Du kule kwetu Moro ukimuuluza mtu yeyote nini maana ya kipusa Atakwambia ni aina ya ndizi tamu sana..na ni nzuri kintazanmo..pia kuinunua ni bei kwa tanzania ukiliganisha na ndizi nyengine
ushawah isikiliza nyimbo ya alikiba vizur mpaka unasema kipusa ni mwanamke mrembo! "wananiita kipusa oh pasua kichwa" iyo colas kaimba kiba kwaiyo unamaanixha kiba mwanamke mrembo.na mondi pia kaimba "xilagi vipusa" usitupotoxhe mwulizen kiba anajua maana
kipusa ni kitu kitukinachopatikana Kwa nadra sana. kitu kipo lakini kina adimika( kinapotea) = pembe ya kifaru fasaha( vipusa old Swahili wanawake warembo = kipusa mwanamke mmoja mrembo. inategemeya wewe mzungumzaji uko upande gani \|||waniita kipusa [naadimika kwenye muonekano wa watu=kipusa. halisi ni pembe ya kifaru = unaonaje upatikanaji wake= nafikiri ni Kwa. shida sana. |{asili haipotei]
njoo WCB hatulagi vipusa tunakubaga chakula from KANSAS CITY. IDRIS nakukaribisha kwetu USA, KANSAS CITY. my address 1366 Pinecrest street APT namba 1633, utanipata.
Kipusa au vipusa means.ni Msichana mwenye uzuri msafi mrembo.....kwa mfano :wamepita vipusa wawili hapa umewaona?Hii ni lugha ya mtaani ambayo hutumika. .......
This made my night😀😀😀😀😀😀watching from Dubai
funny videos safiii
ila we Kaka nakupendaga Sana😂😂😂😂 big 👆
Hahhah idrisa unaweza kaka 😀😀😀😀😀😀😀😀
So marvelous and handsome u hit it
So good Mr
Yaani imenibidi nisabusklaibu tu kwenye hii channel...Love all the way from Toronto
Kipusa ni neno sanifu la Kiswahili ambalo ni kitawe na maana zake ni mbili. 1. Mwanamke mrembo 2. Pembe ya faru.
hahaha umetisha kaka
I like it
Eu gostei muito essa video
jaman wee uko juu ndio mana nakupenda sana ww tuu wallah.......kazi yako iko juuu
Nakukubali
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nilijikaza nisicheke loh!!!!!!!!!!!!! nimeshindwa mkuu
😂😂😂😂😂😂we jamaa ni chiz sana daaah😁😁😁
Damn U Gucci blood,Hola Idris,
Show dem what wagwaan,Me gv Yoo respect,
Much love from Oman we ❤u idris
❤️🖤
Nakupendaaa sanaaaa
aisee umenifanya ni subscribe chanel yako,idris umeonekana wa muyimu, oyooooo waliyo kubali kipusa wakowapi! walike
Du kule kwetu Moro ukimuuluza mtu yeyote nini maana ya kipusa Atakwambia ni aina ya ndizi tamu sana..na ni nzuri kintazanmo..pia kuinunua ni bei kwa tanzania ukiliganisha na ndizi nyengine
Mbavu zangu bro umezikausha😂😂😂😂😂😂
Niceeeee
Hahahahahahaaaa....Kipusa mamaaaaaaa..MAjibu ya watoto sasa...Mbavu zangu jamani Idris
daaaaah c kwaayo majbu jaman mmeyabadlsha auuu OMG I can't blv it
Eti ndege zilizokwama canada uyu jamaa dah
hatari
Nimekubali. Idrisa kazabuti kipindi kikopoa, hila atamimi sipendi kipusa
daaaah chiz kweli wew
hahahahaha Dull nimekusoma mtu wangu
Msanii smart kuliko wote Tanzania. Wengine hadi waji geuze wanawake, mibangi, unga, mchanga
Mama angu ajarudii Niko darasa LA kwanza😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂
Dah wabongo buana| |Kipusaaaaa!! msosi..
jamani nmecheka mpaka basi...idris we nouma
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Savage level 🤣🤣🤣🤣
Hahahahahah Koi Mzungu unazingua Man
kipusa kwetu ni kitu kama thahabu au kito cha thamani
Hahahaaa uwiiii mbavu zangu, kipusa ni mwanamke mrembo bhana
ushawah isikiliza nyimbo ya alikiba vizur mpaka unasema kipusa ni mwanamke mrembo! "wananiita kipusa oh pasua kichwa" iyo colas kaimba kiba kwaiyo unamaanixha kiba mwanamke mrembo.na mondi pia kaimba "xilagi vipusa" usitupotoxhe mwulizen kiba anajua maana
Mimi nlikua sijui maana yake sema idrisa jamani
@ happy ndo maana yake hyo
😂😂😂😂😂 sawa
yani nimecheka😃😃😃😃😃
umefanya nchekee nikaliia 😂😅😁😅😂😄kipusa jamani
*_Kipusa ni Alikibaaaaaaaaaaaa_*
Wakenya mliojikuta hapa hi😂😂😂
Mmenifanya Ni burst kwa kicheko usiku wa manane.asee acheni bangi idriss Na mwenzio.@kipusa Ni ndizi roast Na utumbo😅
Mbavu zangu jamaniii 😃😃😃😃😃 na hao mnaowahoji kaaaaaa
Daaah wewe jamaa ni fundi 😂😂😂😂
daaaa nimecheka mm eti mwambie dada wa kazi akipika tena kipusa mi siriii
😂
hahahahaha matataaaaaaaaaa
Wacha niku follow Twitter
Yani idris umenifanya nisabscrais chanel yako maana nimecheka sana,kipusa woyooooooooo
Mi pia
hahahahaaaaa
hahahahahaahhaa yaaan hao wanaojibu maswali wanafurahisha
❤️❤️😂😂😂😂😂
hhhhhhhh hhhhhhhh my night was fun
😃😃😃😃
ww jamaa unautani wa ngumiii sana,,,,😂😂😂😂😂😂
hahaa Aise unatishaa kipusa idris unatisha
Hahahahahaaa kipusa hatareeee
mond hoyooo Halagi vipusaa@idrissultan
Nimeagiza mbavu mpya kutoka india😁😂😢
hahaha
Adinani masamaki 😂😂😂😂niagizie nami😃😃😃😃
tena sana mpnz mimi china😂😂😂😂😂
Suti zako kali sana mkuu
mama yangu hajarud, hahaaaa
Ndio uchekeshaji gani kwanza nasikia jina lako lipo kwa mkuu umetajwa kweny list
Kipusa sio habari Hila kwa uelewa Wangu kipusa ni kengere
imekaa poa aisee
Mbavu zangu mimiiiii
We mchizi kwa kweli 😀😀😀😀😀😀😀
Uuuuu
Nakukupali sana
😁😁😁😁😁😁 poziii kwa poziii
nipo darasa la 1
😂😂😂😂kipusaaaa
😂😂😂😂😂
kipusa ni kitu kitukinachopatikana Kwa nadra sana. kitu kipo lakini kina adimika( kinapotea) = pembe ya kifaru fasaha( vipusa old Swahili wanawake warembo = kipusa mwanamke mmoja mrembo. inategemeya wewe mzungumzaji uko upande gani \|||waniita kipusa [naadimika kwenye muonekano wa watu=kipusa. halisi ni pembe ya kifaru = unaonaje upatikanaji wake= nafikiri ni Kwa. shida sana. |{asili haipotei]
mama angu ajarudiii
hatari sanaaa
ndo nyimbo wanazotuimbia wengine wetu hazijulikani, na vifata upepo vinaimba tu havijuwi vinatukanwa.
we mwenye wa kwanza
Haaahaaaa mtoto kasema mama ake hajarudi
Hahahaha Miss Agatha Kipusa ni mtu anaetafutwa na Polisi na donge nono kutolewa huyo ni kipusa
😂😂😂😂😂😂😂
Nyote mmefeli sasa mm nategua kitendawili (kipusa ) ni boss au tajir au mtu mwenye pesa nying io ndio maan halisi ya kipusa
hahhhh hao vilaza wa TM D umewatoa wapi wanapindisha ukweli....
Tanzania ya viwanda
1.Tatu Mzuka
2.Biko
3.PremierBet
4.MeridianBet
5.SportPesa
6.GSB
7.PrincesBet
8.MkekaBet
9.Supa Bets
10.Bet Now
11.Bet Ham
12.Throne Bet
13.M-Bet
🤓🤓🤓🤓🤓
🏃🏻🤓🏃🏻🏃🏻
Kipusa ni kitu ambacho kilikuwepo then kitawa shida kupatikana ndio kipusa#Zanzibar Swahili
😃😃😃
Aiseee watu wa ufahamu wa wetu wetu na lugha yetu kumbe bado uko hivi... waulize maana ya pembe 🐂🐰.. utasikia pembe la n'gombe
Kipusa Ni Mwanamke Ambae Anamchuna sn mwanaume wake kwa jina maalufu Cjui (kudanga )
duuuuuuh kipusa makoch??????? bangi hzooo
hahahahaha
nINAVYOJUA MIMI KIPUSA KWA KINYAMWEZI NI KITU KIZURI
njoo WCB hatulagi vipusa tunakubaga chakula from KANSAS CITY. IDRIS nakukaribisha kwetu USA, KANSAS CITY. my address 1366 Pinecrest street APT namba 1633, utanipata.
wee nawe, huna ata aibu ya kuongelea wachafu hapa, ukisikia mtu anajiita msafi jua ndio amelewa sasa maana ya usafi, wala sisi atuko upande huo tena
#PASUA_KICHWA
acha kiki kuma
Hahahahahahhhh
hahahaaaaa
Kipusa au vipusa means.ni Msichana mwenye uzuri msafi mrembo.....kwa mfano :wamepita vipusa wawili hapa umewaona?Hii ni lugha ya mtaani ambayo hutumika. .......
Kipusa ni maboss walio shindikana hata ushuru hawalipi
😅😅😅😅😅😅
kipusa ni maandazi yalivunda 😂😂😂😂
😁😁😁😁
hahahah! xo poa asipike tena kipusa
😀😀😀
😀😀😀😀😀😀
kipusa ni#ya ziripendwa