TAZAMA: SHARIF MUHAMMAD HASHIM ALIVYOMVAA KASSIM MAFUTA MBELE YA MUDIRI SHEKH SAMIRI SADIQ..........

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 95

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +2

    We shekh gani umeshindwa na beberu Huna ata ndevu moja

  • @salimakida95
    @salimakida95 Год назад

    Asante sayid muhamad hashim

  • @GharibAli-po6fp
    @GharibAli-po6fp Год назад +1

    Unasema hekima sio dini, msikilize Allah, ومن يءت الحكمة فقد أوتي خيرا كثيرا

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Aya inasema, aliopewa hekima kapewa kheri (sio kapewa dini), au wewe umetafsiri vipi?

    • @noorululaatv8973
      @noorululaatv8973 Год назад

      WAHABI NI VICHAA WALLAH

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Год назад

      ​@@noorululaatv8973masufi ni wazimu wakutupwa tena

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 Год назад +1

    Maa shaa Allah

  • @Mofaiz_11
    @Mofaiz_11 Год назад

    mashaallah maneno mazito sana shekhe wangu

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 Год назад

    IMEKUUMA SANA KUONA MASHEIKH ZETU KUPATA QABULI NA KULINDWA

  • @IddDafo
    @IddDafo 7 месяцев назад

    Shekh wap vidonge vyao

  • @abuunajat1164
    @abuunajat1164 Год назад +1

    Umeweza kumaliza mb zawatu njecheweyeee...! Pumba tupuuu

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 3 месяца назад

    MASHEKH WA KISUFI MTIHANI SANA,YAANI HOJA ZAO SIO QUR AN NA SUNNAH ZA MTUME S.A.W BALI NI VISA VISIVYO NA HOJA KABISA...SISI TULITEGEMEA KUSIKIA HOJA ZA KIELIMU KUMBE NI SOGA TU

  • @mawazoit8070
    @mawazoit8070 Год назад

    Allahu Akbar, ninapenda kuskiliza hoja za kielimu Ili kujifunza. Na hapa nliamini Kuna darsa kubwa kumbe ni hadith sawa na zile za alfu lelaulela

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      Mana hadithi ni nn tuambie tafadhali

    • @abdulysheky1057
      @abdulysheky1057 11 месяцев назад

      Stori

    • @abdulysheky1057
      @abdulysheky1057 11 месяцев назад

      Stori

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      Na hio hadithi si zimetoka kwa mtume s a w ila nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamsingizia mtume s a w hata hadithi hamuna tawhed tatu mumezitoa mtume s a w hajafundisha wala maswahaba hawajafundisha sasa mumezitoa wapi kama nyinyi si wanafik

  • @saidramadhan4516
    @saidramadhan4516 Год назад +1

    Hebu amkeni nyinyi masheikh wetu ALLAH AWAPE UFAHAMU MSHIKAMANE KWA PMJ MUHESHIMIENE MUELEWANE KTK KILA JAMBO.Huu mwendo mnaoenda siooooo!!

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      Mwendo aendao kasim mafuta wakutukana wanazuoni ndio sawa muogope Allah

    • @abdulysheky1057
      @abdulysheky1057 11 месяцев назад

      Kuwalingania watu kushikamana na suna kumbe nayo ni matusi?

  • @samorajama8833
    @samorajama8833 Год назад

    HAULI HAKUNA KATIKA UISLAAM
    NI UZUSHI

    • @Manimajura
      @Manimajura Год назад

      😅😅😅😅 dahh ebu someni kwanza kabla ya kupinga mambo

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Kwani HAULI maana yake kwa kiswahili nini? 😂. Ndio ndio hujui kiarabu ukaona na weye useme pia! 😀

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 Год назад +1

    Huyo sheikh na Maswahaba nani zaidi

  • @naasibabuu
    @naasibabuu Год назад

    mzee rudi katika Haki Allah atakupenda

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 Год назад +1

    Mawahabi mavi yamewabana wanahangaika tu

    • @abuunutsamuonlinetv2703
      @abuunutsamuonlinetv2703 Год назад +1

      Achaa bangi wewe sisi hatukati viuno na kuimba ngonjera kama unahoja unawasilisha mezani sio kulopoka

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@abuunutsamuonlinetv2703 hoja lete wewe mpingaji maana sisi tumetuliaa twasonga mbele. Mie nikikupa hoja wewe huwezi kujibu.
      Kama uaweza.
      Lete maana ya BIDA'A KILUGHA NA KISHERIA?. anza kujibu hapo tuanze kazi ikiwa wewe mwanaume kweli.

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Год назад

      Bora na sie tumebanwa nyie mmejunyea hasa mnanuka na waganga wote ni nyie had makafir wanatuchukia masufi hamna kitu 😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@saidimkwinzu9106 HAKUNA MTUME YOYOTE WALA MWANACHUONI YOYOTE HALAFU AWE SIO MGANGA. SASA WEWE SI MGANGA KWASABABU MUNGU HAKUJIBU DUA SASA UMGANGE NANI MWENZANGU 😂, KUOMBA DUA UKAJIBIWA HUJUI. MTUME SAW ALIPELEKEWA ZAWADI MAMBO MATATU
      1) MALI
      2) MWANAMKE
      3)MGANGA.
      MTUME SAW AKACHUKUWA MALI NA MWANAMKE, KISHA YULE MGANGA AKAMFUNDISHA TIBA ARUDI KWAO AKASAIDIE KWASABABU SISI WAISLAMU WENYEWE WAGANGA HATUHITAJI MGANGA. Au hiko kusa huijui?. Halafu mlivyokuwa wanafiki nyie MAWAHABI ndio wa kwanza kuenda kwa hao waganga mkizidiwa kisha kwa ujinga wenu mkubwa mkisema (MAMBO MENGINE SHIRKI LAZMA) YAANI mnamfanya Allah sw mambo mengine yeye hayawezi mpaka mumshiriki yaani kufru na matusi kwa Allah sw haswaaaa mnaona mfanye. Afazali sufi anafanya tiba kwa kuamini kuwa Allah sw ndio anaejibu kwa elimu alizotufunza. Kwshio sufi anajua sio shirki tiba na hapa siongelei washirikina (makafiri) wala wanaokwanga na kutoa watu vikoa (wachawi). Mie naongea waganga kama ulivyosema wewe.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      ​@@abuunutsamuonlinetv2703mezani hata kusoma hamujuwi mawahabi wapotoshaji tu

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze 11 месяцев назад

    Matapeli wa dini kazi kukazia nasaba😮

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 Год назад

    Mzee muongo uyuu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      Sema ww mkweli tukusikie mawahabi wapotoshaji tu na matusi ndio mwajuwa

  • @allycomm1553
    @allycomm1553 Год назад +1

    WEWE unahoja za kujibizana na qasimu mafuta!!?

    • @hafidhseif1686
      @hafidhseif1686 Год назад +1

      Sasa Mafuta Ndo Nani hahahah Aisee Kawaroga Mpaka Hamuoni Kitu Mafuta Km Kipofu Alieona Mwezi? 👂
      Mwambie Atowe Rukhsa Watu Wataka Kuja Pongwe Huu Mwezi Wa Tatu Sasa Hataki Kutoa Rukhsa

    • @ramadhanmbwana5718
      @ramadhanmbwana5718 Год назад

      Shekh kasimu mafuta ni mtu anahoja za kielimu mashaallah
      Pata faida kupitima maneno yake na ufafanuzi wake wa kielimu katika links nitakayo ituma

    • @ramadhanmbwana5718
      @ramadhanmbwana5718 Год назад

      HAPO UKISIKILIZA NDIO UTAMJUA NI NANI
      MASHAALLAH KAWEKA WAZI SANA MAMBO KIELIMU

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Год назад

      ​@@hafidhseif1686Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, habiib afwan naomba nifahamishe vizuri, sheikh sameir ALLAH amuhifadhi anataka kwenda pongwe kwa niqaash lkin wao ndo wanakataa sio? Naomba nisaidie kufaham sayyidy WALLAH ntafurahi sana mana mawahabi wanamuona kama ndo hakuna zaidi yake

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 Год назад

      Kasimu mafuta ni kasuku tu kama kasuku wengine

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Год назад +2

    Kwahio faradhi uwe na ndevu ukubwa gani ili usipate dhambi!?. Pili. Kuna wanawake wanaota ndevu jee wafaa watoe khutba msikiti mwenu mawahabi?

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Год назад

      Ushasema wanawake mtume Swalla llaahu alayhi wasallama amesema punguzen mashurubu muache ndevu nyie mnanyoa vyote manakua weupeeee hiyo ni sunna ya nan

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@saidimkwinzu9106 Mtume saw aliposema tupunguze sharubu na tuache ndevu ujue kwanza hii ni sunna na haina tawkiid. Na lapili. Mekuuliza swali ungelijibu. Jee Mtume saw amesema tupunguze sharubu zibakie urefu gani na ndevu tuziwache mpaka urefu gani?. Kama Mtume saw hakuweka kiasi basi wewe usiwaekee watu kiasi. Kuna maswahaba walikuwa wana videvu kidoocho tu kama kisa ya swahaba aliokuwa akitia udhu na malaika wanafurahikia. Hakugombwa kwa kuwa ndevu zake ni nduchu. Wewe kama nani ugombe watu. Na aliponyoa ndevu hakuambiwa kakufuru ila tu Mtume saw ndio akampa kisa alichokuwa akicheka juu yake, hakuambiwa kakufuru wala kapata dhambi. Akiwa Mtume saw hakusema hivyo wala hakumuingiza motoni, JEE NYIE MAWAHABI NA SUNNA ZENU ZA NDEVU NA KUKATA KANZU NA KUVAA KIPUPUTA HUKU ROHO ZENU CHAFU NA IBADA HAMFANYI NATEGEMEA PEPO GANI?

    • @KASSIMFUNDSIMU
      @KASSIMFUNDSIMU Год назад

      Kazi ya watu wa bidaa ni kuchukua mifano isio endana na kukwezana

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад +1

      @@KASSIMFUNDSIMU hata wewe unafanya BIDA'A lakini bahati mbaya hujui maana ya BIDA'A

    • @jumaa052
      @jumaa052 Год назад

      @@saidimkwinzu9106 alhabib kwani kunyoa ndevu zote ni dhambi

  • @مبغضالبدع-ع9ص
    @مبغضالبدع-ع9ص Год назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂 kuna mambo mengine ni kucheka tu, wewe mzee kidevu kama embe mwanzo kafuate sunna ya ndevu... kisha uongee mbele ya waume!!! Tuna ndevu zetu waume wewe unasema nini mbele yetu!!!
    Alafu wazee wa mkahawa kaa uskilize wasomi wacha kelele!!! Makhurafi mnaweka wazee wa mkahawani waongeee 😂😂😂😂😂😂...

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад +1

      Ndo mlivyo fundishwa mtu kama Hana ndevu hajafuata sunna

    • @hafidhseif1686
      @hafidhseif1686 Год назад +1

      Sasa Ndevu Ndio Dini Hata Mayahudi Wanafuga Madevu Saa hii Kama Kufuga Ndevu Ni Kwenda Kinyume Nao Saa Hii Wazayun Wanafuga Madevu Sasa Tufanyaje?
      Someni Enyi Mawahabi Acheni Kubebeshwa km walokole

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@hafidhseif1686 hata mwanamke anaeota ndevu anafaa kutoa khutba msikiti wa mawahabi kwasababu mawahabi wanaitakidi kuwa tofauti ya mwanamme na mwanamke ni kuota ndevu 😁. Kwahio mwanamke mwenye ndevu kwa mawahabi huwa anaoa na haki zake kama mwanamme. Kwao asioota ndevu hawezi kusalisha wanamuona mwanamke. 😁. Yaani hio ndio Qur-an yao na sunna yao, mtihani kweli kweli

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

      Waume wakiongea kaa kimya kidevu taa wewe 😂😂😂😂😂 waume simba tukiongea unakaa pembeni...​@hafidhseif1686

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

      ​@@tanzaniaonmzamiloon8627 weee nenda kamsome mtume swalla llahu aleihi wasallam ujue alikuwa vipi sura yake! Sio mnacheza chakacha mbele ya waume na kidevu embe na waume wanakutizama.... ndio mana mambrui huku kumejaa watu wa ajabu sababu ya mambo hayo!!!
      Na waume wakiongea mnakaa kimya nyinyi... simba wakinguruma mnakaa kimyaaa....

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Год назад

    Acha uongo na polojo

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      Uwongo upi hemu sema ww ukweli tukusikize kama ww nimkweli ama ni upotofu

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Год назад

    Hao kina maftaa si ndio waalimu zao hawa mnao wakataa kusoma ni kufahamu sio ubishi mawahabi ufaham ni mdogo kwa walio wengi wao wanafata akili zao

  • @issarashidiferuziferuzi9201
    @issarashidiferuziferuzi9201 Год назад

    Kuwa na hekima ndefu sio dini sheikh mnapata madhambi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад

    ENYI MASUFI NI MITIHANI KWA BID'A MNAZITETEA NA KUZIFANYA NI IBADA!
    YALE MTUME ALIYOYUACHIA NYIE MMEACHANA NAYO!!

  • @saadayoub7179
    @saadayoub7179 Год назад

    Mbona anamuita Samir kavu kavu kwani sio sheikh ?

  • @HdMshighaty
    @HdMshighaty 2 месяца назад

    muong.shehe.wako.mafutaha.kwaza.kasom.tamta.huko.kafwata.umwiny.na.pesa

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 Год назад +1

    Mi cjamuelewa huyu mzee naona achekesha 2, kweli dini imeingiliwa hata swala ya safari pia huijui mpaka watu waswali jamaaa.
    Acha kuchekesha mzee utakujakuulizwa kesho mbele ya Allah.

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Год назад

      Siku zote nyny tu ndio mnajua dini hio ndio shida yenu, mnachofaham chengine ni kuongeza maneno na kupotosha

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 3 месяца назад

    Wewe SUFI unasoma ngapi? yaani watu wa B'DAA ni watu wa maneno matupu yasio na hoja?

  • @samorajama8833
    @samorajama8833 Год назад

    Sasa mtu akiongea maneno ya kujiaminisha na moto asiokolewe
    Acheni maha na jahannam
    Sheikh Samir
    Atakiwa ataraajaa