Nyie wasomi wa uhandisi, jifunzeni kwa mhasibu kadogosa. Mnatabia ya kujikweza ili hali miradi mnayosimamia hupotelea matumboni mwenu. Hili liwe ni somo kwenu. Eloi wetu u baraka umetuletea nuru Duniani -Magufuli.
Halafu et jpm mshamba..!! mshamba atengeneze mji wa kisasa halafu auhame?? Hata hiyo akili ya kutengeneza mji wa kisasa unaitoa wapi km ww ni mshamba????
Mohd Salum,ni kweli kabisa MH.raisi anahitaji kuungwa mkono sana.maana mambo anayofanya ni ya kipekee sana katika maendeleo ya Taifa letu. Nakushukuru sana kuwa sehemu ya wanaomuunga mkono Jemedari wetu.tuendelee kumuombea bila kuchoka
@@manpelo8064 ,Hujasoma ripoti ya shirika la umoja wa mataifa kwa mwaka 2019. Tanzania sio nchi masikini.na wao wameshakubali kuliondoa jina la nchi yetu katika orodha ya mataifa masikini duniani. Sasa wewe huo umasikini unaoongelea ni wa fikra zako binafsi.umekariri kuwa unaishi katika nchi masikini.(hata mheshimiwa raisi anaposema sisi sio masikini hukumuelewa inavyoonyesha) Pili hakuna serikali inayopelekea watu wake chakula wale duniani,au inayogawa pesa kwa wananchi wake. Kupambana na hali yako ya maisha ni kuongeza bidii katika shughuli zako za kila Siku ili maisha yako yawe bora. Ukisubiri utafuniwe umeze hakika nakuhakikishia utakufa masikini wa kutupwa. Pia nikufahamishe kuwa serikali inawekeza katika miundombinu n.k ili kukuwezesha shughuli zako zifanyike kwa urahisi.inawekeza katika kutoa mikopo ya halmashauri kuwezesha wanawake,vijana na walemavu,inawekeza katika elimu,afya n.k ili kurahisisha mambo .ila hakuna siku itakayotokea serikali ikagawa pesa mitaani. Na hilo sio hapa duniani tuu.Hata MUNGU hagawi riziki pasipo muhusika kufanya kazi na kujituma.ndio maana akasema "asiyefanya kazi na asile!!". Jikomboe kwa kuchapa kazi kwa bidii.
Haha🤣🤣🤣hujui Kam hyo hella y kumlipa doctor Ni route moja y Mumbai zidisha Mara 4 per week unapata 🏨🏨🏥🏥 za kutoxha je ? Doctor asipopata mshahar akagoma kuktibu busha lako utatibiwa na nan n Kwann hujui Ethiopia inategemea usafri wa anga??
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Next time Ben muulize engineer kuhusu majengo ya station ya Dar,maana kwenye ramani majengo yanaonekana ni mawili lakini hadi sasa linaonekana jengo moja tu ndo linajengwa..Na ni vipi abiria wataingia kwenye trains baada ya kufika floor ya pili kwa hizo ladders,lifts na oscillators maana kuna umbali kidogo kutoka kwenye floor ya pili kulifikia daraja la trains???
#Tanzania Unforgettable# Hapa Kazi Tu.... May all the projects in our country under construction be completed timely for the development of our beloved motherland and improvements of our people's welfare...! Keep up the good deed our dear Commander in Chief HE DR President JPM...1
Kazi inakamilika muda si mrefu. tuandae nauli sasa wenyeji wa mikoa ya ukanda wa kati ambao hatujarudi makwetu kwa miaka mingi.ili tuzindue safari za treni hii kwa kishindo na rekodi ya kipekee.
Acha punguani wapige kelele wataokuja kua kuamua kipi kilikua sahihi na kipi sio ni kizazi kijacho na sio hizi pumba za mitandaoni! wavivu wapiga madeal huu ndio uwanja wao kule kwenye maisha ya kawaida mkuu amekaza😂
@@dunduumaster4815 Sisi watu wa Moshi na Arusha tunao kwenda kuesabiwa mwezi wa kumi na mbili raha kweli maana hatuta gongwa tena nauri na usafiri tunaweza tukapanda watu wote wa Arusha na Moshi Mara moja na tukafika kwa wakati mmoja
Wanao mkata Rais Mugufuli wote vicha kama uko na mimi sawa gonga like
Mnaotaka magufuli aongoze mpaka mwisho wake gonga like tujuane
Asante kwa taarifa
Nyie wasomi wa uhandisi, jifunzeni kwa mhasibu kadogosa. Mnatabia ya kujikweza ili hali miradi mnayosimamia hupotelea matumboni mwenu. Hili liwe ni somo kwenu. Eloi wetu u baraka umetuletea nuru Duniani -Magufuli.
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Halafu et jpm mshamba..!! mshamba atengeneze mji wa kisasa halafu auhame?? Hata hiyo akili ya kutengeneza mji wa kisasa unaitoa wapi km ww ni mshamba????
Nagiin 4
Safi sana serekali ya awamu ya tano ifanyekazi vizuri mambo haya sio rahisi kama unavofikiria
Mohd Salum Hongera pia kwa kufuatilia huu mradi bro.nimekuwa nikikuona siku nyingi sana!Ubari
kiwe sana kwa kuwa mzalendo halisi.
@@freddymello3227 lazima tuunge mkono maendeleo ya tano ifanyekazi na Tanzania inabadilika sana lazm tuwe wazalendo kusifu vya kwetu
Mohd Salum,ni kweli kabisa MH.raisi anahitaji kuungwa mkono sana.maana mambo anayofanya ni ya kipekee sana katika maendeleo ya Taifa letu.
Nakushukuru sana kuwa sehemu ya wanaomuunga mkono Jemedari wetu.tuendelee kumuombea bila kuchoka
@@freddymello3227 watu wanakufa na njaa maendeleo gani nchi bado maskini dunian
@@manpelo8064 ,Hujasoma ripoti ya shirika la umoja wa mataifa kwa mwaka 2019.
Tanzania sio nchi masikini.na wao wameshakubali kuliondoa jina la nchi yetu katika orodha ya mataifa masikini duniani.
Sasa wewe huo umasikini unaoongelea ni wa fikra zako binafsi.umekariri kuwa unaishi katika nchi masikini.(hata mheshimiwa raisi anaposema sisi sio masikini hukumuelewa inavyoonyesha)
Pili hakuna serikali inayopelekea watu wake chakula wale duniani,au inayogawa pesa kwa wananchi wake.
Kupambana na hali yako ya maisha ni kuongeza bidii katika shughuli zako za kila Siku ili maisha yako yawe bora.
Ukisubiri utafuniwe umeze hakika nakuhakikishia utakufa masikini wa kutupwa.
Pia nikufahamishe kuwa serikali inawekeza katika miundombinu n.k ili kukuwezesha shughuli zako zifanyike kwa urahisi.inawekeza katika kutoa mikopo ya halmashauri kuwezesha wanawake,vijana na walemavu,inawekeza katika elimu,afya n.k ili kurahisisha mambo .ila hakuna siku itakayotokea serikali ikagawa pesa mitaani.
Na hilo sio hapa duniani tuu.Hata MUNGU hagawi riziki pasipo muhusika kufanya kazi na kujituma.ndio maana akasema "asiyefanya kazi na asile!!".
Jikomboe kwa kuchapa kazi kwa bidii.
Sasa tunataka nini zaidi ya maendeleo??
Hongera hawamu ya 5 hongera rais wetu bila ya wewe tusingepiga hatua Allah akutir nguvu na afya tele pmj na uongozi mzm
Mabasi ya moshi mwaka huu mmm tusubili mchawi muda
Nice 👍🏻
Nizamu ya kaz iko poa
Kazi Ni kubwa sana hakika juhudi imefanyika mpaka kufikia asilimia 70/. Sio Jambo dogo magufuli kafanya kazi atakumbukwa kwa hili.
Mi mwenyewe nlikuwa simpendi magu ila kwa jinsi ana jenga hivi jamaa ana faa kuwa raisi
Jpm miaka 100 piga kazi baba
Afu utasikia jtu linasema lireli lann sis ndege hazituhusu nyambafu wapinga maendeleo
Na wew una matatizo ya akili, inakuhusu nini akiimba
Ukiumwa utatibiwa na ndege mbona akili kidogo
Haha🤣🤣🤣hujui Kam hyo hella y kumlipa doctor Ni route moja y Mumbai zidisha Mara 4 per week unapata 🏨🏨🏥🏥 za kutoxha je ? Doctor asipopata mshahar akagoma kuktibu busha lako utatibiwa na nan n Kwann hujui Ethiopia inategemea usafri wa anga??
😀🤗🤗😅😅mbona unajistukia kwn mm nimemsema mtu kaimba au unawataja wlio baki lete defender lete mapanga bx tuongeekiharakat
@@johnplacid8885 poor reasoning, alafu ungejua schedules za matibabu ndo ungeongea hayo
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Next time Ben muulize engineer kuhusu majengo ya station ya Dar,maana kwenye ramani majengo yanaonekana ni mawili lakini hadi sasa linaonekana jengo moja tu ndo linajengwa..Na ni vipi abiria wataingia kwenye trains baada ya kufika floor ya pili kwa hizo ladders,lifts na oscillators maana kuna umbali kidogo kutoka kwenye floor ya pili kulifikia daraja la trains???
Francis Kanuth “ Escalators “
Good
Ni mkuda tuu ndoo anaweza toa maneno ya kebehi
#Tanzania Unforgettable# Hapa Kazi Tu.... May all the projects in our country under construction be completed timely for the development of our beloved motherland and improvements of our people's welfare...! Keep up the good deed our dear Commander in Chief HE DR President JPM...1
Good job TZ love from Kenya 🇰🇪
Hongera Jpm Hongera walipa kodi wote wa Tz
Kazi inakamilika muda si mrefu.
tuandae nauli sasa wenyeji wa mikoa ya ukanda wa kati ambao hatujarudi makwetu kwa miaka mingi.ili tuzindue safari za treni hii kwa kishindo na rekodi ya kipekee.
Nina hamu sana kazi ikamilike haraka sana lakini inavyoonekana kazi kukamilika haswa mpaka 2021 kama sio zaidi ya hapo.
Tarik J Tuendelee kuwaombea hawa walioko mstari wa mbele kwenye mapambano .wajaaliwe nguvu na wasirudi nyuma.
watupe mradi wetu mapema iwezekanavyo
Kwa anayefahamu Hiyo Train ya deluxe inachukua muda gani kutoka Dsm hadi Moshi?
Msitukwamishe sisi eeeeh
Da kweli nchi inapaa
Long live TANZANIA and her people,hard work with proper planing brings success not democracy.
Haya majengo chakavu pembeni serikali iyatathimini vzrii.maana seven inatakia kuwa nzri ili kuvutia wageni,pia utarii wa ndani
😂😂😂kweli hayo majengo pembeni yanachoma picha
Je SGR itafika Lindi Mtwara?wengine tungependa kutalii Tanzania na Reli itakuwa muafaka sana
Daraja la Nkurumah linaitwa "cable stayed bridge" na si cable bridge!
Kwa hiyo hapo kakosea nini? Yaani hiyo stayed umeona ni tatizo isipowekwa.
Ben mbona kama hatusogei kila siku ni asilimia 70?
Huyu sasa ni click bait..no new news.usanii mtupu
Kongela magufuli
Acha punguani wapige kelele wataokuja kua kuamua kipi kilikua sahihi na kipi sio ni kizazi kijacho na sio hizi pumba za mitandaoni! wavivu wapiga madeal huu ndio uwanja wao kule kwenye maisha ya kawaida mkuu amekaza😂
Big up Ben nmejuwa wa kwanza comment
Nakubali jamaa
Tupeni na Bei za Mwanza - Dar
translation
Awamu ya tano5 nawaona hivyo asanteni sana
This tanzania
Jpm umenifanya niuwamini usemi usemao mti wenye matunda ndio upigwa mawe,,
Nenda kamtunuku basi
@@dunduumaster4815 Sisi watu wa Moshi na Arusha tunao kwenda kuesabiwa mwezi wa kumi na mbili raha kweli maana hatuta gongwa tena nauri na usafiri tunaweza tukapanda watu wote wa Arusha na Moshi Mara moja na tukafika kwa wakati mmoja
@@dunduumaster4815 punga sese Wewe
Inavutia sana
steshen ya morogoro itakua wapi
Kihonda
Kihonda magereza karibu na kwa chambo
Kihonda magereza karibu na kwa chambo
Kusema ukweli magufuli ni baba lao kaah yani kwa kazi hii nchi lazma iendelee
Tanga pia tunahitaji treni ya abiria
Rais wakikuzingua siku ukimaliza muda wako uza vyote ulivyonunua na bomoa vyote ulivyojenga maana hawana jema
Dah nakubali
Korogwe na nauli ya kulala wap wap? hata Moshi yenyewe embu kuweni wabunifu toeni hizo behewa za vyumba ili mbebe watu wengi zaidi.
vituo sio vizuri kabisa vilipaswa kuwa vizuri zaidi
vituo siyo muhimu kama usafiri wenyewe
Yatosha kaka.hii ni mwanzo tu na hela itoke wapi?usilinganishe tz na ulaya.mwendo ndio umeanza na tutafika tu
Alafu mtu mmoja anasimama ansema hakuna kilicho fanyika,, Mmmmmmmmmmmm!!!! "WAPUUZENI WA* VU HAO"
Malizeni ujenzi, acheni porojo
My Brevis ai250 acha ukuda
Kwa akili zako una fikiri ata huko Ulaya wana jenga vitu vyao kwa siku moja tuu? Ujenzi lazma uchukue mda laa sivyo ni kulipua lipua
We unafikiri huo ujenz ni rahis rahis tu
Fikeni asilimia 90 basi ..Kila siku 70
Hii reli yenu imekwama asilimia 70%?
Reli yao?? kwani wewe siyo yako?
@@patrickmashauri7045 si yetu ni ya CCM na wanafiki wao
Acha bangi
@@cosmasdaud9088 Bangi wanao vuta ni wewe na CCM
AA AA wewe mbwaaa nini