Allahuakbar 😢mimi na wewe wenye neema ya kuona tuitumie vizuri neema hii tutaenda kuulizwa tuliitumia vp🤔 ndugu yetu huyu ni kipofu lakini ameifadhi qur'an masha Allah ❤❤❤❤❤❤
Nakumbusha tunavipaji kila kona ya kondoa, chemba, haw waomaji wetu wakubwa wasione aibu kutangaza rehema hii na kuomba misaada kwa waislam wenzetu ili kubust vipaji hivi
inasikitika kipofi anasoma quran lakini mwenye kuona ana mmchezea Allah tumuogopeni mwenyezi mungu ya rabbi
Allah amzidishie elimu Zaidi ya hapo
Amiin
Allahuakbar 😢mimi na wewe wenye neema ya kuona tuitumie vizuri neema hii tutaenda kuulizwa tuliitumia vp🤔 ndugu yetu huyu ni kipofu lakini ameifadhi qur'an masha Allah ❤❤❤❤❤❤
Allah Akupe Mwisho mwema Sheikh wetu
Mashallah Allah akuzidishie
Tweybu tweybu Allahuakbar Allahuakbar maanshaallah Allah akuhifadhi inshaallah
Mashaallah allah akulipe kher
Mashaallah wallah machozi yamenika tujifunze tuliejaaliwa neema ya uzima
Subhana Allah mjaalie macho akhera ya Rrabbi
Wallah imenitoa machozi kipof anahifadhi maneno mazito yaalla
Mashaa Allah.wengi tuliyo na macha ya kuona hatuoni QUR,AN.Macho ya kisasa ni ya Kuchati
Mashallah🎉
Mashallha kaka angu
Allah Akbar ❤️
Mashaaaaallah allah ampe afya njema amiiin
Allak ak bar.
Mashallah
Mashaaallah
Mashallaah
MASHAALLH ABDALLAH NDEE MPK NIMETOWA MACHOZI YA FURAHA
😔😔mashaallah allah akupe mwish mwema ostaz😔
Mashaallah ustadh
Maashaallah
😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyo sio kipofu, kipofu katika dini ni yule aliyepofua moyo. Bora upofue macho ya kichwani kuliko kupofua macho ya moyoni.
Nakumbusha tunavipaji kila kona ya kondoa, chemba, haw waomaji wetu wakubwa wasione aibu kutangaza rehema hii na kuomba misaada kwa waislam wenzetu ili kubust vipaji hivi
Mm na ww tunaona ndio vipofu hyu anaona
Mimi na wewe ikiwa hatuna chochote ktk quran ndio vipofu sio huyu!
Mashallah
Mashalha
Mashallah
Mashaallah