@@RobertsonNandime-eo9fp kweli kufanikiwa Kwa haraka Kama chino inastuwa sana.mimi ni mtanzania nipoo south Africa mwaka wa kumi nasaba Sasa. lakini imekuwa nitabu sana kufanikiwa lakini ukifanya kazi za Haram unafanikiwa haraka nnaona ndugu zangu huku madawa ya kulevya bangi ndizo zinazo wafanya wanafanikiwa.sisi wengine tunamuhofia mwenyezimungu ndiomana tunasuasua mpaka Sasa lakini tusikate tamaa tuzidi kumuomba mungu. Mafanikio ukiyapata kwanjia ya khalali yanaraha sana. tuzidi kupambana ipo siku tutafanikiwa.
kwa cc tulioko nje ya tz hatushangai... chino anapata shows nyng sana nje ya tz so anaingiza kiac kikubwa cha pesa za kigen ambazo zna thaman zaid🥈🥈📌📌📌
Alikuw dereva afu akaona kabisa gari imemshinda na alikuw anaweza kuipeleka upande wa abiria ila yeye akajipelekea mwenyew kwenye mti 😂😂😂 that was nonsense story hakuna mtu anaweza kuona nafasi ya kujiokoa alafu asifanye ivyo no one nakataa kata kata na kama uli notes haya mafanikio yalianzia pale maana siku 40 baadae tu aliweza kujenga nyumba mbili kubwa tu ya mama ake na ya mama wa marehem, baada ya hapo mara gari mara nyumba eeeh tuwe serious baac
Sns hamutaki kuonge ukweli mnahisi km mtaonekana mnakandia mafanikio ya mtu ila siyo rahisi kwa mafinikio hayo hata km unafanya show every day na kwa Tanzania siyo kila club itakulipa hizo pesa kwa siku atengeneze milion50 siyo powa izo vitu someone behind tusiongopeane
When someone makes it people question when someone struggles still question too ..may be the dude knows how to save … Jacob is and Escro not sure at all .. 😂😂😂
Huu mziki na mafanikio kuna Siri kubwa Sana nyuma Yake....ukifuatilia story za P Diddy na tangu huyu kijana wale rafiki zake wafariki kuna Siri nzito saana.....so usione mafanikio ya mtu ukalia ngoa
Tatizo la watanzania ni shule....Yani mtu hana biashara inayoonekana zaidi ya mziki ...na mziki wenyewe Ina miaka miwili na pia hana umaarufu mkubwa vile .....kuna Siri kubwa nyuma ya mafanikio. ....don't joke with money
Binadamu tunaishi kwa malengo ukitaka kufanya kitu ,inatakiwa ujitoe ku make money sisi tunafanya kazi tunalipwa kwama saa na unaweza kufanya kazi kwa siku maa 17 hapo unakua namalengo yako
Siku tukiwa na furaha ya kuona vijana wenzetu wanafanikiwa na sisi tutafanikiwa aisee hapa nasikiliza ila kitu kilichopo ndani ya wengi wenu ni chuki tu ya wazi ya mafanikio ya mwana ila sio mbaya, kama tunaamini kwenye kufanikiwa basi muda wenu utafika na nyie mtafanikiwa kwa kila hatua , mungu anatoa kwa wakati aiseee. fanyen kazi kwa bidiii mtapata na nyie hahahaha
Krisss🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Na wewe umeingia chochooo😮😮Kwa mziki gn apige show yakuingiza pesa hizoo🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Alichokisema Mange km ni kweli Chinooo ni stupid na muhusika stupid pia mnafanya biashara za hatari alafu kutwa kujitangaza😮😮😮
Jacob wewe ni genius bro...me nakuelewa
Mafanikio yanasiri nzito sanaaa nyuma yapazia mungu ndio anajuwa ukweli nayeye muusika zaidi
Kabisa kaka
....tukubaliane na umaskin wetu tu ...ila
Kabisa nashangaa Mimi nimepambana Hakuna inch ambao sijaenda kutafta lakini bado kiukweli tumuombe Mungu pekee mengine tuyaangalie tu
na wengine ndo tunapambana@@RobertsonNandime-eo9fp
@@RobertsonNandime-eo9fp kweli kufanikiwa Kwa haraka Kama chino inastuwa sana.mimi ni mtanzania nipoo south Africa mwaka wa kumi nasaba Sasa. lakini imekuwa nitabu sana kufanikiwa lakini ukifanya kazi za Haram unafanikiwa haraka nnaona ndugu zangu huku madawa ya kulevya bangi ndizo zinazo wafanya wanafanikiwa.sisi wengine tunamuhofia mwenyezimungu ndiomana tunasuasua mpaka Sasa lakini tusikate tamaa tuzidi kumuomba mungu. Mafanikio ukiyapata kwanjia ya khalali yanaraha sana. tuzidi kupambana ipo siku tutafanikiwa.
Akiili zenu ni ndogo
Jacobo yupo mjengoni basi mimi nipo mwanzo mwisho Sabu SnS aipotoshi inagenga Daima 🇹🇿🇲🇿
MASHABIKI WANAKUBADILIKIA SA YOYOTE,,PIGA HELA ZAKO HII NDO TIME YAKO,,,,,TULIKUWAGA NA ASLAY HAPA..
Unakuta mtu unajisifu unapesa alafu pesa zenyew za masharti mludieni mungu w tz
Brothers mafanikio yanasiri kubwa ,nawapenda SNS❤
Mpeni 6yrs from know mtajua kila kitu juu ako speed sana kuna kitu chini ya majì
kwa cc tulioko nje ya tz hatushangai... chino anapata shows nyng sana nje ya tz so anaingiza kiac kikubwa cha pesa za kigen ambazo zna thaman zaid🥈🥈📌📌📌
Ukweli anaujua yeye na Mungu wake!
Alikuw dereva afu akaona kabisa gari imemshinda na alikuw anaweza kuipeleka upande wa abiria ila yeye akajipelekea mwenyew kwenye mti 😂😂😂 that was nonsense story hakuna mtu anaweza kuona nafasi ya kujiokoa alafu asifanye ivyo no one nakataa kata kata na kama uli notes haya mafanikio yalianzia pale maana siku 40 baadae tu aliweza kujenga nyumba mbili kubwa tu ya mama ake na ya mama wa marehem, baada ya hapo mara gari mara nyumba eeeh tuwe serious baac
Sio kweli hata kama we ni figter kias gan
Kwnn kaka
Sns hamutaki kuonge ukweli mnahisi km mtaonekana mnakandia mafanikio ya mtu ila siyo rahisi kwa mafinikio hayo hata km unafanya show every day na kwa Tanzania siyo kila club itakulipa hizo pesa kwa siku atengeneze milion50 siyo powa izo vitu someone behind tusiongopeane
You said it
You understand
Hii ni fact kaka....😅😅😅 Ukweli anaujua ye mwenyewe chino.....
True
Anavuna pesa za mwanamke wake kwao ni wenye pesa
When someone makes it people question when someone struggles still question too ..may be the dude knows how to save … Jacob is and Escro not sure at all .. 😂😂😂
Duh atari sanaaa
Wabongo na kuhangaika na pesa za watu😂 Pesa za mtu ni siri yake
Yani wanazani kila mtu anaanda kwa mpalange 😂😂
Sns kuna siri mnajua hapa wekeni mambo wazi
Huu mziki na mafanikio kuna Siri kubwa Sana nyuma Yake....ukifuatilia story za P Diddy na tangu huyu kijana wale rafiki zake wafariki kuna Siri nzito saana.....so usione mafanikio ya mtu ukalia ngoa
Kwanini amfikiri mkopo bak jaman mimi nawafatiliya nikiwa southa Africa deben
kweli aeza kua kakopa aregesha pole pole bank
Tatizo la watanzania ni shule....Yani mtu hana biashara inayoonekana zaidi ya mziki ...na mziki wenyewe Ina miaka miwili na pia hana umaarufu mkubwa vile .....kuna Siri kubwa nyuma ya mafanikio. ....don't joke with money
Wa kwaza
Mining Cryptocurrency Pi network
Kama unamuamin Mungu ,amini mafanikio sio km aliopata ni njia za giza mm naamin Mung akitak kukupa ni sekunde tu unapata
Chino peke yake hakuwezo yote hayo ni juhudi zake na mwanamke wake katoka kwenye famiya pesa ivyo anazichuna tu.
Haiwezekani show zikawa kila siku kwa kila mwezi
Huyu ndugu mafanikio yalianza ka koki imeng'olewa kutoka ktk bomba baada ya ile ajali ya dereva ake😢
Ameimba nyimbo gani
Watu wanapiga kazi
Mungu amuongoze uyo dogo ila tu duuuhhh
Yani Jacobo Una vyo hisi kam Ninavyo hisi
ameend kw p did
Kwani yule ndugu yake alikufaje
Kuna dili itakua kabitua kapata pesa ya pamoja
Ibada zama sheteni zinawatajilisha
Nimewaelewa wanangu😂😂
Binadamu tunaishi kwa malengo ukitaka kufanya kitu ,inatakiwa ujitoe ku make money sisi tunafanya kazi tunalipwa kwama saa na unaweza kufanya kazi kwa siku maa 17 hapo unakua namalengo yako
Mavanikio ya gafra daaa😮
Rip Swahili 😂😂😂 MAVANIKIO GAFRA NDIO NINI
Rudi shule na wewe UPATE MAVANIKIO GAFRA 😂😂
Huyo chino hayo mafanikio yake, sio ya mziki wala nini
🏡 CCTV 📺.📽
Siku tukiwa na furaha ya kuona vijana wenzetu wanafanikiwa na sisi tutafanikiwa aisee hapa nasikiliza ila kitu kilichopo ndani ya wengi wenu ni chuki tu ya wazi ya mafanikio ya mwana ila sio mbaya, kama tunaamini kwenye kufanikiwa basi muda wenu utafika na nyie mtafanikiwa kwa kila hatua , mungu anatoa kwa wakati aiseee. fanyen kazi kwa bidiii mtapata na nyie hahahaha
Jamaaa kwenye stej yukopoa SANA ila swala la show kama za batafy tegeta mangi Dola amlipe miliyoo 7. Kwa bia za bukujelo na kiingilio bule 😂😂😂
Nilimuonaga qx huyu hana maajabu kiingilio elf5 unapewa na bia 3 hizi pesa siyo poa
Enjoy Enjoy😂😂😂
Utajiri wa huyo chino unawausu nini?? Fatirieni akitoa kazi mumseme, siyo kujadiri vitu arivyo navyo mnaboa bhn😢
Matako yanawatajirisha wabongo vilivyo, wana shanga viunoni wote ao
Fake life 😅
👹👹
Krisss🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Na wewe umeingia chochooo😮😮Kwa mziki gn apige show yakuingiza pesa hizoo🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Alichokisema Mange km ni kweli Chinooo ni stupid na muhusika stupid pia mnafanya biashara za hatari alafu kutwa kujitangaza😮😮😮