MASTAA WANAOMILIKI WANAUME MATAJIRI ZAIDI AFRICA, ICU CHUMBA CHA UMBEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 12

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 2 месяца назад +1

    Huyo Kelvin anautajiri gani bhana ebu mtoeni alafu Regina Daniel mumewe mumtoe kabisaa ata Majizo hamfikii kwa utajiri yule mzeee 😂

  • @beyondintrusion1663
    @beyondintrusion1663 7 месяцев назад +1

    WA hamisa yuko wapi

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 5 месяцев назад

    Eluzabeth Michael hana jinsi analipa fadhila tu kusaidiwa na Majizo kutolewa jela hivyo anapelekeshwa kama gari bovu hana sauti maskini itabidi atulie tu atazalishwa sana na kutuliza mshona la sivyo ataiona joto ya jiwe.

  • @SeverinoLuis-j1h
    @SeverinoLuis-j1h 5 месяцев назад

    We mtangazaji unae bwana mwenye ela

  • @user-jx5ug6mc8p
    @user-jx5ug6mc8p 5 месяцев назад

    Bora kulia juu ya range 😂😂

  • @GeorginaMmboshia
    @GeorginaMmboshia 8 месяцев назад

    Hao waze ndio watamu wana ladha kweli kweli

  • @WelimaAdoniasi
    @WelimaAdoniasi 7 месяцев назад

    Hamisa bae wake nani 😅😅

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 8 месяцев назад

    Mtangazj eti huy babu hahaha Regina Daniel njoo huku mumewe kaitwa babu

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 Год назад

    Eti kimbia,huko unapokimbilia ndio Kuna hela

  • @beyondintrusion1663
    @beyondintrusion1663 7 месяцев назад

    Ww unaamchukiaga zuchu sijui kwanini?

  • @ZuwenaMasoud-nq6vf
    @ZuwenaMasoud-nq6vf 3 месяца назад

    Napenda Sana umbea wako dada

  • @GeorginaMmboshia
    @GeorginaMmboshia 8 месяцев назад

    Hao waze ndio watamu wana ladha kweli kweli