Utajiri wa Chino wazua maswali, Pesa, Mjengo wa Kifahari na Magari anayomiliki ni balaa, ni Muziki?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 69

  • @NasirAidid
    @NasirAidid Час назад

    Jacob wewe ni genius bro...me nakuelewa

  • @kassimabussa6583
    @kassimabussa6583 День назад +11

    Mafanikio yanasiri nzito sanaaa nyuma yapazia mungu ndio anajuwa ukweli nayeye muusika zaidi

    • @BuhetySharia
      @BuhetySharia День назад +1

      Kabisa kaka
      ....tukubaliane na umaskin wetu tu ...ila

    • @RobertsonNandime-eo9fp
      @RobertsonNandime-eo9fp 21 час назад +1

      Kabisa nashangaa Mimi nimepambana Hakuna inch ambao sijaenda kutafta lakini bado kiukweli tumuombe Mungu pekee mengine tuyaangalie tu

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 21 час назад

      na wengine ndo tunapambana​@@RobertsonNandime-eo9fp

    • @kassimabussa6583
      @kassimabussa6583 8 часов назад

      @@RobertsonNandime-eo9fp kweli kufanikiwa Kwa haraka Kama chino inastuwa sana.mimi ni mtanzania nipoo south Africa mwaka wa kumi nasaba Sasa. lakini imekuwa nitabu sana kufanikiwa lakini ukifanya kazi za Haram unafanikiwa haraka nnaona ndugu zangu huku madawa ya kulevya bangi ndizo zinazo wafanya wanafanikiwa.sisi wengine tunamuhofia mwenyezimungu ndiomana tunasuasua mpaka Sasa lakini tusikate tamaa tuzidi kumuomba mungu. Mafanikio ukiyapata kwanjia ya khalali yanaraha sana. tuzidi kupambana ipo siku tutafanikiwa.

    • @Mina.15
      @Mina.15 6 часов назад

      Akiili zenu ni ndogo

  • @ASALABOY
    @ASALABOY День назад +4

    Jacobo yupo mjengoni basi mimi nipo mwanzo mwisho Sabu SnS aipotoshi inagenga Daima 🇹🇿🇲🇿

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 21 час назад +4

    MASHABIKI WANAKUBADILIKIA SA YOYOTE,,PIGA HELA ZAKO HII NDO TIME YAKO,,,,,TULIKUWAGA NA ASLAY HAPA..

  • @StevenSanga-n3n
    @StevenSanga-n3n 18 часов назад +3

    Unakuta mtu unajisifu unapesa alafu pesa zenyew za masharti mludieni mungu w tz

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 14 часов назад +1

    Brothers mafanikio yanasiri kubwa ,nawapenda SNS❤

  • @stefanomwayele6761
    @stefanomwayele6761 Час назад

    Mpeni 6yrs from know mtajua kila kitu juu ako speed sana kuna kitu chini ya majì

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 4 часа назад

    kwa cc tulioko nje ya tz hatushangai... chino anapata shows nyng sana nje ya tz so anaingiza kiac kikubwa cha pesa za kigen ambazo zna thaman zaid🥈🥈📌📌📌

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 7 часов назад

    Ukweli anaujua yeye na Mungu wake!

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 18 часов назад +3

    Alikuw dereva afu akaona kabisa gari imemshinda na alikuw anaweza kuipeleka upande wa abiria ila yeye akajipelekea mwenyew kwenye mti 😂😂😂 that was nonsense story hakuna mtu anaweza kuona nafasi ya kujiokoa alafu asifanye ivyo no one nakataa kata kata na kama uli notes haya mafanikio yalianzia pale maana siku 40 baadae tu aliweza kujenga nyumba mbili kubwa tu ya mama ake na ya mama wa marehem, baada ya hapo mara gari mara nyumba eeeh tuwe serious baac

  • @Fks856
    @Fks856 День назад +5

    Sio kweli hata kama we ni figter kias gan

  • @ismailahmed8728
    @ismailahmed8728 День назад +12

    Sns hamutaki kuonge ukweli mnahisi km mtaonekana mnakandia mafanikio ya mtu ila siyo rahisi kwa mafinikio hayo hata km unafanya show every day na kwa Tanzania siyo kila club itakulipa hizo pesa kwa siku atengeneze milion50 siyo powa izo vitu someone behind tusiongopeane

  • @silverman6930
    @silverman6930 22 часа назад +2

    When someone makes it people question when someone struggles still question too ..may be the dude knows how to save … Jacob is and Escro not sure at all .. 😂😂😂

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu 20 часов назад +3

    Duh atari sanaaa

  • @Zenny89
    @Zenny89 День назад +6

    Wabongo na kuhangaika na pesa za watu😂 Pesa za mtu ni siri yake

    • @Mina.15
      @Mina.15 6 часов назад

      Yani wanazani kila mtu anaanda kwa mpalange 😂😂

  • @frankdominic664
    @frankdominic664 4 часа назад

    Sns kuna siri mnajua hapa wekeni mambo wazi

  • @RamadhanWanga-t1q
    @RamadhanWanga-t1q 11 часов назад +1

    Huu mziki na mafanikio kuna Siri kubwa Sana nyuma Yake....ukifuatilia story za P Diddy na tangu huyu kijana wale rafiki zake wafariki kuna Siri nzito saana.....so usione mafanikio ya mtu ukalia ngoa

  • @MkhayaSogadari
    @MkhayaSogadari 21 час назад +3

    Kwanini amfikiri mkopo bak jaman mimi nawafatiliya nikiwa southa Africa deben

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 10 часов назад

      kweli aeza kua kakopa aregesha pole pole bank

  • @ChireGriffin
    @ChireGriffin 23 часа назад +5

    Tatizo la watanzania ni shule....Yani mtu hana biashara inayoonekana zaidi ya mziki ...na mziki wenyewe Ina miaka miwili na pia hana umaarufu mkubwa vile .....kuna Siri kubwa nyuma ya mafanikio. ....don't joke with money

  • @ThabisoMbhele-oj7zd
    @ThabisoMbhele-oj7zd День назад +3

    Wa kwaza

  • @bishangaclassic2419
    @bishangaclassic2419 18 часов назад +2

    Mining Cryptocurrency Pi network

  • @HarrisOthman-p7i
    @HarrisOthman-p7i 9 часов назад

    Kama unamuamin Mungu ,amini mafanikio sio km aliopata ni njia za giza mm naamin Mung akitak kukupa ni sekunde tu unapata

  • @Zuu673
    @Zuu673 22 часа назад +1

    Chino peke yake hakuwezo yote hayo ni juhudi zake na mwanamke wake katoka kwenye famiya pesa ivyo anazichuna tu.

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf День назад +1

    Haiwezekani show zikawa kila siku kwa kila mwezi

  • @CashMoney-zf4qr
    @CashMoney-zf4qr 8 часов назад

    Huyu ndugu mafanikio yalianza ka koki imeng'olewa kutoka ktk bomba baada ya ile ajali ya dereva ake😢

  • @stanleygeorge-lg8et
    @stanleygeorge-lg8et 8 часов назад

    Ameimba nyimbo gani

  • @mnyampaa_kisasa
    @mnyampaa_kisasa День назад +1

    Watu wanapiga kazi

  • @Awezae-w8o
    @Awezae-w8o 23 часа назад +2

    Mungu amuongoze uyo dogo ila tu duuuhhh

  • @candy9969
    @candy9969 23 часа назад +1

    Yani Jacobo Una vyo hisi kam Ninavyo hisi

  • @makamekhalfan5968
    @makamekhalfan5968 21 час назад +1

    ameend kw p did

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf День назад +5

    Kwani yule ndugu yake alikufaje

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 День назад +1

    Kuna dili itakua kabitua kapata pesa ya pamoja

  • @EilaAssa
    @EilaAssa 12 часов назад

    Ibada zama sheteni zinawatajilisha

  • @dennisandala3431
    @dennisandala3431 8 часов назад

    Nimewaelewa wanangu😂😂

  • @shanizuberi7984
    @shanizuberi7984 6 часов назад

    Binadamu tunaishi kwa malengo ukitaka kufanya kitu ,inatakiwa ujitoe ku make money sisi tunafanya kazi tunalipwa kwama saa na unaweza kufanya kazi kwa siku maa 17 hapo unakua namalengo yako

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 22 часа назад +2

    Mavanikio ya gafra daaa😮

    • @Mina.15
      @Mina.15 6 часов назад

      Rip Swahili 😂😂😂 MAVANIKIO GAFRA NDIO NINI

    • @Mina.15
      @Mina.15 6 часов назад

      Rudi shule na wewe UPATE MAVANIKIO GAFRA 😂😂

  • @AmmielNzala-fu4xu
    @AmmielNzala-fu4xu 23 часа назад +2

    Huyo chino hayo mafanikio yake, sio ya mziki wala nini

  • @Softtlipss001
    @Softtlipss001 20 часов назад +1

    🏡 CCTV 📺.📽

  • @DaudiSinani
    @DaudiSinani 22 часа назад +1

    Siku tukiwa na furaha ya kuona vijana wenzetu wanafanikiwa na sisi tutafanikiwa aisee hapa nasikiliza ila kitu kilichopo ndani ya wengi wenu ni chuki tu ya wazi ya mafanikio ya mwana ila sio mbaya, kama tunaamini kwenye kufanikiwa basi muda wenu utafika na nyie mtafanikiwa kwa kila hatua , mungu anatoa kwa wakati aiseee. fanyen kazi kwa bidiii mtapata na nyie hahahaha

  • @WillsonMakorere
    @WillsonMakorere День назад +1

    Jamaaa kwenye stej yukopoa SANA ila swala la show kama za batafy tegeta mangi Dola amlipe miliyoo 7. Kwa bia za bukujelo na kiingilio bule 😂😂😂

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 21 час назад +1

      Nilimuonaga qx huyu hana maajabu kiingilio elf5 unapewa na bia 3 hizi pesa siyo poa

  • @Thegame-607
    @Thegame-607 23 часа назад

    Enjoy Enjoy😂😂😂

  • @HASSANKAMGUNDA
    @HASSANKAMGUNDA День назад +2

    Utajiri wa huyo chino unawausu nini?? Fatirieni akitoa kazi mumseme, siyo kujadiri vitu arivyo navyo mnaboa bhn😢

  • @saidmwakugomba3623
    @saidmwakugomba3623 17 часов назад

    Matako yanawatajirisha wabongo vilivyo, wana shanga viunoni wote ao

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 8 часов назад

    Fake life 😅

  • @chany9950
    @chany9950 День назад

    👹👹

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 20 часов назад

    Krisss🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Na wewe umeingia chochooo😮😮Kwa mziki gn apige show yakuingiza pesa hizoo🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Alichokisema Mange km ni kweli Chinooo ni stupid na muhusika stupid pia mnafanya biashara za hatari alafu kutwa kujitangaza😮😮😮