Maimamu wengi hulisahau hili - Sheikh Stambuli

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 23

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 5 месяцев назад +5

    Kalamu tv ,nawaapta vizuri sana❤❤ pia leo METULETEA SHEKH NA MCHAMUNGU KWANZA ANAADABU SANA,MNYENYEKEVU ..MASHEKH VIJANA WA SASA BAADHI YAO HAWATAKI KUJISHUSHA .TUNAWAPEND MASHEIKH WETU NA NAWAHESHIMU SANA ILA TUJIFUNZE KWA HUYU SHEKH

    • @husseinibrahim5438
      @husseinibrahim5438 5 месяцев назад +2

      MAY ALLAH REWARD YOU ABUNDANTLY SHEIKH STAMBULI ALLAHUMMA AMEEN

  • @guyogalora-gl2lu
    @guyogalora-gl2lu 4 месяца назад

    Assalamualaikum warahmatulahi wabarakatu

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 5 месяцев назад

    Mashallah

  • @KisimaniTimbersupplier
    @KisimaniTimbersupplier 5 месяцев назад +1

    Marshallah mungu akulinde na akuzidishie hikma. Unda kamati maalum kufanya restructure ya maendeleo ya ummah. Mzee mungu akupe umri mrefu

  • @coachmohamedmmiji6619
    @coachmohamedmmiji6619 5 месяцев назад +3

    Waaleikum salaam warahmatullahi wabarakatu. Shukran brother. Jazaakallah kheir

  • @eddymaphy
    @eddymaphy 5 месяцев назад +2

    Hapa lazima masheikh wajifunze kupitia hili darsa ni la umuhimu sana kwenye dini yetu na pia viongozi walioko mbele yetu na watakaokuja baadae yetu Insha'Allah,,
    Ni mafunzo mazuri sana ,pia nashukuru Alhamdulillah kuna mambo nimejifunza na mimi pia Mungu anizidishie umbri,uelewa mzuri,moyo wa kutoa ili na mimi ni wape wasiojuwa na kizazi changu Insha'Allah

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw 5 месяцев назад

    Barakah ALLAHU fiiqum hbbi

  • @YusufDaudi-v5f
    @YusufDaudi-v5f 5 месяцев назад

    Mashallah

  • @muadhibrahim6914
    @muadhibrahim6914 5 месяцев назад +1

    له من الله ما يستحق....

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 5 месяцев назад +1

    Wa'alaykumsalaam warahmatulahi wabarakatuh

  • @akimzeli5030
    @akimzeli5030 5 месяцев назад +1

    Naam

  • @aziza9093
    @aziza9093 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 5 месяцев назад +1

    Waleykum msalaam

  • @Asma-s4l3m
    @Asma-s4l3m 5 месяцев назад

    Sadaktha STAR

  • @YusuphRashidi-b1j
    @YusuphRashidi-b1j 4 месяца назад

    Sheikh yatima na maskini wasipopata ubinadamu kwa kusaidiwa watakua watu kindoki

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 5 месяцев назад +1

    Sheikh umeongea maneno mazito mno, maimamu wengi hawajitambui wao kazi Yao ni kuomba sadaka tu na kusoma Aya ya za vitisho za motoni, kuwatisha waislamu Ili watoe, kila siku mawazo Yao ni sadaka za ujenzi wa msikiti, misikiti haishi kujengwa, hawana wanachojua kuhusu uongozi, wao wanawakamua maziwa ngombe wasiowapa malisho.

    • @muadhibrahim6914
      @muadhibrahim6914 5 месяцев назад

      Huyo ni hodari wa kusema na Ali uza dini yake kwa dunia....
      Ukimfuata jiandalie kulipa khums kwa aali beytu kisra

  • @a.856
    @a.856 5 месяцев назад

    Jazakallah khayran

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 5 месяцев назад +1

    Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu

    • @muadhibrahim6914
      @muadhibrahim6914 5 месяцев назад

      Huyo ni wa kujibiwa
      Wa aleikum..... pekee

    • @Jingajinga64
      @Jingajinga64 5 месяцев назад

      ​@@muadhibrahim6914 kwa nini boss wangu? Nimekosea mahali?