Johari Rotana: Hoteli mpya ya Nyota 5 iliyofunguliwa Dar es Salaam, Inavutia, ni BALAA!
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Dar es Salaam imepata mgeni mpya, hoteli ya nyota tano iitwayo Johari Rotana. Macho yako hayatokudanganya uzuri wa hoteli hii iliyopambwa kwa nakshi za kuvutia.
Ikipatikana katikati kabisa mwa jiji Dar es Salaam, Posta, Johari Rotana inakupa uoni kamili wa jinsi bahari ya Hindi inavyovutia kwa kutazama meli zikipishana kuingia na kutoka kwenye bandari ya Dar es Salaam. Johari Rotana inakupa tafsiri halisi ya bandari ya salama.
nice tz
Zuri xana Mimi kama hoteliya naomba kazi
Vipi imeshafunguliwa? Maana ilifungwa
Ina vyumba miambili na aaa na sio miamoja 156...
Yakawaida mbona
Mnapokea wanafunz wafrid
Inapendeza san ila wengi bahaz yetu tunaona kwamacha labr ukitembelea sehemu yamtaa ule najengo ilo ila ndani auta ingia piya kuna wengine wameishia kusikia watu wakiongelea kuna wengine watasikia mitandaon aswa yan na ist
Inaanzia laki 5 na elfu 30 per night. Iga ufe
Woow MashaAllah nimekuwa wa kwanza, hongera kwa hotel nzuri, can't wait to visit there
Bei zake
Lazima nije nilale hapo sh ngapi wow makufuli huyu ana mchezo mchezo so nice ongera tz tupanda juu kila siku
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥wezangu na mimi tutaishiaa kuona kwa macho
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pesa ya kulala hapo kwa mwenzangu na mie unanunua kiwanja mbondole
wenzako na wewe ni watu gani hao na mbona una ongea kama mtu alie kata tamaa asie na matumaini yoyote juu ya siku za husoni?
chamsingi kufahamu nikua madam una ishi una weza kua chochote uki taka lakini pia uki mtanguliza na ku mwamini mungu
No
Wakwa naomba like zangu jamani
Hii ndo tanzania mpya ya maguful bhana
Jaman mbona Raha sana Embu baby wedding yetu twende hapo 👌👌
H@ya jmn pesa zao🏃🏃🏃
Jamani togwa mbona hakuna kuna vyakula na vinjwaji vya kigeni au mwataka kuweka nini cha kiasili basi mbege iwepo
Hummmm pazuri sana. 😊😊🏩
Maa shaa Allah Bola wajee tu wageni wabadirishee nchi 😍😍😍😍😍
Shingap kwa kulala usiku mmoja
So beautiful soon ntakuwa mgeni wa hapo Kwa kweli 😍🤝
👏👏👏👏
Nzuri atali nilikuw naitaj kz mm nip vizur kweny sect ya House keeping
Kuna watu watu wao wameisha Enda kuwa train kwenye hotel zao zilizoko nje YA nchi ili wajue namna wanatakiwa kutoa service
Shingap kwa kulala siku moja
What's background sound in this video???
Hakuna nafasi zakazi
MashaAllah
My dear wife panatosha kwa honey__moon..?
Jamani pazuri sana shingapi hotel
Km vile hatufii jmni daah pazur sana
Hoteli Bab kubwa sana
Very awesome Hotel
Bala mamamamamam
Duh bei yake sasa
Very awesome Hotel
Mjini patamu
Hiteli na nusu aisee🔥🔥
Woow nice
Mashaallah
💥💥💥💥💥💥
Kuuliza tu japo niko nje ya mada: Huko kwenye 40 kunaendaje mbona ziii🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi nimeweka bundles za kutosha ili nisipitwe ila mpk sasa sion notification yoyote
Kuna pesa yako ilienda huko?
@@freelancer6368 Tena nyingi sana🤣🤣🤣🤣🤣
@@feisalbaruan7227 Toka asubuhi niko na cmu lkn ziiiii🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Masha Allah