Kitu huyu kijana hakujua nikwamba majambazi hufanya deal na mapolisi. Kesi haiwezi washinda hao mapolisi waligaiwa kitu kidogo na wale majambazi kunyamazisha kesi..wakawa polisi wanawapa taarifa wale wevi punde unapowaripotia habari zozote. Heri umehama..maisha muhimu kuliko kuuwawa kupoteza ushahidi
Pole sana, Mungu anakupenda sana. unaonekana wewe ni mtu wa Mungu na ni mtenda meme ndo maana upo maka leo. ungekuwa ni mtu mtenda mabaya , ungeshakufa. endelea kusali na kumwomba mungu.
Mmmh, pole sana, kwanza yawezekana wanakujua kiasi fulani kabla, Mi nakushauri pia badilisha muonekano wako, hata no. ya simu, fuga ndevu, vaa miwani, vyovyote badilika, hata ikiwezekana ukienda maeneo yenye watu wengi kama k/koo vaa hata juba, na ukikutana nao usiwatizame, endelea na mambo yako, na pia familia yako wasipende kutembelea mlikokuwa mnakaa mwanzo wala kuwasiliana na watu wa huko, huwezi jua wanamtumia nani kufahamu mambo yako
Davistar unajaribu kuwatetea polisi lakini hali halisia ni kua polisi wa kiafrika hawafanyi kazi bila mlungula hususan katika kesi za jinai.Tunampa pole sana brother kwa msiba uliomfika
Pole sana lakini wee vipi? When you know your life in danger unachanuka, unashuku kila mtu awe jirani, rafiki hata polisi wenyewe! how do you open the door at such ungodly hours? heri hivo ulihama lakini bado KAA RADA. Yawezekana wameona interview hii kwa hivo waambie huna shuuli nao wakuache eish!!!!
kwa maerezo yake kidogo yanatia shaka pengine ana wajua na amedhulumiwa ama alipata kiwewe kwenye tukio akadakwa na wasi wasi wao ata wachoma ndiomana wana mpa kichapo
Kitu huyu kijana hakujua nikwamba majambazi hufanya deal na mapolisi. Kesi haiwezi washinda hao mapolisi waligaiwa kitu kidogo na wale majambazi kunyamazisha kesi..wakawa polisi wanawapa taarifa wale wevi punde unapowaripotia habari zozote. Heri umehama..maisha muhimu kuliko kuuwawa kupoteza ushahidi
Pole sana, Mungu anakupenda sana. unaonekana wewe ni mtu wa Mungu na ni mtenda meme ndo maana upo maka leo. ungekuwa ni mtu mtenda mabaya , ungeshakufa. endelea kusali na kumwomba mungu.
Mmmh, pole sana, kwanza yawezekana wanakujua kiasi fulani kabla, Mi nakushauri pia badilisha muonekano wako, hata no. ya simu, fuga ndevu, vaa miwani, vyovyote badilika, hata ikiwezekana ukienda maeneo yenye watu wengi kama k/koo vaa hata juba, na ukikutana nao usiwatizame, endelea na mambo yako, na pia familia yako wasipende kutembelea mlikokuwa mnakaa mwanzo wala kuwasiliana na watu wa huko, huwezi jua wanamtumia nani kufahamu mambo yako
Pole sana TAX DRIVER iyo ndo kazi ya tax kila balaa unabeba walevi majambazi wote ni rafiki zako
Kulikuwa na Police anacheza deal na watu hawa
Mapolis ndio zao,walikua wameshalamba chao mapemaa,kesi ya jambazi unampelekea jambazi,pole
W umepatwa na mikasa tofaut na mwili wako
Kuwa Makin sana na awo mapolice pia madili Ya mjin weng wansousika ni mapolice so take cere sana
Duh pole Sana kaka binaadamu wabaya sana
Davistar unajaribu kuwatetea polisi lakini hali halisia ni kua polisi wa kiafrika hawafanyi kazi bila mlungula hususan katika kesi za jinai.Tunampa pole sana brother kwa msiba uliomfika
Pole sana lakini wee vipi? When you know your life in danger unachanuka, unashuku kila mtu awe jirani, rafiki hata polisi wenyewe! how do you open the door at such ungodly hours? heri hivo ulihama lakini bado KAA RADA. Yawezekana wameona interview hii kwa hivo waambie huna shuuli nao wakuache eish!!!!
Mitihani kweli yani walifanya juuchini kujua Jina lajirani ilikulitumia eti umsaidie huruma nyingi kaka inafozaa mtuu
Davista,kipindi chako kinapoteza umakini.story za watu wako hazina ukweli
Jmn hadi huruma daaah...Mungu atakulipa pole sana mpenzi...ipo siku yao auwae kwa upanga atakufa kwa upanga.. Mungu akusaidie akutie nguvu.
Tukonawe Devistar ,big up bro
kwa maerezo yake kidogo yanatia shaka pengine ana wajua na amedhulumiwa ama alipata kiwewe kwenye tukio akadakwa na wasi wasi wao ata wachoma ndiomana wana mpa kichapo
Uwa nawaza2 awa majambazi niwa2 kweli? Mana ata roho ya uruma awana! Namapolic nao msaada akuna kwa halka!
Jamani masaa sita yaliyopita si ilikiwa usiku mkubwa? Humu ndani mmekuwa watumwa wa hii Mikasa, mi hata nikiwa wa ngapi story naipata fresh tu
Kwa mara ya kwnz kuwai🤣🤣✌🏾
Pole Sana Kijana
Mungu mkubwa alikuokoa na atakulipia inshallah
We dogo ni fala unafunguaje mlango usiku wakati unajua unatafutwa??
Pole sana kaka
mapema sana leo
We nawe ulikosea usiku sio mda wakufungua mlang
Maskini pole sana kijana 😭Mungu atakulipia
Wakwanza Leo
Pole Sana bro, police ndio Zao hizo
Pole asee.
Jamani pole kijana pole sana
Leo nimejitahidi kuwai no 7
8 minutes Hahahaha
Kwel wa pil mm
Story poa
Pole sana
Daaaa ndugu pole sana
pole kaka
Pole saana
Eeeh nimewahi
Wa 6
Poleee