Bt pia TWD haueleweki....ukifanyiwa interview na presenter ali ulisema uko sure killer ni nani na ukamtaja jina na akakushw thats a strong allegations ukasema uko sure...sasa tena umesema allegedly...nyamaza sasa ama uende DCI ukareport acha mdomo
TWD pia yy hajui chenye anasema. hiyo difference ya 212k baba T alisema alilipwa pesa zake zenye alikuwa anatumia. hiyo ni pesa zake alifaa kurudishiwa ju chira hakuwa relative wake
@@anonymousavatar57yeeees alikua anashida kuambia shosh hiki nimeongezea na pesa zagu mpaka nikajiulizaaa nazile zimechangwaa zinaeda wap jameni??? Watu sio wajinga u mzee achee kubeba watu ufala,,siku yake inakuja mungu atawageuza wote wakule adui alfu wake na watasema ukweli nilichofanyika nkama hajui mwanadamu vizuri
Heri urarukiwe na nguo juu unaeza ifanyia repair kuliko kurarukiwa na akili.....mbona hakuchukua pesa ya mchango?For your information pesa ilichangwa ni 22m not 8m
Wewe mpaka siku utasikia Baba T amekufa na Depression ndio utapumzisha mdomo. It's not a month unamuandama Baba T daily. Sijui nini inakuuma na hii family na hata wewe haikuhusu. Ukweli ni kwamba you not a good person at heart. It's a month+ since Brayo died, do you think hii kelele yako itazaa matunda? Not justice for money and you are here talking about money. Kweraaaaa!
@malaikajabali-oj2fh akiwa ni jamaa yangu, I won't even do a followup juu ameshaenda ameenda. Hata nikisema Justice atafufuka? NO. Ndio roho ya mtu itoke, Mungu huwanga ameamua na anakuwanga na sababu. No one is here on earth to leave forever. And no one will die without a reason. Kila mmoja wetu ako na style yake ya kuondoka duniani. So justice, justice, Momanyi, Baba T, ooh nimepeleka evidence polisi, what have you said police done? No step so far. Alafu hata Momanyi akishikwa Nani alikuwa shahidi aliona na macho Momanyi akifanyia Chira kitu alifanya? No one was there. Kuna Kesi Kotini huenda popote bila ushahidi? Kwanza shosho yetu yee akili iko tu kwa pesa. Shosh anajua hio story ya kotini inahitaji pesa, na sio story itaisha mwaka kesho, enda rudi, end rudi, akiitishwa mashahidi wa kifo cha mjuu, hana. Nani ako na hio time ya kupoteza? Kisha mwisho wa kuisha mtu atafungwa, pesa zitaenda na Chira hataamka. Kwa faida gani sasa hizo harakati zooote? Aliye muua, achieni Mungu.
Ohhh,sifati pesa nafata kifo ya chira...mbona anarudi kwà pesa....wivu utakuuwa....ohh obina...unainsist alilala na huyo dame juu aliita baba t and not you...
For those who are always hating on TWD,one day the truth will dawn to you why he is fighting so hard to get justice for Chira. I lost my brother and i wish i had someone like him to follow up for us to know how he was killed
hii ngombe inanga kazi ya kufanya end kwanza ubuy manguo kasia hii ukona wivu n baba t ebu tafuta pesa yako wachana n baba t yy ujituma sana ..na upeleke kesi dci ...siku yenye utalala dani ndio utatii wewe
@@brettamuleiEe siunaona Brighton thee pl sasa kiburi imeingia ati ako na mali 😂😂pesa za kidnappers ya bibi ziliwak 😂kama hangekua huyu watchdog si bado tungechanga sai Angie amove out
TWD.....you are truthman like rigathi😂..........TWD you care about humanity may creator keep you and protect you..I noticed you care for a lot of kids apart from yours🙏
@@Spikeskid254 Sitataka Mtu wangu kupigishwa Condent Social media,, Mtu akiwa na Ushahidi kuna DCI Sio hii Kidomo huku,, Ni Mda gani tangu huyo Mtoto azikwe? Pia mimi nilitaka kujua ukweli ya hiyo Kifo but huyu ako huku bila Msimamo,, Mara ninajua Muuaji,, Ooh niko na evidence,, Ooh Pesa pesa,, Shindwe sana.
5:45 - 5:49 expresses your hate man....says it all jumping from vlogger to vlogger so that airspace is filled with your negativity eeeeeh...... I think Oga has the right to invite his guests not you to dictate
Wewe umezaa? Me nashidwa ubebe mimba uzae alfu usikie mtoto wako amekufa Ivo? Na badala wanawake wasimame na ukweli kutafuta justice for chira uko apa kucoment upuzi
Kwani king roso pekeyk ndio huu peana malion aaah pia ww acha tupumzike sasa ata auku hupeana lion ..ulitutia owa mwiti ukatupelekwa baba t kama killer ukasema kioi anajua iyo story ukatutia kwa kioi ukatuleta sijui kwa zamalek ama sijui ndia nani sai tena umeturidisha kwa baba t ..acha kutuzungusha kama maremare
Kazi ya obinna ni kucheka without concent alafu baadae anaanza kukatia some of them...mimi huwaga ananikalia chokora fulani. Aliita peter kioi usiku silly pipo
Truthwatchdog popote ulipo let our God guide you for the work you are doing.
😂😂😂😂
The whole world are see this guestions Baba T now what over Chiras dead. He must confessing all what he did to chira.because he denies
Bt pia TWD haueleweki....ukifanyiwa interview na presenter ali ulisema uko sure killer ni nani na ukamtaja jina na akakushw thats a strong allegations ukasema uko sure...sasa tena umesema allegedly...nyamaza sasa ama uende DCI ukareport acha mdomo
Uliandama true k hadi ukaibika sasa umeansa baba T but utaibika tena
True k ni tapeli mwizi, hakuna kuekelewa aliekelewa
Bado Una trust true k after ule mtanzania kuelezea vile alikuwa ana act,Ule wa Ruth na Bonny,mwasenga family
@@ireneameyo9979100%
Akili ndogo
Kando na hio niliamini time baba denno 😂😂 na jina lake ni Peter hana mtoi anaitwa denno na hana bb niwakwetu kiambaa (# banana truck k mwizi
Truth, keep talking ❤
Gods got you!
Huyu The walking dead hananga maisha!anunue mavazi kwanza awache kuvaa viatu zinakaa boat.. Mtcheeeeeew...
Twd man of facts
God hv mercy thanks twd
Mbona ikifika kwa shosho unaanza kusema 'sidhani alikuja kuanika mtu'i though you worked with truth...mbona unadhani
Ungeitwa wewe si mwenye alikuwa side yenu obidan aliitwa....uyu mbaba anakuwanga na kimdomo kubwa...
TWD pia yy hajui chenye anasema. hiyo difference ya 212k baba T alisema alilipwa pesa zake zenye alikuwa anatumia. hiyo ni pesa zake alifaa kurudishiwa ju chira hakuwa relative wake
Alikua amezitoa za nini na pesa ilikuwa imechangwa????😂😂😂😂... Sisi sio wajinga
@@anonymousavatar57yeeees alikua anashida kuambia shosh hiki nimeongezea na pesa zagu mpaka nikajiulizaaa nazile zimechangwaa zinaeda wap jameni??? Watu sio wajinga u mzee achee kubeba watu ufala,,siku yake inakuja mungu atawageuza wote wakule adui alfu wake na watasema ukweli nilichofanyika nkama hajui mwanadamu vizuri
Heri urarukiwe na nguo juu unaeza ifanyia repair kuliko kurarukiwa na akili.....mbona hakuchukua pesa ya mchango?For your information pesa ilichangwa ni 22m not 8m
@@aviosilona toa evidence pesa ilikuwa 22million
@@victormuricho7468 amka usikojee kitandani unataka kusema hujaona hiyo video na chanzo cha Chira kufa???? Tafuta uwatch halafu urudi
Twd may God bless you and the blood of Jesus cover u always protections upon you and the family be careful with them 🙏
TWD bona ya peter mwanthi ukufuatia mwenye alimuua juu hii ya chira iko na pesa ndo maana mnashidia
Amerudi online juzi
@@anonymousavatar57tena mwathi yeye hakua kwa limelite Sanaa kama chira
People really fought for Jeff's justice but as u well know the culprit behind his demise bribed to b protected,,,if u know u know
Pia siezi crime kuombwa but I trust my God,,, friends in need is a friend indeed gaki waaah ,,true friends walikua wanajua everything
Regardless hashakufa nothing can bring him back ..no justice coz hiyo justice will mot bringing him back
The walking dead wivu itakuwa soon
TWD your very Wise man May God cover you by the blood of the lamb ❤
Court oder 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅baba T hajasoma.
TWD God gurd you they are traying to distract you ndio usifikie muuwaji kamili
Warrant of arrest hutoka after case imeisha,NOT before
Mimi na shindwa kwa nini shosh akiuriza babat simu ya chira baba anampereka huku na huku babat Kuna kitu anajua haki
wacheni chira apumzike buana kwani hamna aibu let God do his thing😂😂😂
Justice for chira
Expose them
Wamekula pesa za chira 500000
Apo kwa mwisho😂😂
Wewe mpaka siku utasikia Baba T amekufa na Depression ndio utapumzisha mdomo. It's not a month unamuandama Baba T daily. Sijui nini inakuuma na hii family na hata wewe haikuhusu. Ukweli ni kwamba you not a good person at heart. It's a month+ since Brayo died, do you think hii kelele yako itazaa matunda? Not justice for money and you are here talking about money. Kweraaaaa!
True...aachane na Baba T
So hutaki justice ya chira what if alikua ur younger brother...ninyi ndio mnakatia hio shenzi inaitwa baba t mtaenda kamiti nayeye
Justice for Chira,,,,Baba T alikuwa anafanya nini na simu ya shosh 5 days?
@malaikajabali-oj2fh akiwa ni jamaa yangu, I won't even do a followup juu ameshaenda ameenda. Hata nikisema Justice atafufuka? NO. Ndio roho ya mtu itoke, Mungu huwanga ameamua na anakuwanga na sababu. No one is here on earth to leave forever. And no one will die without a reason. Kila mmoja wetu ako na style yake ya kuondoka duniani. So justice, justice, Momanyi, Baba T, ooh nimepeleka evidence polisi, what have you said police done? No step so far. Alafu hata Momanyi akishikwa Nani alikuwa shahidi aliona na macho Momanyi akifanyia Chira kitu alifanya? No one was there. Kuna Kesi Kotini huenda popote bila ushahidi? Kwanza shosho yetu yee akili iko tu kwa pesa. Shosh anajua hio story ya kotini inahitaji pesa, na sio story itaisha mwaka kesho, enda rudi, end rudi, akiitishwa mashahidi wa kifo cha mjuu, hana. Nani ako na hio time ya kupoteza? Kisha mwisho wa kuisha mtu atafungwa, pesa zitaenda na Chira hataamka. Kwa faida gani sasa hizo harakati zooote? Aliye muua, achieni Mungu.
Shushu yako wewee😢
Ohhh,sifati pesa nafata kifo ya chira...mbona anarudi kwà pesa....wivu utakuuwa....ohh obina...unainsist alilala na huyo dame juu aliita baba t and not you...
Huyu msee ananibooooo
@@monicahmunyao412 na mimi?
Uaja meza dawa leo bro 😢
Enyewe hizo vitu Zote expensive lazima ziwe na receipts ....mambo ingekuwa wazi...in the meanitime kazi ya Twd si rahisi wueee
Aty mnasema TWD ako na wivu....ngoja siku mtu wa kwenu atakufa bila ugonjwa ndio utajua kifo cha ghafla ni gani.......
wewe 😂😂😂komaa Obinna kabisa
Juzi Baba Talisha threated to have the account (money) frozen if shosh continued with mitandao manenos..wueh
He knows something and he's ashamed it was exposed
Ulikua wapi wakati chira alikua anateseka na huyo shushu yake
Wewe ulikua wapi😅😅😅
Wee do ulimuua basi.. cos ulikua na yeye.
Sura ya wifuuu
They are not fighting for anything...the want to distract you TWD.
This guy might be right because of shooting video at night because hata obina mwenyewe anaongelea lights kwa interview 😂
I feel for you mwanaume tafuta kazi ufanye unategemea TikTok ugeenda kotini Bure kabisa
Usimamisha mazishi as what...ashazikwa what can you do about it piga kelele ukimaliza ulale bro kumbe wewe pia unataka uende Kwa show ya obina🤣🤣🤣
Hiyu nae achoki na kutaja baba t kwan baba t alikula pesa yako we pia kwenda uko...wewe na roho yako chafu kuna watoto unasaidia kweli
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
For those who are always hating on TWD,one day the truth will dawn to you why he is fighting so hard to get justice for Chira.
I lost my brother and i wish i had someone like him to follow up for us to know how he was killed
And that one day he'll be in jail.
hii ngombe inanga kazi ya kufanya end kwanza ubuy manguo kasia hii ukona wivu n baba t ebu tafuta pesa yako wachana n baba t yy ujituma sana ..na upeleke kesi dci ...siku yenye utalala dani ndio utatii wewe
From director J to pastor show now saii ni kwa Baba T case zote zinaishiaga wapi
Hutufungua macho wengi tumeeruvuka from him
Sahi hakuna pesa tunatumia watu za Bure wakitubebe ujinga anatufugua macho,,we uko apo kusema ilifika wap
@@brettamuleiEe siunaona Brighton thee pl sasa kiburi imeingia ati ako na mali 😂😂pesa za kidnappers ya bibi ziliwak 😂kama hangekua huyu watchdog si bado tungechanga sai Angie amove out
He's a looser..
TWD ako na wivu hii pesa inamuuma anajiuliza hii pesa ingepitia mikononi yake shosho angepata kitu na akuna kitu mbaya kama wivu uwez tajirika
Ngojea mtu wa kwenu afe bila ugonjwa urudi useme hivi kwa sasa you can say whatever you want
@@aviosilonaSay it louder dear😢
Ghasia ...nani analipa huyu hii kazi yote...alikua anachukia chira na he said it Sasa mbona anatafta justice na story hakuna
😊
Anajua chenye kirikula chira
TWD.....you are truthman like rigathi😂..........TWD you care about humanity may creator keep you and protect you..I noticed you care for a lot of kids apart from yours🙏
Kindly beb shut up am listening to TWD ❤ wisdom
Fungal hio mdomo yako ama uende ufufue chira.
Uliingilia true k na bado anaendelea...find your own content not attacking others content creators
Wewe ni mluhia umechanuka sana
Now I have come to know the truth. I was hating shosho for nothing.
The walking dead😂😂😂
Jealousy itaua huyu.
Ile siku your family member ama friend itampata ndio utajua si jealousy
@@Spikeskid254 Sitataka Mtu wangu kupigishwa Condent Social media,, Mtu akiwa na Ushahidi kuna DCI Sio hii Kidomo huku,, Ni Mda gani tangu huyo Mtoto azikwe? Pia mimi nilitaka kujua ukweli ya hiyo Kifo but huyu ako huku bila Msimamo,, Mara ninajua Muuaji,, Ooh niko na evidence,, Ooh Pesa pesa,, Shindwe sana.
5:45 - 5:49 expresses your hate man....says it all jumping from vlogger to vlogger so that airspace is filled with your negativity eeeeeh...... I think Oga has the right to invite his guests not you to dictate
Bibi ya huyu ama shida
How much did you contribute for you to request for accountability
Hana bibi. He has adopted kids.
Ebu enda court you report wacha kutumia jina ya mfu kupata dooh bana
Ka inakuuma si uwache kum watch
Sasa wewe unona ni raha gasia hii si uende umpeleke court😏
Wanawake wa Baba T try to think beyond your nose for a second tuu stop being silly
Wewe umezaa? Me nashidwa ubebe mimba uzae alfu usikie mtoto wako amekufa Ivo? Na badala wanawake wasimame na ukweli kutafuta justice for chira uko apa kucoment upuzi
😂😂😂😂😂
Simwache MUNGU haukumu mbona mnaukumu huyu mwanaume Baba watoto, mtoto wa mtu mnaongea Nini nyie?
Hata yeye afunge mdomo mbona yeye anamwongelelea twd Kila pahali
Smh…what a bunch of nonsense…hii story umepush sana and your not gaining anything from it..all i see is someone who i chasing clout nothing else
Instead of kuwapea content , si aende a report DCI Baba T ashikwe.NKT!!! Sasa tutakuwa tunakaa kila saa watchdog exposes exposes.... Tumechoka na wewe
Umeshikiwa bunduki uangalie si utumie tu akili yako uangaliw ingine sio lazma uone hii
@@jacksonmdemi4340 sijaangalia nmecomment
Wacha wivu bana
TWD halali kila saa akiamka anafikiria tu babaT babaT
Katazeni huyo baba t pia kumwongelelea mnatuudhi
@@abbssy567 nitumie link ya babaT akimtaja....anyway mimi na wewe hatukuchanga😂😂tuwache maneno haituhusu
Usiguze obinna koma tafta kazi wewe ni njaa masikitiko na shida inakusumbua get a life
Huyu alichanga gapi anaumwa hivo na pesa ya mchango
Kwani king roso pekeyk ndio huu peana malion aaah pia ww acha tupumzike sasa ata auku hupeana lion ..ulitutia owa mwiti ukatupelekwa baba t kama killer ukasema kioi anajua iyo story ukatutia kwa kioi ukatuleta sijui kwa zamalek ama sijui ndia nani sai tena umeturidisha kwa baba t ..acha kutuzungusha kama maremare
Kazi ya obinna ni kucheka without concent alafu baadae anaanza kukatia some of them...mimi huwaga ananikalia chokora fulani. Aliita peter kioi usiku silly pipo