RAMA X MADEGA| HERSI ANATUCHANGANYIA SIASA NA MPIRA |KAMA IPO DAWA YA KUACHA YANGA MNIPE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 21

  • @omarymzuri8012
    @omarymzuri8012 9 дней назад +1

    "" MADEGA Umeongea K2 🎉

  • @PaulElias-w3w
    @PaulElias-w3w 11 дней назад +5

    Mwalim rama kasema ukweli kabisa ligi yetuinabebwa na tim 2.

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 11 дней назад +3

    Asilalamike huyo nyuma mwiko siku boss wao akiacha kudhamini zile timu nyingne naimani mtafika mbali angalia simba wanavyokamiwa hicho ndo kitu simba kimewakomaza

  • @juathlazaro1857
    @juathlazaro1857 10 дней назад +1

    Yanga muache kununua mechi ligi ya ndani. Madhara yake ndiyo hayo club bingwa hamfiki popote.

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 11 дней назад +2

    Msimlaumu mwalimu gsm na injinia wananunua point matokeo ndo hivo

  • @MarliusMajani
    @MarliusMajani 11 дней назад +3

    Kutoka Lusaka Zambia ubaya ubwela

  • @MwajumaNgaruma
    @MwajumaNgaruma 11 дней назад +2

    Jamani mtafutieni dawa ya kutoipenda yanga😂😂😂😂😂😂

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 11 дней назад +2

    😂😂😂😂 mpeni namba yangu anipigie nimpe dawa ya kuichukia utopolo 🐸🦩🦩

    • @samanyaswai
      @samanyaswai 11 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 11 дней назад +1

    Utopolo hoyeee # bahari haiweki uchafaaaaaaaah

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 11 дней назад +1

    Injinia si ndo anaharibu ligi kwa kununua mechi na kutumia nguvu za shindano

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 11 дней назад +1

    Ligi yetu sio dhaifu isipokuwa inaathirika na udhamini wa kihovyo unaoruhusiwa na sheria.

  • @ZabibuMwenda
    @ZabibuMwenda 11 дней назад +1

    hahaha dunia hii injinia Leo hafai

    • @kelvinbinda8767
      @kelvinbinda8767 8 дней назад

      @@ZabibuMwenda kwa injinia waongee lingne nitaelew.

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz 11 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂 napendaga mabishano yao nilikuwa nasubiri kwa hamu ila mkumbuke ahadi zenu ndo zinaongeza nguvu ya kufanya vizuri

  • @kelvinbinda8767
    @kelvinbinda8767 11 дней назад +1

    Uyo jamaa wa simba ni hatar sanaaa anapoint baraaa

  • @NeemaRashid-z2i
    @NeemaRashid-z2i 11 дней назад +1

    Mwanayanga wa mchongo tunge Fika robo yasingekutoka hayo maneno

    • @samanyaswai
      @samanyaswai 11 дней назад

      Na Ndo Maana Wanaongea ili yaliyo tokea Next Yasitokee

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 11 дней назад

    Mwalim yanga nimekuelewa uko sawa mbona mastecka wapo wengi

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 11 дней назад +1

    Mwalimu wa Yanga kasema ukweli. Timu yao inanunua mechi za ligi ya ndani matokeo yake wakienda kimataifa mbwaaaaaaa

    • @SaumuSaidi-z2v
      @SaumuSaidi-z2v 11 дней назад

      Kwl kbc ngoja gsm aendelee kununua point mn yy ana pesa ila iko day