ALICHOKISEMA 'SUGU' BAADA ya KURUDISHA FOMU ya UBUNGE MBEYA MJINI.....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 авг 2020
  • ALICHOKISEMA 'SUGU' BAADA ya KURUDISHA FOMU ya UBUNGE MBEYA MJINI.....
    ALIYEKUWA Mbunge Wa Jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Joseph Mbilinyi “Sugu” amepitishwa kuwa mgombea Ubunge kwa mara nyingine baada ya kukidhi vigezo viliyowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
    Sugu amerejesha fomu za uteuzi mapema hii leo kwenye ofisi za Tume na kupokelewa na Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Mbeya la Mjini Amede Ng’wanidako ambayae amezikagua na kukiri kuwa zimekidhi vigezo.
    Tofauti na wakati wa kuchukua fomu leo hii Sugu amerejesha fomu hizo kimya kimya bila kuwa na maandamano huku akiambatana na viongozi wachache wa chama chake.
    Na mara baada ya uteuzi huo Sugu ameishukuru Tume huku Msimamizi wa Uchaguzi Ng’wanidako akimtakia maandalizi mema ya kampeni za uchaguzi.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 64

  • @helenibe9339
    @helenibe9339 3 года назад +4

    Yaani sugu ni motto chini anajiamni kuliko hata maprofesa wa chou kikuu sijui angesoma ingekuwaje !! Please 5 more years for Sugu oho tunamuita Sugu keep it up bro.

  • @hizim6699
    @hizim6699 3 года назад +4

    Sugu bhan
    Sera zako sasa za kufukuza mwizi tari sana

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 3 года назад +4

    Sahihi kabisa, hongera KIONGOZI na Rais wangu wa Jamhuri ya Watu wa Mbeya.

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai3530 3 года назад +3

    Tulia kimavi tu,sugu kamgaragaze hana jipya pimbi tu yule,Chadema woyoooo,ccm nzi wa chooni kanyaga baba hamna cha tulia wala nyamaza hapa.

  • @jamessolomon258
    @jamessolomon258 3 года назад +10

    Mbeya prezdar

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 3 года назад +2

    Sugu bwana eti kukimbiza mwizi kimya kimya aise umenifurahisha uko vzr

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi6948 3 года назад +2

    Ila jana hawa wenye jezi waliboa sana watu maandamano toka soweto_mjini wangekuwa wapinzan spati picha

  • @michasonjudge7348
    @michasonjudge7348 3 года назад +2

    Ahsante sana sugu

    • @kennethemmanuel216
      @kennethemmanuel216 2 года назад

      i realize Im kinda off topic but do anybody know a good website to stream new series online ?

  • @hijakisoro5376
    @hijakisoro5376 3 года назад +5

    Du! Jamaaa!

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese6128 3 года назад +4

    Kutii sheria na mzuka ni vitu viwili tofauti hapo naona umekomaa. ila kwa hapa mbeya bro tafuta kazi nyingine mama anatisha. yaani jipange sana ukicheza tu tafuta draft na jiko la kahawa.

    • @justice607
      @justice607 3 года назад +1

      😂 😂 😂 Mama hataki miwani ya kula dawa, mama iz really, Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin, 2020 twende na JPM

    • @danielmwampepu3934
      @danielmwampepu3934 3 года назад

      Ile mihotel akuachie wewe?

    • @fabiolapanga8680
      @fabiolapanga8680 3 года назад

      Sheria ipi hiyo?

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 3 года назад +3

    Leo no miwani dadeki

  • @habibaathuman9239
    @habibaathuman9239 3 года назад +8

    Pga kelele kwa chadema akeee weweeeeeeeeeeee

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi7651 3 года назад +2

    Ok kapige KAMPENI ya kuaga bunge

  • @ayubungombe2128
    @ayubungombe2128 3 года назад +1

    Usjali

  • @lupastarentartainment7144
    @lupastarentartainment7144 3 года назад +6

    √√√√√

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 года назад +2

    Do!!!!!

  • @ibrahimmwanza6162
    @ibrahimmwanza6162 3 года назад +2

    Jongweeeeeeee

  • @abdullakhamis792
    @abdullakhamis792 3 года назад +3

    Ww ndie sugu ,sugu kwe na tuna kukubali sugu

  • @Tanzaniawildcats
    @Tanzaniawildcats 3 года назад

    Sawa Mkuu

  • @shomarykhamis9711
    @shomarykhamis9711 3 года назад +5

    Hakuna wa kukutoa Kamanda hpo,hata tukiweka jiwe,labda watumie nguvu zao, za dola,

    • @justice607
      @justice607 3 года назад +1

      😂 😂 Amka wewe ucnziae, mtapata tabu sana hizi zama

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 3 года назад +1

    Lazima tumalize kazi maisha ya kijani ni mtihani kila kitu nisiri maisha hayaeleweki nchi haina mfumo ambao wananchi wanakuwa nauhakika wa sheria zao wenye mamlaka wanajiona wameimliki nchi mwanahi harusiwi kuhoji maisha ya maendeleo ya nchi hata kama inaonekana kuwa hawatendi mema viongozi wamekubatia dhuluma hku wakitaka waobewe duwa kwenye dimbwi la dhuluma.

    • @justice607
      @justice607 3 года назад +2

      Wewe limbukeni tulia maandamano utaenda wewe na viongozi wako siku ya matokeo, cc vijana hatudanganyiki, kumtumikia beberu no!, kutetea ushoga no! Cc kasi yetu ni Tz isonge mbele tuione kesho iliyonjema, hata kiguru akipata awezi kukupa maisha unayo yataka zaidi ya kukuletea wakoloni nchini kuja kutunyonya, hana sera makini, wangetupandishia Nyalandu tungeshawishika, saiv mnapinga maendeleo hatutaki, tumechoka nguvu tulioitoa 2015 ilitosha, 2011 ndug zetu wakafa kisa tunahitwa makamanda, tunaletewa vita vya maji maji, viongozi wote wa CHADEMA kule Arusha waligeuka Kinjekitile Ngwale mpaka hatuoni msaada wowote wa hiki chama kwa vijana, mwambie lisu tumechoka kudanganywa, ni kheri hata ccm imefanya tukaona, sera zake hazina mashiko🤘🤘🤘✌️✌️✌️Mtuhache na ccm yetu, Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin, 2020 twende na JPM

    • @bernardndemba2253
      @bernardndemba2253 3 года назад

      Prince achana naye huyu mbululu Ana lalamika Kama demu .mpuuzi huyu

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 года назад +1

      EE mungu neno moja nimelitaka kwako kwanza Asante kutujalia kijani tangu UHURU hadi Leo nchi yetu ni kijani Asante baba mwamba wetu Mungu wangu kweli tunakukosea lkn usitukasilikie ukatupeperushia bendera yenye damu Tanzania baba ikome kabisa damu ktka jina lako tukufu AMINA

    • @peterjohn1969
      @peterjohn1969 3 года назад +2

      Katika mtu mtumbavu kuliko chadema yenyewe niuyu jamaa yani yeye ua nikupingatuu ataukweli yeye anaona niuongo nauongo anaeuongea yeye kwake ndoukweli 🤔

    • @peterjohn1969
      @peterjohn1969 3 года назад +1

      Uyu jama kwamfano ange kua dem alafu nimzuri kama malaika sio wakumuoa kwajinsi kichwani kulivyo kua amna kitu atabule sioi ninge muacha awe mzigo kwa mama yake.

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 3 года назад +6

    SEMA UMETIISHERIA, SIO HAMKUA NA MZUKA

  • @mercyemmanuel8536
    @mercyemmanuel8536 3 года назад

    Unachekesha kweli ngoja wapuuzi wakupe moto hivyo hivyo....mapemaaaa asubuhi kfoi cha mende ata kwa gori la mkono.....

  • @mussamohamed7718
    @mussamohamed7718 3 года назад +8

    We ni jembe labda watumie policcm kumweka binti wa magogoni

  • @depaolo3461
    @depaolo3461 3 года назад +4

    😂😂😂 wamekunyoosha.. andamana Tena upigwe Tanganyika jeck ya nguvu

    • @justice607
      @justice607 3 года назад

      Hii ya sasaiv anaenda kupigwa na mama Tulia.

    • @fabiolapanga8680
      @fabiolapanga8680 3 года назад

      Uonevu tu mbon tulia alienda kwa maandamano na hakusumbuliwa?

    • @justice607
      @justice607 3 года назад

      @@fabiolapanga8680 yule si ndio mbuge

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 3 года назад

    Jipe moyo tuu lkn una wakati mgumu sanaa,mbeya umeifanyia nini? Kipindi cha miaka kumi mimi kama mkazi wa mbeya bado cjaona unaturetea mambo ya mpesya

    • @ignusndale2919
      @ignusndale2919 3 года назад

      Ila kuweni wakweli Wana mbeya kwa miaka kumi ya chadema Kuna Mambo yameonekana sugu bado anaheshima yake pale mbeya

    • @fabiolapanga8680
      @fabiolapanga8680 3 года назад

      Pole yako

    • @brightonbeka3081
      @brightonbeka3081 3 года назад

      @@ignusndale2919 amekufanyia wewe maana misijaona zaidi yauhuni wake

  • @athumankigomba427
    @athumankigomba427 3 года назад +2

    Sugu katafute kazi ya kufanya unajipya pumbavu Elimu yenyewe una Mseramavi umepataubunge kwavichaa wenzako

  • @felistamaembe4895
    @felistamaembe4895 3 года назад

    Hakuna Matanzania ambaye hamkubali Tundu Antipasi Lissu tatizo watu wengi wanawaogopa watu wasiojulikana ambao wako wengi sana wamezagaa nchi nzima. Baada ya Magufuli kuingia madarakani aliwafukuza Wafanyakazi 15,008 kwa visingizio vya kuwa na vyeti feki. Badae aliwaajiri "WATU WASIOJULIKANA" takribani idadi hiyo hiyo wengi wao wakiwa vijana wa Kabila lake la KISUKUMA kutoka Kanda ya Ziwa. Hivi kati ya Magufuli na Tundu Lissu nani ni rafiki wa karibu na mnaowaita "MABEBERU". Magufuli anaechukua mikopo na misaada kutoka nje au Tundu Lissu aliepigwa risasi akapelekwa Kenya hajijui na Ubelijiji baada ya kupata nafuu. Serekali ya Magufuli ilijipambanua kuzungumzia "USHOGA" mpaka Makonda akazuiliwa kusafiri kuingia nchi kama Marekani. Walipokaribia kukosa misaada toka Marekani wakafunga midomo na kupokea fedha hizo eti za kuwajengea Wasichana shule na nyumba za kulala. Leo hii wanamgeuzia Tundu Lissu kibao wanamwambia arudi kwa MABEBERU ilihali wakijua yeye ni Mzaliwa wa SINGIDA.

    • @justice607
      @justice607 3 года назад

      Mwambie Tz tumezichoka siasa uchwara za kibaraka, na wewe Huna hoja inayojitosheleza kumtetea huyo kiguru.. Ccm ndio Habar ya mjin bhana, 2020 twende na JPM

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 года назад +2

      Mzaliwa wa singida? KASHAWAHI kuwaambia wa singida kama wazungu tunawadai fidia za babu zetu waliyoteswa na wakoloni? Yy kazi yake kuwaambia wananchi wazungu Wana tudai wazungu Wana tudai kazaliwa singida? Mbona ndege iliyonunuliwa na kodi za wa TANZANIA masikini wakiwemo ni wa singida alishawishi wazungu Wai kamate? Kazaliwa singida mbona makinikia alitetea yaende uzunguni hadi alifikia hatua ya kuwa danganya Wana nchi ni makapi alafu wazungu wakaja kuyajadili yakageuka madola baada ya Magufuli kuyashikilia? Amalize kushangaa TZ ya Sasa Kisha arudi uzunguni anako watetea

    • @meddymushimaz4998
      @meddymushimaz4998 3 года назад

      Tunazingojea sera za ushoga kuzisikia kwenye majukwaa, naisi bado tutahoji juu ya hii sera ili kuwasaidia chadema msije kuingia mkenge mkauzwa kwa wazungu bila kujua, huyo bwana hii sera aliitangaza mapema sana nasisi ni wazuri wa kubaki na kumbukumbu.

    • @justice607
      @justice607 3 года назад +1

      @@jenyyusuph4973 huyu katumwa kabaki na story za dunia inaitazama Tanzania, sijui anamtisha nani Akati watanzania wanajitambua, anafikria amekuwa lowassa 2015 hawezi kutukusanya huyo mafuriko yamehacha mkondo kitambo sana baada ya kukutana na bulldozer, tingatinga, tobiko ccm tobiko, 2020 twende na JPM, Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 3 года назад

      Dio maana wanakushukia JPM kobora,jiwe aliwafukuza na hizi vyeti feki vienu mnabaki hoi akawafungia shimo zote ya ufisadi mtambaki tu kulalamika tafuteni kazi ya kufanya,lissu hatowaidia chochote sahizi

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai3530 3 года назад +2

    Tulia kimavi tu,sugu kamgaragaze hana jipya pimbi tu yule,Chadema woyoooo,ccm nzi wa chooni kanyaga baba hamna cha tulia wala nyamaza hapa.