SIMBA WAMEFANYA KOSA LA KIKANUNI KUMSAJILI AWESU AWESU WANATAKIWA KUPEWA ADHABU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 7

  • @drallan6879
    @drallan6879 Месяц назад

    uyanga WA lugano

  • @amanisalum1638
    @amanisalum1638 Месяц назад

    Huyu Lugano.Kuna kitu anakitafuta

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 Месяц назад

    Hufai kuhoji wt unaukereketwa wakiutopolo inaonekana unaumia awesu kwenda simba

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    Sasa huyo akimhoji magoma madunduka mnafurahia lakini anavyomhoji huyo mnaona uchungu, ,makasiriko na matusi juu. Hivyo kila kitu ni sahihi kwenu tuu?

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 Месяц назад

    Ww muandishi nimshamba wa utopolo ww unao ushahidi peleka kusibitisha maanana unalazimisha unavyotaka ww

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Месяц назад

    Lugano chuki zako usilazimishe kuwa Simba katoa pesa ulikuwepo?

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Месяц назад

    Hivi wewe Lugano matusi mliyowatukana Simba wewe na Beni bila kuwasikiliza wakishinda hizo kesi na wakawashitaki kwa kuwachafulia brand mtasemaje?