VITU VYA KUZINGATIA UNAPOOMBA MKOPO WA CHUO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 авг 2023
  • #iaanextlevo
    Wanafunzi wengi wanashindwa kufahamu vitu vya msingi wanavyotakiwa kuzingatia wakati wa kuomba mkopo wa elimu ya Juu. Hapa Waziri wa Mikopo Chuo Cha Uhasib Arusha akieleza vitu vitano vya msingi vya kuzingatia wakati wa kuomba Mkopo ili usikose nafasi ya kupata Mkopo unaotolewa na Bodi ya Mikopo nchini Tanzania.
    Bodi ya Mikopo imeweka utaratibu mzuri wa kuweza kuomba mikopo hiyo.

Комментарии • 5