwenda ni miguu tu
Xaxa huko kisiwa panza hakuna hata bajaji au boda boda
Bas huk ndio nyumbn
Kiswabi waswabiin man arab😅
Bado kurudi km4 zingne
Kurudi si mtatumia mwezi
Hata mkifika tushamaliza bando zote nyie mwaenda tu🙄
Hahahaaaa nimecheka kwa saut
niwapi huko mbona naona naona tu
Kwani huko mulikoenda hamna gari au vipi???
Hamna Gari uko😅😅😅
Uko labda gari la ng'ombe
😂😂😂😂❤❤
Sasa huko ni wapi hamufiki
Kwa kiswahili swahili tushafika
Mumenikumbusha mbali hiyo safari yenu. Kuna siku nilitoka kidutani kwenda kengeja. Na kutoka kidutani kwenda muambe. Safar hizo huwa zanitia gamu mana nikigika miguu yanitetemeka. Siku yapili huwa sitoki ata nje. Naumwa mwili mzima 😂😂😂
Hahahaha
Pole
Kengeja unakujua ww
Hahahaah, pole sana, kidutani ya wambaa au
@@ahmedmbarouk3463 kengeja me ndio nyumbn, kuanzia mahuduthi, minazini, mjinweni, sokoni, makange , majenzi, mikinduni, mwakunguu, msalani, mchooni, likoni, usiamini, jomvu, ingapaka, mkumbi, kihogoni, mgombewa, maumbwini, sipwese n.k