Naomba nifunguliwe mimi mama yangu baba yangu na ndugu zangu wote nilio zaliwa nao pamoja na mtoto wangu nayule anae tutesa kwauchawi nakujisifu kwamba tutahangaika bila mafanikio basi aende akashindwe yeye katika jina la yesu kuanzia leo nikasimame na kuangaza ktk jina la yesu amen.
Mtume mungu azid kukutunza nashukuru nimeangaikq sana nikitafta kaz nikahmin kuwa huu mwez haush bila kupata kaz mtume nashukuru nimepat kaz nzur nayeny mshahar ambao sikutemea, mungu akuongeze miaka mtuma
Naomba nifunguliwe mimi mama yangu baba yangu na ndugu zangu wote nilio zaliwa nao pamoja na mtoto wangu nayule anae tutesa kwauchawi nakujisifu kwamba tutahangaika bila mafanikio basi aende akashindwe yeye katika jina la yesu kuanzia leo nikasimame na kuangaza ktk jina la yesu amen.
Napokea kwa jina la yesu mungu napokea utajiri uzima amanita kwJINA LA YESU AMINAAA
Mungu naomba unifungulie njia za pesa utajiri uchumi ndoa kazi watoto wangu katika jina la yesu cristo amen 🙏
Mungu wangu wa mbinguni fungua maisha yangu ameen
Mungu naomba nisaidiy maombi yangu huu mwak usiishe nikafunge ndowa na welu
Mungu wa areas and shene naomba nvuke na biashraaa yngu kubwa 2 ameni
Mungu naomba uni tende eekwangu ni zaeee kiuchumiiiii nanizidishwee npate mtaji wabiasharaa kilahisi
Mungu komboa familia yangu kwa magumu ninayopitia
Naomba mungu anipomye ulimi wangu usiku huu
Mtume mungu azid kukutunza nashukuru nimeangaikq sana nikitafta kaz nikahmin kuwa huu mwez haush bila kupata kaz mtume nashukuru nimepat kaz nzur nayeny mshahar ambao sikutemea, mungu akuongeze miaka mtuma
namomba mungu aniludi shie uzao wangu
Eee mungu pesa yngu wakailpee kilahisi
Wazilete kutoka nyinganii yni kilahisi
Mungu wangu komboa magumu yangu ninayopitia ya kawe mepesi baba
Naamini maombi ya leo mungu itanijibu
Ee MUNGU wangu nitendee na mimi haja ya moyo wangu
mimi natwa salah balama nani umia sana mtumishi niombee mimi ni mama nimzazi mtumishi
Mungo wango, naomba unifungulie njia ya ndoa na Eduardo,ya pesa kirahisi,njia ya kasi kirahisi njia ya watoto wango wafae Uhuru was pate fahamo
Naamini mumewangu anapata kazi kwanjia lahisi na kapuni nzanziba kubwa
Yesu niripwe pesa zangu zote ninazodai serikalini na watu Binafsi
Kesi ya kuto kujenga nyumba yangu imekwisha
Amen 🙏 amen 🇧🇮🇧🇮
kesi ya mauti imekwisha kwangu na kwanyumba yangu na familiya yangu
Mali zangu zilizoibiwa zote napokeA kwa jina la yesu
shangazi yao kachuwa ufahamu wawa watoto wangu mbaka sasa watoto wangu hanitaki mimi wakataa hawataki hata kuniona kabisa
Wiki ijayo kuanzia kesho isiishe mpaka nilipwe fedha zangu Tsh/600000 halaka
I pray for favour, breakthrough prosperity
Najiunganisha na nguvu ya mazabahu kiuchumi
Kesi ya madeni imekwisha
kesi ya kuto kujenga imekwisha
kesi ya kuto mpenda mkewangu imekwisha
🤷🤷🤷🤷🤷🤷
Mungu naomba unifungulie njia za pesa utajiri uchumi ndoa kazi watoto wangu katika jina la yesu cristo amen 🙏