🖐🖐Salama Sk umepata watangazaji wazuri haswa huyo dogo kila interview hana uwoga kwa maswali hata mgeni awe mkali,or apanick still anasimama na swali lake🤣🤣🤣Big up dogo Daah dogo kauzuuuu🤣🤣
Fanya kitu umesema shaw ni kila tar 30 utakosea weka ratiba yako sawa, fanya show kila juma mosi kuamkia juma pili kwa mwezi fanya wiki 4 ndan ya mwez mmoja, mfano ukianza na dully juma mosi ya kwanza nendeni kakusanye pesa mwanza mtapata ata million 6, wiki ya pili nenda arusha mtapata ata million 6, Wiki ya 3, Kapige songea mtapata ata million 6, wiki ya mwsho ambayo ndo itakua tar 30 njoo upige dar utapata million 10, project ya dully inaisha, unaanza na juma nature mnazunguka hivohivo fanya hyo ratiba mtafanikiwa watu wanataka bururdani watalipa viingilio mtapata pesa weka watu mikoani sio kila kitu serena dar ukimpeleka juma nature serena hotel hatakutana wa mashabiki wake
Sugu ulichemka kwenda kutembea na faiza kimoyo unajutia kabisa kosa ambalo hutakuja kulisahau,kibaya zaidi uliacha Copy yako(nakala) ila yote ni maisha mwanamke alikupenda ulikua unamshughulikia vyema sana mpaka leo hawezi kukusahau amezunguuka hajapata mtu kama wewe,muhimu mpotezee tu akianika utumbo wake kwenye mitandao hudumia mwanao.Mwanamke anayejielewa hawezi kupeleka matatizo yake ya kifamilia kwenye mitandao.Kwani hakuna wenye busara akawaeleza wawakutanishe wakajadili ni tatizo.
Wauliza maswali mabogus, Faiza kafafanua vizuri tu sababu ya kumhamisha mtoto, kasema amehama makazi kahamia Kigamboni, ililazimu amhamishe mtoto shule na pia shule alioipata ipo same level na aliomtoa same fee, acheni uzushi, na kuhusu kulipiwa na Sugu kasema amechoka kumbembeleza kama anaomba kazi, hivyo atamlipia mwenyeo hashindwi, baba mtu akiamua kumlipia sawa, asipotaka basi hatompembejea tena! Ni kweli Sugu msumbufu kwenye kutoa huduma asijidai chochote hapo hana cha havard wala nini mkorofi tu na kutaka Faiza aonekane mbaya au chizi.
Amka acha kushikwa akili na huyo mpuuzi hivi una kumbukumbu huyo binti Alisha wahi sema sugu hamlipii mtt chochote sugu akatowa risiti za shule akaumbuka Yule ni mwanamke wa hovyo Kama sugu angekuwa hatowi hizo kwa akili ya Yule lazima angekuwa kafika mahakamani amka usije kuonekana nawewe una akili ya huyo
Taita bana😀😀😀
🖐🖐Salama Sk umepata watangazaji wazuri haswa huyo dogo kila interview hana uwoga kwa maswali hata mgeni awe mkali,or apanick still anasimama na swali lake🤣🤣🤣Big up dogo
Daah dogo kauzuuuu🤣🤣
Mbona mnamuuliza sugu vitu tofauti na project,?Sasa tutafahamuje project?soggy mnazengua
Maswali ya bangi,mtangazaji achana nayo,muulize sugu mambo muhimu ya hiyo project
Fanya kitu umesema shaw ni kila tar 30 utakosea weka ratiba yako sawa, fanya show kila juma mosi kuamkia juma pili kwa mwezi fanya wiki 4 ndan ya mwez mmoja, mfano ukianza na dully juma mosi ya kwanza nendeni kakusanye pesa mwanza mtapata ata million 6, wiki ya pili nenda arusha mtapata ata million 6, Wiki ya 3, Kapige songea mtapata ata million 6, wiki ya mwsho ambayo ndo itakua tar 30 njoo upige dar utapata million 10, project ya dully inaisha, unaanza na juma nature mnazunguka hivohivo fanya hyo ratiba mtafanikiwa watu wanataka bururdani watalipa viingilio mtapata pesa weka watu mikoani sio kila kitu serena dar ukimpeleka juma nature serena hotel hatakutana wa mashabiki wake
Ngoja faiza leo ataingiya live
Muongo wew🤮
Sugu ulichemka kwenda kutembea na faiza kimoyo unajutia kabisa kosa ambalo hutakuja kulisahau,kibaya zaidi uliacha Copy yako(nakala) ila yote ni maisha mwanamke alikupenda ulikua unamshughulikia vyema sana mpaka leo hawezi kukusahau amezunguuka hajapata mtu kama wewe,muhimu mpotezee tu akianika utumbo wake kwenye mitandao hudumia mwanao.Mwanamke anayejielewa hawezi kupeleka matatizo yake ya kifamilia kwenye mitandao.Kwani hakuna wenye busara akawaeleza wawakutanishe wakajadili ni tatizo.
Nimeipenda baba ulichoongea ni fact tupu kama kweli mtu anaona anaonewa aende mahakamani. What I like upo na mke very strong Happiness
This radio is hot already but hawa mahost wanapwaya,sogy should hve done better than this cause amekua kwenye media for a long time.
Uongo kalipe ada
ndivyo walivyo max ukiachana nao lazima wachombeze hapo anazuga tu
🤣🤣🤣🤣
SAFI SANA WASANII KUONDOKA NA 10 M HAYO NDIO MAENDELEO
Kwendraaaaaaa
Jongweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wauliza maswali mabogus, Faiza kafafanua vizuri tu sababu ya kumhamisha mtoto, kasema amehama makazi kahamia Kigamboni, ililazimu amhamishe mtoto shule na pia shule alioipata ipo same level na aliomtoa same fee, acheni uzushi, na kuhusu kulipiwa na Sugu kasema amechoka kumbembeleza kama anaomba kazi, hivyo atamlipia mwenyeo hashindwi, baba mtu akiamua kumlipia sawa, asipotaka basi hatompembejea tena! Ni kweli Sugu msumbufu kwenye kutoa huduma asijidai chochote hapo hana cha havard wala nini mkorofi tu na kutaka Faiza aonekane mbaya au chizi.
Industry ebu fanyeni kumdondosha kwenye kikao mtu mzima John Dilinga Matlou a k a Dj JD
Amka acha kushikwa akili na huyo mpuuzi hivi una kumbukumbu huyo binti Alisha wahi sema sugu hamlipii mtt chochote sugu akatowa risiti za shule akaumbuka Yule ni mwanamke wa hovyo Kama sugu angekuwa hatowi hizo kwa akili ya Yule lazima angekuwa kafika mahakamani amka usije kuonekana nawewe una akili ya huyo
Kwa hiyo spermarket ndio nini wewe ni kioo cha jamii ishi kwa
Mifano wewe acha mambo ya ajabu