Marioo & Alikiba - Love Song (Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июл 2023
  • Out now: africori.to/lovesong
    Subscribe: @MariooOfficialMusic
    ‘The Kid You Know Deluxe' out now: africori.to/thekidyouknowdeluxe
    Follow Marioo:
    / marioo_tz
    / marioo_bad
    / tz_marioo
    open.spotify.com/artist/4ZTqT...
    / artist .
    / thisismarioo
    More from Marioo:
    Tomorrow - • Marioo - Tomorrow ( Of...
    Lonely (ft. Abbah) - • Marioo & Abbah - Lonel...
    Dear Ex - • Marioo - Dear Ex (Off...
    Naogopa (ft. Harmonize) - • Marioo & Harmonize - N...
    Mi Amor (ft. Jovial) - • Marioo x Jovial - Mi A...
    #marioo #lovesong #alikiba
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 2,8 тыс.

  • @dr_donye
    @dr_donye 9 месяцев назад +437

    Kama umeona unyama alio ufanya Kingkiba 👑 kwenye sauti naomba like 5 tano🙏

  • @michoomicharazotv39
    @michoomicharazotv39 9 месяцев назад +541

    Mtu wa Kwanza naombeni likes zangu

    • @michaelmogani
      @michaelmogani 9 месяцев назад +6

      Kula chuma hicho

    • @hosea7919
      @hosea7919 9 месяцев назад +6

      Like uliziwekeza😅

    • @ray.man_06
      @ray.man_06 9 месяцев назад +4

      izo chukua ❤❤❤❤❤❤

    • @ray.man_06
      @ray.man_06 9 месяцев назад +3

      ​@@hosea7919😂😂😂

    • @fabiannjovu2273
      @fabiannjovu2273 9 месяцев назад +3

      TAFUTA ELA SIO LIKES

  • @rockeym4411
    @rockeym4411 9 месяцев назад +2

    Chemistry imekubali🔥🔥🔥

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 9 месяцев назад +1

    Waoooooow wimbo wangu pendwa sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 9 месяцев назад +7

    Ivi nyie watanzania mnajua Alikiba akiamua kuimba muziki seriously. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @farajiwanted8257
    @farajiwanted8257 9 месяцев назад +75

    Ngoma Kali Sana 👊👊👊👊
    Kama Unaamini Kuwa Huu Wimbo Unaenda Kuwa Trending Namba Moja Muda Sio Mrefu Gonga Like Mfululu 😎

  • @Icon_Rex
    @Icon_Rex 9 месяцев назад +1

    Upewe maua yako kk nyimbo kali ksenge 🔥‼️🙌🏽

  • @user-bf5ub6ou4x
    @user-bf5ub6ou4x 9 месяцев назад +2

    Ndagukunda, je t,aime big up Alikiba🔥🔥🔥nawa miss pamoja na lolilo😍from buja

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 9 месяцев назад +8

    Baad na king kiba wakishiriki wimbo huwaga ni mkali sana... Je nani anakubalia hili 💯💯💯💯💯💯💯❣️

  • @dr_donye
    @dr_donye 9 месяцев назад +31

    Hii migoma mfululu combination imekwenda unyama mwingi sana 🔥🔥🔥
    Sema huyu Kingkiba 👑💪sauti zake hatari sana mwisho nikahisi wimbo wote kaimba marioo💪💪💪

  • @jackyrichmk1311
    @jackyrichmk1311 9 месяцев назад

    Haki hii song ni 🔥🔥🔥Mzee wa lovey dovey king kiba kamaliza,,,mmetisha🔥🔥

  • @hafsahamadi1631
    @hafsahamadi1631 9 месяцев назад +1

    Mafundi wamekutana🇩🇪🇹🇿❤❤

  • @MIZUKAMEDIA
    @MIZUKAMEDIA 9 месяцев назад +43

    Hawa ni waandishi wawili ninaowapa heshima sana na naona wamerudi kuiheshimisha bongo fleva tena, big up my brothers bravo👊🏽💯

  • @user-mv1ds6ok8n
    @user-mv1ds6ok8n 9 месяцев назад +267

    Ila Alikiba 🎉🎉🎉 Wanao kubali kua Kifaransa ni lugha namba moja yenye ladha nzuri inayo toa matamshi matam ya nyimbo za Mapenzi wagonge like hapa

  • @kondwanimwangobora7696
    @kondwanimwangobora7696 9 месяцев назад +11

    The chemistry between King Kiba and Marioo is Unmatched ,they always deliver 🔥🔥🔥🔥🙌

  • @yusuphmkomwa3427
    @yusuphmkomwa3427 9 месяцев назад

    Hii ndo maana ya bongo fleva nyimbo kalii kinoma. Respect Marioooooo🎧🎧

  • @livingstonking9818
    @livingstonking9818 9 месяцев назад +10

    Mziki mzuri hakuna kucop wa kupest mario ft alikiba love song unyamwezi mwingi❤❤💯💯💯🔥🔥🔥🇹🇿

  • @user-gi1fi7hl3j
    @user-gi1fi7hl3j 9 месяцев назад +62

    Mumeuwa king na mario nda gukunda kiba hatali sana Burundi🇧🇮💯❤️

  • @astongllo725
    @astongllo725 9 месяцев назад +1

    Iyo combination aina kelele ni vinu2 🎉👑💪

  • @maziwalele7488
    @maziwalele7488 9 месяцев назад

    King KIBA💪💪💪...
    Lipua tz mbaka Simba bandia atoke mafichoni🙄..👏👍🤝👌👌👌.
    ....Love the song my King 👼

  • @chumanimusic7744
    @chumanimusic7744 9 месяцев назад +8

    Aiseeee this chemistry nooma saaana walai ALIKIBA & MARIOO THE BEST DUO🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @bonfacebonafide7220
    @bonfacebonafide7220 9 месяцев назад +14

    Marioo Na King 😭😭 mnaimba sana 🔥
    nilikuwa nasikiliza SUMU mko hapa tena 😭

  • @Shortscityint
    @Shortscityint 9 месяцев назад +1

    Representing 254 Hapa. Sauti nyoroooro🎉🇰🇪

  • @user-es3mv3xy4m
    @user-es3mv3xy4m 9 месяцев назад +2

    Dah mmefanya vizuri tunaitaji musicians kama marioo na aliiii in industry🎉

  • @rasheedmbutilo6119
    @rasheedmbutilo6119 9 месяцев назад +42

    Hii ngoma ni kali mpaka inaniumiza kuwa taratibu usikilize huu mzigo mtakuja kunishukuru
    Gonga like za kiba-mario

  • @christitle5762
    @christitle5762 9 месяцев назад +43

    Alikiba na Mario ni Ronaldo na Messi Yani hii nyimbo lazma iwaingie mpka upande wa pili🔥🔥🔥 hivi ni vichwa Yan naomba wazid kushikna nakutoa nyimbo yenye imebeba utamu wa royco ndani kma hii Yan 🔥🔥🔥🔥

    • @omarylugusha
      @omarylugusha 9 месяцев назад +1

      Umemaliza vyote huu ni Moto WA kuotea mbaliii🎉🎉🎉

    • @maziwalele7488
      @maziwalele7488 9 месяцев назад +1

      Wacha King KIBA achome Huo msitu Simba anajigamba nayo💪💪💪.
      Mwambie askize iyo awache kutusbua ety yatapita,Kwa KIBA ndo yaja Sasa❤❤

    • @khadija5761
      @khadija5761 9 месяцев назад +1

      🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Icon_Rex
    @Icon_Rex 9 месяцев назад +1

    Another banger hamtoi hata halftime 🪫😂😂🙌🏽💔

  • @user-ch8mt1mq1k
    @user-ch8mt1mq1k 9 месяцев назад +1

    Ni nouma san marioo nyoko nyie 💥🔥🔥🔥🔥🔥✍️🔞

  • @boysondeniclous614
    @boysondeniclous614 9 месяцев назад +12

    Kila mmoja ameitendea kazi sehemu yake, uandishi, vocals and everything 🔥🔥🔥

  • @Agape_jr
    @Agape_jr 9 месяцев назад +8

    Yeah babah,,,,,,ONLY KING 👑👑 OF BONGO WE KNOW IN KENYA

  • @BakarinassaBakarinassa-rt6et
    @BakarinassaBakarinassa-rt6et 9 месяцев назад +2

    Dah nimesikia mziki mtamuuu kinoma sio makelele hawa wajomba ni noma sanana ndio wasanii wa 🇹🇿 sio wakimbizi wa 🇳🇬 Big up 👆

  • @issahthabity0
    @issahthabity0 9 месяцев назад +1

    Familia kabisa sema tofauti yao na mm bado chafu pozi
    Ngoma kali sana❤song

  • @jadouhuru
    @jadouhuru 9 месяцев назад +91

    Ndagukunda je t'aime❤ gonga like kama umusikiya kiba akiimba Kirundi n french

    • @aliceaugustine1327
      @aliceaugustine1327 9 месяцев назад

      Cio kirundi jamn ni kinyarwanda

    • @arynxbaba9091
      @arynxbaba9091 9 месяцев назад

      ​@@aliceaugustine1327😂😂😂Kwani Kirundi kinaandikwa aj?

    • @jadouhuru
      @jadouhuru 9 месяцев назад

      Unazinguwa kwani unishinde rugha yangu by the way kinywanda n Kirundi nikama rugha moja

    • @musakwifashabahati7378
      @musakwifashabahati7378 9 месяцев назад

      Hicho Ni kiha.. KIGOMA-1

    • @stevedevisharerimana5963
      @stevedevisharerimana5963 9 месяцев назад

      ich liebe dich ki jerumani 🙌mwamba sana

  • @leeskillz3734
    @leeskillz3734 9 месяцев назад +210

    Mbona hii combination imekuwa nzuri wafanye watoe hata albamu ya pamoja kama na wew unapenda watoe albamu gonga like kubwa😮

  • @princeclassic7103
    @princeclassic7103 9 месяцев назад +6

    It's verse 1 ya Mariooo for me 🔥🔥💪 .... Above all producer Lex we ni mnyamaaaaaaaaaaaaaaa.... Kuna sound Fulani special kwa hii beat.... Yenye imeintroduce beat🔥🔥🔥 big up tu sanaa 💪💪💪💪

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 9 месяцев назад

    Marioo ft Alikiba good chemistry mko vizuri

  • @emmanuelmakupe9462
    @emmanuelmakupe9462 9 месяцев назад +11

    The king's of bongo ndo Hawa sasa,ngoma tamu sana

  • @livingstonking9818
    @livingstonking9818 9 месяцев назад +12

    ni mwendo wa back to back mario ft alikiba l miss you ❤❤ alikiba ft mario sumu 🇹🇿🇹🇿 mario ft alikiba love song naombeni like zao 💯💯💯

  • @art_mafikizolomafikizolo9136
    @art_mafikizolomafikizolo9136 9 месяцев назад

    King kiba weye mukali sana kkngu nyimbo nzuri sana

  • @emmanuelfrancis7964
    @emmanuelfrancis7964 9 месяцев назад

    Alikiba and Marioo waah 🔥🔥🔥🔥

  • @baysadam235
    @baysadam235 9 месяцев назад +13

    Kula chuma iki hapa. Nawakubari sanaaa kaka zangu from Moz🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿

  • @yuzarsifutv7716
    @yuzarsifutv7716 9 месяцев назад +5

    Wimbo mtaamu sana umetulia kwakweli😍😍

  • @amekusumba5721
    @amekusumba5721 9 месяцев назад +1

    Wewe ni 🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌

  • @jacksonmalole7769
    @jacksonmalole7769 9 месяцев назад +14

    Mizigo kama hii ndo inatupa nguvu mashabiki zenu kuvimba mtaani❤️🔥🔥🔥

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 9 месяцев назад +12

    Hii combination ifike mwisho basi maana kunapoelekea hatutosikia wasanii wengine 🤣🤣🤣
    Alikiba mtu mbadi
    Marioo totobadi
    🙌🙌🙌🔥🔥🔥

  • @mwakibibiaman593
    @mwakibibiaman593 9 месяцев назад

    Marioo fundi Ila Alikiba n masterclasses..wew angalia hiyo bridge wameimba maneno sawa Ila Kiba daaah

  • @MukamusoniHawa-cj2yc
    @MukamusoniHawa-cj2yc 9 месяцев назад

    Uweeeeeh hapa mikono nainua!mariooo skuhizi mapenzi ya paula yanamtessa mpaka inspiration yakuimba inakua siku kwa siku👌💞💞💞hummmm

  • @geophreyjohn5328
    @geophreyjohn5328 9 месяцев назад +49

    Kama umekubalii mario kweny hizii ngoma ndy zakee wekaa like za kutosha kwa ajilii yakeee #TOTOBADIE❤

  • @user-dp5sn3st2d
    @user-dp5sn3st2d 9 месяцев назад +8

    Wasani ninawo wakubali tanzaniya nzima marioo na alikiba respect 🙏🙏🙏❤️❤️

  • @user-vh6xw5xg7s
    @user-vh6xw5xg7s 8 месяцев назад

    Marioo nakukubali kwenye nyimbo zako zote nakusikiliza sana na ninazipenda sana

  • @joshuamutunga9045
    @joshuamutunga9045 9 месяцев назад

    Mistari ya kuwakunda marioo keshanipa.....much love this is 2023

  • @yusuphmpinge4066
    @yusuphmpinge4066 9 месяцев назад +3

    Mario ft alikiba hii ngoma inapatanisha mpka ndoa 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @medymusic-ye6ty
    @medymusic-ye6ty 9 месяцев назад +5

    Jamaa ni mtu fulani ivi 👌👌💥🎧🇹🇿🇿🇼🇿🇲🇺🇬

  • @peaceandlove7141
    @peaceandlove7141 9 месяцев назад

    Napenda reggae lakini huu wimbo imenituliza ki kweli ❤🎉💯 🇰🇪🇹🇿

  • @princeelly2159
    @princeelly2159 9 месяцев назад +1

    Bonge moja la ngoma🔥🔥🎶

  • @user-xh9di7fu4g
    @user-xh9di7fu4g 9 месяцев назад +6

    melodies 🥰💯
    king & marioo kazi safi sana
    from kenya with love
    hi itakuwa special kwa mpenz wangu

  • @husseinissa4642
    @husseinissa4642 9 месяцев назад +5

    Ndagukunda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🔥🔥🔥nimeipenda kirugaa
    Team Mario and kiba
    Tujuane kua Like zetu

  • @swallowbae
    @swallowbae 9 месяцев назад +66

    Let be honest, Diamond Platinumz killed the bongo music but Marioo came and resurrected it! Give Marioo his flowers 🌺🌹

    • @sallysalim147
      @sallysalim147 9 месяцев назад +3

      💕💕👑👑👑he's a young king and alikiba is the elder 🤩👌

    • @youngkobe1584
      @youngkobe1584 9 месяцев назад +2

      Utter nonsense

  • @ChrisantEmanuely27
    @ChrisantEmanuely27 9 месяцев назад

    Prince wa Bongo freva nakubali Sana
    King ni mmoja tu

  • @hemedshughuli7145
    @hemedshughuli7145 9 месяцев назад +6

    Daaah ii combo itoe album kabisa 😂🙌🏼💯

  • @foxbwoy6250
    @foxbwoy6250 9 месяцев назад +60

    #Ndagukunda 😅😅😅😅❤❤❤ burundi na rwanda tujuane hapa na likes❤❤

  • @user-qh4mw1cy7c
    @user-qh4mw1cy7c 9 месяцев назад

    Jaman mpewe maua yen bonge la ngoma 👏👏👏👏👏👏👏

  • @Icon_Rex
    @Icon_Rex 9 месяцев назад +1

    Mwanang hii chemistry ya hii Ngoma ni amshaaa🔥🔥

  • @bushobokaadolphe553
    @bushobokaadolphe553 9 месяцев назад +2

    Mtakuja mtuuwe Marioo n'a GOAT KING KIBA❤❤❤

  • @Chida
    @Chida 9 месяцев назад +54

    Wote wanaopenda muziki mzuri twende apa na LIKE za good music🎶 ❤❤❤

  • @Icon_Rex
    @Icon_Rex 9 месяцев назад +1

    Oaaaa eeeeh Karud kwa ubora wake 🔥

  • @user-wq1kx6sw4g
    @user-wq1kx6sw4g 9 месяцев назад +1

    Ako ndagukunda niko kavyitsa warundi tujuane🎉❤

  • @Gnoxfleva
    @Gnoxfleva 9 месяцев назад +4

    Hii combination na marioo na kiba ni balaa tupuu 🔥📛

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking 9 месяцев назад +9

    Haya mabo yenu ya kutengeneza ushabiki na uteam kwenye mziki mtakuja kuua mziki mzuri. Alikiba na marioo wametoa nyimbo nzuri tu ya sumu, Dimond nae akatoa ya kwake na jux, cha ajabu dimondi akaanzisha makelele kibao ili nyimbo yake na jux isikike ya ali na marioo izime.
    Itafika kipindi ali hatokuwepo, pengine atakufa; hapo sasa ndio watu wataanza kusikiliza nyimbo zake na kugundua namna alivyokuwa na juhudi kutunga nyimbo nzuri. Muda huo mtu husika hayupo na hamuwezi kupata tungo zake. Na si kwa Alikiba pekee hata Marioo na mtu mwingine yeyote anaye fanya mziki mzuri.
    Dimond kaharibu sana mziki wa bongo, kajitengenezea mazingira ya kuwa mwanamziki mkubwa alafu anafanya kila aina za fitina kuwa haribia wengine wanao jaribu kujitafutia ugali wao.
    Zamani kulikuwa na wasanii wengi na kila mtu anapendwa, hakukua na msanii mkubwa kuliko wengine ila kila mmoja alikua msanii mkubwa na alipata riziki yake.
    Utamsikia mr blue, mandojo na domo kaya, alikiba, chidi benzi nk.
    Wote hao walienda na kila mtu aliteka kijiji.
    Leo hii dimond anataka yeye tu ndio abakie kuwa msanii, wakati fleva zake zinachosha na watu wanataka kuskiliza vitu tofauti tofauti.
    Ana fanya kila mbinu kuwashusha wenzie, akifika kwenye tuzo za kimataifa anajikuta yupo mwenyewe anaanza kujitiisha huruma kwamba najikutaga nipo peke yangu.
    Aache ushamba, watu wa namna hii ndio amabao wakifa wanaua na mziki kwa sababu hawakutaka wengine waonekane. Ina maana na yeye akifa watu wata ondoa focus kwenye mziki wa bongo.

    • @hafsahamadi1631
      @hafsahamadi1631 9 месяцев назад

      Upewe mauwa yako umeongea fact tupu hapa duh..

  • @Icon_Rex
    @Icon_Rex 9 месяцев назад +1

    Wape halftime 😂😂hupoi ‼️🙌🏽

  • @fatumajanguo6122
    @fatumajanguo6122 9 месяцев назад

    I proud of you this comb 👌👌👌🌹🌹🌹 mpewe maua yenu

  • @onestartz
    @onestartz 9 месяцев назад +13

    Magoma Kama haya nayapendaga saaana😂😂😂😂 MARIOO, ALIKIBA pamoja na produce LEXVANNY👏👏👏🔥🔥🔥🙌🙌🎉🎉

  • @ginimbifamily3995
    @ginimbifamily3995 9 месяцев назад +139

    Good Music 🎶 🎵 👌
    Good Melody 👍
    Good Emotion 👍
    Good vibe ✨️ 😌
    Kama umekubaliana na mimi gonga Like hapo

  • @geniusgangkenya8732
    @geniusgangkenya8732 9 месяцев назад +1

    King Kiba anyday anytime ❤️🎼🔥🔥🔥🔥🔥... it's a Banger 🥶🔥🔥🔥🔥

  • @esterngwira9338
    @esterngwira9338 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤ king kiba umeuwaaaa

  • @TheBest-TZ
    @TheBest-TZ 9 месяцев назад +3

    Hii Miamba sasa inaenda kuliteka game mazima kwa love song 🔥🔥🔥

  • @mckombamckomba64
    @mckombamckomba64 9 месяцев назад +1

    Kiba&Marioo best of the bests🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @harrismalone5455
    @harrismalone5455 9 месяцев назад +2

    Sema tuache utan@Alikiba ni Melody ya tz🇹🇿 anajua kuchezesha sounds yoyote🔥🔥hii ndo maan halisi ya chiiii na yeeeah👀

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 9 месяцев назад +22

    Mziki mzuri 🎧❤️ uwa ujifichi yani kama unakubalina mimi like apa

  • @jacksonandai7254
    @jacksonandai7254 9 месяцев назад +109

    Marioo is the specialist and lyrical blender of 🔥🔥🔥bongo vibes...
    Kazi Safi mariokiba🥰

  • @batatukatotolabikay5296
    @batatukatotolabikay5296 9 месяцев назад

    Kwa kweli sauti nzuri, ngoma mzuri, tunashukuru video.
    Mubarikiwe

  • @user-dq7cu2nm8r
    @user-dq7cu2nm8r 9 месяцев назад

    Ngoma Kal king wewe ni number one ❤❤❤❤❤

  • @hbmutevu
    @hbmutevu 9 месяцев назад +11

    Shout from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪..great minds think alike...noma sana

  • @farajamaendafreza
    @farajamaendafreza 9 месяцев назад +13

    From Congo 🇨🇩 nakubali sana hii ngoma 🤜🤛💪💪💪

  • @shaddydadi6612
    @shaddydadi6612 9 месяцев назад +4

    sending love from Kenya. 🇰🇪🇰🇪

  • @fredrickwafula676
    @fredrickwafula676 9 месяцев назад +1

    Hii sasa ndio inabamba🎶🎧

  • @naseebjoseph5330
    @naseebjoseph5330 9 месяцев назад +2

    Nilitegemea wimbo mzuri zaidi ya huu.. producer amepiga beat nzuri sana

  • @abigailsonogho3929
    @abigailsonogho3929 9 месяцев назад +93

    Namapenda Muziki wa Tanzanie toka congo DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 naombeni like jamani

  • @dieumesikuli5124
    @dieumesikuli5124 8 месяцев назад

    Iii ngoma ni hit ya kweli ❤, congratulation 🎉

  • @farajiabdallah7438
    @farajiabdallah7438 9 месяцев назад +19

    Never disappointed this two kings in every beat💥💥

  • @chipkiztz
    @chipkiztz 9 месяцев назад +19

    Hawa mafundi wa music wameamua huu mwaka..naomben like zangu jaman

  • @olicendayihimbaze4074
    @olicendayihimbaze4074 9 месяцев назад +9

    Ndagukunda ❤️🔥🔥👑👑🇧🇮🇧🇮🇰🇪🇹🇿♠️🙏 Atlist Mungu amedupatia King Kiba

  • @Mjboy242
    @Mjboy242 9 месяцев назад

    Oyooooo hii hapa sas tamu yao ❤❤❤❤

  • @DomingosMarcosMarcos-zg4sy
    @DomingosMarcosMarcos-zg4sy 9 месяцев назад +32

    Boa música ❤ obrigado pela boa música, curtindo de 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @MichaelMwakibolwa
    @MichaelMwakibolwa 9 месяцев назад +30

    Likes Kwa King 👑 kiba na Marioo Tafadhali!!!

  • @kibslincoln
    @kibslincoln 9 месяцев назад +3

    Kumewaka💥👑 YOH! IYE BABA wakiwa na MMH! BADI SHII😂 mnipeeni like yao teketeke😂 kama mnawakubali

  • @shedrackkarusha8766
    @shedrackkarusha8766 9 месяцев назад

    Goma lnatisha huko mjn ni mwendo wa love song only 🔥🔥🔥🔥

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 9 месяцев назад +79

    Hizi melody ziko fire 🔥 Hatari na nusu hii.. Piga like kama wewe unanikubali hii collaboration 💯🔥🔥💯 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa 🌊🌊🌊

    • @taanimedia6489
      @taanimedia6489 9 месяцев назад +2

      kumbe upo mzeee hehehe team kiba wewe banaa nimekujua

    • @omarylugusha
      @omarylugusha 9 месяцев назад

      Team mziki mzuri team bahariaa team utaliii🔥🔥🔥

  • @dogobk7796
    @dogobk7796 9 месяцев назад +400

    If you are one of the people who are proud to be African, you believe that Africa has talent and you support good music, please don't leave without your like.

  • @charlesdino1890
    @charlesdino1890 9 месяцев назад +6

    Sumu and now this alikiba and marioo teaching us and the rest follow in line am proud of my East African brothers ❤