KATIKA BONDE LA AKORI // Pr. PAUL SEMBA // 🔴LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Endelea kubarikiwa na Masomo haya Kwa ajili ya wokovu wako

Комментарии • 32

  • @SamhhIlo-ib4ij
    @SamhhIlo-ib4ij 6 месяцев назад +3

    Mungu azidi kukupatia Nguvu, Hekima, Ujasiri na Utii kwakwe akuondolee roho ya kujikweza... UNAIFANYA KAZI YA MUNGU KWA UJASIRI MKUBWA SANA 🙏🙏🙏MUNGU AKUBARIKI

  • @theresearcheronlinetv3649
    @theresearcheronlinetv3649 6 месяцев назад +2

    Mungu atukuzwe sana;
    Atujalie kutii daima… na kuwa waaminifu,!!!

  • @ibrahimmasanga49
    @ibrahimmasanga49 6 месяцев назад +3

    Barikiwa mtumishi nakufatilia sana masomo makini ya kiroho wakati huu wa mwisho

  • @rizikimanamaua9216
    @rizikimanamaua9216 6 месяцев назад +1

    Eh Bwana unisaidie kuifanya toba kabla ya wewe kutoa ushaidi. Ubarikiwe pastor 🙌

  • @orestaMminza
    @orestaMminza 4 месяца назад

    Mungu akupe maisha marefu ufanye kazi yake aliyoianzisha.

  • @pascalngaya4050
    @pascalngaya4050 6 месяцев назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa BWANA

  • @alicenyakawa2449
    @alicenyakawa2449 6 месяцев назад +1

    Oh Lord I bring my broken heart before you, thanks pr ‘ have seen my mistakes in a new picture as never seen it, may God bless you to continue opening followers eyes, always the truth is bitter and hurting for more hearts but I like that

  • @SiyabongChambuson
    @SiyabongChambuson 5 месяцев назад

    Haleluyaaaa

  • @JosephineMalley
    @JosephineMalley 4 месяца назад +1

    MUNGU AKUBARIKI

  • @PatrickKitwe
    @PatrickKitwe 6 месяцев назад +1

    Pr barikiwa Sana kwa ujumbe huu

  • @aminawillfred5313
    @aminawillfred5313 6 месяцев назад +1

    AMEN

  • @user-tq8hi1ms3d
    @user-tq8hi1ms3d 6 месяцев назад

    Barikiwa sana pastor

  • @Matikomitinidawa
    @Matikomitinidawa 6 месяцев назад

    Ubarikiwe kwa hilo tuko pamoja kutoka Kubweye

  • @erickkibaso
    @erickkibaso 6 месяцев назад +1

    Powerful

  • @ayubumwenda3084
    @ayubumwenda3084 6 месяцев назад +1

    Bwana atujaalie kuacha dhambi

  • @eunicenyirabaziyaka1467
    @eunicenyirabaziyaka1467 6 месяцев назад

    Asante sana Mchungaji. Mungu azidi kukubariki. Nina swali Mchungaji. Kwanini Mke pamoja na watoto waliuawa kwa kosa la Mme kwa ajili ya tamaa yake??? Je Mme akikosa kwa Mungu kwa ajili ya tamaa yake inamaana pia Mke na watoto watapewa adhabu pamoja??? Naomba unisaidie kuelewa vizuri. Asante sana

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  6 месяцев назад

      ALISHIRIKIANA NA MUMEWE KWA KUFICHA UKWELI MPAKA MUNGU ALIPOUDHIHIRISHA

    • @eunicenyirabaziyaka1467
      @eunicenyirabaziyaka1467 6 месяцев назад

      @@paulsemba_TV Asante sana Mchungaji. Ina maana kama tukishirikiana na Mme ktk makosa tutapewa adhabu kwa pamoja.

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  6 месяцев назад

      NI KWELI. KAMA UNAJUA LAKINI UNAUNGANA NAYE, WOTE MTASHIRIKI HUKUMU KAMA MLIVYOSHIRIKI DHAMBI@@eunicenyirabaziyaka1467

    • @eunicenyirabaziyaka1467
      @eunicenyirabaziyaka1467 6 месяцев назад

      Asante sana Mchungaji kwa jibu. Mungu akubariki sana.

  • @Ricky_Etanga
    @Ricky_Etanga 6 месяцев назад

    Nafatilia sana masomo haya ya uwakili naumia sipo Dodoma

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  6 месяцев назад

      BWANA AZIDI KUKUBARIKI HUKO ULIKO

  • @COMPASSIONMEDIA
    @COMPASSIONMEDIA 6 месяцев назад

    Ubarikiwe Mchungaji. Jumbe ni nzuri sana

  • @joshuanyamaiswe4327
    @joshuanyamaiswe4327 6 месяцев назад

    Ole wenu washiriki mnao watumainia hawa wachungaji na kuwapa amina kumbe wanawafanya kuwa watu wa jehanamu. Ujumbe waliopewa wameuacha na kuwahubiria maneno laini.