Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 tunajifunia wimbo uliyotuimbia AMANI KATIKA UCHAKUZI BARIKIWA SANA Amen 🙏 🙏
Mstari bado kijana❤❤❤❤mtoto wa nyoka ni nyoka❤❤❤hustler nation kijana
Ubalikiwe saaana yohana ❤❤Kenya 🇰🇪
Wow that's amazing utaendaMbali
Exactly 💯 💯 💯 ❤❤more blessings 🙌 🙏 am from Kenya 🇰🇪
Mungu abariki KAZI ya mikono yako barikiwa sana
Amen 🙏, ubarikiwe sanaa mtumishi wa MUNGU
yohana ee naomba wimbo mmoja unishirikishe
Woooo mungu akubaliki sanaa
Mungu akulinde uzidi kukuwa kiloho ila sahiv umekuwa tor❤❤❤
Hongera sana from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Imana yanje ndayikunda😂😂😂❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💚💚💚💚🥳🥳🥳🥳🥳🥳
MUNGU akubariki sana mtumishi wa mungu tuna kupenda sana sis wa kenya mungu akutie nguvu kwenye huduma yako
Amen brother mungu naye ni nani ameikuinua sana tangu utotoni be always blessed Ameni
Pongezi sana yohana mungu akubariki sana
Nani amegundua vile amegrow sana
Wow,tunaendelea kusonga kwa pamoja.Baraka tele🇰🇪🇰🇪♥️♥️
Ubarikiwe zaidi
Wow looks at my son big boy how are you doing Congratulations 🎊 👏 💐 🎉🎉🎉❤
Yohana amegrow nikimuona ..jamani Mungu azidi kukuinua mtoto
May God bless you 🙏 utaenda mbali
Our favorite ❤🎉watoto wetu huiba simu yangu wanakaa mbali kusikia nyimbo zako🙏🙏🙏mungu akubariki sana💃💃💃💃
🎉🎉🎉❤❤❤ kabisaa nitapinga hatua amen wimbo mtamu sana endelea kumuimbia mungu ni muwesayoto kimaisha
Pia mimi natamani kupiga hatua, wimbo nzuri sana❤❤❤❤❤
Wimbo nzuri
Amina Mungu aibariki kazi yako ya uimbaji
Wakenya kujeni huku .huyu ndugu jamani mungu azidi kum neemesha .amekua wa baraka kwangu tokea Enzi zile
Amen.. but I think voice iko na shida
Niko huku already ..nimemfuata tangia utotoni Hadi tukakuwa wakubwa
Amen Atonny🎉🎉🎉❤mungu awe na daima napenda nyimbo zako
Nyimbo nzuri bro God bless you 🙏
Nitapiga hatua
Badoo Bado
Yes kuambatana na wenye waliofanikiwa Kuna hatua nitapiga watajionea congratulation 🎉🎉
Wooow! Nice song,Wacha Mungu azidi kukupa kibali kaka ,am mercy from Kenya 🇰🇪🇰🇪, be blessed 🙏🙏.
Mtumishi wa Mungu nakupenda sana tangu kuanza kuimba
Kwa kweli hii message iko tight ❤❤❤love you....like from kenya
🎉one day ntafanya colabo na ww na itakuwa yabaraka
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Amina Amina
Woow this is great.....nakutafta tuimbe bro
Utukufu kwa bwana bro.thanks for this revelation
Ubarikiwe mtumishi kwa Wimborne mzur
Umekuwa mbig aki others ❤❤❤ from Kenya
Very true mtumishi wimbo nzuri sana keep up 🇰🇪🇰🇪
Nawapenda sana Tanzania wakatimwingine huwa natamani kuhama Kenya nije huko but sina uwezo kwa sababu nimbali ❤
So educative good broh......you are so anointed ....my dream ni kukualika uku Kenya kwa Tamasha ya injili.....l love your ministry 🎉🎉
Mungu akubalike ushakuwa mkubwa ❤
Ukweli kabsa kudos John keep it up ❤
Napenda nyimbo zako nkiwa 🇰🇪 mungu akubariki uzidi kutufunza kupitia nyimbo zako
Ni kweli my brother amen
Balikiwa Sanaa pacha Yohana nyimbo zako zinanibarik sanaa
Hio salamu ya komasava😂😂😂 but much love ubarikiwe zaidi
Mdogo angu pambana sana mungu atakufikisha panapo nafasi
❤
Waooo! Umekuwa kijana mkubŵa
That's true mtumishi ❤ barikwa sana
Very true kuna hatua huwa hutamani kusing ❤❤
Acha mungu azidi kukuinua you look great beautiful boy am from Kenya we ❤ you Nadia
Goooooo Yohana mtumishi wa Mungu.Mungu akubariki Sana na ainue Huduma yako.Much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ frm Kenya
Amen yohana Anthony...🙏🙏..Ni kweliii kuwa karibu na walio fanikiwa kuna vitu vikubwa sana tutajifunza kutoka kwao...❤❤...
❤❤❤
Umekua mdgo wangu yesu akutunzee
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nami pia unieke kwa maombi love your songs
Nice song mungu awabariki Tanzania kwa huo wimbo umenifunza mengi sana nimemfwata muimbaji wa nyimbo sa injili hapa kenya the name is Daniel sifuna gospel singer pia nijifunze kutoka kwake am listening from Kenya ❤❤🎉
AMEN AMEN, ukweli kabisa
Aminaaaa sana mtumishi MUNGU akubariki sana
Nice song mtumishi wa mungu mungu akubariki sana na akuhinuwe zaidi ❤❤❤❤❤❤❤❤
My boy is baaaaack❤❤❤❤ kazi nzuri mtumishi❤
Antony Mungu akubariki sana bro you are my mentor. Nahiga mfano mwema toka kwako bro. nikiwa Kenya
Our boy is growing up faster thanks to God
Wewe mtoto huwa unanibariki mno, Mungu akubariki mno
Amen mtumishi wa Mungu Mimi naambatana na wewe kwenye huduma.
Congratulation you Anthony may God bless you may God bless you God bless you Mr Anthony
Ukweli kabisa God bless you brother
Anto mungu azidi kukuinua nyimbo zako zinanifunzaga Mambo mengi
Amina ubarikiwe sana kwautumishi huo
Amina ubarikiwe kwa nyimbo yenye ujumbe wakuokoa watu
So sweet congratulations bro my the Lord of mercy fight for you much love 4rom Kenya 🇰🇪
Ubarikiwe sana mtoto na Mungu akuzidishe kwa kipaji yako. Ni Yusufu toka Congo DR,jimboni Maniema,mtaa wa Kindu
Good song from such a small boy..we love you from kenya
Wakenya kujeni yani huyu mkaka mungu amzidishiye kipaji chake
Aminaaa ubarikiwe sana na mungu azidi kukupigania mpenzi wangu ❤❤❤🎉🎉🎉🎉💋💋💋💋💋
I'm citizen of Kenya I follow you Mr Anthony I know you are very powerful very very powerful powerful
Wooooh ....be blessed .....you are a blessing to many .... Watching from 🇰🇪
Hongera kwa ujumbee💪💪👊mzito
MWe kamekuwa Amina
umekuwa mwanamuziki mzuri najivunia wewe ni Russell Rodriguez Congo Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wow good job bro God bless you and be with you ❤❤❤❤
Yes,as Kenyans we are proud of your songs 🙏
Barikiwa mtumishi wa Mungu 🎉🎉🎉
Pst Joshua kutoka Kenya kitui caunty mungu akubariki sana kijana
Yan saiz umekuwa mbaba kabisa wakat juzi tu ulikuwa mdogo sana
Safi sana mutumishi endelea kumtumikia mungu.
Kabisa Amen 🎉congratulations
Kijana Barikiwa Sana
Wimbo mzuri sana Mungu azidi kukubariki
onger lafik kazi nzur
Safi sana my friend, kuanzia Sasa, naambatana na walio fanikiwa,kiroho mbaka kimwili, najua tu nitafikia ndoto zangu
Amen mungu hakuweke kwa viwango vingine❤❤❤❤❤❤❤
Ukweli kabisa
Waaaw aky ni kwel kabisa very nice broo we love you from Kenya na umekua mkubwa
Barikiwa Sana mdgo wangu ♥️
Ushakuwa mubaba jmn Yohana😅,Im so proud of your songs my bro Big up
Wimbo mzuri Antony,Mungu azidi kukunemesha
Napenda Sana Kaz zako die ❤❤❤❤❤
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 tunajifunia wimbo uliyotuimbia AMANI KATIKA UCHAKUZI BARIKIWA SANA Amen 🙏 🙏
Mstari bado kijana❤❤❤❤mtoto wa nyoka ni nyoka❤❤❤hustler nation kijana
Ubalikiwe saaana yohana ❤❤Kenya 🇰🇪
Wow that's amazing utaenda
Mbali
Exactly 💯 💯 💯 ❤❤more blessings 🙌 🙏 am from Kenya 🇰🇪
Mungu abariki KAZI ya mikono yako barikiwa sana
Amen 🙏, ubarikiwe sanaa mtumishi wa MUNGU
yohana ee naomba wimbo mmoja unishirikishe
Woooo mungu akubaliki sanaa
Mungu akulinde uzidi kukuwa kiloho ila sahiv umekuwa tor❤❤❤
Hongera sana from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Imana yanje ndayikunda😂😂😂❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💚💚💚💚🥳🥳🥳🥳🥳🥳
MUNGU akubariki sana mtumishi wa mungu tuna kupenda sana sis wa kenya mungu akutie nguvu kwenye huduma yako
Amen brother mungu naye ni nani ameikuinua sana tangu utotoni be always blessed Ameni
Pongezi sana yohana mungu akubariki sana
Nani amegundua vile amegrow sana
Wow,tunaendelea kusonga kwa pamoja.Baraka tele🇰🇪🇰🇪♥️♥️
Ubarikiwe zaidi
Wow looks at my son big boy how are you doing Congratulations 🎊 👏 💐 🎉🎉🎉❤
Yohana amegrow nikimuona ..jamani Mungu azidi kukuinua mtoto
May God bless you 🙏 utaenda mbali
Our favorite ❤🎉watoto wetu huiba simu yangu wanakaa mbali kusikia nyimbo zako🙏🙏🙏mungu akubariki sana💃💃💃💃
🎉🎉🎉❤❤❤ kabisaa nitapinga hatua amen wimbo mtamu sana endelea kumuimbia mungu ni muwesayoto kimaisha
Pia mimi natamani kupiga hatua, wimbo nzuri sana❤❤❤❤❤
Wimbo nzuri
Amina Mungu aibariki kazi yako ya uimbaji
Wakenya kujeni huku .huyu ndugu jamani mungu azidi kum neemesha .amekua wa baraka kwangu tokea Enzi zile
Amen.. but I think voice iko na shida
Niko huku already ..nimemfuata tangia utotoni Hadi tukakuwa wakubwa
Amen Atonny🎉🎉🎉❤mungu awe na daima napenda nyimbo zako
Nyimbo nzuri bro God bless you 🙏
Nitapiga hatua
Badoo Bado
Yes kuambatana na wenye waliofanikiwa Kuna hatua nitapiga watajionea congratulation 🎉🎉
Wooow! Nice song,Wacha Mungu azidi kukupa kibali kaka ,am mercy from Kenya 🇰🇪🇰🇪, be blessed 🙏🙏.
Mtumishi wa Mungu nakupenda sana tangu kuanza kuimba
Kwa kweli hii message iko tight ❤❤❤love you....like from kenya
🎉one day ntafanya colabo na ww na itakuwa yabaraka
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Amina Amina
Woow this is great.....nakutafta tuimbe bro
Utukufu kwa bwana bro.thanks for this revelation
Ubarikiwe mtumishi kwa Wimborne mzur
Umekuwa mbig aki others ❤❤❤ from Kenya
Very true mtumishi wimbo nzuri sana keep up 🇰🇪🇰🇪
Nawapenda sana Tanzania wakatimwingine huwa natamani kuhama Kenya nije huko but sina uwezo kwa sababu nimbali ❤
So educative good broh......you are so anointed ....my dream ni kukualika uku Kenya kwa Tamasha ya injili.....l love your ministry 🎉🎉
Mungu akubalike ushakuwa mkubwa ❤
Ukweli kabsa kudos John keep it up ❤
Napenda nyimbo zako nkiwa 🇰🇪 mungu akubariki uzidi kutufunza kupitia nyimbo zako
Ni kweli my brother amen
Balikiwa Sanaa pacha Yohana nyimbo zako zinanibarik sanaa
Hio salamu ya komasava😂😂😂 but much love ubarikiwe zaidi
Mdogo angu pambana sana mungu atakufikisha panapo nafasi
❤
Waooo! Umekuwa kijana mkubŵa
That's true mtumishi ❤ barikwa sana
Very true kuna hatua huwa hutamani kusing ❤❤
Acha mungu azidi kukuinua you look great beautiful boy am from Kenya we ❤ you Nadia
Goooooo Yohana mtumishi wa Mungu.Mungu akubariki Sana na ainue Huduma yako.Much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ frm Kenya
Amen yohana Anthony...🙏🙏..Ni kweliii kuwa karibu na walio fanikiwa kuna vitu vikubwa sana tutajifunza kutoka kwao...❤❤...
❤❤❤
Umekua mdgo wangu yesu akutunzee
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nami pia unieke kwa maombi love your songs
Nice song mungu awabariki Tanzania kwa huo wimbo umenifunza mengi sana nimemfwata muimbaji wa nyimbo sa injili hapa kenya the name is Daniel sifuna gospel singer pia nijifunze kutoka kwake am listening from Kenya ❤❤🎉
AMEN AMEN, ukweli kabisa
Aminaaaa sana mtumishi MUNGU akubariki sana
Nice song mtumishi wa mungu mungu akubariki sana na akuhinuwe zaidi ❤❤❤❤❤❤❤❤
My boy is baaaaack❤❤❤❤ kazi nzuri mtumishi❤
Antony Mungu akubariki sana bro you are my mentor. Nahiga mfano mwema toka kwako bro. nikiwa Kenya
Our boy is growing up faster thanks to God
Wewe mtoto huwa unanibariki mno, Mungu akubariki mno
Amen mtumishi wa Mungu
Mimi naambatana na wewe kwenye huduma.
Congratulation you Anthony may God bless you may God bless you God bless you Mr Anthony
Ukweli kabisa God bless you brother
Anto mungu azidi kukuinua nyimbo zako zinanifunzaga Mambo mengi
Amina ubarikiwe sana kwautumishi huo
Amina ubarikiwe kwa nyimbo yenye ujumbe wakuokoa watu
So sweet congratulations bro my the Lord of mercy fight for you much love 4rom Kenya 🇰🇪
Ubarikiwe sana mtoto na Mungu akuzidishe kwa kipaji yako. Ni Yusufu toka Congo DR,jimboni Maniema,mtaa wa Kindu
Good song from such a small boy..we love you from kenya
Wakenya kujeni yani huyu mkaka mungu amzidishiye kipaji chake
Aminaaa ubarikiwe sana na mungu azidi kukupigania mpenzi wangu ❤❤❤🎉🎉🎉🎉💋💋💋💋💋
I'm citizen of Kenya I follow you Mr Anthony I know you are very powerful very very powerful powerful
Wooooh ....be blessed .....you are a blessing to many .... Watching from 🇰🇪
Hongera kwa ujumbee💪💪👊mzito
MWe kamekuwa Amina
umekuwa mwanamuziki mzuri najivunia wewe ni Russell Rodriguez Congo Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wow good job bro God bless you and be with you ❤❤❤❤
Yes,as Kenyans we are proud of your songs 🙏
Barikiwa mtumishi wa Mungu 🎉🎉🎉
Pst Joshua kutoka Kenya kitui caunty mungu akubariki sana kijana
Yan saiz umekuwa mbaba kabisa wakat juzi tu ulikuwa mdogo sana
Safi sana mutumishi endelea kumtumikia mungu.
Kabisa Amen 🎉congratulations
Kijana Barikiwa Sana
Wimbo mzuri sana Mungu azidi kukubariki
onger lafik kazi nzur
Safi sana my friend, kuanzia Sasa, naambatana na walio fanikiwa,kiroho mbaka kimwili, najua tu nitafikia ndoto zangu
Amen mungu hakuweke kwa viwango vingine❤❤❤❤❤❤❤
Ukweli kabisa
Waaaw aky ni kwel kabisa very nice broo we love you from Kenya na umekua mkubwa
Barikiwa Sana mdgo wangu ♥️
Ushakuwa mubaba jmn Yohana😅,Im so proud of your songs my bro Big up
Wimbo mzuri Antony,Mungu azidi kukunemesha
Napenda Sana Kaz zako die ❤❤❤❤❤