#SGR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024

Комментарии • 102

  • @mazeenmasoud7297
    @mazeenmasoud7297 4 года назад +13

    Wanao mkata Rais Mugufuli wote vicha kama uko na mimi sawa gonga like

  • @allyallybenard3275
    @allyallybenard3275 4 года назад +5

    Mnaotaka magufuli aongoze mpaka mwisho wake gonga like tujuane

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 4 года назад +7

    Asante kwa taarifa

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 4 года назад +8

    Nyie wasomi wa uhandisi, jifunzeni kwa mhasibu kadogosa. Mnatabia ya kujikweza ili hali miradi mnayosimamia hupotelea matumboni mwenu. Hili liwe ni somo kwenu. Eloi wetu u baraka umetuletea nuru Duniani -Magufuli.

  • @amani2555
    @amani2555 4 года назад +7

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿

  • @emmanuelntalima1717
    @emmanuelntalima1717 4 года назад +26

    Halafu et jpm mshamba..!! mshamba atengeneze mji wa kisasa halafu auhame?? Hata hiyo akili ya kutengeneza mji wa kisasa unaitoa wapi km ww ni mshamba????

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 4 года назад +9

    Safi sana serekali ya awamu ya tano ifanyekazi vizuri mambo haya sio rahisi kama unavofikiria

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 4 года назад +2

      Mohd Salum Hongera pia kwa kufuatilia huu mradi bro.nimekuwa nikikuona siku nyingi sana!Ubari
      kiwe sana kwa kuwa mzalendo halisi.

    • @mohdsalum3832
      @mohdsalum3832 4 года назад +3

      @@freddymello3227 lazima tuunge mkono maendeleo ya tano ifanyekazi na Tanzania inabadilika sana lazm tuwe wazalendo kusifu vya kwetu

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 4 года назад +1

      Mohd Salum,ni kweli kabisa MH.raisi anahitaji kuungwa mkono sana.maana mambo anayofanya ni ya kipekee sana katika maendeleo ya Taifa letu.
      Nakushukuru sana kuwa sehemu ya wanaomuunga mkono Jemedari wetu.tuendelee kumuombea bila kuchoka

    • @manpelo8064
      @manpelo8064 4 года назад

      @@freddymello3227 watu wanakufa na njaa maendeleo gani nchi bado maskini dunian

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 4 года назад +1

      @@manpelo8064 ,Hujasoma ripoti ya shirika la umoja wa mataifa kwa mwaka 2019.
      Tanzania sio nchi masikini.na wao wameshakubali kuliondoa jina la nchi yetu katika orodha ya mataifa masikini duniani.
      Sasa wewe huo umasikini unaoongelea ni wa fikra zako binafsi.umekariri kuwa unaishi katika nchi masikini.(hata mheshimiwa raisi anaposema sisi sio masikini hukumuelewa inavyoonyesha)
      Pili hakuna serikali inayopelekea watu wake chakula wale duniani,au inayogawa pesa kwa wananchi wake.
      Kupambana na hali yako ya maisha ni kuongeza bidii katika shughuli zako za kila Siku ili maisha yako yawe bora.
      Ukisubiri utafuniwe umeze hakika nakuhakikishia utakufa masikini wa kutupwa.
      Pia nikufahamishe kuwa serikali inawekeza katika miundombinu n.k ili kukuwezesha shughuli zako zifanyike kwa urahisi.inawekeza katika kutoa mikopo ya halmashauri kuwezesha wanawake,vijana na walemavu,inawekeza katika elimu,afya n.k ili kurahisisha mambo .ila hakuna siku itakayotokea serikali ikagawa pesa mitaani.
      Na hilo sio hapa duniani tuu.Hata MUNGU hagawi riziki pasipo muhusika kufanya kazi na kujituma.ndio maana akasema "asiyefanya kazi na asile!!".
      Jikomboe kwa kuchapa kazi kwa bidii.

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 года назад +10

    Sasa tunataka nini zaidi ya maendeleo??

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 4 года назад +2

    Hongera hawamu ya 5 hongera rais wetu bila ya wewe tusingepiga hatua Allah akutir nguvu na afya tele pmj na uongozi mzm

  • @georgejoseph2295
    @georgejoseph2295 4 года назад +11

    Mabasi ya moshi mwaka huu mmm tusubili mchawi muda

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 4 года назад +6

    Nice 👍🏻

  • @johnplacid8885
    @johnplacid8885 4 года назад +8

    Nizamu ya kaz iko poa

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 4 года назад +7

    Kazi Ni kubwa sana hakika juhudi imefanyika mpaka kufikia asilimia 70/. Sio Jambo dogo magufuli kafanya kazi atakumbukwa kwa hili.

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 4 года назад

      Mi mwenyewe nlikuwa simpendi magu ila kwa jinsi ana jenga hivi jamaa ana faa kuwa raisi

  • @razackkambi2839
    @razackkambi2839 4 года назад +9

    Jpm miaka 100 piga kazi baba

  • @johnplacid8885
    @johnplacid8885 4 года назад +20

    Afu utasikia jtu linasema lireli lann sis ndege hazituhusu nyambafu wapinga maendeleo

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 4 года назад

      Na wew una matatizo ya akili, inakuhusu nini akiimba

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 4 года назад

      Ukiumwa utatibiwa na ndege mbona akili kidogo

    • @johnplacid8885
      @johnplacid8885 4 года назад +1

      Haha🤣🤣🤣hujui Kam hyo hella y kumlipa doctor Ni route moja y Mumbai zidisha Mara 4 per week unapata 🏨🏨🏥🏥 za kutoxha je ? Doctor asipopata mshahar akagoma kuktibu busha lako utatibiwa na nan n Kwann hujui Ethiopia inategemea usafri wa anga??

    • @johnplacid8885
      @johnplacid8885 4 года назад

      😀🤗🤗😅😅mbona unajistukia kwn mm nimemsema mtu kaimba au unawataja wlio baki lete defender lete mapanga bx tuongeekiharakat

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 4 года назад

      @@johnplacid8885 poor reasoning, alafu ungejua schedules za matibabu ndo ungeongea hayo

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 4 года назад +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @franciskanuth1705
    @franciskanuth1705 4 года назад +2

    Next time Ben muulize engineer kuhusu majengo ya station ya Dar,maana kwenye ramani majengo yanaonekana ni mawili lakini hadi sasa linaonekana jengo moja tu ndo linajengwa..Na ni vipi abiria wataingia kwenye trains baada ya kufika floor ya pili kwa hizo ladders,lifts na oscillators maana kuna umbali kidogo kutoka kwenye floor ya pili kulifikia daraja la trains???

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 4 года назад

      Francis Kanuth “ Escalators “

  • @rwegoshoramichael3144
    @rwegoshoramichael3144 4 года назад +2

    Good

  • @sagudanicasnicas2660
    @sagudanicasnicas2660 4 года назад +4

    Ni mkuda tuu ndoo anaweza toa maneno ya kebehi

  • @jameslazarus8016
    @jameslazarus8016 4 года назад

    #Tanzania Unforgettable# Hapa Kazi Tu.... May all the projects in our country under construction be completed timely for the development of our beloved motherland and improvements of our people's welfare...! Keep up the good deed our dear Commander in Chief HE DR President JPM...1

  • @johnsteytler3597
    @johnsteytler3597 4 года назад +1

    Good job TZ love from Kenya 🇰🇪

  • @mahirwilliam5109
    @mahirwilliam5109 4 года назад +1

    Hongera Jpm Hongera walipa kodi wote wa Tz

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 4 года назад +5

    Kazi inakamilika muda si mrefu.
    tuandae nauli sasa wenyeji wa mikoa ya ukanda wa kati ambao hatujarudi makwetu kwa miaka mingi.ili tuzindue safari za treni hii kwa kishindo na rekodi ya kipekee.

    • @tarikj3782
      @tarikj3782 4 года назад +1

      Nina hamu sana kazi ikamilike haraka sana lakini inavyoonekana kazi kukamilika haswa mpaka 2021 kama sio zaidi ya hapo.

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 4 года назад +2

      Tarik J Tuendelee kuwaombea hawa walioko mstari wa mbele kwenye mapambano .wajaaliwe nguvu na wasirudi nyuma.
      watupe mradi wetu mapema iwezekanavyo

  • @petermabiki7798
    @petermabiki7798 4 года назад +2

    Kwa anayefahamu Hiyo Train ya deluxe inachukua muda gani kutoka Dsm hadi Moshi?

  • @henrickchambilo3119
    @henrickchambilo3119 4 года назад +6

    Msitukwamishe sisi eeeeh

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine7906 4 года назад +3

    Da kweli nchi inapaa

  • @kimayahlawrence1893
    @kimayahlawrence1893 4 года назад

    Long live TANZANIA and her people,hard work with proper planing brings success not democracy.

  • @abbyjustine7906
    @abbyjustine7906 4 года назад +4

    Haya majengo chakavu pembeni serikali iyatathimini vzrii.maana seven inatakia kuwa nzri ili kuvutia wageni,pia utarii wa ndani

  • @rastokapunji7191
    @rastokapunji7191 4 года назад +1

    Je SGR itafika Lindi Mtwara?wengine tungependa kutalii Tanzania na Reli itakuwa muafaka sana

  • @karyori69
    @karyori69 4 года назад +5

    Daraja la Nkurumah linaitwa "cable stayed bridge" na si cable bridge!

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 4 года назад

      Kwa hiyo hapo kakosea nini? Yaani hiyo stayed umeona ni tatizo isipowekwa.

  • @dr.njipaysophon3209
    @dr.njipaysophon3209 4 года назад +9

    Ben mbona kama hatusogei kila siku ni asilimia 70?

    • @frankd1156
      @frankd1156 4 года назад +1

      Huyu sasa ni click bait..no new news.usanii mtupu

  • @bakaringarioka2783
    @bakaringarioka2783 4 года назад +7

    Kongela magufuli

  • @kinjeketilengwale1141
    @kinjeketilengwale1141 4 года назад +2

    Acha punguani wapige kelele wataokuja kua kuamua kipi kilikua sahihi na kipi sio ni kizazi kijacho na sio hizi pumba za mitandaoni! wavivu wapiga madeal huu ndio uwanja wao kule kwenye maisha ya kawaida mkuu amekaza😂

  • @ericksama2788
    @ericksama2788 4 года назад +2

    Big up Ben nmejuwa wa kwanza comment

  • @rajabomary4222
    @rajabomary4222 4 года назад +3

    Tupeni na Bei za Mwanza - Dar

  • @rebornpharaoh3617
    @rebornpharaoh3617 4 года назад +3

    translation

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 4 года назад

    Awamu ya tano5 nawaona hivyo asanteni sana

  • @machengendutu8736
    @machengendutu8736 4 года назад

    This tanzania

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 4 года назад +2

    Jpm umenifanya niuwamini usemi usemao mti wenye matunda ndio upigwa mawe,,

    • @dunduumaster4815
      @dunduumaster4815 4 года назад

      Nenda kamtunuku basi

    • @grivinmkumbo4534
      @grivinmkumbo4534 4 года назад +1

      @@dunduumaster4815 Sisi watu wa Moshi na Arusha tunao kwenda kuesabiwa mwezi wa kumi na mbili raha kweli maana hatuta gongwa tena nauri na usafiri tunaweza tukapanda watu wote wa Arusha na Moshi Mara moja na tukafika kwa wakati mmoja

    • @Tiffany340
      @Tiffany340 4 года назад

      @@dunduumaster4815 punga sese Wewe

  • @MWALIMUMBUNIFU89
    @MWALIMUMBUNIFU89 4 года назад

    Inavutia sana

  • @starjay3052
    @starjay3052 4 года назад +1

    steshen ya morogoro itakua wapi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 года назад

    Kusema ukweli magufuli ni baba lao kaah yani kwa kazi hii nchi lazma iendelee

  • @qasimbhai5842
    @qasimbhai5842 4 года назад

    Tanga pia tunahitaji treni ya abiria

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 4 года назад

    Rais wakikuzingua siku ukimaliza muda wako uza vyote ulivyonunua na bomoa vyote ulivyojenga maana hawana jema

  • @denistarange5580
    @denistarange5580 4 года назад

    Dah nakubali

  • @franklinurio1348
    @franklinurio1348 4 года назад

    Korogwe na nauli ya kulala wap wap? hata Moshi yenyewe embu kuweni wabunifu toeni hizo behewa za vyumba ili mbebe watu wengi zaidi.

  • @bbmediafirm
    @bbmediafirm 4 года назад

    vituo sio vizuri kabisa vilipaswa kuwa vizuri zaidi

    • @grivinmkumbo4534
      @grivinmkumbo4534 4 года назад

      vituo siyo muhimu kama usafiri wenyewe

    • @rastokapunji7191
      @rastokapunji7191 4 года назад

      Yatosha kaka.hii ni mwanzo tu na hela itoke wapi?usilinganishe tz na ulaya.mwendo ndio umeanza na tutafika tu

  • @habibndulilah2794
    @habibndulilah2794 4 года назад

    Alafu mtu mmoja anasimama ansema hakuna kilicho fanyika,, Mmmmmmmmmmmm!!!! "WAPUUZENI WA* VU HAO"

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 4 года назад +1

    Malizeni ujenzi, acheni porojo

    • @sagudanicasnicas2660
      @sagudanicasnicas2660 4 года назад

      My Brevis ai250 acha ukuda

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 4 года назад

      Kwa akili zako una fikiri ata huko Ulaya wana jenga vitu vyao kwa siku moja tuu? Ujenzi lazma uchukue mda laa sivyo ni kulipua lipua

    • @odethaoscar2173
      @odethaoscar2173 4 года назад

      We unafikiri huo ujenz ni rahis rahis tu

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 4 года назад

    Fikeni asilimia 90 basi ..Kila siku 70

  • @allananam6631
    @allananam6631 4 года назад +1

    Hii reli yenu imekwama asilimia 70%?