Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
"" MADEGA Umeongea K2 🎉
Mwalim rama kasema ukweli kabisa ligi yetuinabebwa na tim 2.
Asilalamike huyo nyuma mwiko siku boss wao akiacha kudhamini zile timu nyingne naimani mtafika mbali angalia simba wanavyokamiwa hicho ndo kitu simba kimewakomaza
Yanga muache kununua mechi ligi ya ndani. Madhara yake ndiyo hayo club bingwa hamfiki popote.
Msimlaumu mwalimu gsm na injinia wananunua point matokeo ndo hivo
Kutoka Lusaka Zambia ubaya ubwela
Jamani mtafutieni dawa ya kutoipenda yanga😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 mpeni namba yangu anipigie nimpe dawa ya kuichukia utopolo 🐸🦩🦩
😂😂😂😂😂😂
Utopolo hoyeee # bahari haiweki uchafaaaaaaaah
Injinia si ndo anaharibu ligi kwa kununua mechi na kutumia nguvu za shindano
Ligi yetu sio dhaifu isipokuwa inaathirika na udhamini wa kihovyo unaoruhusiwa na sheria.
hahaha dunia hii injinia Leo hafai
@@ZabibuMwenda kwa injinia waongee lingne nitaelew.
😂😂😂😂😂😂 napendaga mabishano yao nilikuwa nasubiri kwa hamu ila mkumbuke ahadi zenu ndo zinaongeza nguvu ya kufanya vizuri
Uyo jamaa wa simba ni hatar sanaaa anapoint baraaa
Mwanayanga wa mchongo tunge Fika robo yasingekutoka hayo maneno
Na Ndo Maana Wanaongea ili yaliyo tokea Next Yasitokee
Mwalim yanga nimekuelewa uko sawa mbona mastecka wapo wengi
Mwalimu wa Yanga kasema ukweli. Timu yao inanunua mechi za ligi ya ndani matokeo yake wakienda kimataifa mbwaaaaaaa
Kwl kbc ngoja gsm aendelee kununua point mn yy ana pesa ila iko day
"" MADEGA Umeongea K2 🎉
Mwalim rama kasema ukweli kabisa ligi yetuinabebwa na tim 2.
Asilalamike huyo nyuma mwiko siku boss wao akiacha kudhamini zile timu nyingne naimani mtafika mbali angalia simba wanavyokamiwa hicho ndo kitu simba kimewakomaza
Yanga muache kununua mechi ligi ya ndani. Madhara yake ndiyo hayo club bingwa hamfiki popote.
Msimlaumu mwalimu gsm na injinia wananunua point matokeo ndo hivo
Kutoka Lusaka Zambia ubaya ubwela
Jamani mtafutieni dawa ya kutoipenda yanga😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 mpeni namba yangu anipigie nimpe dawa ya kuichukia utopolo 🐸🦩🦩
😂😂😂😂😂😂
Utopolo hoyeee # bahari haiweki uchafaaaaaaaah
Injinia si ndo anaharibu ligi kwa kununua mechi na kutumia nguvu za shindano
Ligi yetu sio dhaifu isipokuwa inaathirika na udhamini wa kihovyo unaoruhusiwa na sheria.
hahaha dunia hii injinia Leo hafai
@@ZabibuMwenda kwa injinia waongee lingne nitaelew.
😂😂😂😂😂😂 napendaga mabishano yao nilikuwa nasubiri kwa hamu ila mkumbuke ahadi zenu ndo zinaongeza nguvu ya kufanya vizuri
Uyo jamaa wa simba ni hatar sanaaa anapoint baraaa
Mwanayanga wa mchongo tunge Fika robo yasingekutoka hayo maneno
Na Ndo Maana Wanaongea ili yaliyo tokea Next Yasitokee
Mwalim yanga nimekuelewa uko sawa mbona mastecka wapo wengi
Mwalimu wa Yanga kasema ukweli. Timu yao inanunua mechi za ligi ya ndani matokeo yake wakienda kimataifa mbwaaaaaaa
Kwl kbc ngoja gsm aendelee kununua point mn yy ana pesa ila iko day