Gigy Money amchana Diamond kisa Wasafi Festival, 'Usiniambie Zuchu ni msanii bora Tanzania'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
    whatsapp.com/c...
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Комментарии • 328

  • @odotasheila2211
    @odotasheila2211 9 месяцев назад +17

    I just love her energy and authenticity 🌹

  • @mirajiabdalah8963
    @mirajiabdalah8963 9 месяцев назад +6

    Giggi namuelewa Sana Safi Sana mama❤

  • @user-kt5zt8qb5i
    @user-kt5zt8qb5i 9 месяцев назад +8

    Kuna watu nadhni hamujaelwa nini gigy anamaanisha ila yte aloongea kuna ya ukweli pia...... take her positive😊

  • @Espe2009
    @Espe2009 9 месяцев назад +30

    Zuchu the queen anaumiza wengi . Acheni makadiliko

  • @zulfakibwana2330
    @zulfakibwana2330 9 месяцев назад +8

    Giggi ❤❤❤❤❤we 💕 zuchu ana roho ngumu sana

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 9 месяцев назад +29

    Fact dda say the true💯

  • @saudashani5981
    @saudashani5981 9 месяцев назад +3

    Nakupenda gigy wangu, Mungu akulinde

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 9 месяцев назад +13

    Zuchu she is big artist Africa so respect zuchu

  • @asmaingabire2686
    @asmaingabire2686 9 месяцев назад +5

    Nakupenda sana gigy kilasiku unaongeya kweli

  • @zamdayusuph858
    @zamdayusuph858 9 месяцев назад +17

    Nashangaaa sana watu mnao comment hapa mlichokiona n yeye tuu kumuongelea zuchu lkn hamchukulii uzito wa maneno yake anayosema, kaongea ukweli mtu kuhusu festival nzima kuwa n mwanamke mmoja, huo n upuuzi na ubinafsi. Tatizo wabongo mnaushabiki mavi hata msanii wako akiwa kichwa maji nyie n twende kazi tuu, shame on you😏. By the way gigymoney nakupenda Gemini mwenzangu we smart as f***😅 way to go girl fighting 💪.

    • @saumumasha-in2qw
      @saumumasha-in2qw 9 месяцев назад +1

      Acha kutukna watu usimfananishe zuchu n hii taktaka ya anaforce wkti yy n Malaya kwani daimond hmjui mbn km anajua kuimba mbn hjamsaini wasafi daimond sio mjinga ww

    • @zamdayusuph858
      @zamdayusuph858 9 месяцев назад

      @@saumumasha-in2qw kwan maua sama kasajiliwa wasaf,nandy je, sarafina je, Ruby je
      Issue hapa sio kusajiliwa wasaf wewe kuwa mwelewa, issue hapa n je zuchu ndo msanii wakike pekee bongo? N kwann hakuna wasanii wakike kwnye festival nzima? Kma so ubinafsi n nn, au kisa mpenz wa boss ko hatak wanawake wengne wa shine? Upuuuzi tuu, awape fursa na watu wengine watu wapate hela walishe familia zao

    • @zamdayusuph858
      @zamdayusuph858 9 месяцев назад

      @@saumumasha-in2qw sio mpka ucjaliwe wasaf ndo uonekane unaju mbona una ufikilio finyu hvo

  • @marcodaud5089
    @marcodaud5089 9 месяцев назад +4

    Nampendaga Sana giggy jomoniii haki ya mungu

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 9 месяцев назад +7

    GIGY umesahau daimond alikuwa anakulipia kodi mkisema mabaya msisahau na mema yake.,alafu USIONGEE Sana mana mwisho wa siku utalud kwa kulia kwenye mitandao nakupenda Sana Gigy ila usiseme vibaya walio pita kwako

    • @user-vo7sj2ou7v
      @user-vo7sj2ou7v 9 месяцев назад +1

      Kwaiyo km aliwah kumlipia kodi ndo asiseme mabay yake,bado ujasema yy ndo mnafanyiwa mabaya mnabaki kuumia eti kwasabbu aliwah kunisaidia kitu flani

  • @jaquelineandrew2519
    @jaquelineandrew2519 9 месяцев назад +26

    Ila Gigy ni msema ukweli ndo mana ana chukiwa jamnii...I love Gigy❤

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 9 месяцев назад +7

    Bundala hii interview uljionea makubwa ulioga mate mpaka basii🙌😂😂😂😂

  • @nureyna629
    @nureyna629 9 месяцев назад +22

    Nimekuelewa gigi, diamond anauwa mziki kisaikolojia, hata chidibenzi juzi alisema, mwaka 2000 -2010 wasanii walikuwa wengi na nyimbo zilikuwa nzuri, mnyalu, wanaume family, alicom, abbyskiys, mb doggy, Mr nice, alikiba, daz baba, Rayc, jaydee, tid, matonya, pnc, wengi wengi tu, alipoingia tu diamond wote walipotea... ametambulisha ulimwengu wa skendo watu wakabase sana kusikiliza skendo kuliko ujumbe wa kwenye nyimbo, sasaivi wanaimba sijui udude gani..

    • @zenahmugo1974
      @zenahmugo1974 9 месяцев назад +7

      Kwani Yeye ndo anaweza Jenga mziki pekee , hao hao. Akina king , wa kina harmonize na wasanii wengine wanaojigamba kila kukicha mbona wasiinue, watu wanaenda na muda na mziki n biashara kama zingne tu , mtu hufanya kitu anajua kitampa manufaa, alafu huyu gigy aongei. Kwa nia nzuri, hasira zake n Kwa zuchu tu 😂😂 kufka kutunga nyimbo kumtukana, Sasa wao., mbona wasanii wengine wanaimba vizuri na mzki unaendea tu

    • @Its_SarahQ
      @Its_SarahQ 9 месяцев назад +7

      Mbona waliotangulia diamond wasiujenge mziki?? Kwani ni kazi ya diamond.

    • @marvic4278
      @marvic4278 9 месяцев назад +3

      Nashangaa kila cku diamond tuu

    • @svt3
      @svt3 9 месяцев назад +4

      @nureyna629: hao wote unataja wako wazima tena sio walemavu Mbona wasijiunge kupambania huu mziki Diamond mtu mmoja ameuwa? Umetaja zaidi ya wasanii kumi na muawa mziki ni mmoja,Diamond vs 10🤔🤔🤔 aibu kwao wake kimya kama Diamond 1 ndiye anauwa tasnia nzima? Hao wasanii unataja wanafanya nini wasiusimamie muziki

    • @user-gw5sl8tx5w
      @user-gw5sl8tx5w 9 месяцев назад +5

      Kwan studio zimefungwa nje na wasafi media ndo media pekee bongo shida chuki zimetawala

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 8 месяцев назад

    "Kill me..let me live"tupac
    Gigy money,I love you,God bless you

  • @user-wy6tv5uq5c
    @user-wy6tv5uq5c 9 месяцев назад +3

    She believes in herself 🎉

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende2388 9 месяцев назад +4

    Kweli Gigy unaongea point. Wasafi bila Gigy ni bure. ❤❤love you Queen G

  • @wahidamaulid9527
    @wahidamaulid9527 9 месяцев назад +2

    number one buza kwa mparangeee zuchu nd number one ❤my dear

  • @marleshjimmy1972
    @marleshjimmy1972 9 месяцев назад +20

    Yani tuseme kweli Caption aliondika wakati ule zuu ilakukera kama shoga ake kwanini hukumfata mkaliweka sawa kama kama binadamu labda alitereza kwasababu yahasira bali wew ulichukulia personal sana yanii kuhusu wasafi festival kweli badhi yawasani hawapo nawanafany vizuri siwakike tu bali hata wakiume but diamond nimfanya biashara na anajua asipo weka wengine italeta story kuliko kuwaweka na sio kwa ubaya labda budget yamwak huu hairuhusu ila sikia maneno umeyozungumza gigy yote yanaenda directly kwa zuu hata hao mambo ya gay tunajua kwamba kale ka noeli ndio kako karibu na wcb na ulisema mwenyew ulimtambulisha stylist wako kwa zuu yani pole sana kwauchung ulionao uko personal sio kwamba hupew show mpaka yazamani umeyazua 😂 alafu eti mondi nisukari ya waremb kwani unataka myaka yote mtuu abaki yule yule daima wala nivizuri kabadilika

    • @Sunflower001-xt3ou
      @Sunflower001-xt3ou 9 месяцев назад +1

      Muongo huyu caption ya zuchu ilimuuma lakini alianza kuntafuta zuchu maneno muda tu , zuchu akwa anamkaushia, alianzs kumsema zuchu kitambo kaangalie hata interviews ziko icu, akamsema simba sana zari alipomsifia.mpaka masha kuja kusema giggy anamchukia zuchu sanaa, lakini bado mwenzake akawa Anam support, hao anaowasifia saa hii hakuna hata mmoja ame support kazi zake, zuchu alikuwa hashi kumpost kazi zake insta story na mpaka kwa main page yake, akawa anawachukua kuenda nao show, wao wakaona kama madharau but zuchu alikuwa anawapa plartform kwa kile kiwango alichonacho.sasa kama yeye rafiki wa kweli angekuwa wa kwanza kukana maneno ya Mange maana walikuwa wanamdhalilisha zuchu,lakini alinyamaza ili atambelee Kiki kuwa yete na zuchu wanagombania mwanaume, zuchu came out to clear her name, Kilcho mkasirisha ni nini??? Giggy yeye ana wivu na wenzake chunguza kila mtoto wa kike anayefanya vizuri giggy huanza naye vita, si Nandy, Niffer, diva, abby hata Paula.na wanawake wa simba pia hapatani nao,ndo maana zari alikuwa akimuita mchafu, she feels entitled kama nani, nilikuwa nampenda huyu dada lakini nimekuja kujua Ana wivu hatari mno.

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 9 месяцев назад +1

      Apo sasa🥱🥱🥱 Hadi music ka mtoleya kichaa kabisaaa huu

  • @user-ix2id4oz9p
    @user-ix2id4oz9p 9 месяцев назад +1

    Nakupenda sana gigy wangu❤

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 9 месяцев назад +8

    Umeongea point Gigy❤️🇹🇿🇺🇸

  • @nancyangelnsekela6957
    @nancyangelnsekela6957 9 месяцев назад +3

    Gigy 💣💞

  • @user-nn7uf1mr7x
    @user-nn7uf1mr7x 9 месяцев назад +7

    Nakupenda gigy

  • @sensational6983
    @sensational6983 9 месяцев назад +1

    It’s true gift anaongea fact diamond akilala na mtu anachukua nyota it’s more spiritual than what meets the eye

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 8 месяцев назад

    Gigy I love you ,you're very intelligent God bless you.

  • @sheilacruz6458
    @sheilacruz6458 5 месяцев назад

    Best interview tulete Gigy tena ninempenda bure

  • @user-uj6lm2dn7s
    @user-uj6lm2dn7s 9 месяцев назад

    Yaaaa love you I'll nandy Ni mzaniiii Bora Sana, uko vzr umeongea point

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 9 месяцев назад +4

    6:33 huo ndo ukweli yani Mashoga ni watu wabaya mnoo ogopa sana SHOGA 😢

  • @codenamerobiner3816
    @codenamerobiner3816 9 месяцев назад

    you support every body mungu atakutunza wasafi umewa support sana lakini wamesahau

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂THE frst lady fema IN africa she has hundred percent comfidence

  • @user-df4il8pn6o
    @user-df4il8pn6o 9 месяцев назад

    Point

  • @zenahmugo1974
    @zenahmugo1974 9 месяцев назад +12

    Si wewe ulisema upewe milli 2😏😏,mdomo wako ndo ulikuponza,mtu kila siku n nyoo nyoo tu 🙄🙄,ulishndwa kujisupport ufike mahali wengine wamefka 😂😂😂na Bado ujasema 👏👏😂😂😂

  • @zenahmugo1974
    @zenahmugo1974 9 месяцев назад +8

    Wao ndo wanaishi kichwani kwako 😂😂😂, nyota mbona haing'ai bila Kutaja zuchu 😂😂😂😂😂 yani wewe mama mdomo 😂😂😂😂😂

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 9 месяцев назад +8

    Nimeamka, gigy unasema nini, sio lazima wewe uwe kwa wasafi festival, mbona una machungu hivo? Sasa zuchu alikula nini yako, Kila mtu amepatiwa Riziki yake na Mwenyezi mungu unaongea mpaka sura inabadilika mbona, kweli wanawake wengi huu mwaka left , right ni zuchu zuchu, kweli zuchu kawaumiza na baado. Mseme na mtasema.

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 9 месяцев назад +4

    Ni kweli wanawake wote hao wanaimba wasiwepo kwenye WSF Festival hata kama Gigy hayupo kwa sababu ya Zuu

  • @uwimanafridah8740
    @uwimanafridah8740 9 месяцев назад +2

    Mumuache gigy money! ana akili sana! wasikufananishe na zuchu wakutegemea Diamond! nakupenda sana gigy wangu❤

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 9 месяцев назад +8

    Gigi mdomo tu humponza nowonder watu kama kina Abbychams wamewapata kw game na wanamshinda Hadi subscribers

    • @Its_SarahQ
      @Its_SarahQ 9 месяцев назад +2

      Juu ya mdomo wake anapitwa kila kitu

  • @amanmyolo5359
    @amanmyolo5359 7 месяцев назад

    Good ❤

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 9 месяцев назад +5

    Zuchu anakuwumiza Sana maskini

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo 9 месяцев назад

    Dah gigy nakupendaga sana🥰

  • @benjaminjohn1819
    @benjaminjohn1819 9 месяцев назад +20

    Anayeongea sana ni muoga sana katika maisha

  • @ROSEROBERTROBART
    @ROSEROBERTROBART 9 месяцев назад +5

    Gigy i love you 🔥🔥🔥🔥

  • @muna1165
    @muna1165 9 месяцев назад

    Safi sana good point ❤❤❤❤ love gg

  • @piusdeo9380
    @piusdeo9380 9 месяцев назад +1

    Boss yupo kazini sky

  • @modricnoma3686
    @modricnoma3686 9 месяцев назад +4

    dah! Aiseeh sijawahi kumkataa huyu demu hata siku moja I will always love her 😂😂😂😂😂

  • @chany9950
    @chany9950 9 месяцев назад +2

    Gigy love you much respect 👍🏽 wewe unajuwa mungu 🙏🏾🙏🏾

  • @alfredyfredrick8955
    @alfredyfredrick8955 9 месяцев назад +10

    Wasafi TV ilifungiwa na TCRA Kwaajili ya show yake alikua amevaa uchi uchi sasa hivi mond kaogopa kumpa show wasije kufungiwa tena

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 9 месяцев назад +3

      Alijua kuvaa uchi ndio deal

    • @nunuuali5316
      @nunuuali5316 9 месяцев назад +1

      Ndio alivaa uchi,haya na wengine wakike wao walifanya je?

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 9 месяцев назад +1

      Zuchu anavagaa Madera

    • @manumbuvi9102
      @manumbuvi9102 9 месяцев назад +1

      Bona mondi alishika zuchu chuchu kwa jungwa nikosa

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 9 месяцев назад +14

    Gigy anaongeyaga kweli

  • @monicagodfreyzacharia5489
    @monicagodfreyzacharia5489 9 месяцев назад

    Nakupendagat u bure gg

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 9 месяцев назад +13

    Hapo kwa Luludiva nime lia, ila Gigy mkweli sometimes 🌷

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 9 месяцев назад

      Ndio gg mkweli hakuna kitu kinauma kama mtu kikutumia na kukutupa kama tambala bovu akiwa na haja zake😊

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 9 месяцев назад +1

    😂❤❤❤ jamani anae mchukia Gugy nimchawi

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556 9 месяцев назад +4

    Definition ya mchawi

  • @faidhacute
    @faidhacute 9 месяцев назад +5

    Ana stress za kuachwa wasafi festival😂😂😂😂 ila gigy

    • @user-co5uv5zn9d
      @user-co5uv5zn9d 9 месяцев назад

      Akipewa nafasi anajaribu kwa akilizake mbovu

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 9 месяцев назад

      Tatizo Giggy ana wivu na zuchu...
      Unampenda Diamond mpaka unaugua...
      Try to keep your mouth shut 🤐

  • @user-dv3fh2ye3d
    @user-dv3fh2ye3d 9 месяцев назад +4

    Mschana gani katembea na na diamond bado yuko kwwnye line hapo ni kweli zuchu anafaa kuzingatia😊

    • @milezlyon7043
      @milezlyon7043 9 месяцев назад

      Zari kapotea? Hamisa kapotea?

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 9 месяцев назад

    Usoni una nini Gigy chunusi au 😮pole my love Nakupenda hila usimchokoze Zuchu

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo1231 9 месяцев назад +1

    Hapo kwenye mungu nakukubali

  • @amodaneissaamir2830
    @amodaneissaamir2830 9 месяцев назад +10

    Unaumia na Zuchu hahaha anawaumiza malaya wengi sana , Zuchu ufikii kwa lolote lilee na halafu ungei Bila kuta Zuchu ww mbwa 😂Bado ya msani diamond anaefuta ni Zuchu kwa ujumula kama ujuwi unacheza na Moto wa Zuchu huyo mtu kiboko na anawanyima usingizi

    • @rehemamahmud855
      @rehemamahmud855 9 месяцев назад

      Umemsikiliza au unaropoka, huyu analalamika hawamsupport wkt yeye anatoa support na hakuna cha zaidi

  • @rashidasaid
    @rashidasaid 9 месяцев назад +7

    Zuchu anawaumiza sana na baado mwaka huu iliaanza na zuchu na itamalizika na zuchu, next year itaanza na zuchu

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 9 месяцев назад +1

    Giggy anaonekana sna wivu na zuchu...
    Mpaka kusema kuwa yeye alianza kuwa na diamond kabla ya zuchu 😂😛

  • @sabitinaeastafrica5822
    @sabitinaeastafrica5822 9 месяцев назад

    Are you right

  • @aminaawadhi1537
    @aminaawadhi1537 9 месяцев назад +8

    Kwakweli yaani, wivu unamsumbua huyu mwanamke,cjui ni chizi,ama? Giggy,..tafuta mabuyu ukune!!😅

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 9 месяцев назад +4

    Huna lolote gigi mafanikio ya zuchu yanakuuma balaa, huo ni mwanzo tu na bado utaumia mno na zuchu lakini humuwezi, mwanaume huwa anabadilisha tabia kwa mwanamke ampendae, kwa hiyo unataka diamond aendelee kuwa malaya kama zamani eti abebe rundo la wanawake wamemzunguka atimbe nao wasafi festival ili iweje? hahahaha imekula kwako diamond wa zuchu sio diamond wale vilandage wako wa zamani

  • @zaimaduma729
    @zaimaduma729 9 месяцев назад

    😊❤gigy money

  • @scholamodestus9386
    @scholamodestus9386 9 месяцев назад +1

    Gigy jaman yani mtoto hajaenda shule sababu ya kupotea peg kwa kipindi kifupi kiasi hiko😮 inamana hunaga akiba dada....me niliyumba biashara baada ya kwenda kujifunguwa nikafunga duka miezi tisa na bado mtoto alikuwa anaenda shule

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku9802 9 месяцев назад +1

    Mi nakuelewa gigi

  • @Paplick9
    @Paplick9 9 месяцев назад +1

    Wowh I love you gigy money ❤️❤️❤️🥰🥰🥰

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 9 месяцев назад +11

    Zamaniii Gigy alikua anachamba wanaojichubua 😂😂😂saivi kawa member wa kujichubua 😂 naona cream imekasirika imemuaribu Sura c kwa madoa hayo😂alafu Gigy acha English unatupigia kelele tuuu😂😂😂😂😂 by the way Zuchu anakuuma Zuchu Mama lao alafu unampenda Diamond kinyamaa maskini 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @blessingsmary
      @blessingsmary 9 месяцев назад

      Nelly mungu anakuona kwa maoni yako 😂😂😂😂

  • @Its_SarahQ
    @Its_SarahQ 9 месяцев назад +32

    Zuchu lives rent free in Gigy's head 24/7. Zuchu mama lao!!! Pewa maua yako mama, unaumisha wanawake vichwa😅😂

    • @user-bx6rf6nv4x
      @user-bx6rf6nv4x 9 месяцев назад

      Wewe ndio nemkwa Namba 1

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 9 месяцев назад +4

      Zuchu hana mpinzani 😂tena huyu Gigi hayupo hata kwenye top twenty

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 9 месяцев назад +1

      Huyo zuchu zielewagi anacho imba kiukweli

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 Apo sasa

    • @kizdady2544
      @kizdady2544 9 месяцев назад +1

      @@rosemilingi7860na Gigi naye ndo wamuelewa 😅

  • @imeldangeze9620
    @imeldangeze9620 9 месяцев назад

    Nyc Gigy

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 9 месяцев назад +11

    Giggy,unamsikilia zuchu sababu anakushinda na kila kitu,umewachwa nje!! Ume sikia uchungu!!!!

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 9 месяцев назад +11

    Kizur anaongeaga ukweli 😂

  • @muna1165
    @muna1165 9 месяцев назад

    Safi sana dada umesema kweli

  • @bintmuna
    @bintmuna 9 месяцев назад +2

    Kuna mdaa dawa za vichaa ziongezwe gigy anaongeaga point hila Kwa vile anaongea sanaaaaa hile point hinaonekana pumba gafra sawa ujaenda wasafi festival kunaumuhimu gani wakurudia rudia hiyo topic sawa zuchu hana roho mbaya kuna umuhimu gani wa kumuongerea 😂sawa ww ni star umeenda Canada kunaumuhimu gani wa kurudia rudia mm naona ww roho hinakuuma sanaaa kutokuwa wcb 😂😂😂wafanye wakupe hata nafsi ya dar tuuuu😂😂😂😂😂

  • @darlenedada651
    @darlenedada651 9 месяцев назад +8

    Ongea sana mwisho wa mwezi utapata jibu lako zuchu sio mjinga kama wewe

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 9 месяцев назад

    Gigy❤️❤️❤️

  • @margaretbirenge4081
    @margaretbirenge4081 9 месяцев назад +3

    Uyu nae sasa☹☹

  • @zenahmugo1974
    @zenahmugo1974 9 месяцев назад +54

    Unaumwa Sanaa na zuchu 😂😂😂😂,ongea sanaa 👏👏👏na Bado hujaongea 🤌😂😂😂😂 upende usipende zuchu n mkubwa,mumbers zinaongea,akifuatwa na Nandi 👏👏 alafu wengine wewe ata kwa list ya top 10 hauko 👏😂😂😂😂

    • @Its_SarahQ
      @Its_SarahQ 9 месяцев назад +16

      Zuchu mama lao!!!!!!!

    • @kimah9855
      @kimah9855 9 месяцев назад +8

      True😂😂😂😂

    • @qamaryasalim9531
      @qamaryasalim9531 9 месяцев назад +9

      Zuchu na Nandy ndio wanaojulikana nyie wengine hamtambuliki

    • @AsmaMosh-mk8pu
      @AsmaMosh-mk8pu 9 месяцев назад +6

      Hyo zuchu nyinyi mnaosema mamalao anawasaidia nn watu wa comment wah

    • @user-bx6rf6nv4x
      @user-bx6rf6nv4x 9 месяцев назад +5

      Ukubwa ni nini yani hata anje mara 100000 hafiki kwa gigi anaimba nini huyo chapati au acha ujingi

  • @user-sc1uw8ly2f
    @user-sc1uw8ly2f 9 месяцев назад

    Gigy kaongea point❤❤

  • @RynlizzyTheBoss
    @RynlizzyTheBoss 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂 sky leo ulikomaa 😂😂

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 9 месяцев назад +1

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 9 месяцев назад +1

    Shida huna heshima lopolopo ,,ata mm ukimtukana demuwangu nakuflash kwendaa😂😂😂

  • @KhanShaka-wm2er
    @KhanShaka-wm2er 9 месяцев назад +1

    @gigy money bila kuongelea zuchu na diamond kwasas hauendi

  • @DiabTutty-ke9bs
    @DiabTutty-ke9bs 9 месяцев назад +11

    Achana na zuchu kabisa,halafu kuimba hujui

  • @JulianaJackson-nm7te
    @JulianaJackson-nm7te 9 месяцев назад +2

    Gigy 😘😘😘

  • @florencechuwa2648
    @florencechuwa2648 9 месяцев назад

    Umesema kwel

  • @codenamerobiner3816
    @codenamerobiner3816 9 месяцев назад

    Gigi money nakupenda 🇺🇸 tunakusikiza

  • @Its_SarahQ
    @Its_SarahQ 9 месяцев назад +4

    Makasiriko 😅😂😂

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 9 месяцев назад +4

    Wamegeuka samaki walana wao kwa wao 😂 haya yetu macho

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 9 месяцев назад +1

    SNS, ata Nyinyi mwache wivu, kwani ukimhoji gigy ni lazima utaje wasafi, mbona mnapenda kuchochea

  • @halimaomari2370
    @halimaomari2370 9 месяцев назад +1

    Unapenda kuchukia wenzio umeanza na Nandy saiz Zuchu tulia bwana una issue😂😂😂😂😂😂😂

  • @qamaryasalim9531
    @qamaryasalim9531 9 месяцев назад +2

    Hiyo canada anaenda imba sebuleni 😂😂😂😂😂

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 9 месяцев назад +3

    mbona analalamika now mbona.....................hana jipya anaenda kufanya show kwa demand ipi yaani kisa kuipambania wasafi. ndo upate hela kilahisi.
    tengeneza shows zangu

  • @YannickKayembe-kp8cp
    @YannickKayembe-kp8cp 9 месяцев назад +3

    Sasa zuchu kakukoseya Nini weye naye mwendawazimu 😏

  • @valeriaally6584
    @valeriaally6584 9 месяцев назад +2

    mbona nandy featival aliweka wanaume peke yake na akawa mwanamke peke yake,au yeye ndio alikua sahihi ila dai ndio mbaya kila siku alafu usisahau ulivyosababisha wakafungiwa kipindi kile miez sita yote na hukulipishwa chochote,leo unamuona mbaya?

  • @user-bf1qj6km2x
    @user-bf1qj6km2x 9 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @roselynenyanda1757
    @roselynenyanda1757 9 месяцев назад

    Huwa lina akili hili ...inabidi uwe smart sana kumuelewa Gigi ukiwa mjinga utamjaji kirahisi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 9 месяцев назад

    Ex wangu yupi😂😂😂😂nina maex😂😂😂😂😂😂ila giggy,hiyo ni dalili unafaa kutulia sasa😂😂😂😂

  • @Rody450
    @Rody450 9 месяцев назад +6

    Ukweli mtupu gigy wasafi iko ubaguzi sana

    • @maryamm7765
      @maryamm7765 9 месяцев назад

      Sana yaan tena tokea aingie zuchu anampangia daimond maana kina wivu na wasanii wenzie wa kike ataka yey tu awe juu ndio maana wasafi festival awakuepo

    • @dianamonyo1960
      @dianamonyo1960 9 месяцев назад +1

      Diamond alisema anapigia wasanii simu wanamletea nyonyo anakupiga chini hana mda wa kubembeleza mtu

    • @Rody450
      @Rody450 9 месяцев назад

      Hamna hizo nyongo zote nisababu zimeletwa na huyo mpenzi wake acha ajishebedue tu akija zaa tu atapigwa chini kama akina tanasha hatujui atakuja ficha sura yake wapi na hayo maringo yote

  • @autoimmunesecurity2140
    @autoimmunesecurity2140 9 месяцев назад +2

    Interview nzima unasema watu tu.