Mashallah zinahitajika kuwandikwa kwa wino wa dhahab🥺Sheikh Si wasia wa Bib harusi tu Ata tulioko kwenye ndoa zinatufaa Turenew ndoa zetu penye mapungufu🥰Allah atusaidie Khalid kwakwel tucheke tu😂😂😂hakika naumwa ni mbav kwakucheka😂😂Sheikh Nurdiin Allah akuhifadh 😢ukwel mtu unayoyasema Wallah Iv unasema najikumbuka mim Sik naolewa🥴Mabiharusi wa sik hizi Yarabistara🥺hilo jicho tu analoangaliwa mume Bi harus Anaonesha Dhahir Yes niko tayar 😭Subhanallah Allah atuongoze Kwakwel Aibu imepotea na zaid Imepotea kwa utandawaz uliopo watoto wanaona kila kitu 😭Subhanallah Msiba mzito huu 🤲🤲🤲Allah atuongoze na Vizaz vyetu
Sheikh asalam aleikum yaani hapa jamani Allah atujalie subira wamama, wasichana ukweli twjitahidi inauma zaidi unajisitili kabisa kumtimizia ndio Anatoka poa sasa😢😢 vilio tupu
MashaAllah Allah akuzidishie sheikh wetu
Ma Shaa Allah Tabarakallah ALHAMDULILLAH 😊
Jazzakallahu khairan tunasubiri na wasia wa mabwana harusi please
Mashallah sheikh kishki tunakupenda sana unatuelimisha ila ilo bunduki hadi nacheka shukran sana tunawapata vyema oman
Sheikh kishki leo umenipa Raha Sana kwa kweli umejuwa kutuchana Live bila cenga kbs Allah Akuifadhi Shekh wetu
Mashallah zinahitajika kuwandikwa kwa wino wa dhahab🥺Sheikh Si wasia wa Bib harusi tu Ata tulioko kwenye ndoa zinatufaa Turenew ndoa zetu penye mapungufu🥰Allah atusaidie Khalid kwakwel tucheke tu😂😂😂hakika naumwa ni mbav kwakucheka😂😂Sheikh Nurdiin Allah akuhifadh 😢ukwel mtu unayoyasema Wallah Iv unasema najikumbuka mim Sik naolewa🥴Mabiharusi wa sik hizi Yarabistara🥺hilo jicho tu analoangaliwa mume Bi harus Anaonesha Dhahir Yes niko tayar 😭Subhanallah Allah atuongoze Kwakwel Aibu imepotea na zaid Imepotea kwa utandawaz uliopo watoto wanaona kila kitu 😭Subhanallah Msiba mzito huu 🤲🤲🤲Allah atuongoze na Vizaz vyetu
Aamin rabil aamin
Masha Allah
Masha ALLAH 🎉🎉🎉❤
Mashallah Allah akuzdshie shehe kwa wasia
shekhe kishki ninakupenda kwa ajili ya allaah
Mashaalla mimi ni bibi harsh mutarajiwa nimefaidika allhamudulillah
Mashaallah
MaashaAllah
MashaAllah
❤❤❤
Sheikh asalam aleikum yaani hapa jamani Allah atujalie subira wamama, wasichana ukweli twjitahidi inauma zaidi unajisitili kabisa kumtimizia ndio Anatoka poa sasa😢😢 vilio tupu
Alhamdulillah🥀🌹
Mashaallah 🎉
Jazaka Allah khayran
Mashaallah ❤
hahahaha sheikh nakupenda kwajili ya Allah mawaidha yako mazuri sanaa napenda unavyofafanua kila hatua
Mutuwekee na wabwana harusi inshallah kheri
Shukran sana kwa walia sheikh
Shekh allah akuhifadhi apadunian na akhera😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤
Shukran
Kama wote wangehifadhi haya na kuyafanyia kazi.., basi zingedumu hadi uzeeni isipokua amri ya Allah
Shukran saana
Wala sichoki kukusikiliza na huu wasia 10 sheikh. Jazakallahu kheir. Allah atupambe na wasia hizi daaiman sisi wanawake tupambe ndoa zetu... amiin
na bundudki lake hhahahaha
😂😂😂😂❤❤❤❤❤
🤣🤣😂😂😂😂😂😂❤❤❤😍
Shukran sheikh kwa wasia
Mi nasubiri Wosia wa bwanaharusi insha Allah 😂😂
Nazan wa sia kwao hawuwahusu sana mke akiwa sawa kwamalezi hawa waume hawanashida sana mtihan nisisi😅
@@UwumuremyiKhurusumuwaume pia waitaji wasiha sana maana mume akiwa kiongozi mzuri mke Hana shida kabisa
@@MamahetuChikuti-mp5lj Ndiyo
nipo oman lakini umenifunza
Hahaha 😂 sheikh Leo umetoa kali
Mashaallah ❤❤❤