KARANGA ZA MAYAI ZA BIASHARA
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- .KARIBU KUJIFUNZA ZAID KWENYE MAGROUP YETU YA WHATSAP
0682456819
0628080322
✡️KARIBU KUJIPATIA VITABU VYETU ILI UWEZE KUJIFUNZA ZAIDI
BONYEZA LINK HIYO
👇👇👇
bit.ly/3TE8lKz
KWA MAELEZO ZAID PIGA
0682456819 Airtel WhatsApp
VIDEO ZINGINE ZA MAFUNZO YETU MENGINE
1. KWA VIDEO ZASABUNI YA MCHE NA MAGADI
LINK.
bitly.ws/XSwN
2.KWA VIDEO ZA VIJORA
LINK :
bitly.ws/XSx2
3.KWA VIDEO ZA SABUNI YA MAJI LINK
bitly.ws/XSxg
4.KWA VIDEO ZA UBUYU WA ZANZIBAR NA VIPANDE
LINK
bitly.ws/XSxt
5.KWA VIDEO ZA PILIPILI
LINK
bitly.ws/XSxG
6.KWA VIDEO ZA MAPISHI NA BITES
LINK
bitly.ws/XSxT
7.KWA VIDEO ZA BATIKI ZA AINA MBALIMBALI
LINK
bitly.ws/XSy7
8.MIREJESHO YA WANAFUNZI WANGU ONLINE
LINK
bitly.ws/XSyp
9.VITABU VYETU
👇👇
Link
10 .SEMINA MBALIMBALI
👇👇
bitly.ws/XSAb
11.KWA VIDEO ZA POCHI ZA SHANGA
👇
bitly.ws/XSAg
12.KWA VIDEO ZA SABUNI YA TIBA
👇👇
13.VIUNGO VYA CHAKULA
👇👇
bitly.ws/XSAx
14.DARASA JIPYA LA VIUNGO
👇👇
bitly.ws/XSAF
KARIBU SANA SUNRISE UJASIRIAMALI NI AJIRA
NAITWA MWALIMU SALANGA
Asante mwalimu ila minina swali hapo kwenye karanga hukutaja kama tayari ulikua uzikaanga pembeni mwanzo kabla hujamix au zilikua mbichi..naomba kueleweshwa ili nisikosee katka mapishi yangu..alafu pili unga uloutumia hukueleza labda ni unga wa Nini ni wa ngano au upo tofauti mwalimi naomba jibu lako.. Asante kwa kazi nzuri pia wengi tuna elimika sana
Vizurii mwl 🥰🥰
Nzuri
Asante
Daaaah nimejifunza vzr sana nmekuelew asant sana bro mungu akuongezee ulipopunguziwa
Amiiin ahsante sana
Nice congratulations 🎊 👏 💐 🥳 👍 👌 🎊
Ahsante sana
Kwann tunaweka baking soda mwl
Karanga za mayai huwekewa baking soda kwa sababu zifuatazo:
1. Kuboresha ladha: Baking soda hutoa ladha ya kipekee kwa karanga kwa kuongeza kiasi kidogo cha uchachu unaochanganyika vizuri na viungo vingine.
2. Kusaidia unga kushikamana: Inapochanganywa na mayai na unga wa ngano, baking soda husaidia mchanganyiko huo kushikamana vizuri na karanga, kuhakikisha mipako ya nje ni laini na yenye muundo mzuri
Kaka asant samahan naomba unisaie nazingatia vitu gan ili nibandik stika kwen biashara yangu
Mwalim karanga kiasi gani?
Kazi ya baking soda ni ipi?
Karanga za mayai huwekewa baking soda kwa sababu zifuatazo:
1. Kuboresha ladha: Baking soda hutoa ladha ya kipekee kwa karanga kwa kuongeza kiasi kidogo cha uchachu unaochanganyika vizuri na viungo vingine.
2. Kusaidia unga kushikamana: Inapochanganywa na mayai na unga wa ngano, baking soda husaidia mchanganyiko huo kushikamana vizuri na karanga, kuhakikisha mipako ya nje ni laini na yenye muundo mzuri
Vizurii mwl🔥🔥🔥
Ndaka 🔥🔥
Mwalimu karanga umetumia kiasi gani?
Kilo moja hizo
Mashllh mwalimu unajua.. naomba kujua lengo la baking soda tafadhali
Karanga za mayai huwekewa baking soda kwa sababu zifuatazo:
1. Kuboresha ladha: Baking soda hutoa ladha ya kipekee kwa karanga kwa kuongeza kiasi kidogo cha uchachu unaochanganyika vizuri na viungo vingine.
2. Kusaidia unga kushikamana: Inapochanganywa na mayai na unga wa ngano, baking soda husaidia mchanganyiko huo kushikamana vizuri na karanga, kuhakikisha mipako ya nje ni laini na yenye muundo mzuri
Mwalimu naomba unisaidie kazi ya baking powder Kwenye karanga
Karanga za mayai huwekewa baking soda kwa sababu zifuatazo:
1. Kuboresha ladha: Baking soda hutoa ladha ya kipekee kwa karanga kwa kuongeza kiasi kidogo cha uchachu unaochanganyika vizuri na viungo vingine.
2. Kusaidia unga kushikamana: Inapochanganywa na mayai na unga wa ngano, baking soda husaidia mchanganyiko huo kushikamana vizuri na karanga, kuhakikisha mipako ya nje ni laini na yenye muundo mzuri
Samahani mwl Nina swali karanga zinachukua Mda gani mpaka zinaharibika
Hadi miezi mitatu minne
Hv nikisagia eliki kwenye sukari inafaa.??
inafaaa tu safi
Ujajibu kazi ya baking powder!
Karanga za mayai huwekewa baking soda kwa sababu zifuatazo:
1. Kuboresha ladha: Baking soda hutoa ladha ya kipekee kwa karanga kwa kuongeza kiasi kidogo cha uchachu unaochanganyika vizuri na viungo vingine.
2. Kusaidia unga kushikamana: Inapochanganywa na mayai na unga wa ngano, baking soda husaidia mchanganyiko huo kushikamana vizuri na karanga, kuhakikisha mipako ya nje ni laini na yenye muundo mzuri
Asante @@mwalimusalanga
Mwalimu naomba kujua kazi ya baking soda kwenye karanga
Karanga za mayai huwekewa baking soda kwa sababu zifuatazo:
1. Kuboresha ladha: Baking soda hutoa ladha ya kipekee kwa karanga kwa kuongeza kiasi kidogo cha uchachu unaochanganyika vizuri na viungo vingine.
2. Kusaidia unga kushikamana: Inapochanganywa na mayai na unga wa ngano, baking soda husaidia mchanganyiko huo kushikamana vizuri na karanga, kuhakikisha mipako ya nje ni laini na yenye muundo mzuri
Kaka unaweza kutumia karanga nyekundu
ndio unaweza
😍😍😋
Huo unga vijiko vingap umetia
Unga unakadiria Hadi kiwango kinachotoshea
Naomb kujua kwa kilo mbili nitumie ngano kiasi gani
Kiasi Cha unga unakadiria wewe tu unachohitaji na kutosha