Utapenda: MAMA DANGOTE Alivyom-surprise DIAMOND Jukwaani Wasafi Festival Mtwara
HTML-код
- Опубликовано: 2 сен 2023
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
----------------------------------------------------------------------------------- Развлечения
Anazidi kunipa moyo ni pambanie maisha ya wanangu ,masingo mother ongereni popote mlipo
💪💪💪💪
Tuko vere
Jipeni moyo tu mnafanya umalaya mnazalishwa mnaachwa halaf mnajipa moyo
❤
Mungu akulinde wewe Kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimeipenda iyoo big up sana kipenzi mama etu unamsapot kijana duh
Nampendaga sana mama yake diamond
Mpende na mama yako 😂
Tunakuombea mema Kwa mungu uwe namafanikio zaidi diamond platnumz akuna anae kuweza aAfrika nzima tunajua harmonize tulimpenda kwajili Yako harmonize raundi hii kakoma harmonize nimakonde njiga tuuuu
Hakika namchukia sana hamonaize
My best artist in the world Diamond platnumz ❤️💯 wcb
Hii inatia moyo xana aisee❤❤❤
kolabo moja ingepigwa ya diamond na darasa
Mama mungu azidishe upendo wenu na chibu na azidi kuwa juu zaidi...
😂😂😂😂hawakuwezi toto yantwala inasema hawakuwezi nikweli hawamuwezi😂😂❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥👆🙏🙏🙏🙏🙏chibu hawezekani kweli
ISHI MIAKA MINGI HAPA DUNIANI MAMA DIAMOND PLATINUM KWA UPENDO MZURI KWA MWANAO❤🫂
She deserves more flowers from me mama dangote🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Mama ni mama tu hakuna replacment ya mama❤
Daaah mama anakutia nguvu sana ,nice mama
Upendo wa kupigwa mfano xanaa,big up mama Dangote,
dangote ni noma am from zed
Simba ma single mother tunapata Nguvu Ile mbaya tunakomaa kusaka muamala unasoma❤❤❤❤❤❤ Thanks Mama Dangote 🦁🤲🥀🥀
Jitume mungu atakulida usiwajali wapuuzi wamaishahaooòoshogambele mwanangu
Nimefurahi sana mama❤❤❤🎉🎉
Ndakunda daamond
Mungu akuongoze mama dagote ❤❤❤
Hatakama mnamtusi matusi yote ukwel ni kwamba Alie pewa kapewa
Poa broo uko sawa
Umeanza vizuri tumependa ukiimba hivi ndio vzr kuliko kupayuka inakua sio mziki nikelelee.saut unyayo day
Mama dangote 👏👏👏💕💕💕
hongera jamani
Too much ❤❤❤❤ from suzy in kenya
Mimi napenda nyanya yangu😮
Furaha njema na ya kweli ni kumkumbuka Allaah na kumtumikia yeye ktk maisha yako yote.
Mondi anakuwa
Big up sana
Brooxikupingiii ata kidg nakubali xana. Diamond .
Our mother needs our full respect
❤❤❤ good mother!!!
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ more love you diamond
Nakupenda sana mama dangote
jaman me nataka ngoma moja ya dimond na darasa
Am anew fun from kenya 🇰🇪
Mwamba nimemuelewa sana yuko kazini mama akae pembeni kwanza
Nakubari sana mama dangote
Like hapa kama unamkubali mondi👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉👉
Simbaaaa kama simbaaaa ❤❤❤🎉🎉🎉❤❤
Bibi Nj..wow
Wasabi is bestie😋😋
Mama Dangote❤️❤️❤️
Simba km simba 😍🔥🔥🔥
Mama na mwanae no vzr😅
Mwenzenu anajituma kwajuhudi nahubunifu wahaliyajuu chukiyanini
Huyu Mondi wachana naye bwana!!!!!! Yaani mpaka inafurahisha
i was there it was so lit
Ukiangalia nyimbo anazo perform nzuri alizoshirikishwa😂 my opinion
❤❤❤❤
🎉❤❤❤❤
Ongela kakA
Nan kama mama
❤️🔥❤️🔥
Chibudi 🦁
Acheni chuki maisha yenyewe mafupi hujui kesho yako chuki tu amekukosea nini sasa hapo yeye anatafuta hela jamani watanzania ndiyo maana hatuendelei
Music ni furaha na si nan kaimba na nan?
We simbalasimba dangoteee
😅wacheze watu akili tu
Ame msurprise wap na nyie wakati wapo safari moja
napenda hazozako kakayangu wewe nimufano wakuingwa kutoka tandale Hadi duniakukujuwa unaweza ilaogeza bidii mimisiwapendi wasani wanaijelia nataka unipigichini wote kwanza kuva hawakufikii
Simba
Mama. Nisawa. Ale. Matunda. Ya. Mtoto. Mama. Na. Mutoto. Wanafaa. Kwenda. Hijja
Penda sana mama Dangote huna baya ❤️❤️
5t55
Show yenyewe at aijachangamka kivile
Timu harm utawajua tu🤣🤣🤣
Eti kivilee haters hawakosagi
show imepoa sana
🤣ya kwako Iko wap
Chuki bi nafsii
Waonyeshe unaweza kuimba sio mikelele waonyeshe uwezo wako.ila vaibu likizidi tu unachizika unawacha kuimba unapiga mimakelele imba daimondi imba
Mbona akuna watu kiekiekie
Wanavyo mtetemekea huyo diamond utafkr ndo Mungu mtu
Wewe unae mtetemekea n nani ? HAMO
@@aishaz1 😂😂 weeee komaaa
Uchawi Sio mbaka upae na ungo nyokooo wewe wivu WA maendeleo Nao uchawi 😅
Anafanya waende chooni
Soma English BUREEEEEE ingia Official Teacher kasome
Ni kwa nini anamwaga maji kwenye shoo zake?au ndo kama Mwamposa?
Sasa hayo mafuvu yanini?
Amevaa t shirt yama shoga
Kwani diamond hanaga wimbo nzuri ku parfom nyimbo za wenzake ? Kama enjoy !! Sasa anapenda jux aimbe wimbo gani ? Ndomana naamini hata ku copy kwauyu wimbo diamond kausika.
❤❤❤❤