Hongera sana zuchu usiachie ndoa au penzi kwa ajili ya wapita njia hao wavuruga maji hawanywi hawaogi na wewe mondinhuyo bado mtoto acha kumtoa jaka moyo unatafuta nini umri huo? Tulizana na zuchu mtoto wa fani yako
Ww unayemshangaa zuchu ,ungekuwa ww ungeweza kuvumilia? taasisi hiyo ys mapenzi na ndoa kiukweli kabisa haitakiwi kuingiliwa kimaamuzu ,ushauri labda waje wakihitaji wao ,usifike sehemu ya kumuona mwanadamu mwinzio anakosea hapana ,cha kufanya nikuwaombea tu wafikie kufunga ndoa kama bado maana hujui ,inawezekana ni watu wanaoishi maisha ys kuupendeza mwenyezi mungu ,
Hv nyinyi watangazaji mbona mpo hivyo?? Nyinyi vp mnslipwa naona kila kukicha habar ndo hiyo, sijui kupokelewa watu wameshafika wengi na hata mara 10 na wengine ndio wanawazszi au ndugu huko sasa huoni aibu kutangaza hivyo???
N'interfère jamais dans l'amour des gens ; On ne dis jamais à quelqu'un de quitter l'homme qu'il aime ; jamais. Si le cœur n'est pas prêt rien ne se fera ZUCHU est une grande fille et sais très bien ce qu'elle fait Ma QUEEN Chérie I ❤ U .
❤❤❤❤❤❤ zuchu and Diamond
Hongera sana zuchu usiachie ndoa au penzi kwa ajili ya wapita njia hao wavuruga maji hawanywi hawaogi na wewe mondinhuyo bado mtoto acha kumtoa jaka moyo unatafuta nini umri huo? Tulizana na zuchu mtoto wa fani yako
Waacheni wayafurahie maisha yao! Kila mtu ana mapito yake ya ujana! Wakati ukifika watatulia kama nyie!😂😂😂😂 Enjoy bana!❤❤
C'est très vrai ❤
Ww unayemshangaa zuchu ,ungekuwa ww ungeweza kuvumilia? taasisi hiyo ys mapenzi na ndoa kiukweli kabisa haitakiwi kuingiliwa kimaamuzu ,ushauri labda waje wakihitaji wao ,usifike sehemu ya kumuona mwanadamu mwinzio anakosea hapana ,cha kufanya nikuwaombea tu wafikie kufunga ndoa kama bado maana hujui ,inawezekana ni watu wanaoishi maisha ys kuupendeza mwenyezi mungu ,
Very correct 👌
Umeonae
Hawa wanapendana uwa tunaigiziwa tu
Ukwel anao D
Sasa na ndoa Tena hakuna jamani, ni love as usual ok kila kheri
Huyu itafika sk atapigwa tukio na asisimamie karibu.
Kwanz tusha wazoea now hata haitushitui
Hv nyinyi watangazaji mbona mpo hivyo?? Nyinyi vp mnslipwa naona kila kukicha habar ndo hiyo, sijui kupokelewa watu wameshafika wengi na hata mara 10 na wengine ndio wanawazszi au ndugu huko sasa huoni aibu kutangaza hivyo???
Uruma sana nishida sana yani zuchu ameshindwa kuvumilia?
Pole zuchu wewenimtoto Bado unamatukio mbaya Sana unajidharaulisha ungekaza ungeheshimika tu
N'interfère jamais dans l'amour des gens ;
On ne dis jamais à quelqu'un de quitter l'homme qu'il aime ; jamais. Si le cœur n'est pas prêt rien ne se fera
ZUCHU est une grande fille et sais très bien ce qu'elle fait
Ma QUEEN Chérie I ❤ U .
Mondi hampendi zuchu hata akimuowa yuko kimasilai tu
Comme si tu étais dans le cœur de ce mondi 😢 toi qui fait l'avocat du diable 😢