ALI KAMWE, umeongea kama mtu anaemuogopa ALLAH SUBHANAHU WATAALA, ila rekebisha jambo moja na Omba saaana ISTIGHFAR ili upige kwenye MSHONO kwa sababu pia wewe umetumia SILAHA KALI MNO kwa kusema..... " Wallahi wabillahi na mimi sintomsalimia tena". Kila Ukikutana nae .....Msalimie na mkumbatie. Wabillahi Tawfiiq
Ally hongera. Natamani watoto wangu wangekuwa kama wewe ni vijana lakini mhh Wacha tuhawapishi warembo Allah akujaalie na awabadilishe wanetu inshallahl
Ally nakushauri sijajua Imani yenu waislam ipoje Ila kwa sisi wakristo yatupasa tusamehe 7×70 kwa siku. Japokuwa Haji alikasirika kwa NB yako lkn mkionana we msalimie tu kiroho Safi, akijibu Wala asipojibu atajua mwenyewe na Mungu wake. Wewe timiza yakupasayo kutimiza. Wote tunamjua Haji alivyo anagombana na kila mtu, mchukulie ivoivo alivyo Kama ndo madhaifu yake koz hakuna aliekamilika apa Duniani,
Hongera Sana kaka ALLAH akuongoze unajitahidi Sana kuwa na msimamo sahihi ninaimani ALLAH ataongeza Imani yako sahihi Ushauri wangu kuwa makini katika kazi epuka haramu katika kazi kwani utafutaji wetu ni mgumu Sana kwani haramu Zina tufuata zenyewe cha mwisho usitishike na binadamu yeyote hata Kama ni boss wako hao wakina Haji wanajifanya wamesoma dini lakini ukweli ni kwamba hamna elimu ya dini kwa Haji kwa sababu eliyesoma ni yule aliye elimika peke yake asante Nina mengi ila Kama hutojali naomba whatsap namba yako tushauliane zaidi
MwenyeziMungu kakataza muislam kumchukia muislam mwenzie kwa kuapia kiapo kwa kumshirikisha mwenyezi mungu kuwa hutamsalimia Manara umekosea bwana mdogo jitafakari rudi kwa ALLAH
The way he talks…pure gold🙌🏾
Ally kamwe umetoa somo kubwa Sana katk maisha , Allah akuhifadhy na kukulinda
Nimeiyangalia hii vedeo kwasababu ya Aly Kamwe, unanispire sana Aly Kamwe kwenye uchambuzi na namna unavojibu interview zako. Congratulations🎉.
Unajibu vizuri sana Ally
Bwana mdogo mungu amekujalia upeo wa utambuzi wa mambo endelea na tabia hiyo
Mke mwenye hofu na Mungu sio hofu na mume iyo point kali sana
Mazungumzo sahihi kwa maadili ya kitanzania. Inafundisha jamii yetu
kamwe leo umetupa mawaidha allah akuongoze ktk njia ya sawa hdi kufa kwako nimejifunza mengi kutoka kwako
Aliy kamwe kama mwanangu kama unamjua mungu unatakiwa kusemehe kwa nn usimsalimie km kweli ww ni mcha mungu unatakiwa kusemehe
Ulijbu vzr sana hapo
Safi sana Ali kamwe una maono ya mbele nakupongeza sana.
Ally Kamwe is so wise kweli Mungu hana dini Mungu ni Mungu tu he talks about Godwisdom❤️❤️🙏
ALI KAMWE, umeongea kama mtu anaemuogopa ALLAH SUBHANAHU WATAALA, ila rekebisha jambo moja na Omba saaana ISTIGHFAR ili upige kwenye MSHONO kwa sababu pia wewe umetumia SILAHA KALI MNO kwa kusema.....
" Wallahi wabillahi na mimi sintomsalimia tena". Kila Ukikutana nae .....Msalimie na mkumbatie. Wabillahi Tawfiiq
Manara hana sifa za kiislamu, muongo mlevi na mchonganishi.Hayupo kwenye hiyo nasaha.Akifa hasaliwi sio kusalimiwa.
Ali hana kosa, labda amemvumilia sana amechoka,,manara ni munafikina
Ali Kamwe njoo Pemba uchague mke tutakupatia 💝💝💝
Ally hongera. Natamani watoto wangu wangekuwa kama wewe ni vijana lakini mhh Wacha tuhawapishi warembo Allah akujaalie na awabadilishe wanetu inshallahl
Ali kamwe uko vzr Allah akusimamie
Ally nimekukubali saaana bro uko vzr mno ktk kujieleza mungu akusimamie ktk misimamo yako duuh,
Broo Ally kamwe nakuelewa sana mungu akubaliki
Daaa akili mingi sna saluti kwak Ally kwamwe
Wanawake wenye mitako wakisikia wanaume wanaulizwa unataka mke wa aina gani,wakijibu wenye khofu na Mungu wananunaa😂
Nimecheka sana bro...
Hahaaaa😂
Nice conversation. Head with brain
Uko vizuri kaka
Anaetaka kujifunza akikusikiliza lazima ajifunze hongera sana
Nakubali Sana brooooo...akiri mingi mafunzo makubwaaa
Ali kamwe tofaut na soka hata maisha ya kawaida anajua kuchambuaaa
Haji mkorofi sanaaa,,sema anajificha kwenye mgongo wa hizi team mbili,,ipo siku yake na yy
Hongera
Congratulations to you alikamwe
Mimi Amina ., nina hofu ya mungu jmn Aliy...tena tutakuwa double A, 😅🙏
Kijana ukopoa sanaaaa umefunzwa nawazazi yani mwanamke unaemtaka hata mimi namtaka mwanamke wahivyo
Nimejifunza kitu Somo. Ususani swalazima la mke
Asante Sana umejibu vizuri Sana Baki na msimamo wako Alla ataendelea kukulinda
Ally Kamwe..safi sana
Pole broo huyo ndio haji katawaliwa na ubinafisi na rohombaya ndiomana kahama simba
Achana na jinga la taifa aly yule hamnazo
Daah
Ally nakushauri sijajua Imani yenu waislam ipoje Ila kwa sisi wakristo yatupasa tusamehe 7×70 kwa siku. Japokuwa Haji alikasirika kwa NB yako lkn mkionana we msalimie tu kiroho Safi, akijibu Wala asipojibu atajua mwenyewe na Mungu wake. Wewe timiza yakupasayo kutimiza. Wote tunamjua Haji alivyo anagombana na kila mtu, mchukulie ivoivo alivyo Kama ndo madhaifu yake koz hakuna aliekamilika apa Duniani,
Kwenye habari ya mke uko vizur mzee, unajua juu ya ao viumbe
Sound tu hizo 😀
Ali wewe nimuongo ulisema unaangalia mwanamke anaeshikika na sura sasa ivi Tena unataka mwenye hofu na mungu😅
safi sana
jamaa ulisema huongeagi uongo, ila hapa umeongea uongo. muwe na akiba ya maneno, unasema huna mpenzi hata mmoja lkn umekaribia kuoa
Hapo mwenyewe kanichanganya.
Et wanawake uliowah kudate nao tukiwaweka v.i.p A wanaweza kujaa??hili swal🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwandishi umetisha
Hongera Sana kaka ALLAH akuongoze unajitahidi Sana kuwa na msimamo sahihi ninaimani ALLAH ataongeza Imani yako sahihi
Ushauri wangu kuwa makini katika kazi epuka haramu katika kazi kwani utafutaji wetu ni mgumu Sana kwani haramu Zina tufuata zenyewe cha mwisho usitishike na binadamu yeyote hata Kama ni boss wako hao wakina Haji wanajifanya wamesoma dini lakini ukweli ni kwamba hamna elimu ya dini kwa Haji kwa sababu eliyesoma ni yule aliye elimika peke yake asante
Nina mengi ila Kama hutojali naomba whatsap namba yako tushauliane zaidi
Tunasubiri 4
8:5🔥🔥🔥🔥✌️
hapo anatutia sound
Kaongea kitu cha maana sana
Inatskiwa msameheane wote wawili
mustukoseshe muendelezo
Naomben mzitume video zote za mahojiano na Ally kamwe tunajifunza kupitia ayo mahojiano
Ally James nimekuelewa.sana.mdogo wangu unaongea sahihi sana
Ally kamwe
Mna zingua mna post video fupi sana
Naomba uwe mumewangu
Utasema kimtu kweli kinafki hiko
Naomba nitumie namba yako alikamwe
Hivi ulifikiria mara mbili kumtaja Ahmed Ally Kwa staili hiyo?,,,,nadhani ushamharibia Kwa familia yake!!
Z
Mbona suala la kuwatafuna watoto wa watu unazungukazunguka?
Kaka kamwe komaa uko poa xana
kamwe Mimi ni shabiki wako saaana
Ww km ni kicheche kicheche tuu usituchafulie Semaji letu
Semaji lenu Hana akiri yule
@@fredaboud7838 hahahaha..
Umri na umbo dogo akili mingi
Hapo katufunga kamba 🤣🤣🤣🤣
Kamba gani
KUMBE MNA BIFU NA MANALA
MwenyeziMungu kakataza muislam kumchukia muislam mwenzie kwa kuapia kiapo kwa kumshirikisha mwenyezi mungu kuwa hutamsalimia Manara umekosea bwana mdogo jitafakari rudi kwa ALLAH
Hofu ya ALLAH iko wp Ali? Na unatumia platform huko mitandaoni kwa kutangaza na kuhamasisha kamari, riba na mziki
Ulitaka ale wape
@@jasmineeomary2041 jasminee
Fact swali zuri sana ila wasio jua iman ikoje wataropoka kwa ufupi waislaam wengi wana uislaam wa kiswahili ila tauheed ni sifuri
@@jasmineeomary2041 kama wewe ni musilam ukiuliza swali hili ni ajabu sana