ONE ON ONE PART 3 NA ALI KAMWE: AHMED ALI ANAWAKE WAWILI/AMENIPONZA NAONAKENA NAPENDA WANAWAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 83

  • @saidaramadhan5963
    @saidaramadhan5963 Год назад +6

    The way he talks…pure gold🙌🏾

  • @allykingu6954
    @allykingu6954 Год назад +5

    Ally kamwe umetoa somo kubwa Sana katk maisha , Allah akuhifadhy na kukulinda

  • @frankaugustine2568
    @frankaugustine2568 Год назад +10

    Nimeiyangalia hii vedeo kwasababu ya Aly Kamwe, unanispire sana Aly Kamwe kwenye uchambuzi na namna unavojibu interview zako. Congratulations🎉.

  • @theclambiki110
    @theclambiki110 3 месяца назад +2

    Unajibu vizuri sana Ally

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o 10 месяцев назад +2

    Bwana mdogo mungu amekujalia upeo wa utambuzi wa mambo endelea na tabia hiyo

  • @bashirsalum6644
    @bashirsalum6644 2 месяца назад +1

    Mke mwenye hofu na Mungu sio hofu na mume iyo point kali sana

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 2 года назад +15

    Mazungumzo sahihi kwa maadili ya kitanzania. Inafundisha jamii yetu

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 2 года назад +13

    kamwe leo umetupa mawaidha allah akuongoze ktk njia ya sawa hdi kufa kwako nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Год назад +2

    Aliy kamwe kama mwanangu kama unamjua mungu unatakiwa kusemehe kwa nn usimsalimie km kweli ww ni mcha mungu unatakiwa kusemehe

  • @JacobGagir
    @JacobGagir 3 месяца назад +2

    Ulijbu vzr sana hapo

  • @renatuspeter9099
    @renatuspeter9099 2 года назад +11

    Safi sana Ali kamwe una maono ya mbele nakupongeza sana.

  • @mariamwaisaka8748
    @mariamwaisaka8748 Год назад +2

    Ally Kamwe is so wise kweli Mungu hana dini Mungu ni Mungu tu he talks about Godwisdom❤️❤️🙏

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 2 года назад +11

    ALI KAMWE, umeongea kama mtu anaemuogopa ALLAH SUBHANAHU WATAALA, ila rekebisha jambo moja na Omba saaana ISTIGHFAR ili upige kwenye MSHONO kwa sababu pia wewe umetumia SILAHA KALI MNO kwa kusema.....
    " Wallahi wabillahi na mimi sintomsalimia tena". Kila Ukikutana nae .....Msalimie na mkumbatie. Wabillahi Tawfiiq

    • @mahadshekh398
      @mahadshekh398 2 года назад +3

      Manara hana sifa za kiislamu, muongo mlevi na mchonganishi.Hayupo kwenye hiyo nasaha.Akifa hasaliwi sio kusalimiwa.

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Год назад +1

      Ali hana kosa, labda amemvumilia sana amechoka,,manara ni munafikina

  • @fatumaali4275
    @fatumaali4275 Год назад +1

    Ali Kamwe njoo Pemba uchague mke tutakupatia 💝💝💝

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Год назад +1

    Ally hongera. Natamani watoto wangu wangekuwa kama wewe ni vijana lakini mhh Wacha tuhawapishi warembo Allah akujaalie na awabadilishe wanetu inshallahl

  • @archipe1378
    @archipe1378 Год назад +1

    Ali kamwe uko vzr Allah akusimamie

  • @suleymanally1465
    @suleymanally1465 2 года назад +4

    Ally nimekukubali saaana bro uko vzr mno ktk kujieleza mungu akusimamie ktk misimamo yako duuh,

  • @eliusmakasi4103
    @eliusmakasi4103 Год назад +2

    Broo Ally kamwe nakuelewa sana mungu akubaliki

  • @mwendafrances7722
    @mwendafrances7722 2 года назад +5

    Daaa akili mingi sna saluti kwak Ally kwamwe

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Год назад +10

    Wanawake wenye mitako wakisikia wanaume wanaulizwa unataka mke wa aina gani,wakijibu wenye khofu na Mungu wananunaa😂

  • @nassirnassor7932
    @nassirnassor7932 Год назад +1

    Nice conversation. Head with brain

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 Год назад +1

    Uko vizuri kaka

  • @mankambise2000
    @mankambise2000 2 года назад +3

    Anaetaka kujifunza akikusikiliza lazima ajifunze hongera sana

  • @fredaboud7838
    @fredaboud7838 2 года назад +4

    Nakubali Sana brooooo...akiri mingi mafunzo makubwaaa

  • @championtv4581
    @championtv4581 Год назад +2

    Ali kamwe tofaut na soka hata maisha ya kawaida anajua kuchambuaaa

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Год назад +1

    Haji mkorofi sanaaa,,sema anajificha kwenye mgongo wa hizi team mbili,,ipo siku yake na yy

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Год назад +1

    Hongera

  • @championtv4581
    @championtv4581 Год назад +2

    Congratulations to you alikamwe

  • @aminasalim8708
    @aminasalim8708 Год назад +2

    Mimi Amina ., nina hofu ya mungu jmn Aliy...tena tutakuwa double A, 😅🙏

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Год назад +1

    Kijana ukopoa sanaaaa umefunzwa nawazazi yani mwanamke unaemtaka hata mimi namtaka mwanamke wahivyo

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 3 месяца назад +1

    Nimejifunza kitu Somo. Ususani swalazima la mke

  • @baluulada4884
    @baluulada4884 Год назад +2

    Asante Sana umejibu vizuri Sana Baki na msimamo wako Alla ataendelea kukulinda

  • @edomiteda5151
    @edomiteda5151 Год назад +1

    Ally Kamwe..safi sana

  • @makamelila
    @makamelila 2 года назад +3

    Pole broo huyo ndio haji katawaliwa na ubinafisi na rohombaya ndiomana kahama simba

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Год назад +2

    Achana na jinga la taifa aly yule hamnazo

  • @elizabethmathias8661
    @elizabethmathias8661 Год назад +1

    Daah

  • @davidbahati3748
    @davidbahati3748 Год назад +2

    Ally nakushauri sijajua Imani yenu waislam ipoje Ila kwa sisi wakristo yatupasa tusamehe 7×70 kwa siku. Japokuwa Haji alikasirika kwa NB yako lkn mkionana we msalimie tu kiroho Safi, akijibu Wala asipojibu atajua mwenyewe na Mungu wake. Wewe timiza yakupasayo kutimiza. Wote tunamjua Haji alivyo anagombana na kila mtu, mchukulie ivoivo alivyo Kama ndo madhaifu yake koz hakuna aliekamilika apa Duniani,

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 2 года назад +2

    Kwenye habari ya mke uko vizur mzee, unajua juu ya ao viumbe

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Sound tu hizo 😀

  • @Nasmaabdala-oz2su
    @Nasmaabdala-oz2su 21 день назад

    Ali wewe nimuongo ulisema unaangalia mwanamke anaeshikika na sura sasa ivi Tena unataka mwenye hofu na mungu😅

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 2 года назад +1

    safi sana

  • @hermanmkamilo939
    @hermanmkamilo939 Год назад +2

    jamaa ulisema huongeagi uongo, ila hapa umeongea uongo. muwe na akiba ya maneno, unasema huna mpenzi hata mmoja lkn umekaribia kuoa

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Hapo mwenyewe kanichanganya.

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Месяц назад

    Et wanawake uliowah kudate nao tukiwaweka v.i.p A wanaweza kujaa??hili swal🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwandishi umetisha

  • @selfambassador1638
    @selfambassador1638 Год назад +1

    Hongera Sana kaka ALLAH akuongoze unajitahidi Sana kuwa na msimamo sahihi ninaimani ALLAH ataongeza Imani yako sahihi
    Ushauri wangu kuwa makini katika kazi epuka haramu katika kazi kwani utafutaji wetu ni mgumu Sana kwani haramu Zina tufuata zenyewe cha mwisho usitishike na binadamu yeyote hata Kama ni boss wako hao wakina Haji wanajifanya wamesoma dini lakini ukweli ni kwamba hamna elimu ya dini kwa Haji kwa sababu eliyesoma ni yule aliye elimika peke yake asante
    Nina mengi ila Kama hutojali naomba whatsap namba yako tushauliane zaidi

  • @gerfasiamwingira4827
    @gerfasiamwingira4827 2 года назад +1

    Tunasubiri 4

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 2 года назад +1

    8:5🔥🔥🔥🔥✌️

  • @shedrackmbilinyi
    @shedrackmbilinyi Год назад +1

    hapo anatutia sound

  • @Karimuabduli2293
    @Karimuabduli2293 Год назад

    Kaongea kitu cha maana sana

  • @bernardsaguti9577
    @bernardsaguti9577 Год назад +1

    Inatskiwa msameheane wote wawili

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 2 года назад +2

    mustukoseshe muendelezo

  • @rammyvongarcia1056
    @rammyvongarcia1056 2 года назад +1

    Naomben mzitume video zote za mahojiano na Ally kamwe tunajifunza kupitia ayo mahojiano

  • @kakawane8822
    @kakawane8822 2 года назад +1

    Mna zingua mna post video fupi sana

  • @rizikially9535
    @rizikially9535 Год назад

    Naomba uwe mumewangu

  • @jj-nj7gg
    @jj-nj7gg Год назад

    Utasema kimtu kweli kinafki hiko

  • @renatuspeter9099
    @renatuspeter9099 2 года назад

    Naomba nitumie namba yako alikamwe

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад

    Hivi ulifikiria mara mbili kumtaja Ahmed Ally Kwa staili hiyo?,,,,nadhani ushamharibia Kwa familia yake!!

  • @JumaSundi
    @JumaSundi 8 дней назад

    Z

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад

    Mbona suala la kuwatafuna watoto wa watu unazungukazunguka?

  • @jameskorogo118
    @jameskorogo118 Год назад

    Kaka kamwe komaa uko poa xana

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 2 года назад

    kamwe Mimi ni shabiki wako saaana

  • @ibrahimbenedict1513
    @ibrahimbenedict1513 2 года назад +2

    Ww km ni kicheche kicheche tuu usituchafulie Semaji letu

  • @samgiant6905
    @samgiant6905 2 года назад +1

    Umri na umbo dogo akili mingi

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Год назад

    Hapo katufunga kamba 🤣🤣🤣🤣

  • @footballtv9988
    @footballtv9988 2 года назад

    KUMBE MNA BIFU NA MANALA

    • @mamapi9216
      @mamapi9216 Год назад

      MwenyeziMungu kakataza muislam kumchukia muislam mwenzie kwa kuapia kiapo kwa kumshirikisha mwenyezi mungu kuwa hutamsalimia Manara umekosea bwana mdogo jitafakari rudi kwa ALLAH

  • @sabrusule3714
    @sabrusule3714 Год назад

    Hofu ya ALLAH iko wp Ali? Na unatumia platform huko mitandaoni kwa kutangaza na kuhamasisha kamari, riba na mziki

    • @jasmineeomary2041
      @jasmineeomary2041 Год назад

      Ulitaka ale wape

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 Год назад

      @@jasmineeomary2041 jasminee

    • @thabitisimba1143
      @thabitisimba1143 Год назад +1

      Fact swali zuri sana ila wasio jua iman ikoje wataropoka kwa ufupi waislaam wengi wana uislaam wa kiswahili ila tauheed ni sifuri

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      @@jasmineeomary2041 kama wewe ni musilam ukiuliza swali hili ni ajabu sana