PART2:WEZI MAJAMBAZI WENYE AKILI WALIOMTUMIA KIJANA KUIBA MAMILIONI YA PESA BENKI BILA YEYE KUJUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 42

  • @lorraineatieno6544
    @lorraineatieno6544 4 года назад +8

    Kitu huyu kijana hakujua nikwamba majambazi hufanya deal na mapolisi. Kesi haiwezi washinda hao mapolisi waligaiwa kitu kidogo na wale majambazi kunyamazisha kesi..wakawa polisi wanawapa taarifa wale wevi punde unapowaripotia habari zozote. Heri umehama..maisha muhimu kuliko kuuwawa kupoteza ushahidi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 года назад +2

    Pole sana, Mungu anakupenda sana. unaonekana wewe ni mtu wa Mungu na ni mtenda meme ndo maana upo maka leo. ungekuwa ni mtu mtenda mabaya , ungeshakufa. endelea kusali na kumwomba mungu.

  • @nataliemushi9467
    @nataliemushi9467 4 года назад +1

    Mmmh, pole sana, kwanza yawezekana wanakujua kiasi fulani kabla, Mi nakushauri pia badilisha muonekano wako, hata no. ya simu, fuga ndevu, vaa miwani, vyovyote badilika, hata ikiwezekana ukienda maeneo yenye watu wengi kama k/koo vaa hata juba, na ukikutana nao usiwatizame, endelea na mambo yako, na pia familia yako wasipende kutembelea mlikokuwa mnakaa mwanzo wala kuwasiliana na watu wa huko, huwezi jua wanamtumia nani kufahamu mambo yako

  • @SamsungA-su2qj
    @SamsungA-su2qj 4 года назад +1

    Pole sana TAX DRIVER iyo ndo kazi ya tax kila balaa unabeba walevi majambazi wote ni rafiki zako

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 4 года назад +1

    Kulikuwa na Police anacheza deal na watu hawa

  • @pendomwahalende4869
    @pendomwahalende4869 4 года назад +1

    Mapolis ndio zao,walikua wameshalamba chao mapemaa,kesi ya jambazi unampelekea jambazi,pole

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 4 года назад +1

    W umepatwa na mikasa tofaut na mwili wako

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 4 года назад +1

    Kuwa Makin sana na awo mapolice pia madili Ya mjin weng wansousika ni mapolice so take cere sana

  • @eshalibaba1195
    @eshalibaba1195 4 года назад +2

    Duh pole Sana kaka binaadamu wabaya sana

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 4 года назад +1

    Davistar unajaribu kuwatetea polisi lakini hali halisia ni kua polisi wa kiafrika hawafanyi kazi bila mlungula hususan katika kesi za jinai.Tunampa pole sana brother kwa msiba uliomfika

  • @emmanelly6864
    @emmanelly6864 4 года назад +1

    Pole sana lakini wee vipi? When you know your life in danger unachanuka, unashuku kila mtu awe jirani, rafiki hata polisi wenyewe! how do you open the door at such ungodly hours? heri hivo ulihama lakini bado KAA RADA. Yawezekana wameona interview hii kwa hivo waambie huna shuuli nao wakuache eish!!!!

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад +1

    Mitihani kweli yani walifanya juuchini kujua Jina lajirani ilikulitumia eti umsaidie huruma nyingi kaka inafozaa mtuu

  • @buchomillion4743
    @buchomillion4743 3 года назад

    Davista,kipindi chako kinapoteza umakini.story za watu wako hazina ukweli

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад +1

    Jmn hadi huruma daaah...Mungu atakulipa pole sana mpenzi...ipo siku yao auwae kwa upanga atakufa kwa upanga.. Mungu akusaidie akutie nguvu.

  • @mwanalimagamunda997
    @mwanalimagamunda997 4 года назад

    Tukonawe Devistar ,big up bro

  • @msakaramohamed1244
    @msakaramohamed1244 3 года назад

    kwa maerezo yake kidogo yanatia shaka pengine ana wajua na amedhulumiwa ama alipata kiwewe kwenye tukio akadakwa na wasi wasi wao ata wachoma ndiomana wana mpa kichapo

  • @salhaissa2619
    @salhaissa2619 4 года назад +1

    Uwa nawaza2 awa majambazi niwa2 kweli? Mana ata roho ya uruma awana! Namapolic nao msaada akuna kwa halka!

  • @mwatimeabdallah7945
    @mwatimeabdallah7945 4 года назад +1

    Jamani masaa sita yaliyopita si ilikiwa usiku mkubwa? Humu ndani mmekuwa watumwa wa hii Mikasa, mi hata nikiwa wa ngapi story naipata fresh tu

  • @nancychissamo379
    @nancychissamo379 4 года назад +2

    Kwa mara ya kwnz kuwai🤣🤣✌🏾

  • @jamesswai6583
    @jamesswai6583 4 года назад

    Pole Sana Kijana

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 года назад

    Mungu mkubwa alikuokoa na atakulipia inshallah

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo2265 4 года назад +1

    We dogo ni fala unafunguaje mlango usiku wakati unajua unatafutwa??

  • @venahsithole6463
    @venahsithole6463 4 года назад

    Pole sana kaka

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 4 года назад +1

    mapema sana leo

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 года назад

    We nawe ulikosea usiku sio mda wakufungua mlang

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 года назад

    Maskini pole sana kijana 😭Mungu atakulipia

  • @أبوحاتمطلحةخميسعلي

    Wakwanza Leo

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 4 года назад

    Pole Sana bro, police ndio Zao hizo

  • @abdallahrenatus6677
    @abdallahrenatus6677 4 года назад

    Pole asee.

  • @Sarah-hl9lr
    @Sarah-hl9lr 4 года назад

    Jamani pole kijana pole sana

  • @eshalibaba1195
    @eshalibaba1195 4 года назад

    Leo nimejitahidi kuwai no 7

  • @kelvinmchau8815
    @kelvinmchau8815 4 года назад

    8 minutes Hahahaha

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 4 года назад

    Kwel wa pil mm

  • @abn8331
    @abn8331 4 года назад

    Story poa

  • @bintimrope
    @bintimrope 4 года назад

    Pole sana

  • @hamisifereji2769
    @hamisifereji2769 4 года назад

    Daaaa ndugu pole sana

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 4 года назад

    pole kaka

  • @neemaabdallah3567
    @neemaabdallah3567 4 года назад

    Pole saana

  • @juliejulie8704
    @juliejulie8704 4 года назад

    Eeeh nimewahi

  • @nicksonnewton1991
    @nicksonnewton1991 4 года назад

    Wa 6

  • @hellenmanzi4740
    @hellenmanzi4740 4 года назад

    Poleee