Mnasifu na kupongeza nini huku mnalalamika kupanda bei vitu vingi na maisha magumu ...kucheza mnacheza vizuri sana , si muwape watazamaji burudani muondoke zenu ?
Mama uwe mkali kwa kula FEDHA zetu wanatubabishia MAISHA KUWA mgumu,FEDHA hakuna,vitu bei JUU ajira hakuna hosptali dawa hakuna mafisadi wanauupiga mwingi kwa kula Pesa.
USHAURI RAIS WETU MPENDWA FANYA HIVI.MFANYAKAZI ABAKI KUWA MFANYAKAZI.SIO ANAKUWA MFANYAKAZI NA MFABIASHARA HATA VITABU VITAKATIFU VINASEMA HUWEZI KUTUMIKIA MABWANA WAWILI .KWANI UTAMWACHA HUYU UTAMTUMIKIA HUYU.HATA WIZI UTAPUNGUA.....HÀWO WASHAURI WAKO HAWAKUSHAURI VIZURI WANAKUPORISHA ILI UONEKANE HUFAI MALALAMIKOKILA KONA YA NCHI.USHARI WA BURE MAMA.
Mama inafanya vizuri,Wanakuharibia ni wachini yako,wengine mafisadi wakubwa nao wanaipiga mwingi kwa kwa kulafedha unazokopa.Kwanza jiulize,FEDHA unazo kopa Zinaenda Wapi?
Mara zote UKWELI HUWA UNAUMA KWA WANAO WAHUSU.MIRADI YA MILIONI WAANDIKIA MABIONI KWANI UONGO.MH.WAZIRI MKUU ALIGUNDUA NINI MSD.REPOTI CAG IMEGUNDUA MABIONI YAMELIWA WAMEFANYWA NINI,MSIBA ALISEMA KINANA AMEUZA MITAMBO YA MAGAZETI YA CHAMA AMERUDI TENA CHAMANI KAMA MSIBA MWONGO KWA NINI MSIBA HASHTAKIWI ?
Ujumbe imefika jamani kufa atufi lakini chamoto tunakiona kwa mfumuko wa Bei mungu atusaidie 😭😭😭tunamkumbuka. Magu aliwaeza kuzibit mfumuko wa Bei maisha yalikuwa afadhali👃👃
Ngoma nzur sana
Upo vzur👍
Ooh kumbe wanyramba ❤❤❤
ww Abdullah hamis Acha zalau nakaz za watu ebu imba na ww yako sema2 ukwel kua jamaa katisha ngoma kali saana
Waooo,mmetisha san kweny mauno ndo napenda san
My dady❤❤
Mnasifu na kupongeza nini huku mnalalamika kupanda bei vitu vingi na maisha magumu ...kucheza mnacheza vizuri sana , si muwape watazamaji burudani muondoke zenu ?
Imba wew 🎤🎶
Sikia wimbo huo hadi mwisho usikie na kuelewa .
😢wagogo hawachezagi Ivo,,, msiharibu michezo ya watu
Wanyaturu mko vzr sana❤❤❤
Hawa ni wagogo, sio wanyaturu
@@DicksonMsafiri-ig9xk oky sawa
Kaz zur sana hapa umeimba mwamva
Nimependa hapo tu kwenye miuno😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Nyimbozakisukuma
Naomba unifundishe
Wagogo hampendi ukweli na uwazi, mnapenda kujipendekeza, mnamwambia mwenzeny ameupiga mwingi ndiyo nn Sasa?. Achen kejeli.
Nyimbo swanu
Ngoma ya kijamii
Unyamaaaaaaah ✊👊
Mkambku agwe ulidodoma sehemchi
Safi sana
In a Lilaahi Wa Innaa Illayhi Raajicuun
Mkamba
🎉🎉
Mungu awabariki safi sana kazi nzur
Mh nyimbo za kigogo hazipo ivo
🎉❤❤❤❤
Masonenyi Mkwimba viswanu
Umetisha kijana uko vizuri
Njaa inakusumbua tu unachokiimba wala h
akipo
Acha wivu kijana. Yaani huoni wenzio wamejitahidi badala yake unaponda. huna heri wewe.
Hongera Nay WA MITEGO,Sauti ya WATU .Siku zote UKWELI UNAUMA.
Safii sanaaaaaa
Hongera dogo
Safi sana Vijana. Kazi nzuri.
Nakubleee San kaka
Bg
Daaaah nilikumis sana engine kaz nzuri xana
Engine mama anapiga mwingi
Nimekubali
Saaaafiiiiiiiiii mmemkusha mama yetu
Addareps
Nimefurahi sana wimbo mzuri san
Mama uwe mkali kwa kula FEDHA zetu wanatubabishia MAISHA KUWA mgumu,FEDHA hakuna,vitu bei JUU ajira hakuna hosptali dawa hakuna mafisadi wanauupiga mwingi kwa kula Pesa.
USHAURI RAIS WETU MPENDWA FANYA HIVI.MFANYAKAZI ABAKI KUWA MFANYAKAZI.SIO ANAKUWA MFANYAKAZI NA MFABIASHARA HATA VITABU VITAKATIFU VINASEMA HUWEZI KUTUMIKIA MABWANA WAWILI .KWANI UTAMWACHA HUYU UTAMTUMIKIA HUYU.HATA WIZI UTAPUNGUA.....HÀWO WASHAURI WAKO HAWAKUSHAURI VIZURI WANAKUPORISHA ILI UONEKANE HUFAI MALALAMIKOKILA KONA YA NCHI.USHARI WA BURE MAMA.
Safi
Mama inafanya vizuri,Wanakuharibia ni wachini yako,wengine mafisadi wakubwa nao wanaipiga mwingi kwa kwa kulafedha unazokopa.Kwanza jiulize,FEDHA unazo kopa Zinaenda Wapi?
Hii Ngoma ni hatari lakini salama ,wagogo bwana ulimswaano au nimekosea kusalimia ,mtanisahihisha tupo pamoja,
Hobaho gwee
Thanks no
🎉
Artist please
Zuchu kwikw
Inos b
😂😂😂😂
M ncf
Thanks so
Nahuku pia bonyeza hapo uone
ruclips.net/video/EzvK6hffcBE/видео.html
kasage mlenda wako huko usisumbue watu
Mara zote UKWELI HUWA UNAUMA KWA WANAO WAHUSU.MIRADI YA MILIONI WAANDIKIA MABIONI KWANI UONGO.MH.WAZIRI MKUU ALIGUNDUA NINI MSD.REPOTI CAG IMEGUNDUA MABIONI YAMELIWA WAMEFANYWA NINI,MSIBA ALISEMA KINANA AMEUZA MITAMBO YA MAGAZETI YA CHAMA AMERUDI TENA CHAMANI KAMA MSIBA MWONGO KWA NINI MSIBA HASHTAKIWI ?
Ujumbe imefika jamani kufa atufi lakini chamoto tunakiona kwa mfumuko wa Bei mungu atusaidie 😭😭😭tunamkumbuka. Magu aliwaeza kuzibit mfumuko wa Bei maisha yalikuwa afadhali👃👃
Safi