PROF. MBARAWA ATEMBELEA SGR TABORA, “ CHANGAMOTO NI KAWAIDA KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI MIKUBWA”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 7

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 4 дня назад

    Huko bado sanaaa

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 11 месяцев назад +1

    changamoto ni Hamna hela,,,,na ndiomaana unakuta mkandarasi ana slow down

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 11 месяцев назад +1

    Mngewapa Wachina wangekuwa wamemaliza hao waturuki ni wababaishaji wamefilisika hamna kitu hapo mmeingia cha kike na hao waturuki

    • @jamesnteleva7073
      @jamesnteleva7073 11 месяцев назад

      Kwani hao Waturuki si ndiyo waliojenga kipande cha kwanza na cha pili? Wanashindwaje kwenye kipande cha tatu ilhali wameweza kwenye vipande vya awali?

    • @saidibalagwila8496
      @saidibalagwila8496 11 месяцев назад

      Wachina ndio wasenge kabisa

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 11 месяцев назад

      @@jamesnteleva7073 cha kwanza hata hawajamaliza hadithi tu

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 11 месяцев назад

      @@saidibalagwila8496 wachina wako reliable kuliko waturuki kuwaambie tu unataka nini SGR ya Kenya wameijenga bila longo longo hata SGR zingine na metro mfano Nigeria na mchina hawezi kuja na hadithi ya mtaji umekata