Mungu azidi kukupatia Nguvu, Hekima, Ujasiri na Utii kwakwe akuondolee roho ya kujikweza... UNAIFANYA KAZI YA MUNGU KWA UJASIRI MKUBWA SANA 🙏🙏🙏MUNGU AKUBARIKI
Oh Lord I bring my broken heart before you, thanks pr ‘ have seen my mistakes in a new picture as never seen it, may God bless you to continue opening followers eyes, always the truth is bitter and hurting for more hearts but I like that
Asante sana Mchungaji. Mungu azidi kukubariki. Nina swali Mchungaji. Kwanini Mke pamoja na watoto waliuawa kwa kosa la Mme kwa ajili ya tamaa yake??? Je Mme akikosa kwa Mungu kwa ajili ya tamaa yake inamaana pia Mke na watoto watapewa adhabu pamoja??? Naomba unisaidie kuelewa vizuri. Asante sana
Ole wenu washiriki mnao watumainia hawa wachungaji na kuwapa amina kumbe wanawafanya kuwa watu wa jehanamu. Ujumbe waliopewa wameuacha na kuwahubiria maneno laini.
Mungu azidi kukupatia Nguvu, Hekima, Ujasiri na Utii kwakwe akuondolee roho ya kujikweza... UNAIFANYA KAZI YA MUNGU KWA UJASIRI MKUBWA SANA 🙏🙏🙏MUNGU AKUBARIKI
AMINA
Mungu atukuzwe sana;
Atujalie kutii daima… na kuwa waaminifu,!!!
Barikiwa mtumishi nakufatilia sana masomo makini ya kiroho wakati huu wa mwisho
AMINA
Eh Bwana unisaidie kuifanya toba kabla ya wewe kutoa ushaidi. Ubarikiwe pastor 🙌
AMINA, AMINA, AMINA!
Mungu akupe maisha marefu ufanye kazi yake aliyoianzisha.
AMINA
Amina plaster barikiwa
Barikiwa sana mtumishi wa BWANA
Oh Lord I bring my broken heart before you, thanks pr ‘ have seen my mistakes in a new picture as never seen it, may God bless you to continue opening followers eyes, always the truth is bitter and hurting for more hearts but I like that
AMEN, GLORY TO GOD!
Haleluyaaaa
MUNGU AKUBARIKI
Pr barikiwa Sana kwa ujumbe huu
AMINA
AMEN
Barikiwa sana pastor
Ubarikiwe kwa hilo tuko pamoja kutoka Kubweye
AMINA
Powerful
Bwana atujaalie kuacha dhambi
Asante sana Mchungaji. Mungu azidi kukubariki. Nina swali Mchungaji. Kwanini Mke pamoja na watoto waliuawa kwa kosa la Mme kwa ajili ya tamaa yake??? Je Mme akikosa kwa Mungu kwa ajili ya tamaa yake inamaana pia Mke na watoto watapewa adhabu pamoja??? Naomba unisaidie kuelewa vizuri. Asante sana
ALISHIRIKIANA NA MUMEWE KWA KUFICHA UKWELI MPAKA MUNGU ALIPOUDHIHIRISHA
@@paulsemba_TV Asante sana Mchungaji. Ina maana kama tukishirikiana na Mme ktk makosa tutapewa adhabu kwa pamoja.
NI KWELI. KAMA UNAJUA LAKINI UNAUNGANA NAYE, WOTE MTASHIRIKI HUKUMU KAMA MLIVYOSHIRIKI DHAMBI@@eunicenyirabaziyaka1467
Asante sana Mchungaji kwa jibu. Mungu akubariki sana.
Nafatilia sana masomo haya ya uwakili naumia sipo Dodoma
BWANA AZIDI KUKUBARIKI HUKO ULIKO
Ubarikiwe Mchungaji. Jumbe ni nzuri sana
Ole wenu washiriki mnao watumainia hawa wachungaji na kuwapa amina kumbe wanawafanya kuwa watu wa jehanamu. Ujumbe waliopewa wameuacha na kuwahubiria maneno laini.