Habari mm ni mfuatiliaji wenu kma umtaiona hii comment ningependa kupata majib kuna video nliona kwnye hii page yenu ya mzee flani ivi aliepata matatizo .nliichukua nikaipost sasa watu wananiomba namba za kuweza kumsaidia mimi sijui nimpate vipi
Mzee ana seraa! Apa tumeingia Cha kikee, Kwa siasa ya Sasa Kwa ushauri tumrudishe labda yule tusiyempenda nule ndugu aliyepiyeunga mkono yule diwani asiyejielewa,viongozi wasio timizwa wajibu, tumrudishe yule mwamba hasa Kwa siasa hizii.😮
Ukishangaa ya musa utaona ya filauni.......mungu wangu tuokoe na jaazi apo aja tetea wananchi zaidi ya kutetea chama chake mzee oja kwishneeeeeeee apa mabadiliko2 no wey lisu ndio mwmba wetu🇹🇿✌️❤️❤️❤️❤️💪💪💪💪💪💪💪💪🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🙏🙏🙏🙏🙏
Tofauti aliyosema Lissu ni tifauti ya mabango ni kwamba mabango ya kenya yana tangaza biashara na mabango ya tanzania yanamtangaza samia hiyo ndiyo tofauti aliyosema Lissu lakini siyo ujinga unaoropoka na gukichwa gwako gunikipala kam treni ya wachawi.
Ccm hapo wamechemka hvi waliangalia nn hapo hv wanataka kumaanisha hamna vijana wenye nguvu mpya na upeo mpya wakushika kijiti h😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Nakumbusha. Wapinga mapinduzi duniani. Hitler, Hirohito, Musolini, Idd Amin, Bokassa, Samuel Doe, Papa Doc, Pol Pot, Mobutu, wababe vita wenyewe kwa wenyewe (Liberia), Kamuzu Banda, Konni, Savimbi, Daniel Ottega (Cuba), Shah - Iran. Kanda ya tanzania: Steave Wasira, ustaadhi Gershon Msigwa, Mpoto, Kigwangara, Mbunge Waitara, Ali Happy, Fahris Bulhani, Makonda, Ahmed Kombo & bros, Mwigulu Mchemba, Askofu shoo, Tulia, Zembwela, Jerry Slaa, Nappe, itifaki imezingatiwa. Sifa za kujiunga na orodha hii hususani kanda ya tanzania: uchawa, kushabikia uuzwaji raslimali za taifa kinyemela kwa wageni, kukosa hekima.
Yaani kweli huyu mtu kazeeka. Utofauti wa Kenya na Tanzania uliosemwa na kiongozi wa upinzani ( Tundu) ni mabango ya Kenya kujaa matangazo ya mambo ya kiuchumi, na ya Tz kujaa picha za mama. Halafu huyu mzee yeye anaongelea ukabila sijui na mambo gani
Kama hauwezi kusema uongo basi usiseme usiyasema usiyoyajua kwa hiyo ccm ninyi ndio unajua kusoma na kuandika nchi hii kubalini tu kuwa mmeua demokrasia katika uchaguzi
Hapo mtani wangu pungyuza maneno yasiostahili,baadhi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kulikuwa na mizengwe iliyoudhi hilo kama unaipenda nchi yako lifanyie utafuti wa kutosha husiongee kufuraisha baraza.
Kwahiyo huyu mzee anataka kusema Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ni Ofisi ya kusajili vyama vya Upinzani?! Namshauri aache kubishana na vyama vingine, hii ni kazi ya mwenezi. Asije akavunjiwa heshima yake huyu. Mshaurini enye Masisiem😂😂😂
1.Amani gani wakati watu watekwa, na kuuliwa? 2. Amani gani wakati kuna tofauti kubwa kati ya maskini ( zaidi ya 80% ya wtanzania)na tajiri? 3. Amani gani ambayo watoto wetu watokapo chuo huushia kuwa machangu na bodaboda. 4. CCm ipi ni kubwa? Kama ni kikubwa kwa nini itegemee polisi, usalama wa taifa na bunge na mahakama? I see no wisdom in this old staff, tenzi ni zile zile za akina Musiba, Bashite and the like.
Chadema na Lisu hawawezi kuwaajiri wote waliomaliza chuo na akili zao kama za Lisu na Chadema wanaoabudu wazungu. Ile dhambi ya kumuuwa Magufuli itaendelea kuwatafuna wote ccm na Chadema. Majitu viongozi yenye tamaa binafsi. Kikwete na hawala wake Samia wanajigamba kuwa wachawi wote wamekufa. Bado kikwete anang’ang’ia na kuzidi kuharibu nchi. Mungu si Athumani safari hii ccm mtanyooshwa na huo upumbavu wenu.
Ndiyo muamini CCM akili zao ni zilo wanawazaga uchaguzi tuu LISSU anazungumza mabango ya kenya yana tangaza biashara ya kwetu tanzania yana tangaza sura y SAMIA ndiyo utofauti huo? Muzee umezeeka?
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Habari
Habari mm ni mfuatiliaji wenu kma umtaiona hii comment ningependa kupata majib kuna video nliona kwnye hii page yenu ya mzee flani ivi aliepata matatizo .nliichukua nikaipost sasa watu wananiomba namba za kuweza kumsaidia mimi sijui nimpate vipi
Tunajaribu kujiunga lakini inashindikana
Mbona group doesn't exist?
Pole mzee ,umevikwa mzigo usio wako.
😂😂 kabisa
😂😂
Umechemsha mzee na umepitwacna wakati mzee!!! Kazi unayo Wala haueleweki mzee! Nenda kalee wajukuu mzeee Babu wasira wamefeli waliokupa nafasi hii.
😮 hivi mnamwelewa huyu nyangusi jamani mimi naona giza tu
Busara ya homo sapien au homo habillis?
Mzee ana seraa! Apa tumeingia Cha kikee, Kwa siasa ya Sasa Kwa ushauri tumrudishe labda yule tusiyempenda nule ndugu aliyepiyeunga mkono yule diwani asiyejielewa,viongozi wasio timizwa wajibu, tumrudishe yule mwamba hasa Kwa siasa hizii.😮
Katiba mpya Mzee, mbona mnaogopa?
Huyu mzee ni mwendawazimu 😊
Ukishangaa ya musa utaona ya filauni.......mungu wangu tuokoe na jaazi apo aja tetea wananchi zaidi ya kutetea chama chake mzee oja kwishneeeeeeee apa mabadiliko2 no wey lisu ndio mwmba wetu🇹🇿✌️❤️❤️❤️❤️💪💪💪💪💪💪💪💪🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🙏🙏🙏🙏🙏
Kumuweka huyu mzee mmebugi sana
Inauma sana
Inakatisha tamaa dah Mungu tusaidie
😂 kwa kweli
Poleni sana
Pole mzee
Ustaimilifu gani na mliua mzee kibao na hakina Soka mumewateka mungu anawaona
Duh hivi walifikiria kabla ya kumchagua au
Hivi ccm mmekosa watu wakusimama mpaka mmsumbue babu?
Kama hamuulizani makabila ulijuaje Mwalimu ni mzanaki
@@hajisangu2489 yaani huyo mzee anazeeka vibaya ni kichaa kinampanda kichwani baada ya kuteuliwa na ssh
😂😂😂
Mama samia mbn makonda anaweza hiyo nafasi huyo mzee atatupoyezea kura mama yetu samia badilisha huyo mzee hana sela
Kweli vijana mnakazi kwa staili hii hamuwezi kupata nafasi kwenye chama
Nchi imejengwa hii huyu amewekwa hapo makusudi ni mzoefu katika mijadala
Kuliko vijana wote?@@RBMBAKARI-bv6wn
Yot anayosema mzee huyu ni uwongo kabisa
Uongo ndiyo Sera sijui
Mbona sijawahi Kuwasikia ccm wakizungumzia neno haki
Waijue wapi haki
Issue ya kabila imetoka wapi.
Lundege umefanya utafiti kabisa wa kina. Hata mie sijawahi wala😂😂😂
Wazee km hawa wanakua wamekulia kwny ushirikkna
Ngoja mungu atanyoosha tu mikono Yan mie naona kama vile anachochea kitu fulani au nyinyi jaman mnamwelewaje
Hvi wakati mwingine tuulizane tu kwa herufi ndogo kweli ndio tulikofika
Kazi tunayo!😊
Tofauti aliyosema Lissu ni tifauti ya mabango ni kwamba mabango ya kenya yana tangaza biashara na mabango ya tanzania yanamtangaza samia hiyo ndiyo tofauti aliyosema Lissu lakini siyo ujinga unaoropoka na gukichwa gwako gunikipala kam treni ya wachawi.
Yasoni.huyuchizi.anadhani.propaganda.bado.zinanafasi.jingakabis
Lissu alikuwa anaongelea tofauti za ki uchumi.
😀😀😂🤣🤣
Hahaha yaani huyu mzee naona hataki kula pension yake vzr anataka ashindane na lisu hahaha
Kwani kwenye siasa ni lazima uwe muongomuongo. Haipendezi hasa ukiwa mtu mzima Mzee
Siasa za huyu mzee zimepitwa na wakati
Acha kufarakanisha Watanzania, zungumza sera
mama tunakubali lakini vijana umetuzalau huyu Mzee kinana ana hakili sana
Wee mzee kalee wajukuu Huna jipya
Duuu!!😢😢😢
Shida Sana hii nchi. Daah sijui tu
Nchi ilikua ya amani zamani,kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa tu wameuwawa wanachadema zaidi ya watano
Mzee wasira umechoka sana Ile mbaya, achia kazi hii uliyopewa imeisha kuzidi nguvu. "Katika utawala wa Samia, Wasira...? Yupooo.!
😂😂😂😂yupo
Mzee mbona lisu alisema ukitoka Kenya kuelekea mpakani unakuta mabango yenye kuhamasisha uchumi na biashara lkn ukitoka mpakani Kuja tz unakuta mabango mama anaupiga mwingi mpk unafika.
wewe Mzee pumuzika inatosha asante
Daah kazi ivi vijana ccm hamna namkumbuka makongoro nyerere yupo
".....yupo, MWINYI alikuwepo "yupo"
Mkapa Wasira alikuwepo "yupo!!"
Hadi sasa Wasira alikuwepo "yupo!!"😄😄😄
Ccm hapo wamechemka hvi waliangalia nn hapo hv wanataka kumaanisha hamna vijana wenye nguvu mpya na upeo mpya wakushika kijiti h😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Wanaomsikiliza wamechoka maana hana hoja za msingi
Huyu nae bado yupo!!😅😅😅 kazi na umri jaman ccm amna akiba ya vijana!!😂
Wewe mzee, achia vijana. Umepitwa na wakati
Anaongelea mambo tofauti kabsa na yaliyoongelewa, CCM Wana msukuma tu😂
We mzee mwehu
Mna kiongozi hapa
mmmm shida hii ya wazeee vijana kuleta hoja azina maana kama azina maendeleo ya kuonekana
Nakumbusha. Wapinga mapinduzi duniani. Hitler, Hirohito, Musolini, Idd Amin, Bokassa, Samuel Doe, Papa Doc, Pol Pot, Mobutu, wababe vita wenyewe kwa wenyewe (Liberia), Kamuzu Banda, Konni, Savimbi, Daniel Ottega (Cuba), Shah - Iran. Kanda ya tanzania: Steave Wasira, ustaadhi Gershon Msigwa, Mpoto, Kigwangara, Mbunge Waitara, Ali Happy, Fahris Bulhani, Makonda, Ahmed Kombo & bros, Mwigulu Mchemba, Askofu shoo, Tulia, Zembwela, Jerry Slaa, Nappe, itifaki imezingatiwa. Sifa za kujiunga na orodha hii hususani kanda ya tanzania: uchawa, kushabikia uuzwaji raslimali za taifa kinyemela kwa wageni, kukosa hekima.
Pumzika Mzee
Biedan.
Yupo,yupo,yupo,yupo na yupo na bado yupo,tuseme ukweli hii ni haki? no, we need a change. Seriously.
😂😂😂 CCM mnazidi kujichanganya kuwaeka wazee hawa wastaafu amna point inayosemwa na watanzania wte
Mzee wasila na kukubali sana
Piga kazi umsaidie Mwenyekiti
Wetu mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani
Rudi darasani
Pole
Msikilize tena lisu hajaongea ukabila mambo ya zaman unaongelea Leo? Tueshimiane hapa
Hapo alikuwa anajaribu kumnukuu Baba wa Taifa lkn bahati mbaya asikini hajui hata aichomeke mahali gani, fedheha.
Huna jipya mzee unazeeka vibaya
Yaani kweli huyu mtu kazeeka.
Utofauti wa Kenya na Tanzania uliosemwa na kiongozi wa upinzani ( Tundu) ni mabango ya Kenya kujaa matangazo ya mambo ya kiuchumi, na ya Tz kujaa picha za mama.
Halafu huyu mzee yeye anaongelea ukabila sijui na mambo gani
Mmeanza kumuogopa lissu, atawanyoosha sana lissu
Amani ndio ipo mbali mzee,
Wasira hana tatizo,anamuelewa vizuri Lissu pale mahakama kesi ya Esta Bulaya.
Kwahiyo nisahihi kugombana kiyama?
Kama hauwezi kusema uongo basi usiseme usiyasema usiyoyajua kwa hiyo ccm ninyi ndio unajua kusoma na kuandika nchi hii kubalini tu kuwa mmeua demokrasia katika uchaguzi
Wekeni uchaguzi wa wazi kama chadema muone kama mtashinda mamaye
Mzee huo umoja kwa ajili ya ufisadi lkn haku haki usitudanganye
Walijua mpole 😂😂😂😂 walusema anasinziaga tu
Huyu mzee katwishwa mzigo usiowake,lissu hakuongea hayo Kenya huwezi ona mabango ya"rutto Anaupiga mwingi,pole wasira
CCM ni Chama Dola siyo chama cha Siasa .
Vyama vya siasa ni CDM , TLP, DP, ACT , MD, n.k lakini wenzetu ni Dola .
Mzee Wasira mbona umeanza kujibu hoja kinyumenyume bado asubuhi?
Hoja ya Lissu ya nchi mbili tofauti hukuelewa.
Hapo mtani wangu pungyuza maneno yasiostahili,baadhi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kulikuwa na mizengwe iliyoudhi hilo kama unaipenda nchi yako lifanyie utafuti wa kutosha husiongee kufuraisha baraza.
Kalee wajukuu😂😂😂😂
Na vitukuu
Dah aisee kweli hiki ni chama dora cha ukoo
Ni kweli sisi tumezoea kunyanyaswa
Hata kuongea tu mtihani, sijui hao wajumbe waneona Nini kwako. Umeshapitwa na wakati mzee
Kaletwa n mama huyo siyo wajumbe
Mama hakumleta tu walika wakapendekeza kwahio Wacha wasinzie wote😂
Sasa subiri mzee
Kabila letu lawakurya maana ya neno wasira inamaana kwamba umepotea
Sasa huyu mzee wasira amepotea hajui aseme nn wala afanye nn
Huyu mzee kazeeka mpaka akili
Kumuweka huyu mzee mmebugi sana ccm
Niombeeni jamani misielewi
Afadhali ungeomba upumzike kama mzee wa busara sana mista mpango kuomba apumzike
POLENI SANA AISE LOO
Huyu sera...ZIMEISHA
Kwahiyo huyu mzee anataka kusema Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ni Ofisi ya kusajili vyama vya Upinzani?! Namshauri aache kubishana na vyama vingine, hii ni kazi ya mwenezi. Asije akavunjiwa heshima yake huyu. Mshaurini enye Masisiem😂😂😂
Sasa mama ameshauriwa na nan kumweka huyu Mzee wa watu
Anaweweseka
Huyu mzee wamemkamatisha mzigo wa bangi😂😂 anaongea kama amebanwa mavi
Haelewi mada aliyozungumza Lisu na umri nao unachangia
Sitakulaumu kwa sababu unatetea tu tumbo lako uzee imekuwa ugonjwa kwako
Huyu YUPO NAE ANASEMA NINI AKAJISAIDIE AKALALE😡😡😡😡
1.Amani gani wakati watu watekwa, na kuuliwa?
2. Amani gani wakati kuna tofauti kubwa kati ya maskini ( zaidi ya 80% ya wtanzania)na tajiri?
3. Amani gani ambayo watoto wetu watokapo chuo huushia kuwa machangu na bodaboda.
4. CCm ipi ni kubwa? Kama ni kikubwa kwa nini itegemee polisi, usalama wa taifa na bunge na mahakama?
I see no wisdom in this old staff, tenzi ni zile zile za akina Musiba, Bashite and the like.
Chadema na Lisu hawawezi kuwaajiri wote waliomaliza chuo na akili zao kama za Lisu na Chadema wanaoabudu wazungu. Ile dhambi ya kumuuwa Magufuli itaendelea kuwatafuna wote ccm na Chadema. Majitu viongozi yenye tamaa binafsi. Kikwete na hawala wake Samia wanajigamba kuwa wachawi wote wamekufa. Bado kikwete anang’ang’ia na kuzidi kuharibu nchi. Mungu si Athumani safari hii ccm mtanyooshwa na huo upumbavu wenu.
Selekali za mitaa hakukuwa na uchaguzi
Yani ccm kwa hili la kumteuwa huyu mzee mmebugi sana.
Wasira mwaka jana nmemuona mmmmh iseeee ni mwalimu mgumu kueleweka atasimulia sana lakini maana ya anazungumuza huwezi iona
CCM hapa ni 10% Hakuna kitu
Kumpindua Wasira ni kuchuma dhambi.
Magufuli alitoka kabila dogo? Leo utuambie mzee naona unazeeka vibaya😅
Yaani Mzee wa miaka 80+ anapewa ajira na kijana anaemaliza Chuo hana kazi, hii nchi hii
Mtu wa maana kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usitulazimishe kuwapenda ccm.chama cha majambazi au chama cha wasiojurikana ccm utafia jukwaani wanataka wakutoee kafara cheo ulicho pewa
Ndiyo muamini CCM akili zao ni zilo wanawazaga uchaguzi tuu LISSU anazungumza mabango ya kenya yana tangaza biashara ya kwetu tanzania yana tangaza sura y SAMIA ndiyo utofauti huo? Muzee umezeeka?
Madalali wa viwanja husisahau kuwakemea baba tunakuaminia.Nchi ya haki.
Sisi ni nchi ya Amani 😂😂
Uyu bado yupogo walahi bado unataka Kiki naumezeeka sahii hini digitali 5g uwezani kaakimya
We mzee watu walienguliwa we ulikuwa wapi
Mh, kabila inahusianaje na mabango yeye alimaanisha mabango yetu mengi ni ya kisiasa yanahusishwa na kampeni zaidi kuliko maendeleo