Marioo & Alikiba - Love Song (Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 26 июл 2023
- Out now: africori.to/lovesong
Subscribe: @MariooOfficialMusic
‘The Kid You Know Deluxe' out now: africori.to/thekidyouknowdeluxe
Follow Marioo:
/ marioo_tz
/ marioo_bad
/ tz_marioo
open.spotify.com/artist/4ZTqT...
/ artist .
/ thisismarioo
More from Marioo:
Tomorrow - • Marioo - Tomorrow ( Of...
Lonely (ft. Abbah) - • Marioo & Abbah - Lonel...
Dear Ex - • Marioo - Dear Ex (Off...
Naogopa (ft. Harmonize) - • Marioo & Harmonize - N...
Mi Amor (ft. Jovial) - • Marioo x Jovial - Mi A...
#marioo #lovesong #alikiba - Видеоклипы
Kama umeona unyama alio ufanya Kingkiba 👑 kwenye sauti naomba like 5 tano🙏
Jamaa anachezea sauti kibabe sanaaa🔥🔥🔥
@@allenonesmomwebembezi6248sana
yooooooooooooooooooh
Yaani Dah! Huyu King ametoka sayari nyingine
❤
Mtu wa Kwanza naombeni likes zangu
Kula chuma hicho
Like uliziwekeza😅
izo chukua ❤❤❤❤❤❤
@@hosea7919😂😂😂
TAFUTA ELA SIO LIKES
Chemistry imekubali🔥🔥🔥
Waoooooow wimbo wangu pendwa sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ivi nyie watanzania mnajua Alikiba akiamua kuimba muziki seriously. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ngoma Kali Sana 👊👊👊👊
Kama Unaamini Kuwa Huu Wimbo Unaenda Kuwa Trending Namba Moja Muda Sio Mrefu Gonga Like Mfululu 😎
Upewe maua yako kk nyimbo kali ksenge 🔥‼️🙌🏽
Ndagukunda, je t,aime big up Alikiba🔥🔥🔥nawa miss pamoja na lolilo😍from buja
Baad na king kiba wakishiriki wimbo huwaga ni mkali sana... Je nani anakubalia hili 💯💯💯💯💯💯💯❣️
Hii migoma mfululu combination imekwenda unyama mwingi sana 🔥🔥🔥
Sema huyu Kingkiba 👑💪sauti zake hatari sana mwisho nikahisi wimbo wote kaimba marioo💪💪💪
Haki hii song ni 🔥🔥🔥Mzee wa lovey dovey king kiba kamaliza,,,mmetisha🔥🔥
Mafundi wamekutana🇩🇪🇹🇿❤❤
Hawa ni waandishi wawili ninaowapa heshima sana na naona wamerudi kuiheshimisha bongo fleva tena, big up my brothers bravo👊🏽💯
Ila Alikiba 🎉🎉🎉 Wanao kubali kua Kifaransa ni lugha namba moja yenye ladha nzuri inayo toa matamshi matam ya nyimbo za Mapenzi wagonge like hapa
Have tried spanish 😹
❤
unakijua ki spanish
Kwa ninyi wanaoshi na chembechembe za kukoloniwa
hiyo ni Spanish
The chemistry between King Kiba and Marioo is Unmatched ,they always deliver 🔥🔥🔥🔥🙌
Hii ndo maana ya bongo fleva nyimbo kalii kinoma. Respect Marioooooo🎧🎧
Mziki mzuri hakuna kucop wa kupest mario ft alikiba love song unyamwezi mwingi❤❤💯💯💯🔥🔥🔥🇹🇿
Mumeuwa king na mario nda gukunda kiba hatali sana Burundi🇧🇮💯❤️
Iyo combination aina kelele ni vinu2 🎉👑💪
King KIBA💪💪💪...
Lipua tz mbaka Simba bandia atoke mafichoni🙄..👏👍🤝👌👌👌.
....Love the song my King 👼
Aiseeee this chemistry nooma saaana walai ALIKIBA & MARIOO THE BEST DUO🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Marioo Na King 😭😭 mnaimba sana 🔥
nilikuwa nasikiliza SUMU mko hapa tena 😭
Representing 254 Hapa. Sauti nyoroooro🎉🇰🇪
Dah mmefanya vizuri tunaitaji musicians kama marioo na aliiii in industry🎉
Hii ngoma ni kali mpaka inaniumiza kuwa taratibu usikilize huu mzigo mtakuja kunishukuru
Gonga like za kiba-mario
Alikiba na Mario ni Ronaldo na Messi Yani hii nyimbo lazma iwaingie mpka upande wa pili🔥🔥🔥 hivi ni vichwa Yan naomba wazid kushikna nakutoa nyimbo yenye imebeba utamu wa royco ndani kma hii Yan 🔥🔥🔥🔥
Umemaliza vyote huu ni Moto WA kuotea mbaliii🎉🎉🎉
Wacha King KIBA achome Huo msitu Simba anajigamba nayo💪💪💪.
Mwambie askize iyo awache kutusbua ety yatapita,Kwa KIBA ndo yaja Sasa❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Another banger hamtoi hata halftime 🪫😂😂🙌🏽💔
Ni nouma san marioo nyoko nyie 💥🔥🔥🔥🔥🔥✍️🔞
Kila mmoja ameitendea kazi sehemu yake, uandishi, vocals and everything 🔥🔥🔥
Yeah babah,,,,,,ONLY KING 👑👑 OF BONGO WE KNOW IN KENYA
Dah nimesikia mziki mtamuuu kinoma sio makelele hawa wajomba ni noma sanana ndio wasanii wa 🇹🇿 sio wakimbizi wa 🇳🇬 Big up 👆
Familia kabisa sema tofauti yao na mm bado chafu pozi
Ngoma kali sana❤song
Ndagukunda je t'aime❤ gonga like kama umusikiya kiba akiimba Kirundi n french
Cio kirundi jamn ni kinyarwanda
@@aliceaugustine1327😂😂😂Kwani Kirundi kinaandikwa aj?
Unazinguwa kwani unishinde rugha yangu by the way kinywanda n Kirundi nikama rugha moja
Hicho Ni kiha.. KIGOMA-1
ich liebe dich ki jerumani 🙌mwamba sana
Mbona hii combination imekuwa nzuri wafanye watoe hata albamu ya pamoja kama na wew unapenda watoe albamu gonga like kubwa😮
👍
❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@@khadija5761a @
Bonge la like kutok kwangu
It's verse 1 ya Mariooo for me 🔥🔥💪 .... Above all producer Lex we ni mnyamaaaaaaaaaaaaaaa.... Kuna sound Fulani special kwa hii beat.... Yenye imeintroduce beat🔥🔥🔥 big up tu sanaa 💪💪💪💪
Marioo ft Alikiba good chemistry mko vizuri
The king's of bongo ndo Hawa sasa,ngoma tamu sana
ni mwendo wa back to back mario ft alikiba l miss you ❤❤ alikiba ft mario sumu 🇹🇿🇹🇿 mario ft alikiba love song naombeni like zao 💯💯💯
King kiba weye mukali sana kkngu nyimbo nzuri sana
Alikiba and Marioo waah 🔥🔥🔥🔥
Kula chuma iki hapa. Nawakubari sanaaa kaka zangu from Moz🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿
Wimbo mtaamu sana umetulia kwakweli😍😍
Wewe ni 🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
Mizigo kama hii ndo inatupa nguvu mashabiki zenu kuvimba mtaani❤️🔥🔥🔥
Hii combination ifike mwisho basi maana kunapoelekea hatutosikia wasanii wengine 🤣🤣🤣
Alikiba mtu mbadi
Marioo totobadi
🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Marioo fundi Ila Alikiba n masterclasses..wew angalia hiyo bridge wameimba maneno sawa Ila Kiba daaah
Uweeeeeh hapa mikono nainua!mariooo skuhizi mapenzi ya paula yanamtessa mpaka inspiration yakuimba inakua siku kwa siku👌💞💞💞hummmm
Kama umekubalii mario kweny hizii ngoma ndy zakee wekaa like za kutosha kwa ajilii yakeee #TOTOBADIE❤
Wasani ninawo wakubali tanzaniya nzima marioo na alikiba respect 🙏🙏🙏❤️❤️
Marioo nakukubali kwenye nyimbo zako zote nakusikiliza sana na ninazipenda sana
Mistari ya kuwakunda marioo keshanipa.....much love this is 2023
Mario ft alikiba hii ngoma inapatanisha mpka ndoa 🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa ni mtu fulani ivi 👌👌💥🎧🇹🇿🇿🇼🇿🇲🇺🇬
Napenda reggae lakini huu wimbo imenituliza ki kweli ❤🎉💯 🇰🇪🇹🇿
Bonge moja la ngoma🔥🔥🎶
melodies 🥰💯
king & marioo kazi safi sana
from kenya with love
hi itakuwa special kwa mpenz wangu
Ndagukunda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🔥🔥🔥nimeipenda kirugaa
Team Mario and kiba
Tujuane kua Like zetu
Let be honest, Diamond Platinumz killed the bongo music but Marioo came and resurrected it! Give Marioo his flowers 🌺🌹
💕💕👑👑👑he's a young king and alikiba is the elder 🤩👌
Utter nonsense
Prince wa Bongo freva nakubali Sana
King ni mmoja tu
Daaah ii combo itoe album kabisa 😂🙌🏼💯
#Ndagukunda 😅😅😅😅❤❤❤ burundi na rwanda tujuane hapa na likes❤❤
#Je t'aime 😂tuko hapa 🇧🇮❤❤❤
Am here bro 🇧🇮
Jaman mpewe maua yen bonge la ngoma 👏👏👏👏👏👏👏
Mwanang hii chemistry ya hii Ngoma ni amshaaa🔥🔥
Mtakuja mtuuwe Marioo n'a GOAT KING KIBA❤❤❤
Wote wanaopenda muziki mzuri twende apa na LIKE za good music🎶 ❤❤❤
Oaaaa eeeeh Karud kwa ubora wake 🔥
Ako ndagukunda niko kavyitsa warundi tujuane🎉❤
Hii combination na marioo na kiba ni balaa tupuu 🔥📛
Haya mabo yenu ya kutengeneza ushabiki na uteam kwenye mziki mtakuja kuua mziki mzuri. Alikiba na marioo wametoa nyimbo nzuri tu ya sumu, Dimond nae akatoa ya kwake na jux, cha ajabu dimondi akaanzisha makelele kibao ili nyimbo yake na jux isikike ya ali na marioo izime.
Itafika kipindi ali hatokuwepo, pengine atakufa; hapo sasa ndio watu wataanza kusikiliza nyimbo zake na kugundua namna alivyokuwa na juhudi kutunga nyimbo nzuri. Muda huo mtu husika hayupo na hamuwezi kupata tungo zake. Na si kwa Alikiba pekee hata Marioo na mtu mwingine yeyote anaye fanya mziki mzuri.
Dimond kaharibu sana mziki wa bongo, kajitengenezea mazingira ya kuwa mwanamziki mkubwa alafu anafanya kila aina za fitina kuwa haribia wengine wanao jaribu kujitafutia ugali wao.
Zamani kulikuwa na wasanii wengi na kila mtu anapendwa, hakukua na msanii mkubwa kuliko wengine ila kila mmoja alikua msanii mkubwa na alipata riziki yake.
Utamsikia mr blue, mandojo na domo kaya, alikiba, chidi benzi nk.
Wote hao walienda na kila mtu aliteka kijiji.
Leo hii dimond anataka yeye tu ndio abakie kuwa msanii, wakati fleva zake zinachosha na watu wanataka kuskiliza vitu tofauti tofauti.
Ana fanya kila mbinu kuwashusha wenzie, akifika kwenye tuzo za kimataifa anajikuta yupo mwenyewe anaanza kujitiisha huruma kwamba najikutaga nipo peke yangu.
Aache ushamba, watu wa namna hii ndio amabao wakifa wanaua na mziki kwa sababu hawakutaka wengine waonekane. Ina maana na yeye akifa watu wata ondoa focus kwenye mziki wa bongo.
Upewe mauwa yako umeongea fact tupu hapa duh..
Wape halftime 😂😂hupoi ‼️🙌🏽
I proud of you this comb 👌👌👌🌹🌹🌹 mpewe maua yenu
Magoma Kama haya nayapendaga saaana😂😂😂😂 MARIOO, ALIKIBA pamoja na produce LEXVANNY👏👏👏🔥🔥🔥🙌🙌🎉🎉
Good Music 🎶 🎵 👌
Good Melody 👍
Good Emotion 👍
Good vibe ✨️ 😌
Kama umekubaliana na mimi gonga Like hapo
King Kiba anyday anytime ❤️🎼🔥🔥🔥🔥🔥... it's a Banger 🥶🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤ king kiba umeuwaaaa
Hii Miamba sasa inaenda kuliteka game mazima kwa love song 🔥🔥🔥
Kiba&Marioo best of the bests🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sema tuache utan@Alikiba ni Melody ya tz🇹🇿 anajua kuchezesha sounds yoyote🔥🔥hii ndo maan halisi ya chiiii na yeeeah👀
Mziki mzuri 🎧❤️ uwa ujifichi yani kama unakubalina mimi like apa
Marioo is the specialist and lyrical blender of 🔥🔥🔥bongo vibes...
Kazi Safi mariokiba🥰
Kwa kweli sauti nzuri, ngoma mzuri, tunashukuru video.
Mubarikiwe
Ngoma Kal king wewe ni number one ❤❤❤❤❤
Shout from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪..great minds think alike...noma sana
From Congo 🇨🇩 nakubali sana hii ngoma 🤜🤛💪💪💪
sending love from Kenya. 🇰🇪🇰🇪
Hii sasa ndio inabamba🎶🎧
Nilitegemea wimbo mzuri zaidi ya huu.. producer amepiga beat nzuri sana
Namapenda Muziki wa Tanzanie toka congo DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 naombeni like jamani
Kaliiii kombisheni mzuriii sana Mario ft king kiba
@@ramadhanjamal628 kabisaaaa
Iii ngoma ni hit ya kweli ❤, congratulation 🎉
Never disappointed this two kings in every beat💥💥
Hawa mafundi wa music wameamua huu mwaka..naomben like zangu jaman
Ndagukunda ❤️🔥🔥👑👑🇧🇮🇧🇮🇰🇪🇹🇿♠️🙏 Atlist Mungu amedupatia King Kiba
Oyooooo hii hapa sas tamu yao ❤❤❤❤
Boa música ❤ obrigado pela boa música, curtindo de 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Likes Kwa King 👑 kiba na Marioo Tafadhali!!!
🙌🙌🙌🙌
Kumewaka💥👑 YOH! IYE BABA wakiwa na MMH! BADI SHII😂 mnipeeni like yao teketeke😂 kama mnawakubali
Goma lnatisha huko mjn ni mwendo wa love song only 🔥🔥🔥🔥
Hizi melody ziko fire 🔥 Hatari na nusu hii.. Piga like kama wewe unanikubali hii collaboration 💯🔥🔥💯 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa 🌊🌊🌊
kumbe upo mzeee hehehe team kiba wewe banaa nimekujua
Team mziki mzuri team bahariaa team utaliii🔥🔥🔥
If you are one of the people who are proud to be African, you believe that Africa has talent and you support good music, please don't leave without your like.
Weka like
Makopaaa
Kali
ruclips.net/video/O0IALZfelFc/видео.html
❤❤❤❤❤
Sumu and now this alikiba and marioo teaching us and the rest follow in line am proud of my East African brothers ❤