Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera awagusa wengi kwa kumbeba mwanae na kitenge akiwa ofisini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024

Комментарии • 19

  • @marthamayalla1719
    @marthamayalla1719 2 года назад +4

    Watot hupenda kukaa na baba kuliko mama mie wa kwangu mdog anampenda saanaa Baba yake akifika tuu hamtaki yoyote isipokua babayake anajua na muda wa baba kurud 🙌🥰🥰🤝

  • @JeremiahElishaMwanyesya
    @JeremiahElishaMwanyesya 4 месяца назад

    Jamani mkuu wa mkoa...please simamia malipo yetu ya kupisha balabla...wanatudhulumu mheshimiwa...huko songwe tunalia malipo sio...mimi Elisha Jeremiah mwanyesya...

  • @pettyschulte6608
    @pettyschulte6608 2 года назад +1

    Wow,Good, Great, Love, love 🥰

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Wanaume bhana, pengine kapiga picha nae tu, ila yuko vizuri kama ni kweli.

  • @yasintawalyuba2444
    @yasintawalyuba2444 2 года назад

    Hongera San muheshimiwa

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Kweli nimefurahi kuna Bond ya uhakika kati ya mtoto na Baba kama baba anamshika mtoto si Lazima ambebe mgongoni

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 2 года назад

    Baba bora♥️♥️♥️

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 года назад

    Kwani hakuna style nyingine ya ku mbeba mtoto au Hii ndio style Bora kudumisha mila

    • @RKMEDIATZ
      @RKMEDIATZ 2 года назад

      😂😂😂😂

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 2 года назад

    Ndiyo baba bora

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Ulifanya vema,Mimi wa Kwangu Baba anawabeba Bila shida

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 2 года назад

    Mashallah

  • @godfreymwaipasi6539
    @godfreymwaipasi6539 2 года назад

    Ndiyo mkuu

  • @matswelopelemphela261
    @matswelopelemphela261 2 года назад

    🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞

  • @RKMEDIATZ
    @RKMEDIATZ 2 года назад +1

    Hakuna la ajabu hapo.

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 2 года назад

      Wewe uko mbali na binadamu wa kawaida

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 года назад +1

      Kiki za kijinga mkuu si anunue Baby Carry

    • @RKMEDIATZ
      @RKMEDIATZ 2 года назад

      @@fatmafaki6163 hapo ni kipi Cha ajabu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️。