GOBOLE LA URITHI - 18 (Season II) SIMULIZI ZA MAPENZI NA UPELELEZI BY FELIX MWENDA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 62

  • @user-tv6ii7pc4z
    @user-tv6ii7pc4z Месяц назад +5

    Wakina Raphael umepeta dawa yao ukicha mwana kulia utalia mwishowe 😂😂😂 governor tuone Sasa pumbavu🤣🤣🤣

  • @emmanuelmwatujobe8450
    @emmanuelmwatujobe8450 Месяц назад +6

    Mapema sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Ay.atowncityAbuubakari
    @Ay.atowncityAbuubakari Месяц назад +1

    Mapigo ya mbio yanaenda moyo gonga like kam umesikia ivo

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 Месяц назад +4

    Shukran brother Felix ♥️ 💙 ❤️ 🙌 🎉🎉🎉🎉🎉 washaenda mbinguni kwa baba marehemu

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 Месяц назад +4

    Leo mambo si mbaya. Tunakula kushiba

  • @user-ke1ox6zl6k
    @user-ke1ox6zl6k Месяц назад +5

    Nyi watoto mlaaniwe adi huyo mrembo wa gobole akija kuwauwa akute mmelaani mfe na laana zenu pumbavu😢😢😢😢😢

  • @elviraaleksandrova9470
    @elviraaleksandrova9470 Месяц назад +6

    Wanne leo waooo

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Месяц назад +7

    Wakwanza jamani likes zenu teletele 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 Месяц назад +1

      Tunawai lakini Felix hatupi makopakopa 🤣🤣🤣🤣♥️♥️

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 Месяц назад +1

      Yaani hawa vicina ni washezi kabisa jamani naomba mungu dada gobole afike upesi daaah 😶😶😶😶

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 Месяц назад +7

    Nimechelewa jamani lakini sio mbaya❤❤🎉

  • @user-ke1ox6zl6k
    @user-ke1ox6zl6k Месяц назад +5

    Mbona nimechelewa kuiona hii jamani😢😢😢😢

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 Месяц назад +3

    Gogole lifanye mambo leoooo🎉

  • @AliciaCarol-w4k
    @AliciaCarol-w4k Месяц назад +1

    Nimefurah san kusikia awo Vijan wamewaw Mauwa kwa dogita rinda 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @AnastasiaKilonzi-d3y
    @AnastasiaKilonzi-d3y Месяц назад +3

    Pole sana mama mchugaji na watoto mungu amsaidia jamani

  • @lianah-h6h
    @lianah-h6h Месяц назад +5

    Much love felix from 🇰🇪

  • @SaraCornery
    @SaraCornery Месяц назад +2

    Bola wameuwawa walijiona waooo nimashujaa 😂😂😂Asate sana simlizi mix

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 Месяц назад +4

    Nice

  • @user-ry8nx6zm9e
    @user-ry8nx6zm9e Месяц назад +4

    Asante sana simuliz mix 🥰❤️

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Месяц назад +3

    Shukran sana simulizi mix 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤

  • @RuizJohns
    @RuizJohns Месяц назад +3

    Nilingoja sana hayo mauwaji jamani

  • @evermayala5817
    @evermayala5817 Месяц назад +1

    Hii imekaa sawa. Yaan kubaka watoto na mama mbele ya Baba. Aisee

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 Месяц назад +1

    Alihamdhulilah mtaa unaamani ss duuuh hawa watoto no washenzi kweli

  • @user-dw6fp4lu3k
    @user-dw6fp4lu3k Месяц назад +3

    Mashaallah unajua kutufurahisha❤❤❤🎉

  • @AnastasiaKilonzi-d3y
    @AnastasiaKilonzi-d3y Месяц назад +2

    Doctor Linda Kasi nzuri ❤❤

  • @tatoo0098
    @tatoo0098 Месяц назад +3

    Watu hamlali jaman 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 Месяц назад +4

    Waaaah vijana wameisha bado hao askari wapumbavu😅😅😅

  • @salhamlanz9806
    @salhamlanz9806 Месяц назад +7

    Usikute wakina king ndo wale wakaka walio mbaka yule dada wa yombo😢😢😢

  • @atuganilemwakasangam2018
    @atuganilemwakasangam2018 Месяц назад +2

    Safi mchungaji 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AnastasiaKilonzi-d3y
    @AnastasiaKilonzi-d3y Месяц назад +2

    Mutauliwa nyote na doctor Linda wapiuxi wakubwa nyinyi

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g Месяц назад +5

    ❤❤❤

  • @Mona-l7g
    @Mona-l7g Месяц назад +2

    Asanteni Sana simuliz mix

  • @atuganilemwakasangam2018
    @atuganilemwakasangam2018 Месяц назад +2

    Time doctorrrrrrrrrre

  • @user-sw5nz8zi3d
    @user-sw5nz8zi3d Месяц назад +4

    🎉🎉

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Месяц назад +1

    Huyu mama king anafurahia vile mwanae anavyoo haribia wengine maisha lkn siku zote hakuna mwazo unaokosa mwisho Mtalia siku moja

  • @MamahetuChikuti-mp5lj
    @MamahetuChikuti-mp5lj Месяц назад +2

    DEAL DONE ✅

  • @FelembeMwahiga
    @FelembeMwahiga Месяц назад +2

    Twende nalo gobole letu

  • @AnastasiaKilonzi-d3y
    @AnastasiaKilonzi-d3y Месяц назад +2

    Asante Felix mwenda ❤

  • @Levoth6677
    @Levoth6677 Месяц назад +1

    Jaman ivi nyie mnaichukuliaje hii simulizi Mix 😅😅maana mimi inanikosha sana kusema ukweli hasa huyu FELEX MWENDA na uyu MBOGO EDIGA ni simulizi gani itoke isinipite jaman.
    Kama unaikubari hii Chanel na watu wake nipe like hapa❤❤❤❤🎉

    • @user-it5ej8eq6m
      @user-it5ej8eq6m Месяц назад

      Naikubali sana wape mauwa yao🎉🎉🎉

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 Месяц назад +2

    🔥🔥🔥👌

  • @Ay.atowncityAbuubakari
    @Ay.atowncityAbuubakari Месяц назад +3

    ❤🎉

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 24 дня назад

    Saaana sana wakina King Raphael wamepata dawa yao😂😂😂🔥🔥🔥

  • @LydiaJeremiah-vg4vl
    @LydiaJeremiah-vg4vl Месяц назад +3

    Jaman kwan mbon sion ya 17😢

  • @maryamsimai5395
    @maryamsimai5395 Месяц назад +3

    Bora wamekufa hao mashetani kabisa

  • @agnessngala3589
    @agnessngala3589 Месяц назад +2

    Lete kitu

  • @evermayala5817
    @evermayala5817 Месяц назад +1

    Policeeeeeeee😂mtown

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Месяц назад +1

    Washenzi hawa wamepata walicho kitaka😂

  • @user-ee5hu4nu3v
    @user-ee5hu4nu3v Месяц назад +1

    ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @user-it5ej8eq6m
    @user-it5ej8eq6m Месяц назад

    Ubinadamu kazi

  • @MamahetuChikuti-mp5lj
    @MamahetuChikuti-mp5lj Месяц назад +1

    Apo kwa KING ndo alikuwa napasubiri kwa hamu zote waovu hao kupiti shetani,tena wamekufa kifo cha haraka sana wangeteseka sana ndo wakafa

  • @Salhah-v9h
    @Salhah-v9h Месяц назад +2

    🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @evermayala5817
    @evermayala5817 Месяц назад

    Yaan eti mama rapha anasema watoto wako salama!? Ningekua Mimi ningewafyatua na kuwachuna ngozi. Kero kabsaaa

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z Месяц назад

    Leo nitakula nishibe hawa waovu kufa ..hongera doctor Linda na team yako..thanks director..hivi Alvin atapewa shamba lilimwe??😂

  • @evermayala5817
    @evermayala5817 Месяц назад +1

    Eti tutamwambia nini maembe

  • @FatumaChilolemngumi
    @FatumaChilolemngumi Месяц назад +3

    Kuwai nayo

  • @eneanyingi7473
    @eneanyingi7473 Месяц назад +3

    ❤❤❤