MITHALI 31:30 Upendeleo hudanganya, uzuri ni ubatili bali mwanamke amche Mungu ndie atasifiwa. Your blessed Mrs Paul. Paul wewe ni Kichwa. Ubarikiwe mno.
Dada Mungu azd kukutumia mana unaonekana unabeba huduma ya mume wako. Kristo azd kuwatunza na kuwatumia mzd kuchanua na kustawi ktk kusudi la Mungu. Nmejikut nakuappreciate san kupitia maneno yako nataman wengine wenye huduma kama hiyo waige mfano wenu. Kubwa kabsa May the Almighty hand of God protect you always 🙏😇
For the first time nimependa Interview ya Hizi online TV ni Leo, nimependa muuliza Maswali, Muulizaaji kwa maana Shemeji yetu Mrs Paul anavyojibu Vizuri, kwa Usahihi na kwa Weledi wa hali ya juu sana, lakini pia nimependa aina ya Maswali yameandaliwa vizuri mnooo. Keep it up guys..
Huyu dada ni combination ya Yesu na shule......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaaaaaaaa wewe jamaaaa bwanaaa it's very true kiukweli ila sijui kwanini comment yako imenichekesha sijui😆😆😆🙏
Kweli
Sio mtanzania
Nimekupenda sana Annah, Mungu aendelee kukupatia hekma na busara katika ndoa yako.
Uko vizuri mrs paul !! Unajiamin sana na unauwezo wa kujieleza pia
Majibu yako yameni Inspire dada.. Ubarikiwe Sana 🙏🙏🙏🙏🙏
MITHALI 31:30 Upendeleo hudanganya, uzuri ni ubatili bali mwanamke amche Mungu ndie atasifiwa.
Your blessed Mrs Paul. Paul wewe ni Kichwa. Ubarikiwe mno.
High capacity of thinking is good. Mke mwema anatoka kwa bwana
Poul hapa umepata mke, she is very active, smart, humble and spiritual
Mrs Paul Clement uko vizuri 🔥🔥🔥🔥
Dada Mungu azd kukutumia mana unaonekana unabeba huduma ya mume wako.
Kristo azd kuwatunza na kuwatumia mzd kuchanua na kustawi ktk kusudi la Mungu.
Nmejikut nakuappreciate san kupitia maneno yako nataman wengine wenye huduma kama hiyo waige mfano wenu.
Kubwa kabsa May the Almighty hand of God protect you always 🙏😇
safi sana 🙏ni mke na nusu barikiwe mtumishi wa Mungu
Dada una ufahamu wa Mungu na akili ya Kristo! Good interview
Nimekupenda saana Dada Mungu akutunze
Watching from Kenya with love and joy of the Lord
Very calm, cool, and collected.
Glory to God Dada umebarikiwa hakika
For the first time nimependa Interview ya Hizi online TV ni Leo, nimependa muuliza Maswali, Muulizaaji kwa maana Shemeji yetu Mrs Paul anavyojibu Vizuri, kwa Usahihi na kwa Weledi wa hali ya juu sana, lakini pia nimependa aina ya Maswali yameandaliwa vizuri mnooo. Keep it up guys..
Thank You so Much our brother
Uko sahihi mrs Paul,ukweli kaka paul anaimba nyimbo zenye mguso.kifupi anaimba vizuri.
Big up mrs P. Uko na confidence
Safi sana. Glory be to God
Blessed so much Mrs Paul🙏
Dada unafaa sana kuwa mama Mchungaji
My fav couple
Mungu Awabariki sana hapo.
Wise woman ♀️😘🥰😘
Be blessed mom💞
Hello, I like the content shared. Good work! However, sorry for this comment. The video is not steady. The camera person hajatulia.
My view!
Yesu akuongeze hekima km hiyo zaidi
Hakuna raha kama kuoa mke na akawa smart huna wasiwas anapoongea mbele za watu
Paulo umeokota dodo, hongera
Mama wa Taifa
keep up pazia your good work
Shikamoo Hekima ya Annah
Oooya we mwamba una v maswali vya uchokozi😂😂
❤❤
Unajibu Kwa hekima
Hivi hawa ndo wale wake wema utoka kwa Bwana
Saf sana
Huyu mdada lazima amewahi kushika namba moja darasani
Hahahahahahahaha jaman,dada Anaconfidence ya Hali ya juu.
@@agnescharles9746 umeonaeee eeh
🔥🔥🔥🔥🔥🙌
😍😍😍
Mtangazaji umezingua yani hujui kupangilia maswali, unauliza maswali ya kawaida sana hujajiandaa kwa maswali
Wanawake wachache walio km wewe
Pazia kuna maswali hujauliza!
Martha Baraka Ft Bahati Bukuku & Christina Shusho Wimbo wa ndoa
ruclips.net/video/YPdroiDXKjM/видео.html
Paulo umeokota dodo, hongera
Mungu awape mfunuo zaidii
❤️❤️❤️❤️❤️
♥️♥️