DIAMOND Alivyo Mpokea ZUCHU HOTELINI DUBAI Utapenda ZUCHU Amkimbilia DIAMOND Amkumbatia Baby Nilikum

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 май 2024
  • #zuchu #diamondplatnumz #bongompyatv

Комментарии • 18

  • @joyhylton7901
    @joyhylton7901 Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤❤ zuchu and Diamond

  • @Chezue316
    @Chezue316 Месяц назад +2

    Hongera sana zuchu usiachie ndoa au penzi kwa ajili ya wapita njia hao wavuruga maji hawanywi hawaogi na wewe mondinhuyo bado mtoto acha kumtoa jaka moyo unatafuta nini umri huo? Tulizana na zuchu mtoto wa fani yako

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Месяц назад +6

    Waacheni wayafurahie maisha yao! Kila mtu ana mapito yake ya ujana! Wakati ukifika watatulia kama nyie!😂😂😂😂 Enjoy bana!❤❤

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga218 Месяц назад +5

    Ww unayemshangaa zuchu ,ungekuwa ww ungeweza kuvumilia? taasisi hiyo ys mapenzi na ndoa kiukweli kabisa haitakiwi kuingiliwa kimaamuzu ,ushauri labda waje wakihitaji wao ,usifike sehemu ya kumuona mwanadamu mwinzio anakosea hapana ,cha kufanya nikuwaombea tu wafikie kufunga ndoa kama bado maana hujui ,inawezekana ni watu wanaoishi maisha ys kuupendeza mwenyezi mungu ,

  • @habibaomarykiponda4036
    @habibaomarykiponda4036 Месяц назад +4

    Hawa wanapendana uwa tunaigiziwa tu

  • @sadathjuma3719
    @sadathjuma3719 Месяц назад +1

    Ukwel anao D

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k Месяц назад +1

    Sasa na ndoa Tena hakuna jamani, ni love as usual ok kila kheri

  • @user-vd3oc8nm2k
    @user-vd3oc8nm2k Месяц назад +1

    Huyu itafika sk atapigwa tukio na asisimamie karibu.

  • @user-th8bo9lu8n
    @user-th8bo9lu8n Месяц назад +1

    Kwanz tusha wazoea now hata haitushitui

  • @rayyahinay-hp7jf
    @rayyahinay-hp7jf Месяц назад +1

    Hv nyinyi watangazaji mbona mpo hivyo?? Nyinyi vp mnslipwa naona kila kukicha habar ndo hiyo, sijui kupokelewa watu wameshafika wengi na hata mara 10 na wengine ndio wanawazszi au ndugu huko sasa huoni aibu kutangaza hivyo???

  • @CyreneBinwa-yu6kr
    @CyreneBinwa-yu6kr Месяц назад +1

    Uruma sana nishida sana yani zuchu ameshindwa kuvumilia?

  • @priscaalex503
    @priscaalex503 Месяц назад +1

    Pole zuchu wewenimtoto Bado unamatukio mbaya Sana unajidharaulisha ungekaza ungeheshimika tu

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h Месяц назад

      N'interfère jamais dans l'amour des gens ;
      On ne dis jamais à quelqu'un de quitter l'homme qu'il aime ; jamais. Si le cœur n'est pas prêt rien ne se fera
      ZUCHU est une grande fille et sais très bien ce qu'elle fait
      Ma QUEEN Chérie I ❤ U .

  • @user-ok4jk7tk3d
    @user-ok4jk7tk3d Месяц назад +1

    Mondi hampendi zuchu hata akimuowa yuko kimasilai tu

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h Месяц назад

      Comme si tu étais dans le cœur de ce mondi 😢 toi qui fait l'avocat du diable 😢