Nini maana ya KIPUSA ? : SIO HABARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 189

  • @dianadiana2563
    @dianadiana2563 7 лет назад +10

    This made my night😀😀😀😀😀😀watching from Dubai

  • @deborahmlay7861
    @deborahmlay7861 7 лет назад +7

    ila we Kaka nakupendaga Sana😂😂😂😂 big 👆

  • @youngbillionaire7140
    @youngbillionaire7140 6 лет назад +1

    Hahhah idrisa unaweza kaka 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @manalahmed5749
    @manalahmed5749 6 лет назад

    So marvelous and handsome u hit it

  • @mrboogie255-dr2kh
    @mrboogie255-dr2kh 7 лет назад +2

    So good Mr

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 6 лет назад +1

    Yaani imenibidi nisabusklaibu tu kwenye hii channel...Love all the way from Toronto

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 7 лет назад +14

    Kipusa ni neno sanifu la Kiswahili ambalo ni kitawe na maana zake ni mbili. 1. Mwanamke mrembo 2. Pembe ya faru.

  • @matowo1990
    @matowo1990 7 лет назад +1

    hahaha umetisha kaka

  • @joelimbanga7221
    @joelimbanga7221 7 лет назад

    I like it

  • @shaviercharvinho9380
    @shaviercharvinho9380 6 лет назад

    Eu gostei muito essa video

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 лет назад

    jaman wee uko juu ndio mana nakupenda sana ww tuu wallah.......kazi yako iko juuu

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 7 лет назад

    Nakukubali

  • @stephenmussa7221
    @stephenmussa7221 7 лет назад +1

    hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nilijikaza nisicheke loh!!!!!!!!!!!!! nimeshindwa mkuu

  • @victor_isaack
    @victor_isaack 7 лет назад +5

    😂😂😂😂😂😂we jamaa ni chiz sana daaah😁😁😁

  • @dalahdannan6178
    @dalahdannan6178 7 лет назад

    Damn U Gucci blood,Hola Idris,
    Show dem what wagwaan,Me gv Yoo respect,

  • @مريمعلي-و8س
    @مريمعلي-و8س 6 лет назад

    Much love from Oman we ❤u idris

    • @Jb40_
      @Jb40_ Год назад

      ❤️🖤

  • @anithasalumu6963
    @anithasalumu6963 5 лет назад

    Nakupendaaa sanaaaa

  • @allenmrema2919
    @allenmrema2919 7 лет назад +28

    aisee umenifanya ni subscribe chanel yako,idris umeonekana wa muyimu, oyooooo waliyo kubali kipusa wakowapi! walike

    • @rcpoul4244
      @rcpoul4244 6 лет назад

      Du kule kwetu Moro ukimuuluza mtu yeyote nini maana ya kipusa Atakwambia ni aina ya ndizi tamu sana..na ni nzuri kintazanmo..pia kuinunua ni bei kwa tanzania ukiliganisha na ndizi nyengine

  • @mercynelima4241
    @mercynelima4241 7 лет назад +1

    Mbavu zangu bro umezikausha😂😂😂😂😂😂

  • @grasskambalecharles4992
    @grasskambalecharles4992 7 лет назад

    Niceeeee

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 7 лет назад

    Hahahahahahaaaa....Kipusa mamaaaaaaa..MAjibu ya watoto sasa...Mbavu zangu jamani Idris

  • @veronikamkenda5546
    @veronikamkenda5546 7 лет назад +1

    daaaaah c kwaayo majbu jaman mmeyabadlsha auuu OMG I can't blv it

  • @nega_ak4729
    @nega_ak4729 7 лет назад +10

    Eti ndege zilizokwama canada uyu jamaa dah

  • @abdulrahmanally7199
    @abdulrahmanally7199 7 лет назад +1

    Nimekubali. Idrisa kazabuti kipindi kikopoa, hila atamimi sipendi kipusa

  • @aishaabdion9802
    @aishaabdion9802 7 лет назад

    daaaah chiz kweli wew

  • @chumugangs249
    @chumugangs249 7 лет назад

    hahahahaha Dull nimekusoma mtu wangu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 6 лет назад

    Msanii smart kuliko wote Tanzania. Wengine hadi waji geuze wanawake, mibangi, unga, mchanga

  • @kassimmossi3638
    @kassimmossi3638 3 года назад

    Mama angu ajarudii Niko darasa LA kwanza😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂

  • @salvinasimba7422
    @salvinasimba7422 7 лет назад

    Dah wabongo buana| |Kipusaaaaa!! msosi..

  • @happyalpha1350
    @happyalpha1350 7 лет назад

    jamani nmecheka mpaka basi...idris we nouma

  • @Jb40_
    @Jb40_ Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @seifali2473
    @seifali2473 7 лет назад +1

    Savage level 🤣🤣🤣🤣

  • @hemedishafii6382
    @hemedishafii6382 7 лет назад +1

    Hahahahahah Koi Mzungu unazingua Man

  • @happyminja1292
    @happyminja1292 7 лет назад +14

    kipusa kwetu ni kitu kama thahabu au kito cha thamani

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 7 лет назад +13

    Hahahaaa uwiiii mbavu zangu, kipusa ni mwanamke mrembo bhana

    • @hanxyhappy6669
      @hanxyhappy6669 7 лет назад

      ushawah isikiliza nyimbo ya alikiba vizur mpaka unasema kipusa ni mwanamke mrembo! "wananiita kipusa oh pasua kichwa" iyo colas kaimba kiba kwaiyo unamaanixha kiba mwanamke mrembo.na mondi pia kaimba "xilagi vipusa" usitupotoxhe mwulizen kiba anajua maana

    • @MariamsLifestyle
      @MariamsLifestyle 7 лет назад

      Mimi nlikua sijui maana yake sema idrisa jamani

    • @missagatha1756
      @missagatha1756 7 лет назад +1

      @ happy ndo maana yake hyo

  • @godsonliker9785
    @godsonliker9785 7 лет назад

    😂😂😂😂😂 sawa

  • @mwajumahassan3595
    @mwajumahassan3595 7 лет назад

    yani nimecheka😃😃😃😃😃

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 лет назад

    umefanya nchekee nikaliia 😂😅😁😅😂😄kipusa jamani

  • @patmush7516
    @patmush7516 7 лет назад +4

    *_Kipusa ni Alikibaaaaaaaaaaaa_*

  • @sumyahkalama
    @sumyahkalama 6 лет назад

    Wakenya mliojikuta hapa hi😂😂😂

  • @josephmasokola8343
    @josephmasokola8343 6 лет назад +1

    Mmenifanya Ni burst kwa kicheko usiku wa manane.asee acheni bangi idriss Na mwenzio.@kipusa Ni ndizi roast Na utumbo😅

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 6 лет назад

    Mbavu zangu jamaniii 😃😃😃😃😃 na hao mnaowahoji kaaaaaa

  • @motivationtv9958
    @motivationtv9958 7 лет назад +1

    Daaah wewe jamaa ni fundi 😂😂😂😂

  • @dianadaniel6082
    @dianadaniel6082 7 лет назад +4

    daaaa nimecheka mm eti mwambie dada wa kazi akipika tena kipusa mi siriii

  • @michaeldonasian5450
    @michaeldonasian5450 6 лет назад

    hahahahaha matataaaaaaaaaa

  • @sumyahkalama
    @sumyahkalama 6 лет назад

    Wacha niku follow Twitter

  • @agustadickson1562
    @agustadickson1562 7 лет назад +10

    Yani idris umenifanya nisabscrais chanel yako maana nimecheka sana,kipusa woyooooooooo

  • @fatumamasudi365
    @fatumamasudi365 7 лет назад +1

    hahahahaaaaa

  • @jafarsalum2123
    @jafarsalum2123 7 лет назад

    hahahahahaahhaa yaaan hao wanaojibu maswali wanafurahisha

  • @Onge-shabani1994
    @Onge-shabani1994 4 года назад

    ❤️❤️😂😂😂😂😂

  • @atimnedibae9555
    @atimnedibae9555 7 лет назад +1

    hhhhhhhh hhhhhhhh my night was fun

  • @khadijaarkam5701
    @khadijaarkam5701 6 лет назад

    😃😃😃😃

  • @davidroche3471
    @davidroche3471 7 лет назад

    ww jamaa unautani wa ngumiii sana,,,,😂😂😂😂😂😂

  • @nzokakudema2885
    @nzokakudema2885 7 лет назад

    hahaa Aise unatishaa kipusa idris unatisha

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 7 лет назад +1

    Hahahahahaaa kipusa hatareeee

  • @shamsaally9385
    @shamsaally9385 7 лет назад

    mond hoyooo Halagi vipusaa@idrissultan

  • @adinanimasamaki5356
    @adinanimasamaki5356 7 лет назад +14

    Nimeagiza mbavu mpya kutoka india😁😂😢

  • @majidseif3845
    @majidseif3845 7 лет назад

    Suti zako kali sana mkuu

  • @naimumwahu2988
    @naimumwahu2988 7 лет назад +1

    mama yangu hajarud, hahaaaa

  • @salummohd6127
    @salummohd6127 6 лет назад

    Ndio uchekeshaji gani kwanza nasikia jina lako lipo kwa mkuu umetajwa kweny list

  • @gshenlgospel7485
    @gshenlgospel7485 7 лет назад +1

    Kipusa sio habari Hila kwa uelewa Wangu kipusa ni kengere

  • @josephmurphyjosephmurphy7294
    @josephmurphyjosephmurphy7294 7 лет назад +1

    imekaa poa aisee

  • @irenebernard1331
    @irenebernard1331 7 лет назад +3

    Mbavu zangu mimiiiii

  • @DeeDiyo5
    @DeeDiyo5 7 лет назад

    We mchizi kwa kweli 😀😀😀😀😀😀😀

  • @waduduinctv6537
    @waduduinctv6537 7 лет назад +2

    Uuuuu

  • @Oman-bi2ej
    @Oman-bi2ej 4 года назад

    Nakukupali sana

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 6 лет назад +1

    😁😁😁😁😁😁 poziii kwa poziii

  • @daudilazaro1448
    @daudilazaro1448 7 лет назад

    nipo darasa la 1

  • @lylyshadianzoyihaya3433
    @lylyshadianzoyihaya3433 7 лет назад

    😂😂😂😂kipusaaaa

  • @sami7aally990
    @sami7aally990 7 лет назад +2

    😂😂😂😂😂

  • @wambiliwamachalili7325
    @wambiliwamachalili7325 6 лет назад

    kipusa ni kitu kitukinachopatikana Kwa nadra sana. kitu kipo lakini kina adimika( kinapotea) = pembe ya kifaru fasaha( vipusa old Swahili wanawake warembo = kipusa mwanamke mmoja mrembo. inategemeya wewe mzungumzaji uko upande gani \|||waniita kipusa [naadimika kwenye muonekano wa watu=kipusa. halisi ni pembe ya kifaru = unaonaje upatikanaji wake= nafikiri ni Kwa. shida sana. |{asili haipotei]

  • @leahonesmo9649
    @leahonesmo9649 7 лет назад +1

    mama angu ajarudiii

  • @mwandiadam5490
    @mwandiadam5490 7 лет назад

    hatari sanaaa

  • @selemanihussein7053
    @selemanihussein7053 7 лет назад +1

    ndo nyimbo wanazotuimbia wengine wetu hazijulikani, na vifata upepo vinaimba tu havijuwi vinatukanwa.

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 5 лет назад

    Haaahaaaa mtoto kasema mama ake hajarudi

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 6 лет назад

    Hahahaha Miss Agatha Kipusa ni mtu anaetafutwa na Polisi na donge nono kutolewa huyo ni kipusa

  • @esthershayo6329
    @esthershayo6329 7 лет назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @TanzaniOman
    @TanzaniOman 4 года назад

    Nyote mmefeli sasa mm nategua kitendawili (kipusa ) ni boss au tajir au mtu mwenye pesa nying io ndio maan halisi ya kipusa

  • @sajopatrick9184
    @sajopatrick9184 7 лет назад +1

    hahhhh hao vilaza wa TM D umewatoa wapi wanapindisha ukweli....

  • @swalihinatv2031
    @swalihinatv2031 7 лет назад

    ​Tanzania ya viwanda​
    1.Tatu Mzuka
    2.Biko
    3.PremierBet
    4.MeridianBet
    5.SportPesa
    6.GSB
    7.PrincesBet
    8.MkekaBet
    9.Supa Bets
    10.Bet Now
    11.Bet Ham
    12.Throne Bet
    13.M-Bet
    🤓🤓🤓🤓🤓
    🏃🏻🤓🏃🏻🏃🏻

  • @musamusa1722
    @musamusa1722 6 лет назад

    Kipusa ni kitu ambacho kilikuwepo then kitawa shida kupatikana ndio kipusa#Zanzibar Swahili

  • @ahmedalminshad1211
    @ahmedalminshad1211 7 лет назад

    😃😃😃

  • @mwangattazuberi8289
    @mwangattazuberi8289 7 лет назад

    Aiseee watu wa ufahamu wa wetu wetu na lugha yetu kumbe bado uko hivi... waulize maana ya pembe 🐂🐰.. utasikia pembe la n'gombe

  • @husseinpazi861
    @husseinpazi861 7 лет назад +1

    Kipusa Ni Mwanamke Ambae Anamchuna sn mwanaume wake kwa jina maalufu Cjui (kudanga )

  • @saidemmanuel2181
    @saidemmanuel2181 7 лет назад

    duuuuuuh kipusa makoch??????? bangi hzooo

  • @tiaschris7070
    @tiaschris7070 7 лет назад

    hahahahaha

  • @mwanunukiyungi8487
    @mwanunukiyungi8487 7 лет назад

    nINAVYOJUA MIMI KIPUSA KWA KINYAMWEZI NI KITU KIZURI

  • @selemanihussein7053
    @selemanihussein7053 7 лет назад +5

    njoo WCB hatulagi vipusa tunakubaga chakula from KANSAS CITY. IDRIS nakukaribisha kwetu USA, KANSAS CITY. my address 1366 Pinecrest street APT namba 1633, utanipata.

    • @allenmrema2919
      @allenmrema2919 7 лет назад

      wee nawe, huna ata aibu ya kuongelea wachafu hapa, ukisikia mtu anajiita msafi jua ndio amelewa sasa maana ya usafi, wala sisi atuko upande huo tena

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 7 лет назад

    #PASUA_KICHWA

  • @benitholuambano9381
    @benitholuambano9381 7 лет назад +3

    acha kiki kuma

  • @فاطمهسالم-ج7ت
    @فاطمهسالم-ج7ت 7 лет назад +1

    Hahahahahahhhh

  • @aishaabdj8913
    @aishaabdj8913 7 лет назад

    hahahaaaaa

  • @Mimi.Official76
    @Mimi.Official76 7 лет назад

    Kipusa au vipusa means.ni Msichana mwenye uzuri msafi mrembo.....kwa mfano :wamepita vipusa wawili hapa umewaona?Hii ni lugha ya mtaani ambayo hutumika. .......

  • @boazmtileghe9161
    @boazmtileghe9161 6 лет назад

    Kipusa ni maboss walio shindikana hata ushuru hawalipi

  • @khadijamaulid668
    @khadijamaulid668 5 лет назад

    😅😅😅😅😅😅

  • @harunajames8172
    @harunajames8172 7 лет назад

    kipusa ni maandazi yalivunda 😂😂😂😂

  • @jacksonninja4380
    @jacksonninja4380 7 лет назад

    😁😁😁😁

  • @angeledesius426
    @angeledesius426 6 лет назад

    hahahah! xo poa asipike tena kipusa

  • @mwanaidihussen4641
    @mwanaidihussen4641 7 лет назад

    😀😀😀

  • @ahabrondy2713
    @ahabrondy2713 7 лет назад

    kipusa ni#ya ziripendwa