Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
SIDE KAMASIDE apelekewe yake anapoishi sio mpaka afike hapo tunamuelewa
Safiiii bw Omari
Goood❤❤🎉🎉
Swahili ilikuwa pw sana kuitwa
Daaaah😂
Weldone Ommy.Who is Ommy's wife/girlfriend?Naomba kujua please
Hajawah kuwa nae
Ommy dimpoz ????? Duh
Bola angeweka ata m50
Kua na shukrani kwa kidogo
Mwingie aje aweke 50 au 100 kwa ommy uwezo wake kwa sasa ni hiyo tumshukuru
Hivi hayo mapete ya nini jmn
Mbona Salama anavaa hivyo? Ama pia yeye ameleft group??
SALAMA ni mwanamke bhna 😂😂
Kwan salama umeanza kumjua leo kuvaa hivyo....au ww katoto cha buku 2😊
SIMPENDI HUYO DADA SALAMA;ANAWACHOMA SANA VIJANA WANAOPAMBANA NA BSS;KWA NINI MUMEMUITA HAPO? ANA MCHANGO GANI? MFUKUZENI HUYO KENGE
Ana mchango mkubwa sana ndio maana unamuona hapo.
sasa wewe unataka ila mtu amridhishe ata km wa hovyo... em kua kifkira
Km kuna mdada jembe tn ana huruma hasaaa…na anajua hasa tn mkweli hasa bc ni salama❤km humpendi ni wewe
Hana huruma yeyote
@lucasmasumbuko2098 sasa huruma tena wakati pale watu hawajafata msaada ni kuonesha kipaji
Mchekeshaji bora wa mwaka ambapo tunatafsiri kuwa ndiye mshindi.Milioni 30 ni kiwango kidogo,Jitahidini kwa msimu ujao atleast isipungue 50m. Ili comedy ipande thamani zaidi ya hapa ilipo,Wadau wajitokeze,wawekezaji n.k.
Hiv ommy ni shoga?😢
Anajua mwenyewe
Eeeh ni shoga ulitakaje
@@David-p9c1e nilitaka nimfile
SIDE KAMASIDE apelekewe yake anapoishi sio mpaka afike hapo tunamuelewa
Safiiii bw Omari
Goood❤❤🎉🎉
Swahili ilikuwa pw sana kuitwa
Daaaah😂
Weldone Ommy.
Who is Ommy's wife/girlfriend?
Naomba kujua please
Hajawah kuwa nae
Ommy dimpoz ????? Duh
Bola angeweka ata m50
Kua na shukrani kwa kidogo
Mwingie aje aweke 50 au 100 kwa ommy uwezo wake kwa sasa ni hiyo tumshukuru
Hivi hayo mapete ya nini jmn
Mbona Salama anavaa hivyo? Ama pia yeye ameleft group??
SALAMA ni mwanamke bhna 😂😂
Kwan salama umeanza kumjua leo kuvaa hivyo....au ww katoto cha buku 2😊
SIMPENDI HUYO DADA SALAMA;ANAWACHOMA SANA VIJANA WANAOPAMBANA NA BSS;KWA NINI MUMEMUITA HAPO? ANA MCHANGO GANI? MFUKUZENI HUYO KENGE
Ana mchango mkubwa sana ndio maana unamuona hapo.
sasa wewe unataka ila mtu amridhishe ata km wa hovyo... em kua kifkira
Km kuna mdada jembe tn ana huruma hasaaa…na anajua hasa tn mkweli hasa bc ni salama❤km humpendi ni wewe
Hana huruma yeyote
@lucasmasumbuko2098 sasa huruma tena wakati pale watu hawajafata msaada ni kuonesha kipaji
Mchekeshaji bora wa mwaka ambapo tunatafsiri kuwa ndiye mshindi.Milioni 30 ni kiwango kidogo,Jitahidini kwa msimu ujao atleast isipungue 50m.
Ili comedy ipande thamani zaidi ya hapa ilipo,Wadau wajitokeze,wawekezaji n.k.
Hiv ommy ni shoga?😢
Anajua mwenyewe
Eeeh ni shoga ulitakaje
@@David-p9c1e nilitaka nimfile