Naamini kama wachezaji wote wakiwa uwanjani wako tayari muda wote akipata mpira,ni mbele tuh na kwa haraka zaidi nzengeli ni moja ya wachezaji wanaokuwa mchozoni mda wote na wanakimbia mda wote na yao jeshi na bacca wachezaji wengine waige inshaallah
very smart...anajibu vizuri
Safi Sana maxi unajibu visuri mungu akubariki Sana upate afya Njema ameni
Utafunga tena inshallah 🙏
Naamini kama wachezaji wote wakiwa uwanjani wako tayari muda wote akipata mpira,ni mbele tuh na kwa haraka zaidi nzengeli ni moja ya wachezaji wanaokuwa mchozoni mda wote na wanakimbia mda wote na yao jeshi na bacca wachezaji wengine waige inshaallah
Mnamchosha mchezaji wangu jamani