VITU VYA KUZINGATIA UNAPOOMBA MKOPO WA CHUO
HTML-код
- Опубликовано: 3 авг 2023
- #iaanextlevo
Wanafunzi wengi wanashindwa kufahamu vitu vya msingi wanavyotakiwa kuzingatia wakati wa kuomba mkopo wa elimu ya Juu. Hapa Waziri wa Mikopo Chuo Cha Uhasib Arusha akieleza vitu vitano vya msingi vya kuzingatia wakati wa kuomba Mkopo ili usikose nafasi ya kupata Mkopo unaotolewa na Bodi ya Mikopo nchini Tanzania.
Bodi ya Mikopo imeweka utaratibu mzuri wa kuweza kuomba mikopo hiyo.
Great Job Broo.
Mikopo dirisha bado lipo wazi au
Great idea
mollel
Unaweza ukareverse kama umeisha submit form?